Harmonize me mshabiki wake lakini kusema ukweli anatafuta kuumwa kwasababu mwakinyo ni champion yule mmmmh 😮 ngoja nione 🤔mahan anatafuta matatz harmonize
@mrsinia30644 ай бұрын
jeshi yuko vzr wew
@awadhrajabu14034 ай бұрын
Kama Harmonize Anapenda Ngumi Sasa Bodgady Wa Kazi Gani Kuambatana Nao
@ScopionScopion-zj9cd4 ай бұрын
sasa kama unajenga mwili kwa iyo unga ww sio mwana mazoezi ndio mana kama bondia akitumia iyo hata uwezo wake unakua mdog sana ulingo mana anakua hana power ya kutosha
@StanleyMakunzo4 ай бұрын
Ohoooo dawa za vifaranga za broiler
@bigemagomabigemagoma63123 ай бұрын
Kumbe mnatumia midawa sasa mtampigaje mwakinyo Hiyo dawa inamchanganya mmakonde mwakinyo hana masihara ataua
@Nassir-cl3btАй бұрын
Yeah 👍 mudi mnyama umeongea point 👉 nkwel hakuna kitu kuogopa mtu et mwakinyo apigwi yeye nani duh kuku tu
@CharlesMbise-c1u4 ай бұрын
Fala tu wew ha harmo
@mrsinia30644 ай бұрын
Jeshi anaweza,,,kwanin mwakinyo asipigwe? 😂😂
@yohanasuguta2234 ай бұрын
Harmonize hawezi kumpiga mwakinyo mi shabiki wake asijiebishe afanye mziki ndo tunamtegemea tanzania.
@gracemachege38174 ай бұрын
😂😂😂 sa kumbe harmonize akimeza hizo dawa anajiona taison hadi apigane na mwankinyo
@JohnBuregeya4 ай бұрын
Jamani acha mbwembwe Mwakinyo mtu mkubwa Asha pigana na watu tofauti Sema nyinyi nilikuwa kama tu umbwa mwitu kwa tembo labda mungefanya muungano wa boss na wafanyakazi wake mkamchangia hamon hawezi mwaki
@allykayanda69304 ай бұрын
Huyo ni fala tuu,anafikir kuvimba minyama ndo kupigana,tena kama wewe mudy ndo hata dakika mbili ulingoni humalizi pimbi wewe
@wahiwaziri73634 ай бұрын
@allykayando6930 Hahahahahah
@RamaSosa-rz1uf4 ай бұрын
Sijaona mtu akifa 😂😂😂 ngoja niandae rambirambi za kutuma mkunya
@machintangachibwena59224 ай бұрын
Powder mbwembwe tuu mazoezi ni kula vizuri tuu Powder urembo tuu ila inasidia kuongeza misuli lakini inapunguzq nguvu za kiume
@hamisiomari61814 ай бұрын
Kunyweni sumu alafu madhara yake mtakuja yaona baadae
@bigemagomabigemagoma63123 ай бұрын
Hizo bangi tu Ushujaa gani wa madawa huo
@ShariphuMo4 ай бұрын
Kama mwakinyo kafungua mkango mam ako kafungua nn
@AmadeSalimoSalimo-gw8ij4 ай бұрын
Jembe ❤❤❤
@awadhrajabu14034 ай бұрын
Ayo Madawa Wakati Wakutumia Ukiacha2 Utakua Kama Teja
@Mufti-g3x4 ай бұрын
Kwani huyu si ni body guard ? au ni chawa ? mbona Sasa anaanza kuwa chawa? Njaabwana da weeachatu unajuvunjia broo
@kaluaabdallah65064 ай бұрын
Mwandish wa habar bhana maswal yake Sasa harmonize afanikiwe mara ngap
@farishfarish2584 ай бұрын
Mnafuga mwili Kwa madawa hamjitambui
@HabibuJorban3 ай бұрын
Acha ujinga fokasi na mambo yako unazan bondia ni Kama mkundu Kila mtu anao jidanganye nenda ukapigwe fara wew
@AbuuShauri4 ай бұрын
Ww Acha usenge minyama yako ya chemical isikuhadae
@iamminahsalim50084 ай бұрын
Wewe sio buree itakua Hamo anakugonga endelea kupja chuma uwe mlizi mpaka uzeen fala wewe😆😆😆😆
@DIZOGFARU4 ай бұрын
Wote akili hamna hamjui kiki za mtandaoni watu wanaongezawashabiki kupitia media