BREAKING: VITA YATANUKA URUSI NA ULAYA NA NATO HAPAKALIKI, MAWIZIRI WAAMUA UKRAINE ISHAMBULIE URUSI

  Рет қаралды 55,648

HABARI 24

HABARI 24

Күн бұрын

If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.

Пікірлер: 105
@user-po9wi5lh1o
@user-po9wi5lh1o 3 ай бұрын
Putin anasubili wanze ili asije akaonekana yeye nimbaya wakione Cha moto
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 3 ай бұрын
WAAFRICA TUJIPANGE TUACHE KUWATEGEMEA WAZUNGU HUU NI WAKATI WETU WA KU,ALISHA CHAKULA CHA KUROAHA.
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o 3 ай бұрын
Sahihi ulaya kutachafuka soon
@ga2revocatus91
@ga2revocatus91 3 ай бұрын
Ruto na samia wakikusikia mmmmmmhhh
@golebenson4597
@golebenson4597 3 ай бұрын
​@@ga2revocatus91😂😂😂 biggest point
@user-fm5md9xn5g
@user-fm5md9xn5g 3 ай бұрын
Marekani hapoi
@RamaTraceur
@RamaTraceur 3 ай бұрын
Angalizo ‼️ Hatutaki wakimbizi Africa. Mkae huko huko na Ma nyuklia yenu..watu tushaanza kutoka kimaisha.nyie mna mchokonoa putin. Ngoja sasa awashe moto.🤔🤔
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 3 ай бұрын
Umenivunja mbavu
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd 3 ай бұрын
😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Acha Putin awashe na wao wawashe😂 tuone.
@User-mo9ox
@User-mo9ox 3 ай бұрын
Na Urusi ishambulie ulaya
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 3 ай бұрын
Ajidanganye😂😂😂😂😂
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 3 ай бұрын
​@@liberatusjackson5045Ulaya pamoja na Mungu wa Marekani watapigwa na Mrusi...Mimi naishi Marekani kwa hivyo huwa nafatilia habari za wanajeshi walio staafu wakisema kwa hivi sasa Mrusi ndio mbabe wa dunia...Media vikupa kama CNN,NBC,BBC, huwa hawatangazi ukweli kwa sababu wanakontroliwa na Serekali
@sbboymkaliofficial9108
@sbboymkaliofficial9108 3 ай бұрын
​@@liberatusjackson5045 ivi unajua ulaya nzima na NATO ata ziungane hazifikii nyuklia za urusi ulaya yote ufarasa ujerumani UK USA pamoja na nchi zote zina miliki nyuklia 5,000 Kwa jumla na urusi pekee Bila kumuingiza china au Korea anamiliki nyukli 6500 Kwao lazima wajipange pia urusi moja nikubwa kieneo kuliko inchi yoyote Dunia maana ndani ya urusi kuna see Ni usiku uku seem nyingine Ni mchana kwaiyo urusi Ni nchi kubwa sana ndugu yangu ndo maana wao Wanaumiza kichwa jinsi ya kuishambulia urusi wasije wakakurupuka Wakachakazwa urusi sio siria au Irani au Iraq urusi sio muarabu Ni Mzungu mwenzao Kwao lazima waende Kwa tahazali sio wajipeleketu 😂
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 3 ай бұрын
Ndiyo
@user-jf7is4fk2v
@user-jf7is4fk2v 3 ай бұрын
jamani hawa machoko hata waungane vipi mrusi ni shauri kubwa watauwawa sana hao nato
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 3 ай бұрын
Pigeni tu ili mziki uwe mtamu. Sisi kazi yetu ni macho tu.
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 3 ай бұрын
brother....NGANO na MAFUTA vilipotea,,huwez kusema YETU macho nakwambia huto ENDA hata CHOONI...mafuta, VIPULI, usafir,SIMU /network vyote hivyo huto PATA...ulikatika mkongo wataifa massaa 3 TU tulitafutana sasa wakilipua KABISA huo mkongo SINDIO WATU WATA Baki hoi.
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 3 ай бұрын
@@daudimaniseli759 wapige tu ahhh kwani nini sanasana? Waache wapige tu
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 3 ай бұрын
Ao Wahuni Wamaghalibi Kilasiku Putini Anawakalisha Vikao Viva Putini😂😂😂😂😂😂
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 3 ай бұрын
Viva
@user-ju3jy7jy5e
@user-ju3jy7jy5e 2 ай бұрын
Hamna busara yoyote kati yahizo nchi ulizo taja mtangazaji hao ni vichaa tatizo hamja liweka wazi ulaya inategemea afrika kwahiyo afrika inaenda kujitambua kwamafunzo kutoka urusi hapo ndipo chuki imeanza namchochezi mkubwa ni mfaransa nahuyu ndio chungu nakino chamauwaji nababa la materorist.
@USAIDforRichardMooresAgency
@USAIDforRichardMooresAgency 3 ай бұрын
Stop Fighting Help Homeless people ✌️
@user-hj4bc5uh2x
@user-hj4bc5uh2x 3 ай бұрын
Ufaransa wanamchukia mrusi kwasababu ufaransa uchumiwake upo africa kwaiyo anajua putin kalitibua
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 3 ай бұрын
Kweli
@user-yn3ve7gi2r
@user-yn3ve7gi2r 3 ай бұрын
Mchambuzi bado saan hajawa waz kabsa
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 3 ай бұрын
Huyu ufaransa ni mke wa marekani na nimiongoni mwa wachochezi kwenye huu mzozo
@donaldmgunda4970
@donaldmgunda4970 3 ай бұрын
Usisahau ujeremanii na wengine wengiii
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 3 ай бұрын
Na urusi iruhusiwe kuipiga ulaya nukes na jarobuni muone😂
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 3 ай бұрын
Hawa watu nishawachoka kwanini wasianzishe vita kamili kama wanaiwaza urusi
@user-pk4qq6kn9c
@user-pk4qq6kn9c 3 ай бұрын
Wamefeli
@RespinaRuben-qi6te
@RespinaRuben-qi6te 14 күн бұрын
Rais wa ufarasa ana asira na urusi maana putin ameisadia sana nchi ya buknafaso, kwahiyo razima awe na asira ila kwa urus mmmh
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 3 ай бұрын
hapa PUTIN/RUSSIA iwachape na hao NATO
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 3 ай бұрын
Wachawi wote waungane Russian tupo tayali kupigana na yeyote na WA Africa msiokuwa upande wa Russian ni watumwa na bado mnatawaliwa huraaaaa team Russian
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
NATO wanahaha,vijana wa kujitolea kutoka usa wamekimbia
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
Macron akili ndio maana alipigwa na mayai
@user-qp5vi9yt6m
@user-qp5vi9yt6m 3 ай бұрын
tena alipigwa hadi makofi
@mohdrajab5818
@mohdrajab5818 3 ай бұрын
Wana malengo yao kupekeka majeshi ucraine lakini watambue kama Urusi atawaonyesha,,,,
@sultanmohammed8634
@sultanmohammed8634 3 ай бұрын
Ulaya hawezi nakama watazimishwa Ulaya maneno tuu wa najuwa kuwa mrusi sio michezo Ulaya ifutwa kt map ramani
@Rune-m6i
@Rune-m6i 2 ай бұрын
Ukimaluza ukweni under kongo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Kama Putini anajua mamluki wa Ufaransa wako Ukrein aishambulie Ufaransa sasa😂😂😂😂,
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 3 ай бұрын
Wamangaribi ni mashetani wanapenda vita
@HusseinSaguti-sj9nh
@HusseinSaguti-sj9nh 3 ай бұрын
Mazungu ovyo sn Yameungana kwakumuogopa urusi 1 tu Aambiwa umoja wakujihami Woga umewajaa yanachojua ni wiz tu
@user-mm9qr7em8k
@user-mm9qr7em8k 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂azisheni mumalizwee .nass tupate nafasi .yakupungua kuibiwa
@user-sy4ku4xm7q
@user-sy4ku4xm7q 3 ай бұрын
Yani urusi ikubali wakati nyie ndo mmefeli kweli akili hamna yani msipokuwa macho ukraine imeenda. Yani nyie endeleeni kujikuna. Pesa zenu zinaenda bila usaidizi wowote nyie kaeni chini NATO yenu mmeishiwa mbinu akili hamna
@andrewpeter7492
@andrewpeter7492 3 ай бұрын
Na ufaransa wapo vizuri kijeshi
@user-xk4os6jx8x
@user-xk4os6jx8x 3 ай бұрын
Zina maeneo madogo na idadi kubwa ya watu 😮 ukipiga unauwa wengi
@EmanuelIdd
@EmanuelIdd 3 ай бұрын
Mungu wa mbinguni atangulie kwenye hilo
@user-cw2nj4io3v
@user-cw2nj4io3v 3 ай бұрын
Ulaya mnatpigwa nukes, acheni upuuzi!
@user-dj6rr4lu4p
@user-dj6rr4lu4p 3 ай бұрын
Duuh urusi anasumbua myamba vichwani mwao
@adamchaka-vl7yk
@adamchaka-vl7yk 3 ай бұрын
Mikwara hiyo,kwani wameshakaa mara ngapi!.Putin piga manyang'au hao.
@Rune-m6i
@Rune-m6i 2 ай бұрын
Kawasiidiye kongo
@didaslunkoto
@didaslunkoto 3 ай бұрын
Ulaya isipoishambulia urus, China itaivamia Taiwan, Iran itaishambulia Israel na Korea kaskz itaishambulia Korea kusin. Hivyo ulaya ifanyea haraka kuishambulia urus ili na wengne waogope
@simonmwashambela3233
@simonmwashambela3233 3 ай бұрын
Dah kweli hicho kitu akiwezi tokea kwa mzki wa putini awawezi kabsi wameshindwa
@miruhongin
@miruhongin 3 ай бұрын
Kwa nini watume Ukraine siwa pige wenyewe
@rahmajaffar794
@rahmajaffar794 3 ай бұрын
Sasa hatari inaanza kuzidi yarabi wape nguvu wanaotetea haki na wasiopenda batili. Mungu wetu tuepushe na kila shari inayotokana na waovu na wadhoofishe kwa nguvu kubwa wanaokusudia kufanya fujo ndani ya dunia hii.
@matukutajuma156
@matukutajuma156 3 ай бұрын
WAZUNGU WANAMALIZANA SOON
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b 3 ай бұрын
abari za jioni WD je nitapaje kuwa mshirika wenu natamani sana kuongea na ujerumani
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 3 ай бұрын
2:44 sio maeneo madogo Bali zitapotea kabisa, patriot ndio nini😂
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 ай бұрын
Wacha wamchokonoe putin . Aki switch button ON kwa ile broofcas ya nuclear control ulaya nzima watazima majivu maana ni mara 💯 ya Hiroshima na Nagasaki
@cholophone4221
@cholophone4221 3 ай бұрын
Putin anasubiri wajichanganye tu awashe moto ulaya
@user-sd5hj2im4q
@user-sd5hj2im4q 3 ай бұрын
Urusi ypo tyr kimazungumzo ulaya kiburi
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 3 ай бұрын
ulaya wanategema afrika kukua kiuchumi. kinachofanyika hapa, ni hasira zao dhizi ya urusi pale nchi nyingi za afrika ambazo zimekuwa zikinyonywa na magharibi kugeukia urusi. hasa afrika magharibi ni makoloni ya ufaransa, na ndo yamekuwa akikuza uchumi wa ufaransa. kwasasa ufaransa ipo hatihati kufirisika. sasa wanataka kumpiga mrusi kutuma ujumbe. kitu ambacho mrusi hatokubari. uchumi wa dunia utakufa. hapa itabaki uchina kama taifa kubwa na afrika itaanza kukua kwa kasi. hapa natabiri
@user-hm9ir7yz4z
@user-hm9ir7yz4z 3 ай бұрын
Tumewachoka wajinga nyie, kila siku makelele tu silaha hamtoi na mrusi hamumuwezi mnakazi ya kutumalizia bando tu. God Bless Russia....
@miruhongin
@miruhongin 3 ай бұрын
France iko naongea myaka bili sasa washa sahidia kilakitu wali tumaba wa pigana Ukraine wali ishia wapi
@Kibudu
@Kibudu 3 ай бұрын
Ulaya ipigwe,, URAAAAAAAA to Russia
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 3 ай бұрын
Ulaya atakiona
@RichardLufyega
@RichardLufyega 3 ай бұрын
Kama urusi haitakubari kufanya mazungumuzo itakuaje
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 3 ай бұрын
Putin ana lolote nyie mnaeshabikia urusi ngoja muone chamtemakuni
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Urusi atapata kipigo kikubwa sana
@aidandamian2566
@aidandamian2566 3 ай бұрын
Macron ana hasira makolon yake meng urus ameyaingilia
@jacksonmwakatika2372
@jacksonmwakatika2372 3 ай бұрын
Vita ikapiganwe USA sio nje ya USA tuone ujasiri wa nchi hiyo kujilinda na kuwalinda raia wake.
@mariamumechara3398
@mariamumechara3398 3 ай бұрын
Uko poa laisi wa ufalasa
@EmmanuelGwisu-dy4ck
@EmmanuelGwisu-dy4ck 3 ай бұрын
Macron unapeleka wapi nchi Yako?
@qassimislam5291
@qassimislam5291 3 ай бұрын
URUSI pekee anawasumbua Hivi CHINA atakuwa wapi kweli nimesahau KOREA nawale jamaa waliopata msiba wanyekauli mbiu ukitupiga tunapiga hapohapo wa IRAN mmmh 😂😂😂
@josepheriah5977
@josepheriah5977 3 ай бұрын
Mwisho wa urusi umefka sas
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Ata Mimi naona, watamchapa tu.
@HajiMwanz-to3vg
@HajiMwanz-to3vg 3 ай бұрын
Viva putin viva afirika
@JuliusSenyael-ej6hg
@JuliusSenyael-ej6hg 3 ай бұрын
Tutawapa kibarua cha kupalilia kahawa wauni tyu Hawa VIONGOZI waafrika wafanye utopolo
@HusseinNkuna
@HusseinNkuna 3 ай бұрын
ila putin ni kiboko yani nchi za ulaya na amerika zote zinashindana na mtu mmoja tu😀😂😂
@MaugadoMaugado
@MaugadoMaugado 3 ай бұрын
vita ya 3 as coming
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 3 ай бұрын
SASA MNAOGOPANINI ??? INGIENI MUONE KIDUDE ANACHOTEMBEA NA PUTIN. MANA HAWAJAONA KAZIAKE. MMEZOWEA KUWAUWA WAARABU NA WAAFRICA. PUMBAVUZENU INGIENI MAZIMA NATOOO😂😂😂😂
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 3 ай бұрын
Urusi akuna kituu achane na vita
@issalyanali4119
@issalyanali4119 3 ай бұрын
Kwani majimbo aliyochukua urusi kule Ukraine yamerudi,,,nijibu😂
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Muda si mrefu putin chaliiiiii
@user-ie3lw9eb6p
@user-ie3lw9eb6p 3 ай бұрын
Russia itawakosowa hao wa magharibi kwa vile watajutiya
@josepheriah5977
@josepheriah5977 3 ай бұрын
Putin afe
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 3 ай бұрын
Mmetuchosha bwana
@miruhongin
@miruhongin 3 ай бұрын
Mtatu mtoto na nyinyi wa kubwa mupo
@dela78895
@dela78895 3 ай бұрын
macron hida yake ninini
@josepheriah5977
@josepheriah5977 3 ай бұрын
Putin kashindwa
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Anachapika vizuri tu.
@user-hi8go7pk4t
@user-hi8go7pk4t 3 ай бұрын
Wataweza.kupambana.nambabe.putini.watakufa.ulaya.watajilaumu.kamaputini.ataoiya.ngamiza.ulaya
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 3 ай бұрын
Wewe una ijua NATO urusi mwenyewe anaogopa
@user-sj2ii4gm7z
@user-sj2ii4gm7z 3 ай бұрын
Ndio, unacho kisema ni kweli NATO wananguvu, ila sio kwa MRUSI. Ujuwe Kama wameharibikiwa sana uko Ukraine, ivyo wana hasira sana ,na kama wangekuwa na uwezo wangekuwa wamekwisha ishambulia Urusi. Kumbuka ilivyo kuwa Iraq na sehemu zingine.
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Atachapwa huyu putin
@raymondmushi9019
@raymondmushi9019 3 ай бұрын
Hongera sana ufaransa kwa kufanya maamuzi ya kupeleka wanajeshi huko ukreini.na wengine wa nato wafanye hivyo.huyu puting anataka kuiabisha nato.hiyo haikubaliki.lazima apigwe.
@JohnValle-xn1dx
@JohnValle-xn1dx 3 ай бұрын
Putin ameshafeli anabidi akubali kishindwa , akilazimisha ataangamia mwenyewe maana hata wa Rusi wamesamchoka pia
@hamisisalum6116
@hamisisalum6116 3 ай бұрын
Duh, we jamaa vipi? umetoka usingizini au?
@meckmussa1840
@meckmussa1840 3 ай бұрын
Ngoja afundishwe adabu
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Паша Осадчий
Рет қаралды 2,8 МЛН
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 7 МЛН
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 1 Серия
40:47
Inter Production
Рет қаралды 1,2 МЛН
Putin says capture of Donbas region Russia's 'primary' goal | AFP
0:54
LIVE: Putin hosts economic forum in Russia
3:13:11
The Times and The Sunday Times
Рет қаралды 10 М.
Musk See TV | Elon, Inc.
25:22
Bloomberg Podcasts
Рет қаралды 837
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Паша Осадчий
Рет қаралды 2,8 МЛН