Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 2

  Рет қаралды 258,943

YahStoneTown

YahStoneTown

3 жыл бұрын

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZbin Link bit.ly/KZbinSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 294
@buffchinksmziray9681
@buffchinksmziray9681 3 жыл бұрын
Watu wa Tanga tujuane. Like zenu hapa mpaka Twaa kiduku aone wivu. Amboni moja hiyo
@husnamfuko6136
@husnamfuko6136 3 жыл бұрын
Tupo🤛👆
@mwakipundahenry5235
@mwakipundahenry5235 3 жыл бұрын
This man! Mwakinyo ukiendelea na HEKIMA na UNYENYEKEVU huu, Tz tutakuwa gumzo Duniani, MUNGU akutunze sana Champion
@user-xn3ry6fp2l
@user-xn3ry6fp2l 3 жыл бұрын
Daa! Mwakinyo unafaa kuwa mshauri bora ktk mapito ya kimaisha. Mwenye uwezo wa kuelewa, hawezi toka bure hapa bila kupata kitu. Mungu akuwafikishe ili uweze kufikia ndoto zako. Cha msingi ni kujitambua tu. Kelele za chura, zisikutishe ukashindwa kunywa maji. Maji bora unayo yataraji, yanauwezo bora wa kuijenga afya yako kuliko bora maji, yatakuhatarishia maisha yako. Kwa kuwa unalo lengo, ni dhamira yangu kuwa nami hapo utanielewa. Endelea kumtanguliza Mungu mbele ktk kila hatua yako, kamwe hutafeli. Ahsante sana.
@bakariomary5781
@bakariomary5781 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana maneno makubwa
@erickkundy5322
@erickkundy5322 3 жыл бұрын
Big up Mwakinyo. Umefanya mahojiano mazuri sana-hujajigamba na pia umemtanguliza mbele Mungu na mzazi wako. Pia umepotezea imani za jadi/ushirikina. Huyo Kiduku achana nae kabisa. Asipende kugeuza jina lako kua sehemu ya kujitafutia umaarufu.
@eliaadriano638
@eliaadriano638 3 жыл бұрын
Mtu ambae amejaliwa na mungu chochte kumzidi yoyote mpe heshima yake km anastaili pongezi mpongeze nimejifunza hvyo na kua na moyo mgumu!...Tanga ni zaidi ya shule
@abdallahhamadi7678
@abdallahhamadi7678 3 жыл бұрын
Nenolangu moja zidisha ibada na muombe m/mungu sana yeye ni mmoja mwenyenguvu na siku ya kukutana na Twaha akupe ushindi kuliko ulioupata Kwa watu wote
@johnmgodi7545
@johnmgodi7545 3 жыл бұрын
Duu bro kwa harakati hizo.. usikubar mabondia wa bongo wakutumie kujiinua hata kama wana uwezo kiasi gani we kula kwanza matunda yako
@denisinnocentndyanabo5560
@denisinnocentndyanabo5560 3 жыл бұрын
Jamaa ana displine in which ndo hio itamfanya afike mbali zaidi,,,in all God bless Mwakinyo 👏👏
@jakichamotel8650
@jakichamotel8650 2 жыл бұрын
@rangy16
@rangy16 2 жыл бұрын
@@jakichamotel8650 s
@chilendeseifu1542
@chilendeseifu1542 2 жыл бұрын
Nimekubali boksa yako sifa namba 1 kuona ngumi ya mpinzani inapokuja kwako na kuipisha au kupanchi
@lydiathomas2905
@lydiathomas2905 3 жыл бұрын
Nimemsikilizaa Mwakinyo anabusara Sana, Mungu mwema utafika Mbali sana.
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
Hongera mwakinyo yaan nmekupenda zaidi na nmeondoka na kitu kikubwa sana kweny hii interview ALLAH akufikishe utakapo bro 🙏😍😍😍😍
@emanuelelias7362
@emanuelelias7362 3 жыл бұрын
Umeniinspire sana bro na hii interview yako, Allah akuzdishie
@godvoirevandedan1787
@godvoirevandedan1787 3 жыл бұрын
Mwakinyo full of wisdom, Mwenyezi Mungu amfikifikishe
@samniza1763
@samniza1763 3 жыл бұрын
Proud of you young brother, umeni inspire mno! Mungu akufikishe kwenye destiny aliyokupangia, proud of all my Tanga people. siku moja uje kuwa mbunge au kiongozi wa Tanga na ninaamini utaifikisha Tanga to another level. Born and grew up in Tanga na ninalikumbuka hilo la Mzee Mwakinyo.
@isaackbenson7346
@isaackbenson7346 3 жыл бұрын
"watu usio wategemea, wanaweza kua usivyotegemea kuliko watu unaowategemea"-Mwakinyo. #Champ
@ishqmeinmarjawan1048
@ishqmeinmarjawan1048 3 жыл бұрын
Huu msemo nimejifunza kwako
@preygodbabuu1129
@preygodbabuu1129 Жыл бұрын
Kweli
@hanselwhiteside2962
@hanselwhiteside2962 3 жыл бұрын
Jamaa alikuja hospital Makorora kipindi fulani nipo pale na Fungameza.... jamaa sio kwenye camera tu ila discipline yake is real. Yuo the G O A T bro. we support u
@ingabireritha3740
@ingabireritha3740 3 жыл бұрын
Ooh my God very humble I really like him jamani Allah azidi kusimamiya thanks you so much again sister ❤
@eduulowassa4347
@eduulowassa4347 2 жыл бұрын
I admire the love he has for his mom, the same feelings am holding for my earthly god (Mom)...Mungu ampe maisha marefu SIKU nafanikiwa awepo to enjoy the fruits
@bekabajao6430
@bekabajao6430 2 жыл бұрын
Nice mze
@aishajafa4139
@aishajafa4139 3 жыл бұрын
amesoma sana Qur'an Hasan kumemfanya awe na hekima sana atafika mbali sana
@fatmamussafatmamussa4104
@fatmamussafatmamussa4104 3 жыл бұрын
Sanaaaaa
@mahengomahengo8191
@mahengomahengo8191 3 жыл бұрын
We Acha kupotosha watu amesoma sana Qur'ani ndio maana ana hekma unataka kutuaminisha hekma ni kupigana box au nini au kusoma sana Qur'ani ni kucheza mchezo huu hii ni michezo isiyo na maana kwa waislam tena ni haram hekma gani sasa acha kuharibu maneno.
@fatmamussafatmamussa4104
@fatmamussafatmamussa4104 3 жыл бұрын
@@mahengomahengo8191 Kwan ww n dhehebu gan ndugu Yang
@mahengomahengo8191
@mahengomahengo8191 3 жыл бұрын
@@fatmamussafatmamussa4104 Mimi Ni Ahlu sunnat waljamaa
@mahengomahengo8191
@mahengomahengo8191 3 жыл бұрын
@@radhiaabdallah3180 Usiongee porojo dini ya uislam haiongelewi kwa utashi wako inakwenda kwa kunukuu twende kisomi sasa ebu niambie kua mtume amefundisha au ameruhusu box wapi kwenye hadithi ipi kaipokea nani na imesahihishwa na mwana chuoni gani katika maulamaa wa Hadithi pili je wajua kua mtume amekataza kupigana usoni ni haram ? Je unajua kua box sio haram kupigana usoni ? kama unahitaji ushahidi nikutajie hadithi ya kukataza kupigana usoni kama wanavyofanya mabondia pia nikutajie na kauli za maulamaa wanosema mchezo wa box ni haram sio mtazamo wangu kama unavyodai wewe .
@stevenpeter2058
@stevenpeter2058 3 жыл бұрын
nakukubali sana brother mwakinyo
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 жыл бұрын
Am so proud of him... he is a good champ ...mi ni number one fun wake akitoka mamaake
@fatmamussafatmamussa4104
@fatmamussafatmamussa4104 3 жыл бұрын
Uhhh unachkua nafac yangu
@intrepidmojon1767
@intrepidmojon1767 3 жыл бұрын
Mimi nimejifunza sana Katika hii interview kua, ukiwa na jitihada na imani ya mungu unaweza kufika popote utakapo.huyu champion anamoyo wa aina yake mmungu ambariki love from España ndugu yako nakusaport sana na hii show ni kali kinyaama...besos mmmwaaahhh
@samniza1763
@samniza1763 3 жыл бұрын
For real!
@mudrikkabubakar8136
@mudrikkabubakar8136 3 жыл бұрын
Nakufananisha na Khabib nomagomedov Respect bro
@babayoria9181
@babayoria9181 3 жыл бұрын
HAA HAAA alierusha kitambaa kamaliza pambano
@itikaadam9756
@itikaadam9756 3 жыл бұрын
Nice interview...ur the winner one ...Mungu atakupatia ukitakacho ukiwa na subira
@fidurashidi5781
@fidurashidi5781 3 жыл бұрын
Jamaa ana nidham sana na upeo wake ni mkubwa plus sensitive sana... Mungu akuongoze
@emmanuelkayanda8014
@emmanuelkayanda8014 3 жыл бұрын
Hongera Sana mwakinyo mie shabiki mkubwa ninae kukubari nipo bwanga namie ndo ilikuwa ni ndoto yangu ila nakuomba atusaidie nasisi tunatamani kuwa Kama we'we mie nakuombea kwa mungu uendelee
@epafrangweshemi4014
@epafrangweshemi4014 3 жыл бұрын
Sio ubondia tu huyu anaweza kuwa star upande wowote wa maisha iwe uongozi katika siasa, dini biashara na maeneo mengine. Tulia, unaweza kufanya mambo makubwa.
@khamisuwesy4388
@khamisuwesy4388 3 жыл бұрын
saf sana mwakinyo maneno yako ya kiekima
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
Xawa mwakinyo usije kupigana na Hawa wakanga njaa mabondia wa tz,watakuroga ilimradi wakupige Ili wajilikane,temana nao wapuuzi Hawa ucje jichanganya mzee baba
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 3 жыл бұрын
Ana heshima sana. Best interview
@batulimakame7947
@batulimakame7947 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 nimecheka kusikia hiyo dawa aliyopewa ya kuzuia tumbo la kuhara
@malbarahassan1232
@malbarahassan1232 3 жыл бұрын
Hongera mzee baba wacha waseme maneno nelikawaida tu mdomoni
@petermaro9852
@petermaro9852 3 жыл бұрын
This is one of the best interviews never happened before.Keep it up Mwakinyo coz You are the best boxer.
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 3 жыл бұрын
Maneno Ya Kufika....UbongoniAsante!
@jumannemagawa5095
@jumannemagawa5095 4 ай бұрын
Mwakinyo hongera sana, nimwfurai kukuona unavyo hojiwa na salama, mola naomba endelee kukulinda mabalaa yaliyo jificha.
@abbyclassic8464
@abbyclassic8464 3 жыл бұрын
Mfano wa kuigwa sio roporopo ngumi malengo sio kufurahisha watu nimekuelewa champez Allah akubariki inshallah
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 жыл бұрын
Asante Sana SALAMA KWA kufanikisha hii interview na our champion. Nimejifunza mengi Sana. HUSUSAN watu kuuza MECHI PASIPO MATAKWA ya mpiganaji.
@koffianodichisesa238
@koffianodichisesa238 2 жыл бұрын
Mwakinyo akili yake imetulia sana God bless sana kaka
@Winstonfying
@Winstonfying 3 жыл бұрын
Champion!Mwakinyo 💪💥
@Nuyama1
@Nuyama1 3 жыл бұрын
mwakinyo da great boxing fighter number 1 Tz.
@mkwavidonself3844
@mkwavidonself3844 3 жыл бұрын
I have nothing to say but We're proud of you brother
@peternyambui7492
@peternyambui7492 Жыл бұрын
Safi sana sana....ninyi nyote!..Salama pia Mwakinyo.. Mecheka sana swali la Mexico na uchawi!
@felixleo2703
@felixleo2703 3 жыл бұрын
Mungu akujalie ufikie ndoto zako
@barkembarak9270
@barkembarak9270 3 жыл бұрын
Ameen Ameen Ameen
@AB-ym2pu
@AB-ym2pu 3 жыл бұрын
One of the best interview to watch
@Ram_1893
@Ram_1893 3 жыл бұрын
Mwamba unapangilia maneno vizuri sana kudadeki Zidisha jitihada ili siku moja upate ubingwa wa dunia wa WBC au WBA au WBO au IBF
@abduljembe6608
@abduljembe6608 2 жыл бұрын
Hilo neno kudadadeki nikaamua kusoma jina nilihisi ni wewe 😂
@Ram_1893
@Ram_1893 2 жыл бұрын
@@abduljembe6608 Unazingua kudadeki 😂😂😂
@abduljembe6608
@abduljembe6608 2 жыл бұрын
@@Ram_1893 Hahaha 🤣
@saidcontractor3315
@saidcontractor3315 2 жыл бұрын
Busara na hekima ni mtaji nakuelewa sana mwakinyo
@edimanmsigala6288
@edimanmsigala6288 3 жыл бұрын
Kwenye kufunga na kuombewa na usiowajua ni jambo kubwa. Umakini wako ni wa kiwango cha juu sana. Unaonekana huwezi kubadirika. Aisee utakuwa namba 1 duniani siku moja. Unavyoongea ya moyoni mwako yanaeleweka kwa wanaojua lililo asili.
@husseinmaingo7116
@husseinmaingo7116 3 жыл бұрын
Inshaallah
@pulkeriafarayo8953
@pulkeriafarayo8953 3 жыл бұрын
Duh! Nimeipenda hii interview, naanza kuipenda boxing taratibu
@bakarijongo6370
@bakarijongo6370 3 жыл бұрын
Safi sn na interview nzr. Dada salama naomba mlete Anenus Edgar ufanye interview naye, nitafurah sn kiukweli.
@robbsonmosha7557
@robbsonmosha7557 3 жыл бұрын
Sio anenus ni Ananas Edgar
@williamdigge6940
@williamdigge6940 3 жыл бұрын
Champez ana maneno ya kumjenga mtu kabisa ni sawa na mzee mwenye akili
@christophajoel7406
@christophajoel7406 3 жыл бұрын
Safi umejibu vizuli sana ndugu
@dennowderullow1118
@dennowderullow1118 2 жыл бұрын
Hongera Hassan from East Africa in Tanzania 🇹🇿.Watching from Africa in Kenya🇰🇪at Kilifi county
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 3 жыл бұрын
Fantastic interview from salama and mwakinyo
@othmanmuhammad5609
@othmanmuhammad5609 3 жыл бұрын
Awe kama ww
@fatumasuleymanashurambinda6880
@fatumasuleymanashurambinda6880 3 жыл бұрын
الله وحده لا شريك له له الملك وله الحمد وهو على كل شيء قدير اللهم صل وسلم على نبينا محمد وعلى آله وصحبه أجمعين وسلم تسليما كثيرا إلى يوم الدين 🕋🕋🕋🕌🕌🤲
@gadielpaulo8925
@gadielpaulo8925 3 жыл бұрын
Good interview maisha ni safari bado.
@elizalwakatare8070
@elizalwakatare8070 3 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza naanza kukufatilia mzee baba 👏👏👏big up kwa bibi mkubwa wako 🙏
@praygodsamson1827
@praygodsamson1827 3 жыл бұрын
Nimependa hadithi yako bro
@baeyanka5264
@baeyanka5264 3 жыл бұрын
He is so brave Mashaa Allah ....I am in love ooooh😁😂😂😂
@fatmamussafatmamussa4104
@fatmamussafatmamussa4104 3 жыл бұрын
Me 2🙈
@jonathansimba6749
@jonathansimba6749 3 жыл бұрын
Best interview of the year
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
Tanga Hz mishe za mkono zipo kwenye DNA zetu!!!💪💪💪
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 Жыл бұрын
Salama mwakinyo ana speech kari sana yan anajua kuongea vzr i like this mybe interview zinanijenga hta mm kua na speech nzur kwenye mambo yang
@petroatanas8988
@petroatanas8988 2 жыл бұрын
Kiduku haendi kupigana nnje anatakapambono namtu aliejitoa kutangazataifa aende akapambane ilikuonyesha kwamba tunavipaji siokutupigia kelele kwasabu kampiga dulam babe
@hussenshariff8420
@hussenshariff8420 2 жыл бұрын
Allah akulinde hasan we love you na nakuombea kila Siku
@joeljohn2427
@joeljohn2427 3 жыл бұрын
Upo vzr bro Mwakinyo mungu akubriki sana!!,
@lucresiangweshemi5896
@lucresiangweshemi5896 3 жыл бұрын
Very humble,all the best champ
@imatheboyimatheboy9714
@imatheboyimatheboy9714 3 жыл бұрын
Salama munaendana na mwakinyo
@ommyakili552
@ommyakili552 3 жыл бұрын
Kwahiyo waowane au😂😂😂😂
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Жыл бұрын
Wote wa tanga
@marthagreenford8338
@marthagreenford8338 3 жыл бұрын
Salama good lucky .... uko vizuri kwenye career ako
@kopgdydrtyh7923
@kopgdydrtyh7923 2 жыл бұрын
Jaman na mpenda huyu kaka mwakinyoo❤❤❤❤❤
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 2 жыл бұрын
Choo baada ya siku14😁😁😁ulivyoenda kushusha mzigo naona choo kilijutaa
@paschalfrancisco7162
@paschalfrancisco7162 2 жыл бұрын
Ubondia hatarii
@maalimdaud4902
@maalimdaud4902 3 жыл бұрын
such kind of words are amazing brother .。。。
@saidimkagulu6998
@saidimkagulu6998 3 жыл бұрын
Ni professional hasa Mwakinyo Mungu akuongoze uzidi kupaa
@josephmwatebela28
@josephmwatebela28 3 жыл бұрын
Jamaa atafika mbali anaielewa boxing na longolongo zake zote
@joetheone3354
@joetheone3354 3 жыл бұрын
Whaaaaao salama upaja mweupeeeee @salamajabr
@allymwalim6363
@allymwalim6363 2 жыл бұрын
Yaaaaani! Huyu jamaa anavyoongea kwa startent yake hana tofauti na mwana fa wanalafdh flani hv ameizing #Big up broda
@shabanisaidi6294
@shabanisaidi6294 3 жыл бұрын
Daaah nmeenjoy sana
@dalalihakweahakweya6662
@dalalihakweahakweya6662 2 жыл бұрын
Jembe
@kennedjohn5785
@kennedjohn5785 3 жыл бұрын
Mwakinyo champion boy
@funnyvideosandvichekesho.1862
@funnyvideosandvichekesho.1862 3 жыл бұрын
Ana hekima na hofu ya Mungu.Atafika mbali na atafanikiwa sana.
@liberatusslyvanus916
@liberatusslyvanus916 3 жыл бұрын
Uzuri nduguyangu hunaangalia sana uzuri unajituma unifunza kitufuni zaidi namimi nisikate tamaaa
@guycalifat4426
@guycalifat4426 3 жыл бұрын
Twah kiduku jifunze kupitia mwakinyo
@husnamfuko6136
@husnamfuko6136 3 жыл бұрын
Maneno ya busara kwa mwakinyo 👏👏
@livanchottah3687
@livanchottah3687 3 жыл бұрын
Asante champion wa muda wote
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Daah jamaa afanye mpango akutane na mayweather
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 3 жыл бұрын
Exactly ma brother.
@user-rl1pg9qc9m
@user-rl1pg9qc9m 3 ай бұрын
Sio ngumi tu hata kuongea anajua ukitaka maneo ya hekima yapo ukitaka shombo atakimbia wewe Tanga oyeee🥊💪
@jumamohamedkidiaunga9224
@jumamohamedkidiaunga9224 3 жыл бұрын
Genius brother.
@amirimbwambo3463
@amirimbwambo3463 2 жыл бұрын
Uko timamu sana my brother wewe niwambele2 ishaa lla making 🙏 from tanzania 🇹🇿 🙏
@sidesaid3877
@sidesaid3877 3 жыл бұрын
Big up chalii yangu/good fighter
@jescarjustor7339
@jescarjustor7339 3 жыл бұрын
Na MUNGU AKUINUE KIWANGO KINGINE KAKA
@bantwamwasakapiga4941
@bantwamwasakapiga4941 3 жыл бұрын
Dada uko vizuri toka kipindi cha mkasi napenda sana interviews mnazo leta
@ayubustanley9069
@ayubustanley9069 3 жыл бұрын
Daah atafika mbali na mafanikio makubwa .Mwakinyo ,
@osamahamad5756
@osamahamad5756 3 жыл бұрын
Oya wewe mzee uko vizur nakukubali sana
@bueno1818
@bueno1818 3 жыл бұрын
Genius Mwakinyo!!
@felixjoseph7826
@felixjoseph7826 3 жыл бұрын
Jamaa ana hekima sana
@eliasmshiu2600
@eliasmshiu2600 3 жыл бұрын
Asante Mwakinyo.. Mungu akutunze 🧜‍♂️
@issaisack5037
@issaisack5037 3 жыл бұрын
Allah bless you🇹🇿👍
@hussenshariff8420
@hussenshariff8420 2 жыл бұрын
Allah azidi kukulinda salama na mwakinyo
@ibrahimpatrickmwafute
@ibrahimpatrickmwafute 3 жыл бұрын
Big Up sana dada salama na champez nakubali
@albertlokoya7937
@albertlokoya7937 3 жыл бұрын
Nimeipenda interview, Mwakinyo ni tofauti na mfano wa kuigwa kwa mabondia hapa Tz. Jamaa anamtanguliza Mungu mbele na anamalengo na Boxing. Salama Big up kwa kipindi chako cha YahStoneTown.Wish you and Mwakinyo all the best.
@saidishebuge4796
@saidishebuge4796 3 жыл бұрын
Akil kubwa bro keep it up
@j4wasaimon981
@j4wasaimon981 3 жыл бұрын
Bless up brother
@rubbie_all_natural
@rubbie_all_natural 3 жыл бұрын
Nice one 🔥🔥🔥🔥🔥
@habimanaiddy
@habimanaiddy 3 жыл бұрын
Allah amm bariki sana kweli
@shabanidrisa3371
@shabanidrisa3371 3 жыл бұрын
Mwakinyo dah sio poa mungu akuongz
@hanafisaidi5516
@hanafisaidi5516 3 жыл бұрын
Komaa mwakinyo nakukubal sana mkuu lushoto Soni moj
@aminapeter6177
@aminapeter6177 3 жыл бұрын
Salama wakat mwingine mstaarab da!
@tanialucas4579
@tanialucas4579 3 жыл бұрын
Many Lord blues you mwakinyo
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
YahStoneTown
Рет қаралды 69 М.
How to bring sweets anywhere 😋🍰🍫
00:32
TooTool
Рет қаралды 56 МЛН
ТАМАЕВ vs ВЕНГАЛБИ. ФИНАЛЬНАЯ ГОНКА! BMW M5 против CLS
47:36
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 5 МЛН
ОДИН ДЕНЬ ИЗ ДЕТСТВА❤️ #shorts
00:59
BATEK_OFFICIAL
Рет қаралды 3,1 МЛН
Salama Na JOTI Ep 47 | SIMPLY SPECIAL PART 1
35:15
YahStoneTown
Рет қаралды 461 М.
Mkasi - SO4E01 with Diamond Platnumz
27:57
MkasiTV
Рет қаралды 1 МЛН
Salama Na HAJI Ep 52 | ALIYE KUTWIKA NDIYE ATAKAYE KUTUA PART 1
43:34
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
0:19
Kate Brush
Рет қаралды 2,3 МЛН
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:4:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,2 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
0:59
Tibo InShape
Рет қаралды 39 МЛН
УСТРОЙСТВО ДЛЯ АВТОВЫГУЛА СОБАК🐶
0:20
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 3,1 МЛН
Разница в уровнях🔥
0:26
FERMACHI
Рет қаралды 13 МЛН