Never Joke With Daktari alitoa uchawi live on camera🔥 kzbin.info/www/bejne/p4XTq6RplLmDn5Isi=FesKGhb8xXUeMP-t
@TitusMutemi-y4b3 ай бұрын
Broh lakini kisiii bona Kuna wachawi hivoh do maana watu wengi wakataa kujega kwao kisii..
@jacksonkarisa57943 ай бұрын
Mungu ndo ataweza kuondoa zhida zàko mupe mungu maisha yako
@ادنىاددنى3 ай бұрын
Nice work gusii ulifanya kitu poa wakue na adabu
@FaithMpendwa3 ай бұрын
Naogopa wakisii
@evelinemose99593 ай бұрын
Mbona asikuwekee Kinga kwa boma lako insteady anatoa wakirudisha uchawi na y asikamate mwenye anaweka huo uchawi ndio amwangamishe apo Kuna mchezo bana. Ghai afanye kitendo watu wa nachezea wengine
@SylviaNyanchama-m1b3 ай бұрын
Alisema anaweka ya kwanza kama uliona
@rosebullens51553 ай бұрын
Happy to see you again together be blessed
@jennifermuthio96433 ай бұрын
Tunataka ya Eugene na Becca
@MaryAyona3 ай бұрын
Waaaaa mimi sipendi wachawi kaka ni mutu wako wakaribu kaka ni mungu tu asaidiye
@emilymideva87833 ай бұрын
Uchawi is real kwangu nimetolewa vitu mingi sana haki hadi nashangaa kweni watu wanatanganga nini jamani.
@AbiiKeter3 ай бұрын
Danganywa tu na uwamini
@AliceWajiku-g5s7 күн бұрын
Maajabu ya mungu haya
@mercykinjabe55723 ай бұрын
Mbona mupendi mungu
@mashiassenga88493 ай бұрын
Ungewawekea kinga basi juu watu hawapendi kuona watu wakikaa vizuri au wakisaidia family yao iyo ndiyo shida
@norahmorebi46053 ай бұрын
Brighton huyu mzee mpee cjogooo kwa bill yangu wakisii aki amungu 😂😂😂
@catherinemakokha14003 ай бұрын
Director kua mpole acha kaziifanywe na mwenye anajuu juu huna kinga .
@joycemoraa77793 ай бұрын
Great you are back with your hubby❤
@zipporahkemunto44093 ай бұрын
Same same vile levyne alifanyiwa
@zinabmuss81573 ай бұрын
Haki wachawi mungu anawoana vile mnatendea watu ona vile wamemfanyia Angie B ata mwili yake vile amekonda Angie mambo itakua sawa no worry
@josephatogori20863 ай бұрын
Na story ya eugine ilienda wapi
@janemutheu32373 ай бұрын
Hawa washaamini watu kabisaa,nawakumbusha amelaaniwa anaye mtengemea mwanadamu
@AmyMuindi3 ай бұрын
Wakisii na uchawi 🥀🥀
@Nancybosibori-sz5nb3 ай бұрын
Kumbe unchawi sii mchezo ni Mungu tuu
@MR.SHADRIGHT3 ай бұрын
Mjuwe Brighton mtu Ana waroga n mjuukuuu tu wa wa chawi😢😢😢
@Gladnessmichaell-kr1tm3 ай бұрын
Naomba namba ya daktr pls nipo tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jebokosgeikosgei69913 ай бұрын
Uchawi yenye iko kisii walai ni mungu tu
@JosephineEshiwani3 ай бұрын
Brighton naitaji.huyo.doc..haki.unipea.no.yake haki
@chebetkibiwott95183 ай бұрын
Kuna family member ako in this
@jennifermuthio96433 ай бұрын
Nataka Becca akikula nyasi,juu ya hio kiburi yake
@HannahNjaramba3 ай бұрын
😂😂😂itabidi ungoje
@kerry22893 ай бұрын
The only protection you'll ever have, is God's protection. Yani, you choose to trust your fellow human for protection than God's! (PSALM 127: 1) it says; " unless God watches over a city, the watcmen stands gurd in vain!! Wacha sarakasi mingi! Sema tu unatengeneza content 😂
@DorisGakii-cf2lq3 ай бұрын
Becca wapi banaa
@mesa-he2tt3 ай бұрын
Na Becc walienda wapi
@CeciliaMwende-b7j3 ай бұрын
Pl nitumie no ya Huyu dactari
@Jacintanabwera3 ай бұрын
Nipitie ni kupitie guys tu grow wote
@LydiaKarioki3 ай бұрын
Ndunia yaisha watu wako na wifu jameni, ukiwa masikini wanakucheka, ukiniliwa wanakufuata, which is which now
@zipporahkemunto44093 ай бұрын
Wachawi hakuna mahali hawako
@millycate3 ай бұрын
Kuolewa na mkisii noooooooooooooooo😢😂😂😂😂
@AnnastanciaOyaro3 ай бұрын
C lzm tafuta kwenu ndo hakuna wachawi
@judynduku12343 ай бұрын
Nishai jionea uchawi live kisii😂,, siwezi olewa Tena huko🤸
@ShammaShamma-sl5gp3 ай бұрын
Stress 😂😂😂😂😂😂
@millycate3 ай бұрын
@@AnnastanciaOyaro 😹😹😹😹😹ungeogeza comment yako hapo chini madam achana na yangu shame on you guok