Asante mungu akubariki kwa kukufuatilia nimeelewa kitabu cha ufunuo
@wasaficlassicshoes2 күн бұрын
Hii hadithi yako kaka inauongo mwingi nivile hakuna wakukuhoji😢
@mariamswedi11403 жыл бұрын
ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
@patrobamalema86312 жыл бұрын
Barikiwa Sanaaaaaaa
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Mtumishi samahani tulikua tunaomba utufafanulie katika ufunuo yale makanisa saba na maagizo yake yaliopewa
@happysiwakamil19703 жыл бұрын
Baba Askofu. Hii miaka 1000 ya utawala wa Yesu watu watakuwa wanaoana, na kuzaa kama kawaida?. Je hao watoto watakaozaliwa kipindi hiki watakufa au Hawatakuwa wanakufa? Na je kama wanakufa kwa hiyo wao wote wataenda mbinguni maana wamezaliwa na kufa kipindi ambacho Shetani amefungwa na hakuna dhambi? Nifundishe baba
@francisjoseph10743 жыл бұрын
Sasa mtumishi inatakiwa tufanye nini ili tuandikwe katika kitabu cha uzima
@HabilyTech3 жыл бұрын
Kutubu na kuacha dhambi kuishi maisha Matakatifu yanayompendeza Mungu
@ngonyanitv96872 жыл бұрын
Mwamini Bwana Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako, kama bado hujaamini
@patrobamalema86312 жыл бұрын
Daaaaaaah Hakutakuwa Na Askari Wala Nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ngonyanitv96872 жыл бұрын
Yes, hakutakuwa na uhalifu, so polisi wa kulinda usalama wa raia na mali zao hawatakuwepo. Wala askari magereza, maana hakutakuwa na wafungwa wakati huo.