Hongera sana mumy, na pole sana kwa machungu unayopitia na bado yanaendelea Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu. Yote hayo wanataka Mali wakati una watoto jamani Tafuteni Mali zenu Acheni kuwaza Mali za wafiwa
@EdnaMbowe6 сағат бұрын
Pole Dada na hongera kwa kupambana pamoja na majonzi ulionayo. Mungu aendelee kuwa Mtetezi wako
@audaxbizimana80846 сағат бұрын
Kumbe wake zetu wanahangaika tukifa😢😢😢😢😢😢😢😢
@sheckycobb52406 сағат бұрын
Ukimpenda na kumjali atakupambania sana tu
@lucypeter78045 сағат бұрын
Habari ndo hiyo🤣🤣🤣🤣
@MayleenDonaldharris5 сағат бұрын
Tunahangaika sana baby
@salomewandya72574 сағат бұрын
Kama ulikuwa nae pamoja kwa shida na Raha atakupambania hadi mwisho
@Bahati-v4m7 сағат бұрын
Duuuh kweli huyu mke na alikuwa mme wake kweli siku za mwisho
@ramajuma56207 сағат бұрын
Hyu mwanamke akifa moja kwa moja peponi maan anatambua anachofany wenyew walishaongea na mume wake mke wangu ee nifa nizike paleee na mke kasema mumewangu nikif nizike pale msiwangilie
@Jane-h1f6s7 сағат бұрын
Amelia sana na ni mzazi wiki ya pili atakuwa analia tuu ache ni maneno
@sheckycobb52406 сағат бұрын
Na mtoto mchanga???
@israelkisaila84016 сағат бұрын
@@sheckycobb5240yaa,anamtoto mchanga
@homeandaway28114 сағат бұрын
@@sheckycobb5240yes
@IreneMacha-g8o7 сағат бұрын
Mwanamke ataiacha familia yake na kuungana na mume so hao i mwili mmoja wanasikilizana nakupanga yao mwanaume kanunua sehem yak na kasema azikiwe hapo kwani shida ipo wap... mda mwingine wazazi nao wanazingua mtu kesha toka under 18 kaowa a anafamili watoto anamji wke why wazaz wapange anazikwa sehem fulaniii, mke keshasema bhasiii na ndo maagizo aliyoyaacha
@JoyceLucas-zk7nv5 сағат бұрын
Cheka na furahi na ndugu wa mume ngoja ufiwe na huyo ndugu yao, mh, hutokaa uamini kitakachotokea.
@joycefrances45167 сағат бұрын
Simama mwanamke,hakuna kuonewa tena sasa hv,walitaka waanze kuku control,wakunyang"anye na mali ,ndugu wa mume acheni gubu,mkae kwa kutulia,hayo mambo ya kizamani kuoneana wakat Mme hayupo yamepitwa na wakati,acheni.mambo haya ya aibu
@IreneMacha-g8o7 сағат бұрын
Ila wazazi bnaa...sasa marehe keshasema azikwe sehem fulani wao wanapanga kwingne utadhani huyo mtoto alikuwa ni under 18, vtu vingene bhnaa
@vibetz99917 сағат бұрын
Kwenye Hera mambo hayawezi kwenda easy easy😂
@samsonkivuyo95485 сағат бұрын
Hera ndio ni nn tena??.
@CatherineRegan-u2o6 сағат бұрын
Acheni kuongea uyo nitajiri mkubwa nando mkurugenzi wa mgodi wa California uwezi jua kuna maagano gani ndomana mke akasema azikwe alipo taka ao matajiri wa madini so mchezomchezo
@FortunataNguma7 сағат бұрын
Sheria imefuata mkondo wake Mungu akupe kibali Ndugu waache viere ere mjifunze hapo wanaume
@WilsonEmmanuel-bs6op7 сағат бұрын
Yan mm ninavohon hapo watu wanaangaika kwasababu ya Mali igekuwa hana Mali wasige msumbua maleem wagemzika popote
@bahatirobert10095 сағат бұрын
Tunajufunza mengi kwa kweli ndugu aisee
@JoyceLucas-zk7nv5 сағат бұрын
Wanawake tukifiwa na waume tunanyanyasika nakuchukiwa na ndugu wa mume utafkiri tumehusika kwa kifo hicho. Ila duniani hakuna haki haki iko kwa Mungu.
@homeandaway28114 сағат бұрын
NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE 📌
@kelvinmasungakilunguja75397 сағат бұрын
Ongera dada MUNGUautie nguvu mpumzishe mmeo na wafukuze wote kwenye Mali kaa na ndugu zako wapambane na Hali zao
@ElinahStephano6 сағат бұрын
Ndugu tuheshimu ndoa za watu bhan
@DicksonRichard-gj7qb6 сағат бұрын
Kibiblia kulia aisaidii kwa mtu aliyekufa, kinachotakiwa wewe uliye hai nikutengeneza na mungu kabla ujafa, lakini sio kila wanaolia ni maumivu ya watakavyo hishi baadaye
@KoleYasini7 сағат бұрын
Upuuzi mtupu,mke. yupo na bonge la faraja..
@judyngowi3917 сағат бұрын
Ulitaka akae uchi ndio ujue kafiwa
@TyaleMkoma6 сағат бұрын
Kweli wao wenyewe wamemfanya kuwa hivi. Ameona kumbe akilia tu anapokonywa haki za msingi.
@asiamalonji59626 сағат бұрын
Au ulitaka anyeeeh et
@AnaraelMpungu5 сағат бұрын
Mmm.mungu.mkubwa.ndg.nishida
@omarymbaraj80724 сағат бұрын
ila Nyinyi Wabongo Nooma sana.
@domymerinyo81656 сағат бұрын
Mke wa marehemu huko anajiita ukoo wa baba yako, sijatafuta mali za kurishisha ukoo mwingine mimi heri ndugu zangu wachukue mali
@farajaMezza-qn4be6 сағат бұрын
Pole sana, maana unadhani ndugu zako wanauchungu na watoto wako kuliko mama yao! Naomba Mungu mke wako aone hii na awe na kazi Ili ajijenge, maana mawazo yako ni ya kizamani sana, kumbuka kuwa mwanamke hata acha watoto wako wateseke kamwe!
@ThomasMichael-w3b7 сағат бұрын
One Sasa ulakuwao was Mali umewaumbua Kwanzaa sio nduguwake marehem hao
@smartonlinetv51447 сағат бұрын
Mbona tabasamu kubwa sana Kwa huyu mama? Mume hata hajazikwa mke yupo na tabasamu kama lote
@GraceMarine-vo9hu7 сағат бұрын
Ukikaa na marehemu muda mrefu moyo huwa unakuwa mgumu, ukumbe huyu marehemu anawiki nadhani inaenda ya pili sasa toka afariki, wamelia n.k hadi machozi yanakauka, na ukizi gatia huyu mama walitaka kumpitisha gizani, so yeye angeendelea kulia basi watoto wake wangeweza hata kukosa haki zao za msingi
@sheckycobb52406 сағат бұрын
Alishalia sana,anatanasamu ushindi,akirudi kuzika atalua tena,kila jambo na wakati wake
@Ajijji125 сағат бұрын
Safe
@jacklinelyimo74074 сағат бұрын
Bora ufe maskini mali zako wanakutesa nazo binadamu bwana
@alakomba68306 сағат бұрын
akina jombaaa kwenye hili mnatia aibu
@joyceraphael25867 сағат бұрын
Bora lakini Mbona umekauka hivyo? Mkavu utadhani hujafiwa
@judyngowi3917 сағат бұрын
Ulitaka afanye nini ndio ujue amefiwa,
@emmadora78487 сағат бұрын
Haikuhusu shoga wewe
@hellendaniel38097 сағат бұрын
Ukiwa huna hela unakuwa na roho ya makasiriko. Tafuta hela
@NtamamiloGibson6 сағат бұрын
Ulitaka atembee uchi mpumbavu wewe
@EdnaMbowe6 сағат бұрын
Mungu anakuona sio maneno ya kumwambia mfiwa na hujui analopitia
@hanifamziray2776 сағат бұрын
Aibu yao watajifunza
@MussaBakar-p2p5 сағат бұрын
Mbona hamkufika mahakamani kama mnahaki matapeli nyie mnatamaa na mali washamba nyie
@Fatima-v9k6f7 сағат бұрын
Apo ni sw
@MsevenSaudisaidi6 сағат бұрын
Mbona mke Hana majonxi
@mwajabumunna63986 сағат бұрын
Kashalia kachoka Sasa yupo kupambana ili amzike mmewe
@jumarajab53167 сағат бұрын
mtu hajazikwa mke wa marehem yupo kawaida kabisa kichwa wazi mungu nisaidie nisije kuoa mke wa hivi