Daaah hiii nifundisho kwangu maana nina miaka kama ya kwake pole Dada mungu atakusaidia haya nimajaribu muombe mungu maana kushindwa shule si kushindwa maisha
@stukiaally46903 жыл бұрын
Amina kafanana na bibi yake sana Eee mungu tupe ufahamu tusimame katika imani yako na kusaidia wenzetu
@nahimanamayassa83053 жыл бұрын
Naam Allahumma Ameen🙏
@hamisamaundi56613 жыл бұрын
AMEEN, AMEEN
@shammoha52973 жыл бұрын
Ameen yaa Rabbil allamiin 🤲🏼
@godwinochwachi10683 жыл бұрын
Powa tu,
@magrethkerengo35663 жыл бұрын
duh pole sana mdogo wangu na pia hongera xana katoto kazuri mashallah katunze vzr katakuja kukufaa badae mwaya
@monicastivin15473 жыл бұрын
Pole Sana mtoto mzuri, Mwenyezi Mungu akuponye na huo ugonjwa, Binti anaonekana Hana damu kabisa, Ila nimeumia Kama mzazi hyu mtoto anapitia magumu Sana, Sasa hata ukitaka kutuma pesa inakuwaje
@joycepetro44423 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu MUNGU yupo atakukusaidia
@fatmamshangama98243 жыл бұрын
Jamn sisemi wanaume au vijana sio wote ila baadhi ya vijana au wanaume wanalaghai watt wawatu kisha wanawatupa lannatullaah imipate sasa hivi anapata tabu ww unakula maisha hio laan haitakwisha itatembea mpak kwa wadg zenu muosha huoshwa ukimfanyia mtt wa mwenzio na wako atakuja fanyiwa au ndg yako yyte mpak huzuni allaah wajaalie wapate msaada
@arafakiloli7493 жыл бұрын
Daaaaah! nimejikuta naliya pole sana mdogo wangu.
@halimabakari41743 жыл бұрын
Wakti mwengine shida za changia wadogo zetu kupta ujauzito mapema wallahi pole sana Allah atakusaidia in shaa Allah kuwa na subra nakuombea ddangu Allah akufanyie wepesi
@mariamyoyote81723 жыл бұрын
Subhana Allah ,,,,,,Allah akufanyie wepes upone ili umlee mwanaoo♥️♥️♥️♥️ amin thumma amin🙏
@aliceally72553 жыл бұрын
Pole sana mpnz mungu akufanye wepesi Baraka zake ziamba tane nawe
@naimasaid77633 жыл бұрын
Katt kazuri maa sha Allah, pole mdg wangu mungu atakukuzia mwanao na huyo baba wa mtt atakutafuta tu, mungu akufanyie wepesi upate afya njema
@beverlykadenge20953 жыл бұрын
I gave birth to my first child at 19, it was not easy at all at all, al advice young girls to stick to education first, education is the light.... I wish you quick recovery sis...
@fatmarashid61583 жыл бұрын
Dah!!inaumiza Sana,polen manesi jaman muogopen mungu punguzen kauli mbaya kwa wagonjwa,jaribun kua nahuruma
@victoriadaizy52773 жыл бұрын
Receive Divine healing from our Lord Jesus Christ 🙏 yalinipata hayo 5yrs ago but God is faithful.utapona mommy 😘😘
@mamounmamoun78773 жыл бұрын
Pole sana binty Mungu atokuache utapo na lea mtoto wako kwa moyo mmoja atakuja kukufaa baadae kila jambo lina mipango yake usijihisi vibaya Mungu hajakuacha ni mapito tu yana wakati wake Amani ya Mungu iwe pamoja nanyi Aamin
@shakilamasoud29833 жыл бұрын
Nimelia kama Mzazi, Allahau Akbaru. Binti bado mdogo sanaa
@alqaasim_a_tz24123 жыл бұрын
Usilie Waombee hawa watoto siku hizi wamekuwa mtihani sana subhaanallah. Kitoto chenyewe kidogo ingekuwa dunia haijaaharibika Mtoto umri huu inafaa awe anaogopa hata wanaume lakini ona akaingia kwenye mahusiano subhaanallah inauma sana.
@shakilamasoud29833 жыл бұрын
@@alqaasim_a_tz2412 sijui ni mitihani ya maisha ya nyumbani, hata sijui.
@dianachirume47333 жыл бұрын
Allah Akbar
@amtafmilas39363 жыл бұрын
maskini......wallah roho imeniuma..huyu mtoto ana shida mskn....Allah akupatie usahali dada ktka mitihani yako na moyo wakuweza kuvumilia.........
@upendoabraham29423 жыл бұрын
Pole Sana mdogo angu mungu atakuponya
@azizampomoli23723 жыл бұрын
Daah maisha haya pole mwanangu kwa magumu unayopitia mungu atakufanyia wepec in shaallah.
@al-mamarial-mamari54573 жыл бұрын
Pole Sana Mungu atasaidia. Lkn hio ni kukosa Damu na baadhi ya vitamins mwilini. Mungu awajaalie uwezo na misaada ili apate chakula Bora aweze kupata afya yake. Ameen. Kuhusu baadhi ya nurses na madokta wetu wanakua majeuri Sana sijui huku chuo wanafundishwa nn na wala hawachukuliwi hatua yeyote na hio zaidi wanawafanyia maskini za Mungu lkn matajiri wanawaramba miguu.
@habibashaaban74133 жыл бұрын
mtihan wallah allah akufanyia wepes. ila tamaa punguzen watoto
@nellyrhn43493 жыл бұрын
Pole sana bidada mtoto jaribu kua unamukandia tumaji twauvuguvugu chukua kakitambaa uwe unamupitisha taratibu kwenye pua jamani duh dunia iyi kweli Mungu kwakweli uruma sana kabisa masomo ni muimu kuliko aya mambo jamani pole mama utakua sawa Mungu akujalie
@WaridawaridaWarida3 жыл бұрын
Kwaza nampa hongera huyu mama anaye jua uchungu wa mjukuu wake wachache sana wanao jari wajukuu hasa kwenye shida za ujauzito Mungu akupe nguvu na msaada upatikane kwa jina la yesu
@rosemawia42393 жыл бұрын
Mungu akusaidie dadagu ,uko mdogo bado , mungu akufanyie wepesii, asante Kwa Bibi ana roho ya utu , from 🇰🇪🇰🇪 nawapeda sana wa TZ aki mna umoja mungu awasidishie Ivo Ivo, Dio maana ata Corona uko hamna, mungu azidi kuwaogoza
@dottnatt71103 жыл бұрын
Amiin inshaaAllah. Pia tunawapenda jirani zetu Kenya Allah atafanya wepesi corona itaisha Africa Mzima inshaaAllah🙏
@arafampoma33993 жыл бұрын
Nimelia kwa uchungu sana malaika wa mungu masikini tangu azaliwe ajawai vaa nguo mpya zote za misaada hapana roho umeniuma sana
@aliceally72553 жыл бұрын
Pole San mdogo wangu awo watu wanabadilika tena ilo kabil ndokabc akuna watuko pole sawa mungu akutiye nguv
@catherineochanda12773 жыл бұрын
Don't worry maisha yatakuwa mazuri pia mm niliyapitia vilevle,,lea mtoto wako,,mtoto ni baraka kwa mwenyezi,,
@ukhutfatumah11543 жыл бұрын
Pole Sana. Mdogo wangu kila mtian kuna mlango wa kutokea mdogo wangu 😭 maana nikiangalia hayo maisha na hali ya bint ni dhaifu .....mno allah atakupa afuen inshallah 15 niko fom two hata uyo uyo mume simjui jamn daaa mabint tunakwama wapi jamn 😭😭 kwa school mimi nakataaa kikubwa aende kusomea chochote
@umnooralriyami95523 жыл бұрын
Sijawah kucomment hapa lakini kwa hili🙆♀️Subhanallah
@minahshaban93823 жыл бұрын
Machoz yamenitoka wallahi Allah atakuponya amina
@zainabmohammed13053 жыл бұрын
Daaa😭ee mungu tuhifadhie vizazi vyetu
@bidallahamadi40363 жыл бұрын
Amiin Ya Rabb In Shaa Allah
@hadijalukas59593 жыл бұрын
maximum tv nawakubari sana hamjawahi niangusha mpo vizuri kwajiri yetu sote wenye matatizo mbalimbali mungu awabariki sana kwa mnayoifanya🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@waheedaw1953 Жыл бұрын
Subhanallah Poleni sana kwa mitihani
@benjamuga73443 жыл бұрын
Pole Sana aki young lady, take heart and all shall be well with you, very touched.great future Walai
@mwanahamisiabdi33203 жыл бұрын
Watoto wa kwetu tabora wanawai kuzaa jaman miaka15 si mtoto wa shule kabsa mmmmh
@sultansaleh63333 жыл бұрын
Kiukweli hatanyinyi watangazaji mungu azidi kuwapanguvu kutuonesha sehemu yakupeleka sadakazetu naminita kwwnda kuwaona nakuwapa nilichobarikiwa aminnn
@irenewile3 жыл бұрын
Kweli ,,me sijatoa sadaka nzito,,ndio nimeona Sasa pa kutoa sadaka kipindi hiki..
@dianachirume47333 жыл бұрын
Ameen, ubarikiwe sana
@katibatanzania30893 жыл бұрын
Pole sana kakaangu zahir mmmmm unapitiya mitiyani kwakweli dooo mungu akuongoze sana kakaangu na kupiganiya afya za watu
@priscaissaya40123 жыл бұрын
Yesu jmn watu wanateseka Mungu akusaidie binti mdogo
@mwanaidjuma8043 жыл бұрын
Dii pole my Allah Ata kufanya wepes inshallah mm mwenyewe nimezaa kma ww miaka 15 ila utapona dear🙏🙏🙏
@goodlucklyimo57333 жыл бұрын
Pole sana dada mungu akutulie
@radhiasalum71563 жыл бұрын
Pole Sana. Ila usikate tu ndani toko unyooshe miguu utembee ili miguu upate nguvu. Unapo aa na ndam inalala iyo Kisha punguza mawazo kwani mawazo nayo ni ugonjwa. Mola atakuafu ishallah
@happydevy74893 жыл бұрын
Mungu yupo mdogo wangu atakusaidia muombe pis mungu
@naahsuraj69803 жыл бұрын
Inahuzunisha eeeeeeh mungu bint bdo mdogo Jmn na hayo maradh mung atakusaidia
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Pole Sana mdogo wangu mungu akufanyie wepesi utapona tu mdogo wangu
@rosemongi52733 жыл бұрын
Daah roho inaniuma Sana pole mwanangu jishike Sana kwa mwenyez mungu yeye ndio mwenye msaada wa kweli
@omom54103 жыл бұрын
Mungu atakufanyia wepes usijali mlehe mwanao
@davidmatembo96303 жыл бұрын
Polen sana,. Mungu atawapa wepesi wa hayo magumu mnayo pitia
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu hakika inauma sana Mungu akufanyie wepesi upone
@salmakashindi46293 жыл бұрын
Yani nasia uchungu kama mtoto wangu sina kikubwa kidogo nitamsaidia Inshallah
@abdullmalik78473 жыл бұрын
IN SHAALLAH
@hassantalib34963 жыл бұрын
Shoga yangu pole wanaume wabaya
@matatomlik18463 жыл бұрын
Subhana llah pole sana Mdogo wangu Allah akufanyie wepesi inshaallah utapona tu
@edigaralikadi39593 жыл бұрын
Pole sana
@ladysalimkabora99523 жыл бұрын
Shida shida jamani shida! Mungu sikia mateso ya binti huyu.😭😭😭😭😭 malaika wa watu amezaliwa katika mazingira magumu mno!
@halimah30753 жыл бұрын
Jaman wanaume kueni bas nahuruma na watt wadogo chek bint wawatu anavyopata tabu unampa mimba alafu unaimkimbia sijui ata mnakuwa na akil gan yan mpaka nmelia wallah Inshallah kwauwezo wa Allah utakuwa sawa mdogo wangu
@aminasalim89843 жыл бұрын
Pole sana, Sawa kama mwanangu imeniuma sana mpaka nimetokwa na machozi
Ananjaa ukamuombee basi watu wasingekula wangeomba tu.
@tinamuta80193 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu na Afya njema uweze kulea mwanao
@bintmrisho35263 жыл бұрын
Siwez kukulaumu mdogo wangu....hata mimi nimepitia hali iyo ya kupata mimba nikawa mdogo na mwanaume alinitelekeza...kipindi icho nilikua mdogo sina kazi wala cjui nini maana ya maisha ila kwa sasa niko ok na mwanangu amesha kua yupo class 1 Na mimi npo vizur alhamdulillah Na wewe naimani mwenyezi mungu atakusaidi utapita tu kwa iyo hali Mdogo wangu
@bidallahamadi40363 жыл бұрын
AkiaMungu sio vzr, hao wazazi wa uyo kijana wajitokeze tu wamsaidie jamani😭😭😭uyo mtt n damu yao.. Wallahi mpk nalia...Majirani mnaomsaidia huyu dada endeleeni malipo yenu kwa Mungu...Jamani Mungu wacmamie vizazi wetu.. Acha ncheke sasa😆😆😆😆yani ucniambie mtangazaji hujamuona uyo bibi apo kando, eti,ndo kumsalimia sasa"shkamoo bibi".
@halimaabdallah67603 жыл бұрын
Namuomba,,Dada wema sepetu, nasisi pia tunao angalia kipindi hiki tujitolee tujitolee jamani kumsaidia,,Dada wame sepetu tizama huu uzazi mdogo wangu,,mwenyzimungu atakufungulia kupitia hili nasisi tutasapoti kwahali namali inshallah,
@Veronika-gr9zc3 жыл бұрын
Pole sanaaa mdogo wangu
@fatumachewa25913 жыл бұрын
Pole mdogo wangu 😭😭izi shida me nilizipia pia nilizaa nikiwa na miak 15 na baba wa mtt miak 45 alikaa kunip matumiz akidai mtt si wake ikiwa yy ndio alinivunja nanilii yangu😞😞 nilipojifungua pia nilipata tatizo ilo ilo la minguu lakin me nimekanyanga mauchawi ya watu nikaagulia nimepon nashukur saiv ninakijan wa 12 me nina 27 ananisumbua atari kila leo atup beg pole san mungu atakusaida
@asyafatawi71533 жыл бұрын
Allah awape afya nzuri nyote mam na mtoto
@renatusabias11583 жыл бұрын
Pole mwaya Mungu atakusaidia utapona kwauwezo wa Mungu
@rukundoibrahim8073 жыл бұрын
kuomba msada sio aibu kwasababu kinyume chake makosa yanaweza fanyika ALLAH amfungulie milango ya rizqi huyo bint awe katika Hali nzuri yenye kudumu.
@peterosmond5913 жыл бұрын
Diamonds Daimond
@aloycemasele72363 жыл бұрын
Mdogo wangu umeyakimbilia mambo sasa linakukuta jambo! Poleee mamaangu unatesaka ktk umri mdogo, huruma, eee mungu futa makosa yake mzazi huyu Mdg! Navaa viatu vyako havinitoshi.
@mariummustapha53953 жыл бұрын
Dah mungu akuponye mdogo wang utupe hata namba tugawane kidg bukubuku ntakutumia
@zawadiabdallahussi29943 жыл бұрын
Daah kaka yaani naona huruma hadi basi naumia sana Nampa pole sana huyu binti Allah atamuafu in shaa Allah
@asinakassim15483 жыл бұрын
Let's raise our hand together and help each other... Amina story really heart but its life watu wanapitiaga mambo mengi mostly unapokuwa na hali yachini kisha halikama hii itokee inakuwa tatixo kuuu mno ..ila Allah Yunasi wajawake na anafahamu hatmayetu tuunge mikono tusaidiane kwa ajili ya Allah...Alhamdhulillah Allahu kareem..maisha hutokambali .. endapo tutaungamkono na kusaidiana basi mungu ndio ngao yetu...shukran kaka zahir Allah ibarik yaaa samiul aleem ...with ur group🤲😢😢😢😢😢
@AminaAmina-sj5sf3 жыл бұрын
Pole Sana mdogo wangu mwenyezi mungu atakutia nguvu Katika kipindi hichi kigumu
@hibaalfarsi77563 жыл бұрын
subhanallah Allah, akufanyie wepes, watto msiharakie maisha mtu hatoki mtu akawa mtu
@angelmbanga32063 жыл бұрын
😭😭😭😭mtoto mzuri dar
@mariamuhamadi55993 жыл бұрын
Cyo kuarakisha iyo ni ugumu wa maisha ndio imepelekea kufanya ivyo
@vanisavani10553 жыл бұрын
Unauma a see mitiyani ya maicha Ata mimi nimeza na 14year lakini kwa Sasa imepita mungu ni chef muloko wng utakuwa bien
@swaumujuma63333 жыл бұрын
Mungu atakusaidia usikate tamaa kosa si kosa kosa kuludia kosa utapona Inshallah 🙏🙏🙏
@Anonymous000183 жыл бұрын
Watoto hawafikiri mbali subhanallah! Wao wenyewe hali yao ya chini halafu kaenda kutafuta mzigo mwengine bila kufikiri nn kitawakuta baadae. School ndo basi tena, kishajiharibia maisha yake maskin.
@milliahachenya27493 жыл бұрын
Huyu Ni mtoto mdogo sana hata sauti inasema Aki well wishers wasaidie tu
@salumnangona1773 жыл бұрын
Allah akujalie kher uwe na afya njem wey na mtot inshaallah pia pole kwa huo mtihan mung atasaidia akuna kinachoshindikan juu ya Allah
@angelmbanga32063 жыл бұрын
Weka namba tumchangie Kama
@halimaabdallah67603 жыл бұрын
Wekeza kwa Allah Dada wema sepetu kupitia hili nakuomba najuwa huna kubwa ila kwakidogo ulicho nacho Allah atakulipa mdogo wangu, nasi tuko pamoja
@eddydauson75253 жыл бұрын
Ccter eeh we hupendi kuwekeza? Mbona kama unampasia wema jitahidi na we hata kidogo hapa muhim wote tuwekeze
@nasmos36903 жыл бұрын
Eddy Dauson 😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anawekeza kwa Wema
@osamaalharthy41503 жыл бұрын
Usilie dda mungu ata kusaidia inshallah
@hasnaabduly49453 жыл бұрын
@@eddydauson7525 😀😀😀nashangaa na mimi eti wema sepetu
@The22london3 жыл бұрын
Bint hana damu kabisa. Nyayo zake ziko so pales. Mmefikia wapi kumsaidia bint? Mtupatie namba yake asaidiwe pls. Tuko pamoja. Poleni sana kwakweli
@rachelrobbie79883 жыл бұрын
Pole Sana mdogo wangu Ndivyo maisha yalivyo
@cleofasladislaus21773 жыл бұрын
Jaman wadada humu ambaye tayari ana mtoto au watoto hebu jaribu ku imagine njaa ambayo mwanamke anaye nyonyesha huwa anahisi Kisha ufanye tathimini kwa huyu dada ambaye ana katoto kachanga hivi Kisha ana pata tu mlo mmoja kwa siku it's so sad mm ni mwanaume Ila kwa hili moyo umeniuma sana
@aishaaisha14953 жыл бұрын
Hongera kaka umeonyesha kuwa Una huruma
@lusekelomwakajila30383 жыл бұрын
Uyu dada ananikumbusha mbali Sana nilizaa nikinamika16 maisha nimagumu mlowenyewe nishida njaa inauma jamani namshukuru mungu mtoto Wangu anamiaka13 kamaliza lasaba mwaka uu lakini njaa yamzazi inauma sana
@cleofasladislaus21773 жыл бұрын
Ambao hawaja pata watoto hawawezi kuelewa hili jamb Dada
@glorynorbeth62733 жыл бұрын
Cleofas Ladislaus ni sahihi jamani mi hapa saizi ni mzazi njaa yake haielezeki unaweza faint usipokula
@cleofasladislaus21773 жыл бұрын
Unatamani hd kumlala huyo mtoto wako
@immaculatajoyce43213 жыл бұрын
Bariikiwa sana my Kaka kwa kazi unayoifanya
@janatahmad70483 жыл бұрын
yani wanaume mungu tu awasamee hapa mungu akimsaidia akipona unatoa changaume anakuja eti mtoto ewe mungu weye njo unajua tu
@athumanamani83403 жыл бұрын
Jaman nyny hawa wtt mbona mnakimbilia mapenz kabla ya mda hata Kama maisha magumu bint nakupa pole Allah akusaidie utapona in shaallah
@rehemasalim45903 жыл бұрын
😭😢😢
@dagrace74433 жыл бұрын
Mungu yupo ata wasaidia na mungu ampe bibi maisha marefu 🥰🥰
@zitoniebrahem31743 жыл бұрын
pole sana mdogo wangu mungu ni mwema utapata shifaa innshallh
@zuleyvendor65773 жыл бұрын
Wasichana msiharakie maisha.... Asiyefunzwa na mama ufunzwa na dunia.... Someni kwanza maisha yapo tu
@fatumayusufu17063 жыл бұрын
Hawasikii mabint zetu tena hawa miaka14/15/16 mpaka 20 hawasikiagi hata kdg ukiwakanya wanakuona kama zuzu yakiwakuta wanabaki kulia lia
@zuleyvendor65773 жыл бұрын
@@fatumayusufu1706 ni kweli kabsa watoto wa siku hz awashikiki jamaniii wamechachuka kweli kweli
@khadijanurdin31633 жыл бұрын
Ujana huo!! Kweli ujana ni maji ya moto,wanasumbuaga sana
@hidayamwasha94093 жыл бұрын
Tatizo ni ugumu wa maisha
@المهلهلالحراصي3 жыл бұрын
Jaman msiseme watoto wa siku hizi hawa sikii nina mdogo wangu ana miaka 17 ndo kafanya mtihani wa kidato cha pili mwaka huu nimeona hii picha tumbo lote la moto kwa kweli huwa naomba Mungu Amsimamie tu kwa kwali
@evalenad62563 жыл бұрын
Hapo kwenye kifafa chamimba. Huo ugonjwa unaitwa preeclampsia ambao huo ugonjwa nimbaya sana unawakumbaga watu ambao niwajawazito. Unaweza ukasoma zaidi kuhusu ugonjwa huo @wwwpreeclampsia on google. Hata mimi nilikuwa nao wakati najifungua watoto wangu napia ugonjwa huo unasababishwa na highblood pressure.!
@jacquelinemabula25193 жыл бұрын
Binti na mtoto wake wazuri sana jaman
@mohamedomary28983 жыл бұрын
Dada chukuwa pumba shemsha jichue na mm ndo niliponea ivo nicheki
@fatmaabdalla85433 жыл бұрын
Pole sana hio ndio jumla ya mitihani na kuhusu kuumwa huyu anaupungufu was damu hana kifafa ila anaupungufu was damu anatakiwa apate vitu vya damu
@ramadyzo55873 жыл бұрын
Poleee sana amina utapoatu mdogo wangu tuta kupambania utapona mungu yuko pamoja nawew
@samsungj7pro64gb53 жыл бұрын
Pole sana mmy maskini kka kazurii MashaAllah Allah amuandoshee maradhii
@zuhurakhalid22083 жыл бұрын
Pole sana my Mwenyezi Mungu atakusaidia inshallah
@fauziaabdullah37333 жыл бұрын
masikini mtoto mdogo hajui chochote mungu atampa wepesi aleee mwanawe
@ashamjen27093 жыл бұрын
Kweli mungu msaidie
@kayulaedwin25873 жыл бұрын
Luv mingimingi kwako bro zahir kwa kazi yako, pia pole kwa huyo binti kwa mateso anayopitia huyo kijana atafutwe yupo huko anakula raha zake mwenzake anateseka maskini.
@neemaseverine61643 жыл бұрын
Pole mdogowangu hatamimi mwenzio yalinikuta lakin yakwako yamezid pole sana
@Anonymous000183 жыл бұрын
Huyo doctor shwain sana shenzy zake. Hata kumtizama mtoto ana matatizo gani anashindwa, yy anaandika dawa tu wapate faida ya kuuza dawa mshxxxx
@Awatee3 жыл бұрын
Lahaula walakuwata ila billah ALLAH akupe afya njema my dear mtihan kwa kwel
@hermankifyasi80733 жыл бұрын
Pole mdogo wangu tuma namba nikuchangie kidogo japo kitu hata namba ya bibi umpeleke mtoto huyo hospitali,, muombe sana Mungu utapona 🙏🙏aameni
@priscaissaya40123 жыл бұрын
Mungu ni mwema atakufanyia wepesi
@aniphalookmoneylookmoney88813 жыл бұрын
Mungu akujaze uzima naayakumbuke Maombi yako kipenzi chetu ugua pole my
@anifamickidard45553 жыл бұрын
Pole sana mdogo wangu hata mimi nimezaa nikiwa na umri mdogo kama ww mwanangu ana miaka 12 sasa ,,, mungu akulinde kila kitu hutokea kwa sababu
@سالمهالرقادي3 жыл бұрын
Pole sana mway wakelewe ndo walivyo
@habibaa95033 жыл бұрын
Dah mitihani hii jaman ukiona kwako kuna ungua kwa mwenzako kunateketea,pole sana bint ni mitihani tyuu ya dunia,lea mtoto wako atakusaidia baadae,utapata misaada kwa uwezo wa allah.