Kumekucha DUDU BAYA AWASHA MOTO UTEUZI PETER MSIGWA/ Yaani hawezi lazima ashindwe

  Рет қаралды 75,749

BONGO 24 NEWS

BONGO 24 NEWS

Ай бұрын

Пікірлер: 38
@jumanassib3634
@jumanassib3634 Ай бұрын
We Dudubaya rudi nyumbani Magu ugombee ubunge, masela wanakusubiri Kisessa!
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 25 күн бұрын
chadema wamemnyima cheo akatafute vyeo ccm huko kwani vyeo huko ni rushwa
@barakasanga6980
@barakasanga6980 22 күн бұрын
Jamaa siku hizi ana busara Sana..Mungu akulinde bro
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 Ай бұрын
Ateuliwe Msigwa haikubaliki hao wengine wasomi wamejaa CCM miaka kwani hawawezi mpaka wahamiaji ndio wateuliwe haiwezekani tutaandamana yeye ananini special kuliko hao walokaa miaka na ni wasomi haikubaliki wanahamia huku ili wapewe vyeo kachelewa na sio yeye tu na wengine wanaofikiria kuja kupata teuzi
@flova7022
@flova7022 23 күн бұрын
Hivi njombe watu wanapaonaje...njombe is so active region than even many countries..also is too good economically than many famous region
@laheonlinetv2161
@laheonlinetv2161 Ай бұрын
agombee akiwa chadema Magu anaichukua
@JoyceKabula-in1sh
@JoyceKabula-in1sh Ай бұрын
Asante dudu wasukuma akiri nyingi sana wananyimagwa fulusa tu
@ImaniKiswaga
@ImaniKiswaga Ай бұрын
Njombe nayo nzito inawasomi wengi wenye akili
@mussaremigius2818
@mussaremigius2818 Ай бұрын
Ukweli
@ymohammed963
@ymohammed963 Ай бұрын
Uko sawa
@emanuelyngailo6807
@emanuelyngailo6807 Ай бұрын
Na katika mikoa migumu ni Njombe mzee uliza na ndio mkoa ambao wengi wanachemka
@Mwigaa95
@Mwigaa95 Ай бұрын
Ni sahihi kabisaa huwezi kua kiongozi kwa kutegemea taarifa fiche lazima ujue maeneo unayo yaongoza 🫡🫡👏🏻😄
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Magufuli alikuwa akipenya kila kona. Daaa
@mussaremigius2818
@mussaremigius2818 Ай бұрын
Kaongea ukweli
@MasolwaNzalia
@MasolwaNzalia 20 күн бұрын
Bbb
@boniphacetabu2903
@boniphacetabu2903 Ай бұрын
Tunaotazama kidole cha Mwamba tujuane.
@petermogha7025
@petermogha7025 Ай бұрын
Kidole vipi
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Ай бұрын
Hujafa,.............!
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Daresalama lnawasomi wengi wajanja wengi akili kubwa biashara zinawakubwa hata chalamila kashindwa hana uwezo hata yeye chalamila
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g Ай бұрын
Dudu mbona umedhoofika
@mpangalalisotha6808
@mpangalalisotha6808 Ай бұрын
Unategemea akujibu vp? C lazima kila kitu uulize
@philipongenzatv
@philipongenzatv Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 njombe
@ToivoJase
@ToivoJase Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@noelnoel4916
@noelnoel4916 Ай бұрын
Huyu akijiita konki master, na wewe muite hivyo ndio jina lake , na maanisha ni konki kweli tena ni oil chafu
@user-bd8gs3qk2d
@user-bd8gs3qk2d Ай бұрын
Chalamila amepaweza Dar kwa lipi? Ni mpuuzi mmoja tu mropokaji, ambaye anadharauliwa na wafanya biashara. Hana kitu chochote alichofanyia watu wa Dar. Ni chawa tuu asiye na manufaa kwa jamii. Dudu baya ni dogoo anaye zeeka vibaya.
@OswardMadege-gd7yo
@OswardMadege-gd7yo Ай бұрын
Acha dharau njombe unadhami
@zegelibilishanga6047
@zegelibilishanga6047 Ай бұрын
Bara 2 kasulu kibondo ww dudubaya siyo ya kutolea mfno Kuna lami ya kweli usipime kumenoga
@brunomtweve8073
@brunomtweve8073 Ай бұрын
Iheshimu njombe
@user-lb2jh4ss6v
@user-lb2jh4ss6v Ай бұрын
Sikuizi mwanasiyasa
@abdulisike
@abdulisike Ай бұрын
Konk 3
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Ай бұрын
Wamechaguliwa walio kufa hata yeye anaweza kuchaguliwa
@knight6757
@knight6757 Ай бұрын
😂
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 Ай бұрын
😂
@DittoSylvester
@DittoSylvester Ай бұрын
Nchi ya asali na maziwa!?😊
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 Ай бұрын
Nchi ya ajabu, hivi wsliapishwa?
@knight6757
@knight6757 Ай бұрын
@@AdamSaffi211 kuapa ni rahisi...tamaa na ubinafsi inawafanya wakiuke viapo!
@hamidmussa838
@hamidmussa838 Ай бұрын
Huyu sauti imebadilika kwanywa pombe.
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 39 МЛН
Duuh,,! LISSU AONGEA KWA UCHUNGU POLISI KUMPIGA MACHOZI YADONDOKA
20:44
MAPYA KUHUSU SAKATA LA MAKONDA, DUDU BAYA AWASHA MOTO
9:49
Mbengo Tv
Рет қаралды 80 М.
Он Супер Фанат Хот Вилс 😳😍
0:23
ДоброShorts
Рет қаралды 286 М.
ОПАСНАЯ ВЕЛОДОРОЖКА СТОЙ ⛔️
0:18
Леха МАК
Рет қаралды 5 МЛН
Зачем СТАВИТЬ машину на КИРПИЧИ? 😯 #Shorts
0:28
ФАКТОГРАФ
Рет қаралды 4,8 МЛН
Team BMW or MERCEDES??
0:19
Bin Asif
Рет қаралды 5 МЛН
Manual installation process of highway guardrail
0:15
mianxiwei
Рет қаралды 92 МЛН