BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO

  Рет қаралды 163,222

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

BILL NASS AVUNJA UKIMYA Kuhusu MTOTO wa HAMISA MOBETTO
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 151
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Жыл бұрын
Duniani watu wanafanana...mungu fundi bwana ila watanzania wana wivu sana ndio maana wanapenda kuharibu maisha ya watu
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 Жыл бұрын
Bilnass he is very bright sana God bless you forever!
@mariamkai2705
@mariamkai2705 Жыл бұрын
Umefanya vizur kuweka wazi bilnasi mtoto hamfanan kabsa ni porojo TU,
@MwachirembeMzungu-sb2ug
@MwachirembeMzungu-sb2ug 11 ай бұрын
Jamani kwani mtoto kufanana na mama ni dhambi ama kwani ni lazima afanane na baba tuu jamani tuwe wangwana na mondi jua mungu yupo
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le Жыл бұрын
Yule mtoto ana mababa milioni😂😂😂😂😂ukweli anaujua mwenyew hamisa
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Inabidi utuambie wewe unaowajua hao ma Baba
@felicianboss6953
@felicianboss6953 Жыл бұрын
Uache umbea na ww ana mababa million umewaona ukiona huna cha cucomment pita kama daladala 🚎hatutaki comments za kumsema mtt wa wa2 alafu ww na kichwa chako kama tenga la viazi °°naolewako usinijb utaingia cha vikongwe°°👩‍🦯
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
​@@felicianboss6953😂😂😂😂😂😂😂 uwiiiiiiiiiii
@rehemaomary3493
@rehemaomary3493 Жыл бұрын
Baba yake ni mmoja TU
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
Hakuna kiumbe chochote chenye zaidi ya mmoja. Hao milioni kivipi??
@emmanuelmorris5083
@emmanuelmorris5083 Жыл бұрын
Billinas sio mtoto wake bwana acheni ndoa ya watu iendeleeee wivu wenu tu
@margaretlewis6801
@margaretlewis6801 Жыл бұрын
Mtoto wa Hamisa anafanana na Mama yake sana
@shanatatrigger6537
@shanatatrigger6537 Жыл бұрын
Kwahiyo Billnass anafanan na Hamisa 😂😂😂
@annasolomon9855
@annasolomon9855 Жыл бұрын
Anafanana na billnas pia
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Жыл бұрын
​@@shanatatrigger6537😂😂😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Жыл бұрын
​@@annasolomon9855Sana
@DalilaHassan-m7b
@DalilaHassan-m7b Жыл бұрын
@@shanatatrigger6537Ana fanana na wewe
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 11 ай бұрын
Hili swala la mtoto wa hamisa tunaomba sisi Kama wtz lifike mwisho haraka iwezekanavyo kabla ya mtoto hajaanza kujitambua fanyeni hiyo d n a ya mwisho ya wazi hata ikionyesha mtoto ni wa mondi lakini hamtaki itakuwa ni sawa tuuu kuliko ilivyo Sasa Kama alivyosema mangi kuwa hii d n mpya siyo hiari ya hamisa Wala daimond hili ni agizo la wtz aksante👏👏👏👏👏😫😫😫😫😫😫🙄🙄🙄🙄🙄😭
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 Жыл бұрын
Kila mara mtoto wa hamisa aliwakosea wapi jameni si kuna maswali mengi😂😂😂
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Жыл бұрын
Acheni umbea jamani mpumzisheni mtoto wa mwenzenu!
@violethbosha1666
@violethbosha1666 Жыл бұрын
Binadamu tunajua kupambana na habari za watu huyu mtoto wa hamisa ana wahusu yenu mbona hamyasemi tumuongope mungu wapendwa
@KakumaMusicBaze
@KakumaMusicBaze Жыл бұрын
Sio mungu ni Mungu
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 Жыл бұрын
Its not the first time billnas anahojiwa wasafi juu ya uyo mtoto... Acheni unafki
@LizbethCharles-x3j
@LizbethCharles-x3j 11 ай бұрын
Naomba wasanii mnapokuwa live muwe mnavua hizo tintedi
@Mrboom720
@Mrboom720 11 ай бұрын
Mr Boom was here
@saraphinersteven
@saraphinersteven 11 ай бұрын
Mtot wa hamisa anafanan sana na bilinas
@maryamm7765
@maryamm7765 Жыл бұрын
Kama nawaona wambea sura zilivyowashuka pumbavu zenu mbao lazimisha baba ni bilinas
@FayazJr
@FayazJr Жыл бұрын
Mtoto wangu jaman me napenda watoto
@mwanalimasaid2368
@mwanalimasaid2368 Жыл бұрын
😂😂😂
@dianasago9214
@dianasago9214 Жыл бұрын
Waaandishi mnapenda umbea mbona hamisa Yuko busy Sana na Mambo yake kazi kuchokonoa Mambo
@SaidMathias-m8p
@SaidMathias-m8p 11 ай бұрын
Mtoto wa birinasi jamni Wana fanana sanaa 😊
@claudiajames2003
@claudiajames2003 11 ай бұрын
Unalazimisha?
@ishararosette2306
@ishararosette2306 11 ай бұрын
Unaroho wa kishetani ndani yako kwahiyo omba sana, utakazimisha kwa nini
@deboraezekiel784
@deboraezekiel784 Жыл бұрын
watu wana wivu sana na familia nzuri. ili mradi tu watu waharibu family
@missminnatz
@missminnatz Жыл бұрын
Mwanamke ndio anajua baba mtt hata kama watakubal watakana lkn mtt siri ya mama na wangap wanaish kwa ndoa mpk uzeeni mwanamk akiamua kusema ukwel utaskia hawa sio watt wako, au watt wa jiran pia ni wa mume wako yaan tafran hvyo acheni mwanamke mwenywe sk akiamua kutoa siri hiyo atasema ukweli yawezekna hata sio billnas wala daimond hvyo achen tu kama ilivyo amin mtakavyomini ila siri anaijua mama mtoto .
@AshuraKipalala-qx1cg
@AshuraKipalala-qx1cg Жыл бұрын
Sasa kwa nini billnass ulikaa kimya cku zote hamisa akitukanwa na mtto malaika wa MUNGU yule ilitakiwa ujitokeze zamani kupinga hii habar kanyanyasika sana hamisa wwtu kwa mitusi jmn
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
Umeona eeeeh..?? Ht mimi nashangaa. Kaacha mtt adhalilike maskini. Yeye amekaa kimya.
@adilaadila1128
@adilaadila1128 Жыл бұрын
Amuogopa Nandy
@happinesswilliam2948
@happinesswilliam2948 11 ай бұрын
Ukiwa matured uwezi ongea upuuzi sasa aonge nini ajawahi kuwa na hamisa kimahusiano na yeye acheni kuongea vitu kama kakosea anawaona amjielewi anawaachatu
@naufalmustafa565
@naufalmustafa565 Жыл бұрын
makini sana nenga#chukua maua yako
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 Жыл бұрын
Ukweli wa mtoto anaijuwa Hamisa maana yeye ndio alilala nao. Na kwanini amuanike mtoto hadharani , kaa Hamisa hembu acha milele mwanao
@tiffanyakramJr822
@tiffanyakramJr822 Жыл бұрын
Apo '' ILITOKEA ' tumekuelewa tuliosoma #cuba😂😂😂
@mwajabuamiri508
@mwajabuamiri508 Жыл бұрын
Nmecheka kifalasi hii comment#tuliosomea Cuba tumeelewa
@hamisaramadhan4628
@hamisaramadhan4628 Жыл бұрын
Vp kuhusu JAGWA?watanzania mnapenda sana kufuatilia mambo yatu,nguvu hiyo kubwa mayor itumia katika kuchunguza ya watu mnekuwa mnaitumia kufanya kazi basi watania wengi leo hii wangepiga hatua katika maendeleo,fanyeni kazi,majungu sio mtaji.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ila yule mtoto anafananishwa na watu wengi
@tikisaelikivuyo4030
@tikisaelikivuyo4030 Жыл бұрын
Kananae sana nainamuuma roo
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Kwa hiyo mama KICHECHE
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@ismailmasoud6001 mmmh wala sijamaanisha hvy
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@tikisaelikivuyo4030 umebananisha sana
@budhbd5208
@budhbd5208 Жыл бұрын
Sana mara yule wa kenya jaguar sijui watu wabaya sana
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 Жыл бұрын
Katk vitu ambavyo misa anafeli ni kumtembeza mtt mitandaoni kama mbga za majani wakati ana uwezo wa kumpa malezi bora na asipungukiwe na chochote
@kennohg6152
@kennohg6152 Жыл бұрын
Mamake ndio anajua
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 Жыл бұрын
uyu dada analiwa na boss
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Kwa hyu boss hakun cha ajabu
@joyhylton7901
@joyhylton7901 3 ай бұрын
He is the father of Hamissa son. The boy look just like him. That's not Diamonds child
@KarabatakMustapha
@KarabatakMustapha 11 ай бұрын
Tutakuja jua iyo mambo baadae ukooooooooooool
@agripinabukhala649
@agripinabukhala649 11 ай бұрын
Kazi gani kulala na qdune wengiii...achana nate ahangaike huyu mobeto oli iwe funzoo ya usgerati😮
@AmmyKurunge
@AmmyKurunge Жыл бұрын
Watasema mchana ucku watalala kwahyo wanaokuambia mtoto ni wako ili ufanyaje waambie watoto wako na Mandy ndio halal au Kama wanaona ni mwanao alaf hutoi huduma waambie wakusaidie kutoa huduma maana mtoto wa ndoa anakuumiza kichwa namna gan stapata huduma zake heb wasikuchanganye akil hao wametumwa baada ya kuona kila siku mnapata furaha ya ndoa
@leilamsafiri8320
@leilamsafiri8320 11 ай бұрын
Huyo dada Hamisi hajielewi kabisa.mpaka kufikia hapo ni kua Hamisa zumbukuku.angejiheshimu na kuwacha tamaa ya mali yasinge mfika haya.
@boniphace6405
@boniphace6405 Жыл бұрын
MBNA paji lauso unafanana nae Yule chalii 🤸🤸🤸🤸
@Catherine-u6g
@Catherine-u6g Жыл бұрын
Kafanana na mama yke
@omarypetro3207
@omarypetro3207 11 ай бұрын
😂😂 Simba kaza bhana mbona hao wengine hauna mashaka nao mzee ✊✊ ila hawa wanao kulazimisha ukubali huenda na hawa wanakitu wanakijua nyuma ya pazia na hapa WANAWAKE lazima wajifunze kuachia papa bila formula madhara yake ndo kama haya - kama SIMBA kawaka DUA tu kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.
@dandydeprince
@dandydeprince Жыл бұрын
Dunia ingekuwa kitabu n vyema tungejua wema
@singidaone5628
@singidaone5628 Жыл бұрын
Ukiacha ushabiki huyo mtoto ni bernas bhana hapo kuna siri tu ili mondy aunguze pesa baade itafahamika tu
@DalilaHassan-m7b
@DalilaHassan-m7b Жыл бұрын
Uliwashikia mguu acha kuongea usio yajua
@singidaone5628
@singidaone5628 Жыл бұрын
@@DalilaHassan-m7b tuambie ww ulie washikia mguu
@muhsiniamiri9310
@muhsiniamiri9310 11 ай бұрын
Sema tupo ipo cku mtot wa hamisa atakuja kuw kam diamond nahao wengne unawez kuta hawatomsaidia
@mwajabuamiri508
@mwajabuamiri508 Жыл бұрын
Ila dhambiii jamani 🙄🙄🙄
@FrankJohn-j2o
@FrankJohn-j2o Жыл бұрын
Ni kweli hila aya wahusu
@NaelijwaMghweno
@NaelijwaMghweno Жыл бұрын
Ila jaman kwahiyi wote hapo mnamhoj mtu mmoja aa!jaman
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 Жыл бұрын
Acheni kuongelea mtoto wa watu, hiyo roho mbaya tu kutwa hiyo radio yenu kumchimba chimba mtoto wa watu
@hamidangitu227
@hamidangitu227 Жыл бұрын
Acha uongo wewe mtoto ni wako😅😅😅😅😅😅
@peteromary8764
@peteromary8764 Жыл бұрын
@@saidasaid1154 hata we huenda kuna mtu unafanana nae bado hujajua tu watu hufanana na si kila unaefanana nae ni ndug yako la hasha!
@rehemaomary3493
@rehemaomary3493 Жыл бұрын
Mbona DNA ilionyesha mtoto wa Nasibu
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry Жыл бұрын
Nyie nani mnaosema mtoto wa Fulani au sie wa wafulani. Kwanini hamumuachi mwenyewe mama aliyetinginywa mpaka akapata ujauzito anamjua vyema baba wa mtoto. Nyie yameqahusu nini? Mnayenu yamepinda hayanyooki hamyawezi mmeshika Bilnasi Hamisa Mondi kwanini hebu kama hana la kufanya kakojoeni mkalale.
@pendomedard9246
@pendomedard9246 Жыл бұрын
Jamani mpaka uongee unagusa puani
@VailethVedastus
@VailethVedastus 11 ай бұрын
Nae awe na msimamo usivuruge ndoa ya watu unagawa gawa mtt
@TabiaNchimbi
@TabiaNchimbi 11 ай бұрын
Haraf huyo mtoto kafanana na mama yake ukiangalia vizur
@AmmyKurunge
@AmmyKurunge Жыл бұрын
Ety mtoto wake Kwan ulishiriki kwenye tendo ukaona mimba ikitungwa yaan badala nteseke na watoto wenu mjue wanakula nn wanavaa nnn mnabak kuhangaikia maisha ya watoto wa watu nyau nyie
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
Billnass muongo bhana hamisa Mbona alisema alishawahi kuwa kudate na wewe kabla kupata mimba ya uyo mtoto levo unakataaa duh!!!!
@mackysuphian
@mackysuphian Жыл бұрын
Mmmh hajasema hivyo alisema kwamba alikua na ukaribu kipindi ambacho ameshamzaa dylan jmn khaaa
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 Жыл бұрын
@@mackysuphian Ohooooooo okay xaw basiiii me niliskia vibaya
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
Tuliosoma Cuba tushaelewa muda xana
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
​@@mackysuphianumeona eeeeh.. Kwenye ukweli wanajifanya hawackii vizuri.
@zindunasaid5779
@zindunasaid5779 Жыл бұрын
Wanamjengea picha mbaya mtt na maneno yao ya ushubwada, mnatrajia huyu mtt atakuwa wa namna gani?
@shyllahnekesa216
@shyllahnekesa216 Жыл бұрын
Awe wake asiwe inawaongezea vitamin Gani mchieww
@yusdola
@yusdola Жыл бұрын
Wapige DNA 2 waondoe utata...
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
Hiyo ndio hasara ya kudanga Misa angekua na Bwana wa kueleweka asingepata kashfa hizo mpaka sasa kitoto kina miaka sijui 6 lakini kameshapachikwa wababa milioni🤔🤔
@peteromary8764
@peteromary8764 Жыл бұрын
Ye anamjua baba wa motto wanaompachika hawamjui baba yake wanahangaika kujua ni nan wanashindwa wanaishia kufananisha tu motto mwenye anamjua baba yake na kwasbb hayatuhusu wanatuangalia tu tunavyohangaika wao hawana habr
@loiselyse4764
@loiselyse4764 Жыл бұрын
DNA ifanywe kwa huyo mtoto na BILL NASS na pia ule EX wa Hamisa wa Kenya anayeitwa " JAGUAR! Mtoto si wa Nasibu hata !
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
Mm naona yule mtoto kabisa kabisa kafanana sana Nenga. Anyway baba atajulikana tu
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Жыл бұрын
Vaa miwani
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
@@madawamchuwa8253 😃😃😃😃 aseme tu watamusamehe
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Hapa mbele yauso kafanana nae
@RandB_Channel
@RandB_Channel Жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 thank u . Wawo njo hawaoni subiri siku watasemaka kweli sijuwi hawo watapficha sura wapi😃😃😃
@rahmaabdallah4514
@rahmaabdallah4514 Жыл бұрын
Baba ake ni mama ake...
@clarawilliam9959
@clarawilliam9959 Жыл бұрын
Kuna mtu namsikia tu oyaaaa😅
@ZuuMainya-by9cx
@ZuuMainya-by9cx Жыл бұрын
Hamisa nae anapigwa miti Sana Kila msanii kamla
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry Жыл бұрын
Yake mwenyewe na wewe unayako kaipigishe kama huna bahati basi subiri iliwe na mchwa ooze. Anapogwa miti sana kwasababu inalipa yako inapapa maji. Wacha kuwakashifu wenzio bwana wewe unayako.
@jacklinewilliam3547
@jacklinewilliam3547 Жыл бұрын
Sema duu wanafnana
@wanjinjorosjunior1621
@wanjinjorosjunior1621 11 ай бұрын
Mwafanana kubali yaishe, mkelea dp😂
@piuskanyampala4540
@piuskanyampala4540 Жыл бұрын
Hatà watoto sio jambo baya
@mwanjumajongette8187
@mwanjumajongette8187 Жыл бұрын
Nikweli ni babayake mtoto wa amissa
@aibulamilanzi1466
@aibulamilanzi1466 Жыл бұрын
Nenga wa mwamba
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 Жыл бұрын
Waandishi wa mchongo mfyuu, mbona wakwenu hatuwaoni mkiwaleta na kuhojiana kuwahusu.
@sherylachieng4660
@sherylachieng4660 10 ай бұрын
Wafala nyinyi kazi tu ni dylan jameni how can you feel as a woman if your child becomes a social media talk
@faridampota-jh9rx
@faridampota-jh9rx Жыл бұрын
Jangwa amefanana nae
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th Жыл бұрын
unaapa mpka mwisho kisa tu unamuogopa simba
@fitinakisamuhagakisamuhaga693
@fitinakisamuhagakisamuhaga693 Жыл бұрын
Hata nyie mnaoshadadia mnaweza kuta baba zenu mlipewa tuu ila mkienda pima vinasaba mtarudi namisiba mizito
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 Жыл бұрын
Bilnasi anaficha
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 11 ай бұрын
We kitombi
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy Жыл бұрын
Mi nacho shangaa kwa nn mama wa mtt hataki kupima DNA, si anajua baba wa mtoto, anaonekana anadanganya hivi hivi anamuogopa nandi, ila mtoto siyo wa diamond, mond mweusi, mama mweusi mtt weupe wa nani
@iktharsalum7440
@iktharsalum7440 Жыл бұрын
Kwaiyo nyote mmefanana na babaa enu na pia iyo DNA si washafanya
@shanmlawa
@shanmlawa Жыл бұрын
Ww jaman jarbu kufatilia interview za hamisa yupo tayar mtot afanyiwe DNA Yule mama et anaumia
@nasrafarjallah6691
@nasrafarjallah6691 Жыл бұрын
Alifanya DNA mara mbil,unakuw mbea af taarifa kamil huna
@nasrafarjallah6691
@nasrafarjallah6691 Жыл бұрын
We hamisa ni mweusi????au haujui huyo hamissa n nan
@malichanda3146
@malichanda3146 Жыл бұрын
😂😂😂,😂😂😂Ila wewe
@KarimuLidambi-p4i
@KarimuLidambi-p4i Жыл бұрын
😮
@shakirashakira-gc2yw
@shakirashakira-gc2yw Жыл бұрын
Wakapime vidam
@mohammedihamisi3493
@mohammedihamisi3493 Жыл бұрын
mtego huo😂
@patisondidas6720
@patisondidas6720 Жыл бұрын
Wambea hawawez Amn bilinenga 😂
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
😂😂😂
@umfahad2609
@umfahad2609 Жыл бұрын
Ht wacpo amini, hawana umuhimu wowote. Hamsaidii chochote mtt. Zaidi ya kumsema vibaya mtt wa watu.
@annajohn2488
@annajohn2488 Жыл бұрын
WASAFI na boss wao NI wajinga ndo kaomba muongelee hilo
@Alphertv
@Alphertv Жыл бұрын
siri hii apa kuhusu mtoto wa hamisakzbin.info/www/bejne/rX60h2qaYr5le7c
@nokeytz
@nokeytz Жыл бұрын
Nyimbo.pendwa ya simba kzbin.info/www/bejne/j2PUl5dro7iYaMk
@typohneprofiel515
@typohneprofiel515 Жыл бұрын
Bilnass ni muongo. Hadi Nafsi yamsuta. Kwa Interview nyinginre ulisema mlikua na mausiano. Acha kumsingizia Dee mtoto. Wamuogopa Nandy?
@peteromary8764
@peteromary8764 Жыл бұрын
Nandy MUNGU??? Hakosei??mpaka aogopwe ???
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 2,5 МЛН
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 919 М.
MWIJAKU AMLIPUA HAMISA MOBETTO, KUTEMBEA NA AZIZI K NI UPUUZI
11:42
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 230 М.
NANDI AMWAGA CHOZI LA MAHABA/BILLNAS AMVESHAPETE/
9:46
NEWS UPDATES
Рет қаралды 412 М.
Cook with Wema Sepetu - S05E05 Didah Shaibu
8:07
Wema Sepetu
Рет қаралды 141 М.
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 136 МЛН