Рет қаралды 4,162
SAID MKOLA vs SAID BWANGA Wachimbana MIKWARA USIPIME, HAWA Watakuja KUTOANA Ngeu ULINGONI...
MABONDIA wote watakaopigana kesho Juni 29, 2024 kwenye pambano la 'DAR BOXING DERBY' wamepima uzito na afya leo.
Pambano hilo litachezwa kwenye uwanja wa Posta jijini Dar.