Tunamuomba mungu sana muwe salama ucku na mchana mungu azidi kuwapigania ameeen🙏🙏🙏
@gogneСағат бұрын
Vyama pinzani vitulie tu kwa sababu raia tupo tuna jambo letu la kufuta bunge la kijani, bunge la ndio mzee!!
@BungeyiSaiboku2 сағат бұрын
Poleni Xana viongosi wapigania haki ya watu kutekwa
@MbokaRechadiСағат бұрын
Niheri kuwa na yesu kristo tumaini la maisha ya kweli kuliko viongozi wa Dunia hii wanaboa sanaaaaa wamejisahau wanadhani wao ndio miungu wakuuuu
@mchinatz93352 сағат бұрын
Viongozi wa chadema mnae moyo ingelikua ni mm nimesha acha kuwapambania wa tz siku mingi
@patrickprotas918454 минут бұрын
😂😂
@melch309733 минут бұрын
Kweli kabisa, kuwatetea wa tz, unahitaji moyo kama wa yesu
@RegnardiCharesiСағат бұрын
Tanzania mspo jiogeza mkiwapoteza watu Kama awa mjue mmepoteza amani yenu walide awa w2 wanawapenda watanzania😮
@JoannesGeofrey-qj7wvСағат бұрын
Poleni sana majembe yetu
@hashimkassim7043Сағат бұрын
polisi imefanya kazi vzr sana hakuna hata mtu aliyezabwa hata kibao RAISI BADO ANAWABEMBELEZA hamjajua tu
@DaudiMakaza10 минут бұрын
Mjinga ww unatetea cz n muislam mmelishwa matango na mishehe ynu mibeb majin
@IsayaKamomongaСағат бұрын
Namkubali sana Godbless Jonathan Lema!!! Penye mafanikio hapakosi mikiki mikiki, msikate tamaa wanaume.
@FidesferdinandikimtiKimatiСағат бұрын
Ulinzi wao uko vipi wakiachiliwa
@mindicarrashid3131Сағат бұрын
Wahangaikie nawafuasi wenu wapate zamana nawao wakalale nafamilia zao
@mussakimaro5588Сағат бұрын
Ili tupate maendeleo naona ni bora kuwa na chama kimoja vyama vyote vifutwe ili hicho chama kijuane wenyewe kwa wenyewe
@EdwardBallohoСағат бұрын
tanzania nzima mwanamme ni mbowe tu😂😂😂
@mdnsakuzi7732Сағат бұрын
Mnafanyiwa maigizo na wahuni mnakubali kabisaaa kuwa ni wapinzani,hivi mwizi wakuku adhaminiwe kwa hati za mali zisizohamishika lissu adhaminiwe kwa kitambulisho cha NIDA kweli??
@humphreyemmanuel781Сағат бұрын
Mungu awalinde muwe salama Kwa kutetea haki za watanzania
@sambenjamin59022 сағат бұрын
Hellow pipoziiiiii
@DicksonJaphet-fq7ovСағат бұрын
Pambana viongozi MUNGU Awatie nguvu 🙏
@ramadhankakai7303Сағат бұрын
Lakini Tanzania mna mzaha sana..si bora mketi nyumbani kuliko kufanya harakati ambazo hata hazina faida..kiongozi wa upinzaji anakamatwa ovyo ovyo kama machinga wa kariokor😂😂😂kama hamjui hizi harakati bora mkae nyumbani. Huu mchezo hata serikali yenyewr inawaona wapumbavu. Huku kwetu Gen z walikiwasha wiki mbili mambo Ruto akasalimu amri
@CopperBelt54 минут бұрын
Lema alikuja na mob ya Arusha moshi mbeya mwanza lakin siji kwanini hawakutoka barabarani
@DaudiMakaza15 минут бұрын
Mungu yupo na nyie chadem wananch wng tumetok ccm tunaingia chadema
@thomaskwibonelwa9240Сағат бұрын
Maandalizi ya haya matendo na matokeo yake viziwi, vipofu na vilema ipo siku watashuhudia haya taifa likiangamia! Kuna sehemu Kuna vuja. Na hapaonekani kwa wenye mamlaka!
@MkemiaKadonganСағат бұрын
Mungu awepamoja nao
@IllahRashidСағат бұрын
Hivi ni kwl aliacha kaz bbc
@PeterDaudi-z2zСағат бұрын
Daaa tunaishi nch ya ajabu sana
@AleiHadji-js3ed2 сағат бұрын
Tanzania Nchi ya Ajabu Sana Ktk makubaliano Tunakubaliana Wote Ktk vita Pekee yako😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😂😂😂
@abdallakassim8114Сағат бұрын
Viongozi TU je raia wa kawaida
@kudramzee5769Сағат бұрын
Na hao wengine mmewaachia au
@FadhilyOthmanСағат бұрын
Wangewaweka tu wakawauwa kazi kutia hasara taifa na na police wao ovyoo mi
@JoshuaJaphet-f9uСағат бұрын
Kwan walikuwa wanamakosa sasa😢😢
@DaudiMakaza12 минут бұрын
Kuanzia utekaj uvyoanz mm meamia chadem jpo baba angu n ccm na anapiga pesa uko ila mm rasm nazama chadema cham bor kwa xx
@Zanzibar-e4hСағат бұрын
Vyama vya siasa vifutwe wabak ccm vyama vingi ndio nini kupotezeana muda na ccm hawataki ushindani.kutaka kumiza watu kugeka watu kuuwa watu ndo nn turudin chama 1 .
@robertzamani56122 сағат бұрын
Mwamba huyo
@AleiHadji-js3ed2 сағат бұрын
Kuanzia Leo hiii Sitaki Siasa nimepanga nao pamoja ilaaaaaa wameniacha na mwanangu😂😂😂😂😂😂😂😂
@SaidHassan-ot3unСағат бұрын
Inakera ila siku watakapota akili kuwa walichukuwa wakikililia viongoz ni hakki hali itakuwa ni mbaya mnoo na hakuna wakuongea tena ni nchi ya watu waajabu sijawahi kuona.Ningeliwashauri viongozi watulie tu maana sisi tunaotetewa hatujakua teyar
@charleselijah-vq3hqСағат бұрын
Ni wagonjwa wakameze madawa jamani wasije wakafa bure Aksante Maafande wet kwa Uzalendo.
@gililwiseСағат бұрын
Utakufa wewe na watoto wako .wangekuwa ni ndugu zako wanauwawa usingesema hayo maneno .pamoja na ubabe wa mafarao haukuzuia Wana wa Israeli kuondoka utumwani misri.maana Mungu aliwapigania kwa kuwa kilio na machozi Yao ya kuonewa na kunyaynyaswa na kuuwawa na majeshi ya farao😂 yalifika mbele ya Mungu aliye hai ameen
@Joppa555Сағат бұрын
😂😂😂Kila mtu mfu mzee usiwe whack kwa level hiyo😊😊, sad enough unaweza ukadondoka wew wao wakawa bado wako hai, hakuna kosa kikatiba so kutoka ilikuwa lazima either wakanywe dawa au wakale bia😂😂😂
@StevenNyanguyeСағат бұрын
Hata mzazi wako anameza dawa ya msongo wa mawazo kwa maisha magum
@Joppa555Сағат бұрын
@@StevenNyanguye 🤣🤣🤣Easy..sema we mzaee unaonekana akili kiduchuu tako ndo kubwa😁😁😁
@KamiliKapeta-yr3uc2 сағат бұрын
Nyie wavuta bangiamkomenti
@TygerPixels2 сағат бұрын
Fikiria unachoandika kwanza
@Mariam-w9s3b2 сағат бұрын
Vp wale bendera yafata upepo
@abuialmarjibi979Сағат бұрын
@@Mariam-w9s3b😅😅😅
@StevenNyanguyeСағат бұрын
Hujawa sawa kiakili
@Mariam-w9s3bСағат бұрын
@@abuialmarjibi979 unacheka we si umeona kukamatwa kwa mbowe na Binti yake mawakili washafika na ata awajalala Leo Leo wametoka mbona wale masikin kama Mimi sijasikia ata kutajwa kama una akili timam utaelewa ni michezo tu itabaki pale pale tafuta ule na familia Yako acha kufata mkumbo