Hii media kamanda lisu isikuhoji tena hawa niwachochezi na wachonganishi kwako na serikali yetu
@jamesbayo19105 күн бұрын
HERI KUFA KATIKA HAKI KULIKO KUFA. KATIKA. DHULUMA.
@SengalaRajabu3 күн бұрын
Tundu Lisu ni mhuni mmoja msema ooVoo sijui anategemeya Nini hata Aibu Hana ,l Leo amepewa Uhuru wa kunadi sera za chama chake anazungumza mambo yasiyo na mashiko,Lisu kusema sana hakutakusaidiya zungumza sera siyo ovyo ovyo
@JudithWTarimo3 күн бұрын
Kila mtanzania yupo huru
@MariamJeremia-u7e3 күн бұрын
We mjings tuu ata kuandika hujui
@AnnaFelix-p1z9 сағат бұрын
Sasa wewe ukisema lisu nimjinga mwenye akili ninani nisamia au
@TwahirBurhan4 күн бұрын
WABELGIJI NDIO WAFADHILI WENU CHADEMA
@NyangoboNyangobos5 күн бұрын
Hi media ni msitufanye wapumbavu mnachokiandika na tunachokiona nitofaut
@JeremiaMagaka4 күн бұрын
Mama anaelewa kabisa.waandishi ni wachonganishi2
@mutabebwa17134 күн бұрын
Ni wachonganishi sana
@MohamedSleyim4 күн бұрын
Drama za mwandishi na Tundu Lissu kutafuta mfarakano.
@Nedjadist4 күн бұрын
Bilioni 7.5 kwa miaka 20? Hela kidogo sana. Tajiri mmoja tu aweza kuzitoa hizo kwa miaka 2. Acheni kudhalilika kwa kutegemea misaada ya kijinga. Mwanunua magari ya wakuu kwa bilioni 190 , halafu muombe msaada? Mwafrika apenda utumwa sana. Kweli: 'L'escalavage c'est que l'esclave veux' Anasema Napoleon Bornaparte, Empera wa Ufaransa: 'Utumwa ndiyo kitu hasa akipendacho mtumwa'!
@christopherpaulo94904 күн бұрын
Hi chanel feki, mi na jitoa pumbavu sana
@Brunn-mh2bq4 күн бұрын
Mtangazaji mtu mzima hawezi kutamka rais anamuita " lais" tunamsikiza wa nini? Tunahama!!!!
Ni viongozi wa kiriho na wana maadili yanayokubalika dunia nzima
@OmarAweis-of7ru5 күн бұрын
Lisu ulikimbizwa na ubalozi wa ujerumani. Usitubabaishe
@mariamanafi224 күн бұрын
Sasa ulitaka akae afe au
@MzeewaslowHusseinAndrew4 күн бұрын
Mbona unamkosoa Kati ya Lisu na wewe nani anaujua ukweli?
@eliasmakoye39394 күн бұрын
Tundu usipambane na marehem
@AbdullahAhmed-t7p6l5 күн бұрын
Kwanza huyu muandishi wa habari muangalieni sana km ni mini huyu muandishi wa habari ni mtuu wa kumfukuza ktk mikutano yenu mm simuonj km ni wakujenga ni wa kubomoa tuu special anatafuta uchonganishi tuu kt ya chana tawala na upinzani anasahau nchi ni yetu sote anachoangalia yete kuuza umbetea tuu hajali km lnaharibu taifa letu mpuuzi sana
@furahachuma90394 күн бұрын
Ni mfitini na mgombanishi.
@mutabebwa17134 күн бұрын
Ni mnafiki na mchonganishi. Chadema mfukuzeni kwenye mikutano yenu na hata mnapokuwa na less conference mfukuzeni media hii si rafiki kwa Chadema.
@ShabaniKivuma4 күн бұрын
hivi nyinyi waandishi hamna kazi mnamhoji chizi
@johnchrisbrown-b5g4 күн бұрын
Wewe ndiye chizi shaban, heshimu maoni ya mtu
@PhillyAmbilikile4 күн бұрын
Weee ndo chizi
@AnnaFelix-p1z9 сағат бұрын
Chizi niwewe na nduguzako usiye jielewa wewe
@mwili_wa_ndoto_yangu5 күн бұрын
Tittle zenu ni ushenzi tu, kichwa cha habari unachoandika upuuzi tu
@RaibebeBebe4 күн бұрын
Hio mídia haina mpya,unafk
@mutabebwa17134 күн бұрын
Nimefatilia media hii na nikagundua ni ya uchonganishi na inamsukumo wa chama cha siasa fulani.