Рет қаралды 586
#voaswahili #washingtonbureau
Wiki hii kwenye WB tunaangazi ziara ya Rais wa Marekani Joe Biden nchini India, kwa mkutano wa viongozi kutoka kundi la mataifa tajiri na yaliyoendelea kiviwanda ulimwenguni la G20, ambapo watazungumzia masuala kama vile mabadiliko ya hali ya hewa, kutathmini madeni, vita vya Ukraine vinavyoendelea, pamoja na kukaribishwa wanachama wapya. Mapema wiki hii Ikulu ya Marekani ilitoa vipaumbele vyake kwenye mkutano huo.