Рет қаралды 2,615
BIBI HARUSI AZUA GUMZO KUVAA SHELA YA RANGI NYEUSI KWENYE HARUSI YAKE...
Kama kawaida, mchawi wa mtu kwenye ulimwengu wa sasa ni kukosa bando na kuwa mbali na mitandao ya kijamii.
Taarifa inayozua gumzo kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni kutoka nchini Nigeria ambapo kuna bibi harusi ametoa kali ya mwaka.
Hii ni baada ya kusambaa kwa picha zake akiwa amevaa kinyume na utamaduni wa kufunga ndoa za Kikristo.
Katika picha hizo, bibi harusi huyo aliyetambulika kwa jina la Dasplang Rinset Lisa ameamua kubadilisha utamaduni wa kuvalia gauni jeupe kwenye harusi na kuvaa gauni jeusi, lakini bado akaonekana kupendeza ndani yake.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Lisa anafunguka kwamba watu wengi walimuuliza maswali mengi kuhusu kwa nini aliamua kuvaa nguo nyeusi siku ya harusi yake?
Nukuu: “Nimepata maswali mengi kuhusu kwa nini nilichagua kuvaa gauni jeusi kwenye harusi yangu?
“Sawa nina majibu mengi ya maswali yao, hili nitaandika baadaye, lakini kwa sasa naomba kuuliza kama kuna mtu yeyote anaweza kuniambia kwa nini atapendelea gauni jeupe na kwa nini asipende rangi nyingine yoyote ya mavazi?”
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline