BREAKING: HATIMAE M23 NA RWANDA WAMEUTEKA MJI WA GOMA DRC, WANAJESHI WA CONGO WAWEKA SILAHA CHINI

  Рет қаралды 73,014

HABARI 24

HABARI 24

Күн бұрын

Пікірлер
@amanmalima940
@amanmalima940 6 күн бұрын
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@hekimasuleiman895
@hekimasuleiman895 5 күн бұрын
Mimi binafisi napenda amani, tusibaguane, tuoane,tupendane, tuheshimiane, kila mmoja aabudu anachotaka paspo kuvunja sheria, niseme tu: nachukia sana udini, nachukia sana ukabila spendi vita, kwanini mnauwa watu. acheni wafe siku wakizeeka
@RosemaryMwaipopo-qd4vw
@RosemaryMwaipopo-qd4vw 9 күн бұрын
Duh Atari sana mungu aepushe hii vita Sasa mnahambiwa ruwarda anausika watu hoo unauwakika yani uwongo leten habari zenu tuone ukweri wenu
@TwizeyimanaPasical2
@TwizeyimanaPasical2 9 күн бұрын
Huyu anasema uwongo anataka like na pesa kwenye KZbin
@walker-96
@walker-96 9 күн бұрын
Wameuteka kweli Acha ubishi kijana
@AbduliHalim-o2y
@AbduliHalim-o2y 9 күн бұрын
Hawa jamaa wanasonga mbele sabababu serekali inaonekan itatesa raiya hata nchi yetu ya Tanzania inatakiw owe makin na raiya wasiwanyanyase maskin wa mungu anafunguwa biashara Kodi zaidi ya sita ukienda hospitali dawa inanunuwa maji tunalipia watoto wangu wanasoma ilala lazim ulipie chakula hujalip watoto wanapigwa na viongiz wa juu wanjuw Ila hawaingilii swala hili kwaiyo serekali wasipo kuw makini hata Tanzania raiya watachoka
@Kendrickray2024
@Kendrickray2024 9 күн бұрын
Rwanda unailetaj hapa kwanini?? Only M23 fatiria wache uchawe
@KamanaMangolwa-xe8de
@KamanaMangolwa-xe8de 9 күн бұрын
M23 ndo Rwanda yenyewe na ipo siku mtalipa mnachokipanda broo
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 9 күн бұрын
Wafrica wapo kimya hapa huoni mashehe wakiandaa vipindi kupinga vita hii ya wafrica utaona watu wanarushiana maneno kuhusu palestina na isirael utafikiri sisi africa hakuna machafuko
@NtagolekwaHugugu
@NtagolekwaHugugu 9 күн бұрын
Kwann mashekh......?? makafiri mnashida sana
@salumualoyce5620
@salumualoyce5620 9 күн бұрын
Wewe kweli ni choko kwani maaskofu na mapadri wamefanya nini kusaidia kumaliza hiyo vita?
@hekimasuleiman895
@hekimasuleiman895 5 күн бұрын
Mashekhe bwana mkichokozwa hamwezi kukaa kimya hata kidogo! lazima mkibu
@TwizeyimanaPasical2
@TwizeyimanaPasical2 9 күн бұрын
Sasa wewe unasema vyitu hawujui unajuwa kama Hawa NIWA nya Rwanda nyinyi washenzi kbx
@tipechegekimacho3893
@tipechegekimacho3893 9 күн бұрын
M 23 itafika Hadi Kinshasa aisee
@MunyongeTembele
@MunyongeTembele 9 күн бұрын
nawaomba wote ambaye munafatilia hii media tafadhali hii niya uwongo sana alafu musiwe munafata abari humu
@benimlisa6056
@benimlisa6056 9 күн бұрын
Hii taarifa sio ya kweli... Kuweni updated
@Muremyi
@Muremyi 9 күн бұрын
Tupe ya ukweli wewe😂
@Ibrahim-t5z3v
@Ibrahim-t5z3v 9 күн бұрын
Nikweli na wanajeshi 13 wa un wamekufa
@Montana12-v2c
@Montana12-v2c 9 күн бұрын
Kivipi ??
@henryking6070
@henryking6070 9 күн бұрын
​​@@Ibrahim-t5z3v Kama Congo wamekufa hao 13 basi juwa Rwanda wamekufa 2000
@wimulizatina5962
@wimulizatina5962 6 күн бұрын
Fatiria vizuri habari ​@@henryking6070
@SumaneGael
@SumaneGael 9 күн бұрын
Weye unatangaza habari ya M23 naweye ni M23
@MukarusineEsperance
@MukarusineEsperance 9 күн бұрын
Rakini rwanda mnaisingiziha . Ni m23 tu .
@ApendekiCiza
@ApendekiCiza 8 күн бұрын
Toka pale nanyiye njo muko natupiganisha
@ljmarketlakhshov36
@ljmarketlakhshov36 8 күн бұрын
Wenye kufaidika na haya machafuko ni nchi ngozi nyeupe husasani magharibi... Naamini sio kongo tu hata jumuiya ya Afrika mashariki nayo wanaitaka... Rwanda ninamashaja kama ni kweli anahusika, ila nadhani anasakiziwa kaa la moto kama walivyomfanyia Gaddafi Tuwe makini sana na uhusiano wetu na watu wa magharibi
@KhalifaMshana
@KhalifaMshana 8 күн бұрын
Wewe mkuda acha usenge wako mimi mida hii nipo goma tokea tr22 January m23 bado hawajakamata goma wapo njee vijijini huko
@JosephBidii-k6i
@JosephBidii-k6i 8 күн бұрын
Mtangazaji ni mjinga kama umoja wa mataifa ..... ila siku moja congo kutazaliwa ibrahim traore apo ndo kitaeleweka
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 8 күн бұрын
Sasa Rwanda alikua anakataa nini wakati leo anaonekana kuwasaidia
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 8 күн бұрын
Mwaka huu lazima congo itagawanywa tutsi empire hima empire
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 9 күн бұрын
Chisekedi alikataa mazungumzo sas wacha mchapwe 😂😂😂
@benimlisa6056
@benimlisa6056 9 күн бұрын
Hacheni uwongo...
@janethfelicie6782
@janethfelicie6782 9 күн бұрын
Alisema hacheki na wowote sasa kimemlamba 😂😂
@GeraldRuhumuliza
@GeraldRuhumuliza 9 күн бұрын
Eti na Rwanda... Unauhakika.? Potosha tu.
@Araplimosnr
@Araplimosnr 9 күн бұрын
Wasarenda ni kiswahili ya wapi? 😅😅 Sema kujisalimisha ❤
@blessedggithinji6192
@blessedggithinji6192 9 күн бұрын
Woi Jesus take over🙋🏼‍♀️🇰🇪
@DanielGaspel
@DanielGaspel 8 күн бұрын
Msicho kifahamu kuhusu Congo na Askari wa Congo.. Tatizo kubwa ambalo M23 wanajivunia ni Nidhamu tu. Jeshi la Congo Halina nidhamu na istoshe hawana motisha ya kupambana na adui
@tvsunshin
@tvsunshin 9 күн бұрын
Rwanda
@ErrishaAuto
@ErrishaAuto 9 күн бұрын
Safi Sana m 23 kwani serikali ya congo kinshasha imepigwa garika Kwa sababu ya upofu wa kujigeuza mungu watu Kwa kutoa uhai wa vijana maskini ambao imesababishwa na serikali m 23 tumen hata namba ili tuchangie kidogo tulicho nacho kusapoth harakati zenu za kuchukua serikali
@benimlisa6056
@benimlisa6056 9 күн бұрын
Hakuna kitu kama icho
@festohaule9716
@festohaule9716 9 күн бұрын
Afrika, Afrika, Afrika pole sana kitovu changu!!!
@titongajilo1934
@titongajilo1934 9 күн бұрын
May 23
@PastoryManjale-q9f
@PastoryManjale-q9f 9 күн бұрын
😢
@songadeemusiq8905
@songadeemusiq8905 9 күн бұрын
They did all they could and win but those fools did one blander touching UN solders they will leave to regret
@henrybovick93
@henrybovick93 9 күн бұрын
Je? Tanzania 🇹🇿 Kenya 🇰🇪 Uganda 🇺🇬 Burundi 🇧🇮 mmekimbilia wapi kama pia nyinyi hamhusikii pia?
@samwelmwangi9185
@samwelmwangi9185 9 күн бұрын
Vita yao haituhusu, watakula matunda ya chuki miongoni mwa jamii za Mashariki mwa Congo na jamii nyingine. Jeshi dhaifu la Serikali ni chanzo cha machafuko huko Mashariki mwa Congo. Askari wa Rwanda wamehusika kwa kiwango kikubwa katika eneo hilo. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@CharlesModest-dl6pp
@CharlesModest-dl6pp 7 күн бұрын
Hii ndio mahajabu ya Dunia . M23 wapatao 6000 wamepiga wanajeshi 160000 wa Kongo.
@AmadiAbadi
@AmadiAbadi 9 күн бұрын
Kagame mungu akuzidishiya maisha marefu
@petermasanilo732
@petermasanilo732 9 күн бұрын
Ulakafa wichaye wa mbwa wee
@NsanzinezaIssa
@NsanzinezaIssa 9 күн бұрын
Ameen
@wimulizatina5962
@wimulizatina5962 6 күн бұрын
AMEN AMEN AMEN.
@hekimasuleiman895
@hekimasuleiman895 5 күн бұрын
@@petermasanilo732 kuki none
@MohamedMunga-k5w
@MohamedMunga-k5w 9 күн бұрын
Keep going m23
@EcaStephane
@EcaStephane 9 күн бұрын
Bwege kabisa et wame iteka goma mpaka yesu atakavyo kuja aita wezekana kamwe
@khalilyjuma813
@khalilyjuma813 9 күн бұрын
Congo hawana Jeshi
@MartinAlverio
@MartinAlverio 9 күн бұрын
Daa ee mwenyez mungu vita congo itaisha lini?
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 8 күн бұрын
Ni mpaka madini yatakapoisha Congo DR
@ziporanangolo9397
@ziporanangolo9397 9 күн бұрын
May the Lord bring peace
@hudumablack9339
@hudumablack9339 9 күн бұрын
Congo inakosa Mtu mmoja, SHUJAA MZALENDO katika kuiongoza Nchi. Wakongo wanasubiri tu tangazo la vita dhidi ya Rwanda, nani atoe tangazo?
@aloycesamba998
@aloycesamba998 9 күн бұрын
Ni Nani wakumfunga paka kengele
@thadeusmahendeka4466
@thadeusmahendeka4466 9 күн бұрын
Ukisoma Katika Historia yao utagundua kwamba ni wazuri sana katika kugeukana so wakusema hilo unaloshauri anaogopa ata snitchiwa.
@hamisdodi-cu7bu
@hamisdodi-cu7bu 9 күн бұрын
Magaidi.awafai.kuongea.nao.
@saintability4985
@saintability4985 9 күн бұрын
Sasa watatangazaje vita na rwanda wakati kikundi kidogo tu Kama hicho kinawapiga?
@JeanBaraka-pu5xo
@JeanBaraka-pu5xo 9 күн бұрын
felix unapana kongo ndomulikubaliyana kabila
@theafricanhauler3396
@theafricanhauler3396 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 Lukuta
@henrybovick93
@henrybovick93 9 күн бұрын
Mimi sijakubali ila nilazima nifie pia kwenye shamba la mapigano sud kivu Kinshasa nyinyi hamjuwi hii vita mmependa maisha yenyu Bila kupenda Congo 🇨🇩 yetu ?
@langistany6811
@langistany6811 9 күн бұрын
Mbona una weka title za uongo. Wewe Mtangazaji wa namna unae Tangazia watu habari za uongo. Goma ina tawalia na serekali. Hacha uongo
@habari-24
@habari-24 9 күн бұрын
Izo ndo habari kutokea huko, Tutaendelea kuwaapa taarifa zaidi kadri tutakavokuwa tunazipata
@omaryadam6884
@omaryadam6884 8 күн бұрын
Acha uongo,
@allysimu6856
@allysimu6856 9 күн бұрын
Gaidi anashilikiana nae kwani un wanakazi gani au ndokusema kondoo kaponzwa na mkiawake timua wafaransa kama kwingine
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 9 күн бұрын
Aca congo bbc hajacukua goma
@YamunguMatamya
@YamunguMatamya 9 күн бұрын
Taifa lina kila kitu lakini limekosa hata zana za kivita za kisasa,Nchi ina raia zaidi ya million 100,inasumbuliwa na taifa lenye watu million 18,ama kweli DRC halina viongozi
@Shijajohn5084
@Shijajohn5084 9 күн бұрын
Eti wanasema hawataki kutumia siraha kubwa sababu wataharbu sana na kuuwa baadhi ya watu wao, haha ni ujinga kweli.
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 9 күн бұрын
Africa HOVYO kabisa
@andrewsifuna5673
@andrewsifuna5673 9 күн бұрын
Kenya tutaingia huko kuwafurusha wote
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 9 күн бұрын
Bado kitaeleweka tu!
@KelvinEmersonSteven
@KelvinEmersonSteven 9 күн бұрын
Duh hatari sana
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz 9 күн бұрын
M23 songa mbere
@MatendoMenganyi-xq8lx
@MatendoMenganyi-xq8lx 9 күн бұрын
Rwanda wanataka Tena vita ya kuwamaliza, wamesaau vilivyo uana
@Drgbjiumd
@Drgbjiumd 9 күн бұрын
Funga kinyua, wako wanawadanganya kilakitu ni rwanda na nyie mukaitika
@Clemence-t8z
@Clemence-t8z 9 күн бұрын
achakutudanganya unachokiongea tofaut unakichwa cha habari
@musalaben9080
@musalaben9080 9 күн бұрын
Habali za Uongo kbsa
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 9 күн бұрын
Taarifa za uongo hizo
@Leodimk-n5c
@Leodimk-n5c 9 күн бұрын
Karwanda na udogo wake kanaisumbiaje.mchi kubwa km Congo? 😊😊
@daddynamombas3898
@daddynamombas3898 9 күн бұрын
Kagame anajifanya anawapinga mabeberu kwa mlango wa nyuma ndio wanasaidia congo, alafu hata operations zao zoote zinalipwa na haoahao mabeberu hata kwa majeshi ya walinda amani
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 9 күн бұрын
Mmmmmh vita ni mbaya jmn
@AbdalahMtambuka-rh1dp
@AbdalahMtambuka-rh1dp 9 күн бұрын
miji usio kuanaofu yamungu niupuuz mtumtupu
@livingstonemulamu6468
@livingstonemulamu6468 9 күн бұрын
DRC is not serious about its security. How can a poor Rwanda walk over its Goma defenses?
@Tresormimbula
@Tresormimbula 9 күн бұрын
Exactly but at the same time if Congo fight back they will get sanctions but soon I believe Congo will have to officially declare a war
@FeliciaWilfredy-u7n
@FeliciaWilfredy-u7n 8 күн бұрын
Sasa hayo magodoro wanakimbia nayo ya nini jamani! Wayaache Tu wanusuru nafsi zao jamani. MWENYEZI MUNGU AWAOKOE JAMANI
@Tresormimbula
@Tresormimbula 8 күн бұрын
@@FeliciaWilfredy-u7n if I could translate it I could respond to you
@MatungeElias
@MatungeElias 9 күн бұрын
Unachokisema katika title ya habari na unachoeleza ndani ya habari ni incompatible" ultimatum and total surrender ni vitu viwili visivyo na maana sawa
@HussainMaula-f9b
@HussainMaula-f9b 9 күн бұрын
Hawana uwezo huo
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 9 күн бұрын
Nchi yao wameiuza kwa mabeberu vibaraka hao viongozi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 9 күн бұрын
Wanazambi hao m23 kuwazurumu mji wao
@karimmveyange280
@karimmveyange280 9 күн бұрын
Inasikitisha sana. Yani SADEC majesté hayana nguvu kwa M23?
@Shijajohn5084
@Shijajohn5084 9 күн бұрын
Shida wakitumia siraha kubwa eti wanaambiwa hamna hizo siraha haziruhusiwi, si ujinga huo
@bahatijuma8233
@bahatijuma8233 9 күн бұрын
Kabla SADEC hawajaenda jeshi la Congo watakuwa wapumbavu Sana,yaan jeshi la Nchi nzima mpigwe na kikundi cha watu wachache??Yaan Nchi inatakiwa ipate viongoz wa kijeshi wenye misimamo mikali wanaoweza kujitoa kwa ajiri ya Nchi na kulisafisha jeshi kutoa hizo impurities zilizomo au bas tu
@venancembwaga-uw6kb
@venancembwaga-uw6kb 8 күн бұрын
Congo inaitaji raisi asiyetaka depromasia,awewakunyosha m23
@habimanaamani
@habimanaamani 9 күн бұрын
Ebu acha kupoteza watu na ujinga wako eti M23 na Rwanda ?kwani unauhakika?
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 9 күн бұрын
Hilo neno na Rwanda huyo upotoshaji sema ni waasi wa congo
@shukurumsebaloli
@shukurumsebaloli 9 күн бұрын
Sio waasi wakongo niwanyarwanda acheni ujinga
@sureking7488
@sureking7488 9 күн бұрын
Ww ni mnyarwnda naona unatetea nchi yako
@MarySemkiwa
@MarySemkiwa 9 күн бұрын
Hao ni RDF sio M23. Waasi wanatoa wapi anti air missile
@SylvesterKameo
@SylvesterKameo 9 күн бұрын
​@MarySemkiwa Hakuna waasi walioweza kushinda nguvu ya wananchi. Awe Kagame na RDF yake, iwe ni M23 na vibaraka wao, watashindwa. tu. Dunia inataka amani! 0:43
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 9 күн бұрын
Bola wachukuwe tu
@JOHHMike
@JOHHMike 9 күн бұрын
We kaongo Rwanda ausiki na waasi
@GODENGUVULUTV
@GODENGUVULUTV 9 күн бұрын
Rwandais et son militeur et le M23 cet son des manteur pur luvunu lokuta nde armed na bango willy ngoma lokuta ndoki
@GODENGUVULUTV
@GODENGUVULUTV 9 күн бұрын
M23 des mansonge sur mansonge
@AllyMohamed-w5x
@AllyMohamed-w5x 9 күн бұрын
Waongo washenz nyie
@kavakurejeanBaptist-nk7jz
@kavakurejeanBaptist-nk7jz 9 күн бұрын
Sema m23 wameuteka mji wa goma Rwanda inauwezo wa kuteka congo yote ni m23 wameuteka mji wa goma
@ShalomOdua
@ShalomOdua 9 күн бұрын
Tu rêves jambe en l'air . Avec votre petite ville qui vous sert de pays, vous allez souffrir.
@justusmukurasi4383
@justusmukurasi4383 9 күн бұрын
So mauaji Kwa raia yasiwepo.please
@theafricanhauler3396
@theafricanhauler3396 9 күн бұрын
Unaamini huu uomgo 😂😂😂
@josuebashizi2363
@josuebashizi2363 9 күн бұрын
Bongo
@MosesGahutu
@MosesGahutu 9 күн бұрын
mbona muna isingizia Rwandan halafu na ww acha kuitaja Rwanda 🇷🇼 ata ww huna uhakika
@nyembobea7285
@nyembobea7285 9 күн бұрын
Kiukweli hata mimi siamini kama rwanda inahusika na vit hii nadhani kuna haja ya kuiangalia ufaransa kwa macho mawili
@mutabarukajohngas5371
@mutabarukajohngas5371 9 күн бұрын
Acha kuanza na title za uongo
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 9 күн бұрын
Gaidi nigaidi kwako wewe.. kwawengine ni mpigania UHURU will ngoma chapa hao
@viviananita5586
@viviananita5586 8 күн бұрын
Please switch off the music
@ManigabeDarius
@ManigabeDarius 9 күн бұрын
Le rwanda qui es considerent comme l'un des île du pays comment ça ? Par volonte ntre gouvernment
@Moïse-p6s
@Moïse-p6s 9 күн бұрын
Fause information, le tirant du M23
@IndalesioHenery
@IndalesioHenery 9 күн бұрын
Hao ndio wachochezi watu wa maghalibi
@jeps.e4305
@jeps.e4305 9 күн бұрын
Wapewe share Yao waende...why pour innocent blood
@GuelordBuyu-zc8zh
@GuelordBuyu-zc8zh 9 күн бұрын
Continue de rêvé Kinshasa
@augustinemainde
@augustinemainde 9 күн бұрын
Ujinga tupu mnaisambaratisha nchi yenu
@zahirallyzorro3940
@zahirallyzorro3940 9 күн бұрын
Sio kweli
@EricDaniel-do5rw
@EricDaniel-do5rw 9 күн бұрын
ACHA ujinga wewe na news za uwongo
@RAMPA_Dee
@RAMPA_Dee 9 күн бұрын
Congratulations my brothers and sisters M23
@onesphoryndomba6115
@onesphoryndomba6115 9 күн бұрын
Wanawaua watoto wanawashindwa hao m23 ni aibu kwa nchi
@issalyanali4119
@issalyanali4119 5 күн бұрын
Hii channel ipo kipropaganda sana ,,,
@henrybovick93
@henrybovick93 9 күн бұрын
Sasa sisi sud Kivu tutaingia hadi Rwanda
@THENEWWORLDB
@THENEWWORLDB 9 күн бұрын
Problem is people not look the root of the congo situation those citizen of congo they are victims because of their nature and speaking kinyarwanda call beligium to come to fix this problems caused to reduce borders congo leaders even not realize uganda we have Rwandese ,tanzania kagera but they are living peaceful why congo leaders
@AllyKeitaBungali
@AllyKeitaBungali 9 күн бұрын
Hawa jamaa wanapendwa sana
@augostinodaves5423
@augostinodaves5423 9 күн бұрын
Narudia tena, raisi wa DRC imuombe Raisi PUTIN na vijana wa umoja wa SAHEL waksaidie kupambana na wavamizi kutoka mchi ya RWANDA- M23
@gerrymimi9387
@gerrymimi9387 9 күн бұрын
Kwa nini tunairuhusu Rwanda kufanya uhalifu na uharibifu huu? Ni kweli nchi zote za eneo hili tumeamua kuwatelekeza wananchi wasio na hatia?
@THENEWWORLDB
@THENEWWORLDB 9 күн бұрын
Did you realise those innocent peopl3 speaking kinyarwanda living in congo because of colonisation
@PascalChimatu
@PascalChimatu 9 күн бұрын
Asa nanyie umoja wamataifa wasenge kwann msimpige ivi huwa mnakazi gan umoja umoja mbona hatuon mnacho kifanya ndoma laiya wakongo wanawatumuaga hamna kazi
@KisagasiLuyangi
@KisagasiLuyangi 9 күн бұрын
Wakati hao uongozi wa mataifa ndio wanaoifanya congo isitulie
@RuganintwariJeanJacques
@RuganintwariJeanJacques 9 күн бұрын
Ni wakongo wenyewe kwa wenyewe
@Dddma455
@Dddma455 9 күн бұрын
Rwanda itajutia matendo yake. Maovu inayofanyia inchi ya CONGO.
@ChizaJean-z7d
@ChizaJean-z7d 9 күн бұрын
Hio ni m23
@wakayakaya6
@wakayakaya6 9 күн бұрын
Kongo ina mali inashindwa kutumia mali yake kuimaliza Rwanada na kundi lake
@kanobayirelambert8400
@kanobayirelambert8400 9 күн бұрын
Utapoteza uwaaminifu wako kwenye chaneli yako
How to end the conflict in eastern DRC? | Inside Story
26:11
Al Jazeera English
Рет қаралды 208 М.
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Machafuko DRC: Je chimbuko la vita kati ya M23 na DRC  ni nini?
5:34
BBC News Swahili
Рет қаралды 107 М.
RR7125 TRANSKEI: SOUTH AFRICA'S BANTU HOMELAND
26:11
AP Archive
Рет қаралды 37 М.
🔴#LIVE: YANGA SC VS KENGOLD FC | LIGI KUU TANZANIA BARA
Mashambo Tv
Рет қаралды 2,5 М.
DRC: The Never-Ending War | ARTE.tv Documentary
25:07
ARTE.tv Documentary
Рет қаралды 510 М.
EXCLUSIVE!! KIONGOZI WA M23 ATAJA SABABU KUIVAMIA CONGO, ATOA MWELEKEO
10:40
Кем был убитый в Москве Армен Саркисян
16:59
BBC News - Русская служба
Рет қаралды 79 М.