POLEPOLE: MIMI KIROBOTO/NIKIFUKUZWA CCM/NAPE BASTOLA/BEN SANANE&AZORY/NILIOMBA HELA WAGOMBEA/BULEMBO

  Рет қаралды 316,594

Dar24 Media

Dar24 Media

Күн бұрын

--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Polepole #Samiasuluhu

Пікірлер: 789
@vfacilitator8398
@vfacilitator8398 2 жыл бұрын
Kwa maoni yangu, Mh. Polepole ni role model wa kuigwa. Kama na wewe unamuona yuko vzuri, bofya 👍
@jumatamimu6841
@jumatamimu6841 11 ай бұрын
Upo vizuri
@levinachuwa7622
@levinachuwa7622 11 ай бұрын
Hakika...🙌
@ReubenMaganga
@ReubenMaganga 5 ай бұрын
@erickngatunga2359
@erickngatunga2359 2 жыл бұрын
i dont get enough to listern to this man polepole,very smart,ni mtu mwerevu sana.
@rehematogwa200
@rehematogwa200 2 жыл бұрын
Nakuombea maisha marefu polepole na wote wenyenia njema na nchi yetu .. I stand with my country . ..
@alimussa2655
@alimussa2655 2 жыл бұрын
Unamuombea heri gani muhuni tu uyo mpuuzi kweli wewe
@sponsor7882
@sponsor7882 2 жыл бұрын
Atoboi huyu
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 2 жыл бұрын
Duuh! Hongera Mh. Polepole kwa kujibu maswali yotevkwa ufasaha. Una kipaji ambacho Mungu alikupatia na unakitendea haki.
@keffajacob8952
@keffajacob8952 2 жыл бұрын
kataaa wahuni kataa kataaa!....hodari sana wakujieleza💪💪💪🤜🤛👋👍
@stevenkagoyi5049
@stevenkagoyi5049 2 жыл бұрын
Nafarijika sana kumsikiliza Polepole
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥kzbin.info/www/bejne/gqPdfo2Zjsl2rMk
@ooafrica3626
@ooafrica3626 2 жыл бұрын
Polepole nampenda, namkubali, namwamini, namheshimu, nampenda, namuona km mkomboz sawasawa na Nyerere, ni mzalendo KILA ANACHOKIONGEA NAKUBALI ni kweli
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂 Huyu jamaa is very intelligent
@farajamg
@farajamg 2 жыл бұрын
Mh. Polepole, hongera kwa kujibu maswali vizuri sana. You are very smart . Yani ni hatari. Nakuheshimu sana. Asante kwa kutuelimisha.
@benswai8099
@benswai8099 2 жыл бұрын
Hahahaaaaa. Virobo mu wengi
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 2 жыл бұрын
@@benswai8099 wewe ndo kiroboto.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kzbin.info/www/bejne/gqPdfo2Zjsl2rMk
@sebastianmsilikale4683
@sebastianmsilikale4683 10 ай бұрын
Nakupenda mh polepole. Mungu akulinde. Mwandishi motive yake inaelweka yeye hakuwa ana penda Magu hata wewe hakupendi!
@sebastianmsilikale4683
@sebastianmsilikale4683 10 ай бұрын
Lambart, polepole ni noma ubongo wako ukilinganishwa na wako, wako ni robo ya wakwako!! Mwancheni mtumishi huyowa watanzani.
@sikapendinakapenda4170
@sikapendinakapenda4170 2 жыл бұрын
Polepole ni mtu mmoja adimu sana katika E. Africa ... aheshimiwe, atunzwe, awekwe kwenye historia ya nchi hii. Kizazi kipya kijacho kitakuja kumuishi nyendo zake, wanaompuuza kwa sasa wataonekana kituko kilichochelewesha mabadiliko waliyoyahitaji kizazi kijacho. Kina Polelpole wanazaliwa wachache sana kila karne lakini wanaompinga wanazaliwa wengi kama kumbikumbi wa msimu wa mvua ! Join Him , He is a Special One !
@lucky9285
@lucky9285 2 жыл бұрын
😂😂😋
@yahyamkone5601
@yahyamkone5601 2 жыл бұрын
Upo sahihi
@ellyrenalda5883
@ellyrenalda5883 2 жыл бұрын
Sijaona uadimu wake wowote, akiulizwa maswali magumu anakwepa. Ni muhuni kama wahuni wengine tu.
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 2 жыл бұрын
Facts
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 жыл бұрын
Sio kweli
@dedankapongo7490
@dedankapongo7490 2 жыл бұрын
HII NDIO INTERVIEW BORA ILIYO FUNGA MWAKA NA KUTUFUNGULIA MWAKA... VERY CONSTRUCTIVE AND DETAILED... SAFI SANA
@thomasmuyya7221
@thomasmuyya7221 2 жыл бұрын
Polepole wewe ni Mzalendo Shujaa, umejaa hekima. Simamia maadili uliokuzwa nayo. Mahojiano haya yalikusudia kukutia doa, lakini tunaona uwezo ulionao. I support you. Thanks Godda
@martinmnzava9053
@martinmnzava9053 2 жыл бұрын
Polepole, upo sawa, umeiva kimaadili, gombea uraisi msimu ujao.
@rajeep-ni7lh
@rajeep-ni7lh 2 жыл бұрын
I wish be next president of the Tanzania❤❤❤
@jafetzmwacha1503
@jafetzmwacha1503 2 жыл бұрын
Mungu akulinde ndugu yetu msema kweli ndy mjinga mwongo mnyanyasaji mjanja komaa kaka una mungu mbele yako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@zabongchannelemmanuel2615
@zabongchannelemmanuel2615 2 жыл бұрын
Lambat nimependa utulivu wako, hongera kwa focus, na consistency ya topic, mlikutana wote bigmind,# salute.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣kzbin.info/www/bejne/gqPdfo2Zjsl2rMk
@salimamri9488
@salimamri9488 2 жыл бұрын
Pole pole your very smart. Huyu mwandishi ni zuzu katumwa na team Soga, kakutana na mtu mwenye hakili zaidi yake na akina nape. Hawa kuwezi kwahoja pole pole labda kwa mtutu only
@abdichangalima3773
@abdichangalima3773 2 жыл бұрын
Kweli Salim.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, huyo mwandishi ni team mzoga na kakutana smart boy.
@wilsonkaseha2034
@wilsonkaseha2034 2 жыл бұрын
Hamphrey, big brain👌
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Hongera Mhe. Polepole Mimi nimependa hapo hata Ibilisi hawezi kukuroga.
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 жыл бұрын
Polepole ni muhuni sana
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 жыл бұрын
Na Tanzania hakuna Muhuni Kama pole pole
@giftmlaki2887
@giftmlaki2887 2 жыл бұрын
Mzembe tu
@mtokaboys2175
@mtokaboys2175 2 жыл бұрын
SALUTE Humfrey Pole Pole
@williammlama297
@williammlama297 2 жыл бұрын
Mtangazaji katumwa na wahuni
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 2 жыл бұрын
Polepole umemaintain calmness hata wakati huyu mwandishi alipo kuwa anakuuliza maswali very personal and unprofessional. Umeweza kujicontrol vizuri. Hongera sana polepole, mwandishi hafai he need more trainingof treating people with respect.
@SlsProductionTz
@SlsProductionTz 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/gqPdfo2Zjsl2rMk
@fiselisgambishi6025
@fiselisgambishi6025 Жыл бұрын
Sasa kasema yupo vzr why asiulizwe maswali hayo af professionalism ya habari haiakisi mazingira yetu so mwandishi kajitahidi kutupa tunachopaswa kupata
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 2 жыл бұрын
Vizuri sana Polepole Mungu akulinde..
@mariayegela4224
@mariayegela4224 2 жыл бұрын
Mtangazaji ni mmojawapo wa wahuni.ila amekutana na nyagumi kakwama😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😁
@visionstudios6804
@visionstudios6804 Ай бұрын
Nimecheka sana 😅😅
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 2 жыл бұрын
Nakukubari sana mh. Hamphrey polepole umejibu vizuri sana, wahuni bado wapo ila ipo siku moja watajutia matendo yao.
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 2 жыл бұрын
Polepole mwenyewe muhuni tu njia zake zimezibwa hatulie tulii shindano imuingie vizuriiiii
@adrianmallyakibona.352
@adrianmallyakibona.352 2 жыл бұрын
Pole pole ni hazina ya hii nchi. Kama kuna mtu CCM wanamuhitaji Leo na kesho ni pole pole...
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 2 жыл бұрын
@@adrianmallyakibona.352 Wewe mfuatilie vizuri huyu jamaa utamjua vizuri tu ,hana ukweli kiasi hicho kama unavyo fikiri wewe .
@AllyAbas-x6s
@AllyAbas-x6s 9 ай бұрын
​@@jumamohamed3168ww juma Mohamed mbna umejaa husda??? Muacheni polepole bhana kwasababu anajua
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 2 жыл бұрын
Polepole una akili nidhamu na busara sana. Kataaaaaa wahuniiiiiii
@allyhusseni8149
@allyhusseni8149 2 жыл бұрын
Uyo mwenye ndyo kubwa la wahuni
@happyglorynnko602
@happyglorynnko602 2 жыл бұрын
@@allyhusseni8149 sasa mbona hayupo kweny lile genge lao🤣🤣🤣
@kiizamrashani7223
@kiizamrashani7223 2 жыл бұрын
Wahuni Kwa Kweli ni hatariiii! 🆗
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 2 ай бұрын
Nice interview, Lambert is a very good Journalist who met a smart Leader
@gervasmalimi5126
@gervasmalimi5126 10 ай бұрын
Kama na wewe umegundua kwamba muhojiaji anakibuli na umetuma gonga like
@MtaalamwaUfundi
@MtaalamwaUfundi 9 ай бұрын
Ni nini maana ya muhojiaji anakibuli Kwa ninavoelewa muhojiaji ni mwandishi na anakibuli maana yake mkaidi kitu ambacho si kweli kwa mwandishi isipokuwa vice-versa
@saidirashidi6522
@saidirashidi6522 2 жыл бұрын
Polepole upo vzr mwenyezimungu akupe afya njema
@saxannjo6173
@saxannjo6173 2 жыл бұрын
Leo mwandishi amekutana na wakati mgumu haijawah kutokea....BIG UP JPM junior.... n suala la Muda tu
@NaomiKauzeni-zq9rs
@NaomiKauzeni-zq9rs Жыл бұрын
Yani kiukweli polepole wewe nikiongoz mwenye ekima nakwelewa
@davimlyuka1046
@davimlyuka1046 2 жыл бұрын
Pole pole yupo vizuri Sana ukitaka kumhoji jipange
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Polepole mwenyezimungu akuhifadhi. AMIIIN stay in humble brother. AMIIIN
@juliusmakoye2863
@juliusmakoye2863 2 жыл бұрын
Mh Polepole we ni mtu Makin Sana.Mungu akubarik na akutunze
@AllyAbas-x6s
@AllyAbas-x6s 9 ай бұрын
Polepole hongera kwa akili mingi upo vzri unajua na unajua tena.watanzania tuwe wakwwli polepole anajua na anajua tena.smart boy kama mimi.
@ayoubmogassa8754
@ayoubmogassa8754 2 жыл бұрын
very smart boy,R.I.P JPM umetuachia watu
@jamesshao538
@jamesshao538 2 жыл бұрын
Hongera sanaa mbwana mwandishi upo vizuri Sana kwenye maswali , hongera sana
@emilykassiano6173
@emilykassiano6173 2 жыл бұрын
Polepole oyeeeeeee
@africano98.
@africano98. 2 жыл бұрын
Polepole kichwaa sana he's intelligent
@jamesmarumbo6820
@jamesmarumbo6820 2 жыл бұрын
Kichwa gani acha unafiki! Pole pole ni mjinga
@petermachondo8285
@petermachondo8285 2 жыл бұрын
Safi sana pole pole
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 2 жыл бұрын
Ndg Polepole umebarikiwe sana
@LEO-uq6el
@LEO-uq6el 2 жыл бұрын
Pole pole popote ulipo kunywa pepsi baridi mi nitalipia 😂 unatoa ladha kama messi
@kijaziwakijayo6833
@kijaziwakijayo6833 2 жыл бұрын
Pole pole! ....mtu makini na mjanja sanaa anajua anachofanya.
@mohammedmdangwe2056
@mohammedmdangwe2056 2 жыл бұрын
Mwandishi umuwezi polepole ukitaka kumuuliza polepole Mwandishi ujipange na inatakiwa umeenda shule kajipange
@mathewseverine9962
@mathewseverine9962 2 жыл бұрын
Mkubar mkatae polepole kabarikiwa kama mnabisha vaa viatu vyake utageuka chiz
@arunajuma497
@arunajuma497 2 жыл бұрын
Ongera.pole.pole
@fadhilimboyi8408
@fadhilimboyi8408 2 жыл бұрын
Umeongea ukweli mtupu
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 10 ай бұрын
Chizimbona Umekuwa Wewe Sasa Make Anajibu Tofati Naalivo ulizwa
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 2 жыл бұрын
Ukimsikiliza Polepole kwa umakini utagundua ana akili saana na yupo smart saana...!! He is the kind of leader we should have...!!! Tukuacha siasa za mchumia tumbo tuna watu wazuri saana Tanzania
@leonardmabula9472
@leonardmabula9472 2 ай бұрын
Wahunipia wanaweza kumtafuta mtumuadilifu kumchafua polepole uko vizuri
@francisrobert9652
@francisrobert9652 2 жыл бұрын
mwandishi nimependa sana mahojiano yako upo vizuri pia nampongeza mh Polepole kwa majibu yake yupo vizuri akurupuki thanks
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Polepole tuko pamoja kataa wahuni mbona kigogo mlimwacha kapata alichokitaka mmeanza kumsonga polepole kwendaaà kataaa wahuni na genge lake
@KilintonMwangoya
@KilintonMwangoya 8 ай бұрын
Wahuni hawafai katika Taifa letu Mungu ibarik Tanzania Mungu bariki viongoz wawe wazalendo asante
@renatusfmwendamnofu5234
@renatusfmwendamnofu5234 2 ай бұрын
Ukosahihi polepole, ikosiku mungu atayasia tu, usikate tamaa.
@thomasero6800
@thomasero6800 Жыл бұрын
Polepole umemjibu vizuri huyu muhuni aliyetumwana wahuni wenzake, mpe kavu zaidi
@lutenganomwannyalu3366
@lutenganomwannyalu3366 2 жыл бұрын
Pole pole uko Sawa Sawa mkuu ila wahuni kweli wapo na Mungu atakulinda
@josephgama7810
@josephgama7810 2 жыл бұрын
PolePole ni mtu muhimu sana ktk hii nchi ingawa baadhi wanampinga ila itafika wakati ataeleweka kwa uzuri.
@aminafesaliaminafesali8105
@aminafesaliaminafesali8105 2 жыл бұрын
Kweli kabsa
@elianoel8398
@elianoel8398 2 жыл бұрын
hakika
@sponsor7882
@sponsor7882 2 жыл бұрын
Nonsense
@mwanawetuamiri6747
@mwanawetuamiri6747 2 жыл бұрын
Mungu akulinde kaka Polepole kwa kila Baya,wachache hawataki kukuelewa lakini ipo siku watakuelewa tu
@bictonykeraryo3900
@bictonykeraryo3900 2 жыл бұрын
Hongera polepole, achana na wahuni na bado wapo!!.
@ephrahimukangalawe441
@ephrahimukangalawe441 2 жыл бұрын
Hongera sana Mh Polepole Mungu akujalie maisha marefu ndani ya urokole, ulokole ni moto zaidi ya moto
@bakariamour1024
@bakariamour1024 2 жыл бұрын
Hivi mtu kama huyu unamwambiaje Mungu ampe maisha marefu ?
@floramsacky3929
@floramsacky3929 2 ай бұрын
Polepole ameshajua maswali ya mtangazaji ni katumwa kuchotwa akili amekuta polepole yuko vizuri sana, wanaompenda polepole tujuane jamani
@mussaisaac
@mussaisaac 2 жыл бұрын
Pole Pole ni mtu makini sana,nakupenda umebaki peke yako kwa watu makini
@hogn4816
@hogn4816 2 жыл бұрын
Pole pole you are smart man. I salute you. Keep it up
@deusdebitkowa9657
@deusdebitkowa9657 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari upo vizuri.
@annapeter4994
@annapeter4994 10 ай бұрын
Hayo maswali ni ya msingi sana mwandishi wa habari Asante sana
@nyashatono5153
@nyashatono5153 Жыл бұрын
The wise leader
@nipautago8574
@nipautago8574 2 жыл бұрын
Polepole mtu makini sana! Halafu ww mtangazaji kama umetumwa
@mwirexchacha3813
@mwirexchacha3813 2 жыл бұрын
Infact hakuna mtu muhuni kama polepole, this guy is loosing it sasa anaishia kuropoka tu.
@pauloqaymo8925
@pauloqaymo8925 2 жыл бұрын
Polepole uko vizuri sana
@rojajongo997
@rojajongo997 2 жыл бұрын
# kataa wahuni....daima
@AlsonMoses
@AlsonMoses 2 ай бұрын
Uko vizur sana mh polepole.
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 2 жыл бұрын
Muacheniiiiiii #hPolepole
@makamoarea5270
@makamoarea5270 2 жыл бұрын
Humphrey polepole ni HAZINA YA TAIFA !! Mungu mjalie Nape aje kuwa WAZIRI MKUU
@KingHenry88
@KingHenry88 2 жыл бұрын
Why is he deflecting ?, kudos to the host he's very straight forward.
@ramsonmugisha961
@ramsonmugisha961 2 жыл бұрын
Maswali ya muandishi wa habari ni ya kinafki , yeye anaonekana ni mpinga uongozi wa awamu ya 5. Pole pole upo sawa Sana hii nchi imejaa wwtu wa hovyo hovyo tu.
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Жыл бұрын
Kabisa kabisa ndugu yangu huyu yupo upande fulani
@leonardmabula9472
@leonardmabula9472 2 ай бұрын
Mtangazaji Polepole ni muadilifu
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 2 жыл бұрын
Hata Mimi nakuunga mkono brother,nakataa wahuni Yani Ile kinyama ,Yani nawachukia Sana wahuni,kataa wahuni oyeee!
@ezramaganda842
@ezramaganda842 2 жыл бұрын
Kataa wahuni kataa kataaa
@saimonsemwenda1349
@saimonsemwenda1349 2 жыл бұрын
Nakubari sana Mh .polepole
@senetornkwarz5714
@senetornkwarz5714 2 жыл бұрын
MWANDISHI WA HABARI, NI MPUMBAVU SANA! ANAULIZA MAMBO PERSONAL SANA! Ongeeni kuhusu nchi na wananchi sio mambo ya watu kupotea sasa yeye pole pole inamhusu nn !
@aminahassan561
@aminahassan561 2 жыл бұрын
Yani huyu mwandishi nadhani yupo naye nadhani ni muhuni ndiyo wale
@selemanimbwambo8839
@selemanimbwambo8839 2 жыл бұрын
We ndo mshenzi.
@stevejobz4481
@stevejobz4481 2 жыл бұрын
Raia kupotea ni jambo personal ? Je halihusishi wananchi ? Mbona imetoweka sasa hivi. Akili fupi sana. Jifunze maana ya personal.
@mariamabdullah489
@mariamabdullah489 2 жыл бұрын
Polepole mpwa wangu hongera, wahuni hatuwataki
@iongwaezekiel9060
@iongwaezekiel9060 2 ай бұрын
Huyo Jama nilikuwa nakubali kabisa kwenye hawamu ya tano halikuwa hanatumika vizuri sana baba bona hatukuoni tena
@meshackthomas2950
@meshackthomas2950 2 жыл бұрын
Heko pole Pole unajibu vizuri heko
@stephenrutayuga288
@stephenrutayuga288 2 жыл бұрын
Ni kweli tutaishinda micron kkwa kufunga na kumuonba Mungu wetu wa mbinguni, we have tu be real repellent to our Almighty God Mungu alienda kumleta Magufuli Kama zawadi kwetu na Sasa amepanda mbengu mpya kea vizazi vya Sasa, raiis samia anajfanya vizuri isipokuwa anezungukwa na fence kubwa la walagai na ndo maana anaonekana kutofanya vizuri Aid ya mtanguliz wake hatar dr john pombe magufuli
@aminafesaliaminafesali8105
@aminafesaliaminafesali8105 2 жыл бұрын
🙏🙏
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
BIG UP, MH. POLEPOLE!
@magesachacha8596
@magesachacha8596 6 ай бұрын
Mweshimiwa mungu Akubaliki sana: kwanza umetupigania kwenye korona
@richardmanyilizu8400
@richardmanyilizu8400 2 жыл бұрын
Ndugu yangu Polepole ninakuelewa sana Mungu akutie nguvu
@sheryphamwenevalley6124
@sheryphamwenevalley6124 2 жыл бұрын
huyu kijana ni kichwa sana penda sana Mr PP #tuewakataewahunikwanguvuzote
@lilianjosephat9151
@lilianjosephat9151 2 жыл бұрын
Makini sana
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 2 жыл бұрын
Mtangazaji Mbona kama katumwa
@alexanderdustan8872
@alexanderdustan8872 2 жыл бұрын
Kataaaaa wahuni
@nelsonpeter2112
@nelsonpeter2112 2 жыл бұрын
#kataawahuni 😂😂😂wahuni wamekasirishwa na hili neno
@eliassamson617
@eliassamson617 2 жыл бұрын
Big up sana Polepole mpole but sure and Very super master.
@MamaImma-b8m
@MamaImma-b8m 2 ай бұрын
hongera Sana pole pole we ni mtu na nusu
@2003hintay
@2003hintay 2 жыл бұрын
Polepole uko vizuri mwandishi unachemsha
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 жыл бұрын
Mwandishi wa habari upo moto sana hoji kwa kutumia maadili
@ismailchami358
@ismailchami358 2 ай бұрын
Asante Mwandishi wa habari
@mothernatureanditsbeauty5603
@mothernatureanditsbeauty5603 2 жыл бұрын
Your a Clever man. really I do envy you. your words are so wise.
@khatibjuma1313
@khatibjuma1313 2 жыл бұрын
Nakukubali bro
@InfinixTechnology
@InfinixTechnology 2 жыл бұрын
Jamani.kuuliza.ski.ujinga.sipiriiani.musiba.yuko.wapii.
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 2 жыл бұрын
Pole pole hutegeki kweli,unajua kupangua maswali Kwa namna ambayo hutaingia kingi. Nimejifunza mengi na nimejua mengi asante Sante
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 2 жыл бұрын
Akili mingi, polepole, huwa nakuelewa sana
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 2 жыл бұрын
Mwandishi uko vizuri sana big up my brother.
@blessbaysa5561
@blessbaysa5561 2 жыл бұрын
Waandishi wa habari nao wamelipwa na wahuni ili wakuchafue ila ww polepole mungu yuko upande wako
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 2 жыл бұрын
Waandishi hopeless badala ya kuuliza facts unauliza matukio ya watu wasiohusika
@angeloseuri9744
@angeloseuri9744 2 жыл бұрын
Pole pole ni kijana mdogo na ni bonge la kiongoz..Mungu wa mbingun aendelee kumsimamia kaka huyu...Polepole na bashiru waliimarisha sana chama na mali zake...Mungu yuko mbele na nyuma yako comrade Pole Pole Humphrey
@emmy85sweetie99
@emmy85sweetie99 2 жыл бұрын
Pole pole kama pole pole big up sana bro
@ooafrica3626
@ooafrica3626 2 жыл бұрын
Bila Polepole barakoa adi saiv tungekua tunalazimishwa wakati ni hiari hasa mabasi ya mwendokasi yalikua km biashara Et bila barakoa hupandi basi ni ujambazi kabsa, ASANTE POLEPOLE bora ulizaliwa katika kizazi hiki, POLEPOLE wewe ni mkomboz kweli kweli
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 жыл бұрын
Sio kweli
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 89 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 65 МЛН
NYAKATI ZA MWISHO NA HUMPHREY POLEPOLE - WASAFI TV
42:23
Amb. Humphrey H. Polepole
Рет қаралды 277 М.
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12