BILA SIASA HAKUNA DINI

  Рет қаралды 4,965

WACHOKONOZI

WACHOKONOZI

Күн бұрын

WACHOKONOZI

Пікірлер: 56
@GameChumaTz
@GameChumaTz 2 ай бұрын
Nimechekea ulivosema fala alijua kamara anashiliki 😂😂 mim binafsi nilijua Trump anashinda mana niliona kwenye cartoon ya the simpsons nkawa nawaambia mafala trump ameshapita mda wakawakawa wananibishia mwisho wa siku wanasema mim mtabiri😂🤣😂😂 wachokonozi for life❤❤❤
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 2 ай бұрын
Dini inalainisha,siasa inadhibiti 😂😂😂
@bazzohtv9488
@bazzohtv9488 2 ай бұрын
Duhh mwalimu Nyerere mmemchokonoa sana inatosha Sasa ✋🖐️
@ansibertalfredy9107
@ansibertalfredy9107 2 ай бұрын
Ujue nyie jamaaa mnaongeaga fact sanaaa asa kuusiana swala la dini sio mbango wa mungu....sema sehem mnaponichanganya na mm nikawa kinyume na nyinyi kusema kwamba hakuna Mungu......sawa nambieni yupo ila ana jina lingine na kwa jina la Mungu nitawaelewa...
@ansibertalfredy9107
@ansibertalfredy9107 2 ай бұрын
Sio mpango
@yamungungendu4839
@yamungungendu4839 2 ай бұрын
Hata Mimi napishana nao pale wanaposema kuwa Mungu hayupo.Kwenye hilo huwa nawaona wajinga wasioelewa namna walivyotokea na kuja duniani.
@saimonmizingo7485
@saimonmizingo7485 2 ай бұрын
Hawa jamaa wanaelewa Mungu yupo sema wanapotosha kupitia elimu yao
@LucRedeemer-m4k
@LucRedeemer-m4k 2 ай бұрын
Wao pia wanajua Mungu yupo kbs,..wanacho kikataa niyule Mungu wamakakatasi wa Biblia yaani😁
@MudrickJunior26
@MudrickJunior26 2 ай бұрын
Muumbaji yupo ila maswala ya kutisha watu cjui moto na pepo ni uongo
@aristotemohamedmz5979
@aristotemohamedmz5979 2 ай бұрын
Tuwe watulivu kila mutu atapata ugonjwa wa akili 😂😂
@danctheyoung
@danctheyoung 2 ай бұрын
Daah nakubali sana
@PikaUsipakue-el5yc
@PikaUsipakue-el5yc 2 ай бұрын
Mamtu yenye depression unayatia moyo😂😂😂
@bahatisaimon6019
@bahatisaimon6019 2 ай бұрын
Wajuzi wa mambo 🎉
@danctheyoung
@danctheyoung 2 ай бұрын
Kabisa kama mwenye nyumba na mpangaji
@nicasnerey9933
@nicasnerey9933 2 ай бұрын
Hiyo bibilia yenyewe wanayoisoma inasema kwenye ufunuo rumi ndio kahaba mkuu mwenye maarifa anaelewa. Big up GAMBOS WENZANGU
@FadhiliEmanueli-w3x
@FadhiliEmanueli-w3x 2 ай бұрын
Tupe huo mstari unaosema hivo
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 2 ай бұрын
Haaaa
@NiyongabireEgide-h4g
@NiyongabireEgide-h4g 2 ай бұрын
And now I'm the first one 😅😅
@theogeorge3773
@theogeorge3773 2 ай бұрын
Tunajua Sa100 alienda kumsalimia tu jamani wala sio kingine Haaaahaaaa
@GameChumaTz
@GameChumaTz 2 ай бұрын
Bila kuchoka wachokonozi Akuna Dawa tamu watu wataelewa tu
@Lugiko-o2j
@Lugiko-o2j 2 ай бұрын
Ukiwa unaongea na wapumbavu unaongea kwa Lugha yao😂
@LoneWolf-ng8yg
@LoneWolf-ng8yg 2 ай бұрын
Mim mwenyew nimependezwa na msemo huu😂😂
@BabaTiffah
@BabaTiffah 2 ай бұрын
Jamani ila ni kweli Yani selikali inasajili dini zote na kuzisimamia alafu watu wa dini wanasema misikiti na makanisa ni ya mwenyezi mungu duuuuh
@sailantjoseph7411
@sailantjoseph7411 2 ай бұрын
Mnatamani Uchawi lakini hamuujui
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
Kuna wananchi na rais
@LucRedeemer-m4k
@LucRedeemer-m4k 2 ай бұрын
Hawa watu wa mbwana Yesu itakuwa shida Sana kwaupande wao kuelewa Aya mambo wazee
@AbelnegoPhilimon
@AbelnegoPhilimon 2 ай бұрын
Ko wewe ni wa bwana shetani!? Angalia mvuke utafakari, hapa duniani tunapita wanaongea meng sana chagua yale mazuri mengine uyachambue. Kuamini kila neno pia ni UPUMBAFU😢
@patrishamaulid5670
@patrishamaulid5670 2 ай бұрын
Mimi mpaka hapa nisha elewa ndio maana bimkubwa alienda kwa papa kule mjini vatkani watu wakapiga kelele weeee kiufupi kanisa katoriki ndio linaongoza dunia na wana siasa waote duniani over kama mnapinga njooni mniuwe sasa
@golebenson4597
@golebenson4597 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@sailantjoseph7411
@sailantjoseph7411 2 ай бұрын
Haya WanaGamboshi nendeni mkaroge naona mnatamani Uchawi, kuna kibabu kichawi jirani yangu anatafuta MTU Wa kumpa Uchawi niwaunganishe nawe awafundishe Uchawi wakigamboshi.
@anuarymyekakimolo4785
@anuarymyekakimolo4785 2 ай бұрын
😂😂🎉
@JovinMaftah
@JovinMaftah 2 ай бұрын
Hatareeee
@IsufuRajabu-v9c
@IsufuRajabu-v9c 2 ай бұрын
Kabisa
@sailantjoseph7411
@sailantjoseph7411 2 ай бұрын
Uchawi sio kitu kizuri kama ufahamu wenu unavyoona, Uchawi NI kitu kibaya ukiwa nacho hutakaa upate Amani,
@LeonardFrancis-hk9ku
@LeonardFrancis-hk9ku 2 ай бұрын
Tayari nimeasi kwa sababu yenu😢
@wachokonozi_
@wachokonozi_ 2 ай бұрын
@@LeonardFrancis-hk9ku sio umeasi sema akili imekurudia.
@crecknerz5661
@crecknerz5661 2 ай бұрын
✅✅✅✅✅
@MkonoZacharia
@MkonoZacharia 2 ай бұрын
Tengenezeni vitabu hatakama mwafrica mzembe kusoma lakin vitabu havihalibiwi havipotei miaka 100 mbele watasoma amina
@peterconrad6546
@peterconrad6546 2 ай бұрын
Jmn nahitaji vitabu vyenu nita vipataje?
@wachokonozi_
@wachokonozi_ 2 ай бұрын
0785346032 WhatsApp
@sailantjoseph7411
@sailantjoseph7411 2 ай бұрын
Bado mko wadogo, mambo yakiroho hamyajui nyie zungumzieni vitu vya kawaida mnaweza Ila mambo ya kiroho hamyajui uelewa wenu NI mdogo Mimi Bibi yangu Ni mchawi ko najua Uchawi pia najua nguvu ya Mungu. Ko nyie zungumzieni mambo ya kawaida mtafanya vizuri Ila mambo ya kiroho hamjui kitu, nitakiagiza kibabu kichawi kije kiwaoneshe show ndo mtajua hamjui badala yakuwa wachokonozi ntakuwa waokotanazi
@tjenruzoka7814
@tjenruzoka7814 2 ай бұрын
Daaah nimefuatilia comment ila sijaona fact yako kabisa we nae unakaduaraflan umeishi na Bibi yako alafu kakinyonge saaana ,we ramba tu dawa ya wachokonozi alafu ulale....😅😅😅
@JosefNgulinzila
@JosefNgulinzila 2 ай бұрын
Wew ndio huelewi kabra hujaongea soma kwanza uchawi Nini au jifunze sili za ulimwengu Yani usiwe mjinga Dunia inaongozwa na watu nyie wajinga jua uchawi Nini aina za uchawi mbo nimengi we upeo mdogo Sana hujui lolote umeona bibi Ako anaua ila hujui uchawi Nini pia bibi yako nae nimjinga mana uwezo wake haumsaidii chochote kwaiyo naona wew bado dogo Sana kwa masiala ya kiulimwengu , dini kwako niutumwa dini ni vita ya kiakili ko kama unatumia Imani ya kukalili vifungu2 ambavyo watu. Wametumia kuua maono ya wafrika ningumu Sana ko kiufupi we nimjinga nenda mbele zaidi ujifunze. Dini nimbaya kwa kizaz Cha afrika ila kuelewa mpaka ue na akili kubwa Sana ko mjinga kama wew lazma ufeli!!!!!!!!
@PikaUsipakue-el5yc
@PikaUsipakue-el5yc 2 ай бұрын
😂😂😂 na ww upo manipulated
@NusaiybRashid
@NusaiybRashid 2 ай бұрын
Mi mara ya ngaap nawambia nahitaj vitaabu. Kwann hamsem kam vipo au vp.
@MkonoZacharia
@MkonoZacharia 2 ай бұрын
Safisana watengeneze vitabu
@wachokonozi_
@wachokonozi_ 2 ай бұрын
0785346032 WhatsApp
@KudrahPembe
@KudrahPembe 2 ай бұрын
Sauti mbaya
@madulustudio6794
@madulustudio6794 2 ай бұрын
Kitabu kaka
@wachokonozi_
@wachokonozi_ 2 ай бұрын
0785346032 WhatsApp
@GameChumaTz
@GameChumaTz 2 ай бұрын
Bila kuchoka wachokonozi Akuna Dawa tamu watu wataelewa tu
@NusaiybRashid
@NusaiybRashid 2 ай бұрын
Mi mara ya ngaap nawambia nahitaj vitaabu. Kwann hamsem kam vipo au vp.
ANAYEMILIKI DINI NI SERIKALI SIO MUNGU
12:45
WACHOKONOZI
Рет қаралды 8 М.
СИНИЙ ИНЕЙ УЖЕ ВЫШЕЛ!❄️
01:01
DO$HIK
Рет қаралды 3,3 МЛН
MWAFRIKA HAINGILIKI
10:26
WACHOKONOZI
Рет қаралды 10 М.
Subhanallah!Namna Mji wa Sodoma ulivyo leo hii
10:35
Kalamutz
Рет қаралды 188 М.
P DIDDY NA WACHOKONOZI
11:44
WACHOKONOZI
Рет қаралды 20 М.
DINI SI KITU HALISI NI MCHEZO WA KIHISTORIA
12:33
WACHOKONOZI
Рет қаралды 10 М.
MZIMU WA LUMUMBA UNAITESA CONGO
16:29
WACHOKONOZI
Рет қаралды 9 М.
JKLIVE | Abducted: Inside the agony (Part 1)
31:44
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 15 М.
Mocari ciiyuire miiri ya andu mataramenyeka.
26:48
KAMEME OFFICIAL PAGE
Рет қаралды 12 М.
PART 2: TOTAL IDENTITY with Psychologist Joseph Mlindoko:
28:29
TURO ORGANIZATION
Рет қаралды 6 М.