INAJULIKANA SANA , RAIA UOGA MWINGI MIDOMO IMEWEKWA VIAZ VYA MOTO
@shaibunyenzi871254 минут бұрын
This is alarming situation. Hawa walinzi binafsi kunauwezekano wa kutumiwa vibaya na mabwana zao pale wanapohatarishiwa maslahi yao.
@jedidahbintidaudi82417 сағат бұрын
this guy is so right, bring critical facts as argument other than punching his statements with rhetoric..yaani sie Watanzania tunashida kweli sijui kwann..kumbeza inasaidia nn? leta hoja sio matusi na mizaaah. Ndomana wakenya wanatushangaaga kweli wale jirani zetu. mmmh
@HashimYahaya-hd3zm9 сағат бұрын
Pore sana ndugu
@BraysonMtweve9 сағат бұрын
Pole Sana Kiongozi
@sadickissa16009 сағат бұрын
Nakukubali mwaga sumu tupo pamoja wamezoea hao,uonevu kazi yao,
@sadickissa16008 сағат бұрын
Wanaokujibu vibaya hawataki ukweli,na wanajijua wapo serekalini na wanavyamavyao
@NeemaJitambi-hj9iv8 сағат бұрын
pole,ila watanzania hasa ww ambaye unawajua ukipata media kama hii Taja majina yao moja kwa moja taifa lijue.wakijulikana kuanzia mtaan tuwakatae watafute nchi yao
@HaryPoter-zw7vr5 сағат бұрын
Pole Sana
@SubiranTimo2 сағат бұрын
Pole
@evaemil8562 сағат бұрын
Amen. Tuendelee kuombea Amani.
@AmmarSadik-x5u9 сағат бұрын
Katiba mpyaaaaaaaa
@JoshuaGeofrey-h9q8 сағат бұрын
Acha kupaka mafuta kwenye mgongo wa chura umetumwa ww ila utashindwa kwa jina la Yesu kristo
@FlorahMero7 сағат бұрын
Hongera kilimanjaro sehemu gan
@lowasanangoro93846 сағат бұрын
Ni kweli mzee wangu ukweli unabaki wapi
@MashakaMpembule8 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@johnsonmria38248 сағат бұрын
Inamaana hufahamu kuna makampuni binafsi ya ulinzi?? Hiyo akili yako sijaielewa
@salehmdemu57222 сағат бұрын
Dah nimepoteza bando langu...
@HajiMwangama35 минут бұрын
Kaka nimekuelewa sana
@IssaAlly-lp4uf8 сағат бұрын
Heshima akuna sababu kila sekta wamejazana waovu Allah yupotu
@RevocatusBussiah3 сағат бұрын
Utekaji n mkubwa....
@HanifaBruno-lv1qf8 сағат бұрын
Pole ss wasijekukuua bule
@ShaulizSeleman8 сағат бұрын
CCM HAO NA HAO POLIS
@solomonjackson38278 сағат бұрын
Niluksa kuongea hasa Kwa kusaidia taifa lakini hatutaki polojo za kutumika na utawala
@yordanyona1234Сағат бұрын
Ccm Ina green 💚 security...wengi sana ....
@PaschalGerad-xq4lw8 сағат бұрын
Usha pagawa choko ww huna pakushika
@STEVENKAJUMBA51 минут бұрын
Kweli ndugu watanzania Mambo muhimu tunachukulia poa tuu
Kaka tutajie. Kama kweli hutanii, kwanini kaka usimwage mtama? Hawa jamaa hawawezi kukuita kwa sababu utawaumbua. Chunga wasikuteke tena. Hao hao waliotumwa huenda ndiyo hao hao au wenzao.
@manenohamisi28588 сағат бұрын
Kweli kabisa. Uyasemayo
@marcobulili43412 сағат бұрын
Hapo sawa lkn kuwatukana watanzania umekosea! Umesema walikutibu ukapona na mpaka ss uko salama unaogea ukiwa huru. Leo unawaambia watanzania wapumbavu, kweli?! Waombe radhi tafadhali.
@rashidyshemkande80999 сағат бұрын
😮😮😮
@abubakaranwar3373 минут бұрын
Mimi nimeelewa Yani IGP anapewa oda rais mtufurani simtaki alarafu IGP anateuwa watu wa kufanya iyo kaz
@JoseHadzabe7 сағат бұрын
Hata Swala la Kuandamana ni katiba inasema Mzee mbona unajichanganya au kufungu hicho hakisimamiwi na Raisi mbona vipengere vingine wanavivunja bila uwoga na ni Katiba
@mbuyaelyaoni6266Сағат бұрын
😮😮😮😮😮
@yordanyona1234Сағат бұрын
Mbona China kila mtu ni lazima apite jeshini...kila mtu maarufu lazima awe na mtu anayemlinda
@ZaitunAbdallah-ol1bbСағат бұрын
Huu ni wakati wa uchaguzi kuchafuka kwa nchi ndio ushindi wa ccm bila ya machafuko CCM hakuna ushindi
@henelckneatunga27208 сағат бұрын
UNAONGEA UKWELI,MTUMISHI WA MUNGU UNALINDWAJE NA KAMA KUNA SHIDA WENYE MAMLAKA WAPIGIE WAJE,TUNATENGENEZA MABOMU WENYEWE.
@mekin86848 сағат бұрын
Hao ni bodyguard sio askari. Lazima ujue kutofautisha mzee.
@gloriaaugustino80315 сағат бұрын
Ni kweli
@JUMANNEGIBSON-k6c8 сағат бұрын
Daah najisikia vibaya
@dasadremandad92084 минут бұрын
Hoja mavi,hoja kinyesi
@JoshuaSalimuСағат бұрын
CCM HAITAKI MTU MWENYE AKILI INATAKA WATU MANYUMBU
@khalidmwinyi19818 сағат бұрын
Umeshiba ww
@bwamkuuhassan4212 сағат бұрын
Umenena ukweli
@JoseHadzabe7 сағат бұрын
Mafunzo ya Askari hauyajui Mzee,ww ni Chawa ulitumwa na kuzimu hakuna Askofu kama ww,Ongea yako ww mwenyewe ni Muhuni wala huna Roho wa Mungu hata kidogo,kaa hapo ule vichenji vya Ccm au kama ndo umeenda karibu ili uwasogeree Machawa wenzako huna Jipya hata kidogo
@IddoMbogo-c2u26 минут бұрын
A few moment later 🤣🤣
@YohanaRichard-e6p6 сағат бұрын
Bora kuongea kweli kwa kuwa hakuna Cha kuhofia maana ukinyamaza kitu kinacho kukwaza Haina maana ni Bora uteme nyongo.
@omarybakunda255418 минут бұрын
We nae acha ujinga lazima kila mtu awe na ulinzi wake kama ana hela zake.
@VLADDYNDANZI4 сағат бұрын
Kama hujamtaja Mafwele bado Kazi
@robisonikadogo7371Сағат бұрын
Na Mimi nikibaatika kupata milioni 2 naweka bodgad
Hiyo ibara haikuzuia kujilinda, ila umezuia kuunda jeshi, mbona kwenye maduka yetu kunawalinzi, hao unaowaita mabodgad wanatumika kama ulinzi binafsi tu, wala siyo jesh
@GodenBMDaniel2 сағат бұрын
Kumbukeni yaliyo wakuta wa Libya
@fredyjeremia70747 сағат бұрын
POLE KAKA😭,Nimekuelew vyema.
@JUMANNEGIBSON-k6c8 сағат бұрын
Matekaji yanasikia vibaya
@onesmomwakasege52158 сағат бұрын
Ulianza vizuri ila uku mbele ndio umealibu mzee
@JoshuaSalimuСағат бұрын
Huyu sijamuelewe badala uongee kinacho lalamikiwa na nchi unaongea utumbo
@ibrahimaziz71582 сағат бұрын
Nadhani kuna uhusiano flani kati ya uchizi na albinism
@JoseHadzabe7 сағат бұрын
Huna jipya Mzee,hao ni Mabodi gud,hujui Mafunzo ya Jeshi ya koje,Hao wanatafuta msosi tu,Askari ni Askari huwezi linganisha na wabeba vyuma ambao hushinda jimmh kutengeneza body,ww ndo Mpumbafu na ni kunguni kama unavyo jieleza,hizo bifu zako na watu unao wajua ndo maana ulifanyiwa uhuni na hao Mabodi Gud na wala sio watekaji,hujitambui Mzee hata kidogo Akiri yako imeanza kuzeeka
@ChristiianKachareСағат бұрын
Sasa hizo kampuni za ulinzi nazo mnazidhibiti vp maana nazo ni jeshi dogo la pembeni
@ZaitunAbdallah-ol1bbСағат бұрын
Wàtaje basi hao UNawajua
@RegnardiCharesiСағат бұрын
Taja apa apa
@hazoletv69498 сағат бұрын
umepangwa ww jamaa ukwepeshe mambo au sio😅
@najimsharif96946 сағат бұрын
Mimi nimekuelewa ila mbona enzi za marehemu makufuli haya mambo ya mandamano kutekana yalikuwa hayapo
@geofreymwanshuli43447 сағат бұрын
Sasa kama ulitowa taalifa ukawataja je walichukuliwa hatuwagani
@davidrweyemamu9388 сағат бұрын
Sasa ni nani hao mbona huwataji saa nzima unazunguka na mipasho hapa!!
@EmmanuelAmmy3 сағат бұрын
Chawaa
@rashidmaulid73129 сағат бұрын
Kwani vp
@TitoRufizi-xb2ub7 сағат бұрын
Kunakitu kinatafutwa hapo katumwa huyo chawa
@NcheyeNswila2 сағат бұрын
Si uwataje
@JoshuaSalimuСағат бұрын
Huyu sijamuelewe
@selemsigala4771Сағат бұрын
Hueleweki kwanini umeitisha vyombo vya habari maana huna point ungetaja ilituwajue.
@STEVENKAJUMBA43 минут бұрын
Ukiwajua utamsaidia nini
@dannymtenzi8 сағат бұрын
Ongea yote ili tujuwe kiongozi
@gloriaaugustino80315 сағат бұрын
Uongo bwana
@harunimvamba4886Сағат бұрын
Nmepoteza bamdo langu kusikiliza upuuzi huu
@ZakayoSamson-b5e42 минут бұрын
Ndugu hayajakukuta
@michaelmagwaza-bc6mkСағат бұрын
Mtu wa Mungu kama unawaju Kwanini usiwashitaki Mahakamani.? Alafu umesema Porisi wakuite wakuite kufanya nini wakati ulishahojianao nakuwatajia Watekaji.?
@TatuCharles-f5m8 минут бұрын
😂😂
@AnordMwasenga-n5sСағат бұрын
Hapo mkuu kidogo mbona mnatuchanganya? Kwer nchi hii na majeshi yote haya kwamba wameshindwa kuwajua watekaji kwer? ila Kwa hapo mkuu sisi hatuamini kwasabababu jeshi letu tunaliamin sana ni hodari sana wapo makini sana siyo kwamba wameshindwa kuwajua. Sasa kama hawajulikaniki na wewe kila wakati unasema unawajua wanaoteka Sasa kwanini usichukuliwe na uwanyoshee police wawskamate.
@ChoroTesla20 минут бұрын
Ogopa mtu mwenye kuvaaa nguo ambazo zina bendera ya Tanzania hua akili zao zimeyeyuka
@emanuelsinyinzaСағат бұрын
Mimi ni meshiba na maneno yako. Ukweli mtupu unaongea sahihi. Wanawo kukejeri ni wajinga..
@SeverinepauloPeter2 сағат бұрын
Hayajakakukuta umeyumwa siyo watanzania wa sasa boya wewe
@SeverinepauloPeter2 сағат бұрын
Propagandas
@JoseHadzabe7 сағат бұрын
Ww ni Chawa kama chawa wengine huna Hofu ya Mungu hata katika Maongezi yako ni Uropokaji usio na Mantiki,huna Uaskofu wala unabii ww ni Msaka tonge kama wengine wengi
@JustinMkwanda8 сағат бұрын
Mnafiki ww
@BraysonMtweve9 сағат бұрын
Pole Sana Kiongozi
@ScopionScopion-zj9cd8 сағат бұрын
Nakushauli ukafanye vipimo vyamalelia inawezekana maralia imekupanda kichwani ndug yang fanya ivo