Yaani hayo maneno yake yoote anamlenga mtu mmoja tu na bondia mwakinyo ww mwakinyo kakuzidi hadi mazambi
@Zuberyothuman-k4l4 ай бұрын
Huyo mfaume Hana hadh ya kuwa bondia
@HassanKings-e7u4 ай бұрын
Huyu bila ya kumtaja bondia mwakinyo hawezi kwenda mjini ili aingie mjini lazima amuongelee mwakinyo mbona mwenzake hana muda nae yy tu
@mosongatz45343 ай бұрын
Champion Mfaume Mfaume miaka 100 ukweli umewauma machawa wa mdigo wewe ni balaa balaaa balaaaaa wasiokupenda kwenye comment hapa kimoyoni moyoni wanakukubali GO go GO go Champion NACCOZ baba lao haipingwi hiyo
@Francis-oq6tz4 ай бұрын
Nafasi ya mwakinyo bado ipo juuu sanaaaa wanaumia sana endelea mwakinyo tupo nyuma yako tanzania bondia ni mwakinyo pekeee
@ahmedimakope4 ай бұрын
Nyie ndio wafirwaji mikundu nyie!
@bakarimakalo71284 ай бұрын
Mfaume Uwe Mkweli. Tafadhali Jitahidi kupambana Mwenzako kutoka Brbr za Namba na Makorora amejijengea Mvuto kwa Wapenda Ndondi. Tunakuamini na Jiamini.
@HassanKibindo-ti1nu4 ай бұрын
Hana jipya mfaume mawiv tu Champez bab kubwa ingeezeka uy jamaa apande na Mwakinyo anaimba sana by mpenda michezo
@khamisomary74284 ай бұрын
Mfaume kaa kimya imebakia ww kuwa ni mama ntilie tu, unamiaka chungu nzima hujapambana, acha roho mbaya shenzi
@andrewmmassy52044 ай бұрын
Mfaume angepigana na iddy pialali pambano lile lingekuwa zuri sanaaa na lingemrudisha vizuri sana kama angeshinda.
Sasa hapo umehoji nn zaidi ya umbea tu na mwenzio mfaume
@MropeJr4 ай бұрын
sasa utambui lakini umemuita na jina
@ShabaniSadallah-uw5ey4 ай бұрын
Nakukubali kinoma
@iamminahsalim50084 ай бұрын
Mwenetu vp asaiv umekua ms pialali tuu anakushinda 😅😅😅 kwedraaaa unalolote mshika ufunguo tuu wa jimu ata mimi unipji
@justiceshelukindo4 ай бұрын
Boxing watz kuwa wakubwa Ni ngumu maana matamanio Yao Ni kupigana wenyewe Kwa wenyewe, aliye mkubwa ashushwe . Kupigana Ni ku risk maisha wanapaswa. Wawe na msimamo wapate Hela sio kutumiwa kama tissue
@rajabungatanda6304 ай бұрын
Acha ushamba na roho mbaya Sikuzote duniani usitumie muda wako kumjadili mtu utafeli kila kitu Unatakiwa kuiga mfano wa mwakinyo anaangalia mambo yake tu
@mwinyihijajumaa37734 ай бұрын
Mfaume tafuta shughuli yakufanya Mwakinyo sio level yako na kofia yako iyo ya bukujero
@athumanbakari-hy7xb4 ай бұрын
mtangazaji ufai kua mtangazaji mshamba sana
@abdallahyusuf76414 ай бұрын
Mfaume umeshuka na bila ya kumkandia mwakinyo jina litazidi kupotea
@HassaniRamso4 ай бұрын
Unanja huna lolote boya chuki anazo yeye
@AzizSultan-fc7rn4 ай бұрын
Nazid kusoma comment wakuu
@IssaMollelMasaiBondia4 ай бұрын
Umeongea point kubwa sana broh mfaume
@sports007tv44 ай бұрын
Sheikh hamad kombo utangazaji huuwez nenda kavue kaka yan ww unamchochea mtu amseme mtu mwengine
@michanoboy89484 ай бұрын
Nilikua namkubali sana uyo mbwa lkn maneno yake yakisenge nishamkataa zamani bondia kama khadija kopa bwan
@bamsimkwedez66234 ай бұрын
Nimesoma comment za watu humu hakina anaye kukibali bro jitafakari
@RajabuGoba4 ай бұрын
Hamuwezi mwakinyo hata kidogo
@DevidiCosmas4 ай бұрын
Mfaume sio bondia Kila pambano anapigwa alafu anabebwa saizi muimba taalabu tu
@SuleymaniBashiru-rq5hb4 ай бұрын
Acha usenge wew siuandaliwe pambano lako
@malkavoice25704 ай бұрын
Mfaume mshamba sn lkn kama aliongea bila kujua amuombe radhi Mwakinyo,vinginevyo nitampuuza sana
@HassanKings-e7u4 ай бұрын
Huyu majigambo tu hana lolote mbuzi tu kwa bondia mwakinyo ww hata umseme vipi bondia mwakinyo huwezi kumshusha na huwezi kumfikia😂
@harissalum28874 ай бұрын
Acheni roho mbaya, mbona mnamshambulia sana Mfaume? Lipi alilowakosea? Acheni roho za korosho
@banzmozes80994 ай бұрын
Hauwez hiyo Kaz na mmakonde fanyen mambo mengine
@johnmwanyika4 ай бұрын
Mfaume saiz yako n Mzee wa SUKUNYO
@joshuakeneth95384 ай бұрын
Mfaume nakukubari mwambaa
@johnmwanyika4 ай бұрын
MFAUME TULIA NA UWE NA ADABU KWA KAKA YAKO MWAKINYO, HUYO NI WA LEVEL NYINGINE SIO SAIZI YAKO KABISA. YANI MWAKINYO MUONENI HIVYO HIVYO ILA HAKINA MTU MWENYE KIWANGO CHAKE BONGO. SIO KWAMBA ANAPIGANA TU ILA ANACHO KIPAJI CHA KUZALIWA.
@anosiata82424 ай бұрын
Kazeeka mfaume mfaume
@IddyDaruweshi-jv1fu4 ай бұрын
HUYU CHA MANENO IPO SIKU ATAUMIA ANACHONGA SANA. PUNGUZA MDOMO DOGO NINGEKUWA NA NAFASI NINGEOMBA PAMBANO NAE NAJUWA ANACHOJIVUNIA
@WinifridaJonathan-cq2nw4 ай бұрын
Bondia ni mmoja tu Mwakinyo zingine nibkelele tu😂😂😂
Mfaume mfaume eti ushawahi kupigana kisa sahani ya ubwabwa?
@barakamwandiga23274 ай бұрын
Team nakoz kaz kaz 💪
@RichiSamir-ff1rg4 ай бұрын
Kwanz ukitak kumzungua mwakiny jua unazungumzia bondia bila Afrika na bunia
@abdallahtipuka14514 ай бұрын
Njaa hiyoo
@NgareJumaa-mu2fc4 ай бұрын
ktk watu ambao awajui ngumi ww mfaume nambamoja naukimongelea mwakinyo muongelee kwaheshima nay adabu
@StanleyMakunzo4 ай бұрын
Mmmh mfaume amebaki mipasho2
@abbasisudi68994 ай бұрын
Kwani we shida Yako nin na mwakinyo,mpigsne mwenzio apigani kwa ajili ya sifa ni biashara badiliken wabongo mnamwona alinga kwa kuwa anamaarifa kuliko nyingi km mngemwelewa nanyi mngebadilika wabongo mnapigana sifa sio biashara.promota zenu ndio wanyonyaji zenu in economics surplus goes to surplus not deficit labda bank lakin Kuna cost kubwa
@JumaSaid-d2o4 ай бұрын
mbona uyo choko wenu wakitanga maneno mengi lkn amsemi nyie mnae msema mwnye ngumi zake hote wasenge tu! yani mfaume mfaume Chama chamabibo
@HamadNassor-fp6rl4 ай бұрын
Mshamba wewe hujui ngumi .wanaojua ngumi wamekaa kimya.ngumi sio vita kaka Wala starehe ni kazi kama kazi nyengine...
@banzmozes80994 ай бұрын
Mfaume hauwez champez ninamba nyingine
@UsambaraMombo4 ай бұрын
Wewe choko wacha jealous ngumi hujui
@AllyShaban-ms7ot4 ай бұрын
Acha majungu
@ahadjuma83564 ай бұрын
Mtangazi boya kama bondia wa hovyo ulikua una mhoji
@ambakisyemwanjemba57874 ай бұрын
kila ukihojiwa mwakinyo ww fala
@directorimmah_vfx30434 ай бұрын
semunyu ndo promoter pekeee TZ... ila ao wengne watapeli ty
@TaiwanOmeg4 ай бұрын
Hatariiii sana mwamba
@JohnMushi-p6w4 ай бұрын
Mwandish ujui mchonganish
@ahadjuma83564 ай бұрын
ww hujui ngumi ww mdomo2 yupo pialali unamkimbia mwaka wangap huu
@IbrahimBode4 ай бұрын
Choko ww acha roo mbaya uskii raha bila kumta basha wako mwakinyo
@hamisikanjwele57034 ай бұрын
Kelele nyingi mapambano tele huna nyota hata 1 😂😂😂 mbaya Zaidi nibondia anaeongoza kupigwa nje ya nchi
@Allymzaki4 ай бұрын
Hamna bondia hapa majungu na bangi tu.
@ambakisyemwanjemba57874 ай бұрын
wazaramo na maneno yao
@allimohamed26884 ай бұрын
Acha umbea
@alphoncejohn63084 ай бұрын
Fara tu huyo
@patrickalfred36804 ай бұрын
Huna kitu bob.pita ivi.yaani wewe wamekufata ujiongelee unamuongelea mwakinyo.huo ni wivu kwenye misimamo ya mtu...na ndio unapotea hivo
@fadhilially73574 ай бұрын
NA WE MTANGAZAJI MSENGE
@nekashash21904 ай бұрын
Mzee hujui ngumu.. huna elimu ..una majungu...mapeomota wanakuongelea vibaya Jana majungu..mabondia wa bei rahisi..eti bondia anataka kupigana Bure ili aonekane..
@CarolineWilsonLigungawe4 ай бұрын
Mfaume mfaume ni bondia bora sana Tanzania,uwezo wa mfaume wanaujua ngumi na kama ubishi bas endeleeni jamani
@SalimBilal-fo1uh4 ай бұрын
Ww.ngumi.kubwa.maajabu.huna.muache baharia.hasani
@mohamedbedui94864 ай бұрын
Mfaume husizungumze kuhusu boxing hatukutambui
@ngadumbishi14054 ай бұрын
Acha chuki na makasiriko yasio na msingi kaka kwann tusimjue unaposema kuhusu boxing kwa tz wakati ata yy pia ni miongoni mwa mabondia wanaowakilisha taifa kwa kucheza na mabondia wa nchi nyingine
@AziziAlly-xc6nm4 ай бұрын
Acheni chuki mfaume anajua sana
@papangomaitala76904 ай бұрын
Huwz,kumtambua maanaww,sio mwanamasumbi
@ursulinenyandindi30514 ай бұрын
unamtaja jina kabisa halafu humtambui 😂😂😂
@ce-084 ай бұрын
@@papangomaitala7690 kwel kabisa
@alexkinyasi90734 ай бұрын
Weee ngumi kazi kama kazi nyingine. Unachezea nakozi halafu unabaki huna mbele wala nyuma...hao wengine njaaa tu
@ayubujumbe99544 ай бұрын
ONGEA NA WANAUME UPATE KAZI SIYO MIPASHO. ACHA UMBEYA. KAZI YA UMBEA WENYEWE NIWANAWAKE.
@AslenBerdon4 ай бұрын
Yani mashabiki mnao sema hamna kitu sahivii mfaume...hamna akiliiiii
@ayubujumbe99544 ай бұрын
KUMBE MFAUME ANAOMBA KAZI.
@DeogratiusHenry4 ай бұрын
Umamuongelea mtu ambae akuongelei fanya mamb Yako we mbona unapiga vichwa
@MusaJuma-jr7wb4 ай бұрын
Nani anakutambua wewe mfaume funga mdomo
@ImmaMahogo4 ай бұрын
Jamani huyu mfaume chizi anadata mwakinyo mme wako huna maajabu una unamdisi mwakinyo ww mdisi twaha au dula au chino mwakinyo ata kuuwa paka
@EmeraldZanzibar-i8l4 ай бұрын
Bondia hajaanza kuhojiwa anaongea tuuuu,,halaf mjomba wee huna kitu kingine Cha kuzungumza zaiid ya Hasan tuuu huna kaz nyingine kaka ukafanya kaka maana ww Kila dei lazm umtaje champez
Na kwanini tangu mwakinyo alipompigavyule muingeleza nyanya kapigana pambano moja tu na kapigwa t k o ajawahi kutoka wala kupigana tena nje ya nchi championi gani huyo ni mwehu tuuu ana lolote
@HassanKings-e7u4 ай бұрын
Huyu jamaa hawezi kuhojiwa bila ya kupita na umepo wa bondia mwakinyo ili askike kama yupo basi lazima amtaje hassa😢 mwakinyo huyu ana wivu wa kimaendeleo huyu kapitwa na kila kitu na bondia mwakinyo
@allykayanda69304 ай бұрын
Sijawai kuona mtangazaji fala na mshamba,na boya kama huyu jamaa,kwanza yaonekana hata form 4 hajafika huyu boya 😂😂😂
@MussaRasul4 ай бұрын
Huyu nae bondia kumbe
@basumegheMbotwa4 ай бұрын
Mwakinyo umejuwa kuwakela wanafiki mfaume ulishapitwa nawakakati na bado hujasema mwakinyo anafanya kwa malengo🤣🤣🤣🤣 kkkk
@NasraWaziri-l9f4 ай бұрын
Mfaume hunalolote wivu umekujaa
@MahamuduIssaMbwana3 ай бұрын
Wewe muandishi nimbea
@albanomgaya61224 ай бұрын
Ukiona haupati game ujue uwezo wako n mdogo
@AmourJr-er4ur4 ай бұрын
Mwakiny nikama bab ako kweny box ko punguza mudomo
@shabanially40814 ай бұрын
Mtangazaji sijajua main point yako nini
@hamishatibu6994 ай бұрын
Muda wako umeisha kaka pumzika uza karanga tu,Hassani kawazidi kila kitu
@khamissymtonele64184 ай бұрын
Leo nimeamini kweli wewe mshereheshaj na sio bundia auna unachokifanya kwenyengumi ni kheli ubaki kwenyeushereheshaj,kuhusu kuto kucheza na bondia mwengine ww ni muoga pialali mpka leou unamkimbiakimbia tu ww ndio muoga
@HassanKibindo-ti1nu4 ай бұрын
Mfaume unafaa kuimba taarab mapaf ya kuku pumu tup
@rashowshine78494 ай бұрын
Ukishaona mtu ana jinadi ujue siyo nyota pesa wala ushawishi hana😂😂😂
@allimohamed26884 ай бұрын
Na bado ushatemwa
@MCNgakungaJunior4 ай бұрын
We unataka acheze kikuku hacha asimamie anachokiamini.
@AzizAbdallah-nf6pd4 ай бұрын
Mfaume huyo hata mimi najipigia tu hana lolote
@JosephTibu4 ай бұрын
MFAUME MFAUME BOXING IN MABIBO NACOZ😂😂😂😂
@chandeyusufu95704 ай бұрын
Ngumi mansese siyo mabibo
@JuliusMlengeswa4 ай бұрын
Kama ni wa uzito wake huyo anayesemwa; promota mpangieni mechi