alaf Kuna bundi Wana SEMA hooo daimondi anamuezaa bunboy iyo Dunia sio ayoo mavi yenuuu
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
@Brunotarimo103 ай бұрын
Big up Burna boy❤
@Michealfarah-n1w3 ай бұрын
Anaitwa burna moto,🔥🔥🔥🔥
@DissahPlusson-jp2qj3 ай бұрын
Burna boy I will see you my artist, champions
@mtzhalisi22323 ай бұрын
Noma sana
@kshayofurniture29413 ай бұрын
Akitoka hapo anaenda kununuaa private jet na chenji inabaki ya kutosha kabisa pesa ni ndefu mnoo hiyo
@EdsonyMashaka3 ай бұрын
Uwezo wa mxanii Taifa lugha vinawabeba xana
@Symoob5c3 ай бұрын
Kumaanisha wenu hawajui kiingereza ama😂😂
@samuelmwatsuma44623 ай бұрын
Jamaa za tswala bam wanafurahia goma lao kubigwa live... alafu mnasema wangefanya na Asake wa tandale
@DewGroupTech3 ай бұрын
Nimependa stage walivyo design it's burna boy opposite Double B stands for "BurnaBoy"
@MakameJumaa-f2y3 ай бұрын
Juzi tu kunamtangazaji kasema wabongo tumewakomesha wa Nigeria akiwemo banaboy😂😂😂
@shabanimataka84183 ай бұрын
Nani middle?
@josephndunguru62903 ай бұрын
Duhhh huyuu mwamba ni atali Sanaa,
@dannysengata22983 ай бұрын
Kuna mtu juzi kasema amewakomesha 😂😂😂😂
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
Kumbe na wewe ulimskia 😅😅
@humbleshoal3 ай бұрын
@@ghettolandentertainment7701 Jamani naombeni niambie ni nani
@ibrahimjustine37713 ай бұрын
Mwambino chizi tuh
@khamso-2543 ай бұрын
😂uchokozi sasa😂
@priscamrekoni34513 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂🙈🙈🙈
@michaeljuma2543 ай бұрын
Diamond ni msanii mkubwa ila hajafikia ukubwa huu, diamond platnumz ana safari ndefu zaidi
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Ni mkubwa na amefikia huo ukubwa kwa sana tu
@شيخالروحانيسيدميططرون3 ай бұрын
Allah amembariki mondi si shetan Iko siku atapita hio level ❤❤❤❤❤
Hivi huoni hata aibu kumtaja Allah kwenye vitu vya namna hii?
@HakisaniTv3 ай бұрын
Burna Boy ni NAMBA 1
@theresekwizerimana40443 ай бұрын
Nyinyi wajingasana mukose kumupongeza mu tanzania wetu mupongeze mwenye hanahatasamanikwenu
@MajutoElliasi3 ай бұрын
Mond arijaza kuriko bana boy kweri vituko na vichekesho kuwafikia hawa kizazi kitakacho kuja
@hamishatibu6993 ай бұрын
Yule alieimbishwa mchana na watu 64 tu, anajisikiaje akiona hii video 😅😅😅
@kshayofurniture29413 ай бұрын
Hawa jamaa hatuwawezi bana we better join them
@salehally-y8p3 ай бұрын
Hii tabia ya kusema tumewakomesha wanaijeria tuache kusema wenzetu wako mbali sana tena wanaimba hawapigi kelele.
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Watu kama nyie kwenye maisha halisia huwa maskini sana uo ndio ukweli hahahaha
@aboudasilver65413 ай бұрын
Mwambieni Simba aache mdomo 😂😂😂
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
Eti amewakamata 😂
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
@d255tv watu wanajaza viwanja then wasanii wetu wanashangilia TikTok challenge ya Chris brown..
@albertkadyanji97223 ай бұрын
@d255tvuyo bundala nae si choko kama machoko wengine hahahaha Comasava
@collinndabi19143 ай бұрын
@d255tv bundala kangata na kupuliza hapo hapo
@johnsonzuma49323 ай бұрын
Haliye kuwa Norway kasema ali wakomesha 😃😃😃 bado sana kwake huyo ni kinda😄😄😄😄
@athumaniamani99053 ай бұрын
Mpen Salam Mr mwambino
@zubeaslay65663 ай бұрын
Alafu Asake wa Tandale na Komasava yake eti atamuweza huyu😂😂😂
@alzawahirabdallah22993 ай бұрын
Yule ni kumasava
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
@FrankSamson-r6s3 ай бұрын
Mwanenu asingekuwaga kiredio tungekuwa nae sako kwa bako tatizo mdomo😅😅😅😅
@wekezauchumi74403 ай бұрын
Hiyo pesa kwa huku ni sawa elf 10 ya kibongo...uwe A3 ndo uelewe nililichomaanisha
@MohammedBwanga3 ай бұрын
Hapana watu wengi hawaelewi ukiacha bahati na kipaji lkn kubwa Zaidi ili ukubalike kimataifa ni kuimba kw kutumia lugha za kigeni km English,,french,Spanish NK burnaboy ni muimbaji wa kawaida Tu ila Zaidi ni namna ya kuwasilisha ujumbe wa nyimbo kw lugha zao ivi km huyo mondi angelikuwa nondo zake anaziwasilisha kw lugha za ulaya ingelikuaje?ivi km anakuja kutumbuiza East Africa unadhaani wengi watamuelewa Nani?
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Bora wewe umeliona ilo wao kama ni wakubwa waimbe kinaigeria ndio watajua hawajui ivi unazani lugha yetu ingekuwa kingereza mbona pasingetosha wabongo wengi ubongo wa kufikiria na kuwazua mambo ni mdogo sana
@MohammedBwanga3 ай бұрын
@@albertkadyanji9722 kabisa
@shongatv12243 ай бұрын
Kwan diamond hajaimba nyimbo za kingereza jaman @@albertkadyanji9722
@HASSANBAKARI-q9c3 ай бұрын
MNAWAPAISHA WENYEWE KUMBE,,,AFU BADAE PYOKO PYOKO
@chiragahmbura95233 ай бұрын
Ingekua Msanii wenu hapo Tanzania🇹🇿 amefanya hivyo Dunia na Mass na Pluto zingejua 😂😂 Anyway acha nifate mambo yangu
@DannyElias-t3v3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@NELEWARDYMWASILE-dn1ll3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@marleshjimmy19723 ай бұрын
Umemaliza vizuri 😅😅
@MOREDI20243 ай бұрын
Yeye anapewa ngapi?
@bryanzeconfesor54763 ай бұрын
Wabongo bana... Mnapenda kusimanga vya kwenu
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Umeona yani tatizo wabongo wengi wana maisha magumu sana chumba kimoja kajitahidi sana chumba nasebule ivyo wakiona mtu anaejipambania kajipata badala ya kumsupport wao hutamani harudi chini hahahaha ndio mana fanya research wanaomponda Mondi asilimia 80 wana maisha magumu sana komenti zao ni za kimaskini maskini na chuki nyingiiiiiiii
@abedarakaza90173 ай бұрын
@@albertkadyanji9722akuna bana huwezi kupinga uwasilia. Kwani kivyako na wewe unaweza kukubali kama mondi anaweza kushindana na wanaigeria ao siyo🤣 daah iyo nikuringanisha mbingu n'a ardhi bro
@albertkadyanji97223 ай бұрын
@@abedarakaza9017 ukiwa na mawazo hayo hasi utabaki ivyo ivyo na mafaniko kwako utayasikia kwenye bomba tu kabla ya uyo b boy kulikuwa na wizkd davido huyo tukawa hatumjui ss ameanza na kuja kufanya collable na Mondi na harmonize tz alikuwa wakawaida tu ila kwakuwa alikuwa na strategy zake za kufika mbali kapambana na pdidy akamshika mkono na kumtambulisha na yeye ninafsi katia nguvu zake kafika apo pamoja na wananchi wao wamempiga support kafika apo alipo na kumbuka awaimbi kinaigeria hao wanaimba lugha inayotambulika duniani kote sasa kwanini Mondi asifike uko siku moja pamoja na kwamba watanzania wenyewe ndio kama nyinyi wenye akili za kufeli kimaisha hahahaha Mondi atatoboa tu japo wachawi nyie ni wengi ila kwa uwezo wa MUNGU atatoboa
@wekezauchumi74403 ай бұрын
@@abedarakaza9017akili zako ndogo sana
@emmanuelmmbaga52093 ай бұрын
Diamond, analia na nyerere, 🤣😭😂😂 Kiswahili ni kizuri lakini inakost sana Hiyo ilikuwa ni kwa diamond km na sisi tungekuwa tunazungumza kingereza.
@FahadAbubakari3 ай бұрын
Izo ni idea za kijinga mnooo kama ishu ni English Kenya, Uganda, Malawi, Zimbabwe kote Kuna wanamuziki na wanatumia English kuimba nyimbo zao haya msanii gani kutoka izo nchi anaweza jaza uwanja kisa tu anatumia English? Ni zaidi ya hayo mnayodhani jamani Kuna sababu lukuki kwanza icho kizungu wanachoimba wanigeria hata hao kina mondi wanaweza kuimba ila mbona hawajajaza sehemu kama hiyo fikirini nje ya boksi sio kuganda na hoja ndogondogo tu izo
@albertkadyanji97223 ай бұрын
@@FahadAbubakariAcha kuongea pumba wewe unatumia ubongo kweli kwenye kutafakari Kiswahili kina impact gani Kiswahili lugha ndogo sana kuna nchi unaenda hawajui icho Kiswahili kinatoka nchi gani utafananisha na kingereza kimetapakaa duniani kote punguza chuki na mihemuko
@FahadAbubakari3 ай бұрын
@@albertkadyanji9722 sawa muongea point , narudi palepale Kenya, Uganda, zambia, Zimbabwe Hawana wanamziki? Coz wao wanajua kiingereza na wanaweza imba kwa kiingereza, kingine Nigeria 98% wanatumia pidgin English ambayo pretty much mtu mwingine ambaye si mnigeria kuelewa it's damn hard
@FahadAbubakari3 ай бұрын
@@albertkadyanji9722 mnashindwa kujua strategy wanayotumia winegeria kabla ya kuanza kuongea icho kiingereza sisi huko wanakojaza hivyo viwanja tupo na ndo tunapoishi , mkianza haraka na fikra zenu hizo mmeshiba Mchicha n kusema eti ishu is only English that is absurd
@albertkadyanji97223 ай бұрын
@@FahadAbubakari choko wewe huna point yoyote ya maana hahahaha eti upo sasa ukiwepo nifanye nini unaongea non sense k mkubwa wewe pambana na hari yako
@youthmediatv13 ай бұрын
Kuigizia maisha mbaya mno
@asawoasawo5173 ай бұрын
Simba anajiita mkubwa afrika ajaze kama burna boy basi
@hamisibakari3423 ай бұрын
MOND,MOND,MOND NAKWITA MARA 3 NJOO UTAMBE HUKU MASHALIKI.UKIVAA HAYO MACHENI NA MABWANGA UNAJIKUTA WADUNIA😂😂😂😂😂
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Katafute hela ya ugali wewe acha kelele za umaskini hizo unamwita Mondi ukute ata hela ya kula mlo mmoja ni mzozo hahahaha mwenzako kashatoboa choko wewe
@Symoob5c3 ай бұрын
😂😂😂
@selemanirashidi-sc3pp3 ай бұрын
Nipo ndani hapa 80% yawaliyo humu ndani niwa Nigeria kweli wanasapotiyana sana leo ndo nimehamini nipo hapa ndani nihari
@lisawilliam24913 ай бұрын
Hatar
@philipotieno99963 ай бұрын
Achaa leo niwaambie ukwelii huyoo😂😂 😢 mzee wa Komasavaaa hata afanyee nini haweeeziii fikia hizi levels Burnaa sio riiika yake tena kwa chochotee kilee.
@SelemaniEmail3 ай бұрын
Atambe pande zake pande zetu atambi
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
Kuna mtu eti amewakamata wanaijeria 😂😂
@godfreysudi72643 ай бұрын
Safari hii tunaomba aende Mond mzee wa kuwanyosha 😁
@simbaedouardo84993 ай бұрын
Lakini kama naona ni mchana apo
@Oldskulgemini99913 ай бұрын
Hiyo ni shoo yake mwenyewe hajaalikwa Mzee, jua kutofautisha😅
@rehemajuma60083 ай бұрын
Hahaaa ety kawakomesha
@ghettolandentertainment77013 ай бұрын
Hivi burnaboy Chris brown amewahi cheza wimbo wake kwenye TikTok 😂
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar3 ай бұрын
Burn Mziki wake unachezwa na Ma legendary kina Shikira Mwaka Jana Snop Doggy aliulizwa Msanii yupi ungelipenda kufanyanae Collaboration akasema Burn boy ni Kama Bob Marley wa Africa ni Maneno ya Snoop hayo
@Asamtz3603 ай бұрын
Chris kacheza on the low ya burna kaitafute
@NemesMasawe3 ай бұрын
On the low na Anamuombaa cokabo
@wabackali24943 ай бұрын
3:35 @@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
@RomanMwinyi3 ай бұрын
Watanzania tujitambue sio wasanii wetu kazii kupiga kelele2 kumamake wameingia kwenye mfumo kwa kukata viuno sitejiini watu awaelewii unachooo imbaaa au kupagawa kucheza chalengee kirsibrowni sasa je uyo muuni bonboy kirsi kachee ndo ujue tz atujielewiiiiiii wenge jingiii kuimba lugaaa zilooo etiooo koma sava wanaelewa bunjuuu pekeake Amna ki2
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Wewe choko punguza domo ilo unaongea kama shoga
@neltone3 ай бұрын
Tanzania tuko vzr mfn n huy burna
@BenjaminMetanyau3 ай бұрын
Huku mashabiki viazi wakiona chirs brown amecheza komasava😏 wanakaza makalio🤣🤣 utasikia diamond ameshindikana afrika💀 wakati akienda ugaibun anafanya shoo kwenye vilabu vya pombe mashabiki 150 tena kiingilio cha dola1 mamae 🙆 tanzania nchi ujinga maladhi umasikini kweri ndo janga letu
@Oficialkb3 ай бұрын
Kuna mtu kase wameingia kwenye mfumo😂😂😂😂
@princedrama73 ай бұрын
kutangulizwa mchana tu, usiku aaah aaah 😂
@luisojr34803 ай бұрын
Uchokozi😂
@samiusiraj45873 ай бұрын
Anaitwa barn shona domo,ndy
@BakariAlly-dm1vf3 ай бұрын
Mond au😂
@collinndabi19143 ай бұрын
Show za mchana na kelele kibao
@vibetz99913 ай бұрын
Mwanetu kapiga show ya nyongeza kwenye show za watu lakini wapi 😂😂😂😂af anajiita giant
@collinndabi19143 ай бұрын
Ooh wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂 Shenzi kafanye homework
@mohamednabahan90313 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 mamamake
@MikidadiKimilike3 ай бұрын
Kwa mnaijeria kujaza hivyo sio ajabu sababu zinaeleweka wengi mnaokoment humu hamuijui nigeria na historia yake dhidi ya nchi za ulaya
@othmanibnabdullah3 ай бұрын
Eti wamejaa kwenye mfumo wamejaa kwenye mfumo na matusi juu kawatukana wanaija haya kikowapi sasa....
@EtieniRama3 ай бұрын
alafu uyu mondi wenu eti ni mewakome sha😂😂❤
@HeriRamadan-qx2hk3 ай бұрын
Hata wajaze bado tutapambanao TU , IPO cku Moja Simba atatukomboa.
@Burner_Acc3 ай бұрын
Hizo show wanajaa wanigeria wenyewe nyie bongo hata passport kupewa ni ishu. Hamna cha ajabu hapo.
@bakarimakomola3 ай бұрын
Tofauti ya diamond na burna boy ni language tu, diamond angezaliwa Nigeria nawaambia angekua msanii mmoja hajawai tokea duniani. Kiswahili ndo kinamuangusha pamoja sio mbaya sana... ila wengi walio mbele marekani na nchi zengine za ulaya wanatumia Kimombo( English)
@zaidyabed3 ай бұрын
😅😅😅😅
@LouisianaRiri3 ай бұрын
Kwani amekatazwa kuimba English?
@rashidingole15883 ай бұрын
Huwez linganisha Wa nageria na Watanzania, wenzetu wapo weng pia wametengeneza soko mapema ulaya! Kwa iyo tuache kufananisha na wasanii wetu hapa bongo😊
@aboudasilver65413 ай бұрын
😂😂😂
@mdedsm55223 ай бұрын
Diddy made it😂
@selemanifaikii12763 ай бұрын
Hao wanaijeria wameingia kwenye mfumo 😂 alisikika mtu mmoja anasema
@mnyampaa_kisasa3 ай бұрын
Hawa wajinga ndo maana matakiri duh😢😢😢 laki 3 kwa watu 80,000 sio mxhezo
@chinguilechinguile15013 ай бұрын
Minimal 24000000000
@mrenobishoo11183 ай бұрын
Wameingia kwenye mfumo !!!!
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar3 ай бұрын
Ndo nini?
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu
@salimhassan33693 ай бұрын
Kwani bado atuja amin kwamba wanigeria awana drama kaz kaz😂😅
@MichaelAlimasi-jz1wi3 ай бұрын
Awo wajamaa mondy hawawez peke yake,ata afanyej.
@albertkadyanji97223 ай бұрын
Nilichogundua apa Mondi ni mkubwa sana kwa level za wanamziki wa kibongo Mondi ndio Baba lao pamoja na wabongo machoko wana msifia uyo choko mwenzao boy nani sijui Mondi angekuwa mdogo basi wangemfananisha na msanii mwingine big up Diamond Platnumz
@MamboSuper3 ай бұрын
Sasa vp mwambino mana Last week mulimupa sifa nyingi Sasa kulikoni masava
@donizzo95703 ай бұрын
Eti kuna msanii alitangaza kuwa ametapeliwa ndege Tanzania nikweli 😂😂😂😂
@nilufaallyhussein76783 ай бұрын
Komasava 😂🤣🤣
@eliud21savage483 ай бұрын
Diamond anakomesha kivp sasa
@aishabrondi2363 ай бұрын
Sns mwambieni boss wenu kuwa yéyé bado sana😂😂😂 yani domo akiwa bongo hujiona mkubwa 😂😂wa Nigeria wanakunyoosha bila kelele😂😂😂
@kadito-kenya3 ай бұрын
Hata Diamond namuona huku
@nzitogondwe99763 ай бұрын
Shida wanapanga muda mapema mond angejaza
@kirengemnandi3 ай бұрын
SNS hamlali
@hashimuuhehwa13203 ай бұрын
Kinachowafanya wasanii wa bongo kushindwa uchawa badala ya kufanya kazi yao waliochagua
@MajutoElliasi3 ай бұрын
Wengine eti wajita wakimataifa ivi vituko kweri
@AkatendaAmbrosio3 ай бұрын
Baadae museme kwamba mondi ndio wa kimataifa,hona kazi ya mwamba iyo
@sponsor78823 ай бұрын
mwambino rudi tandale tu
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Yaaani huyu burnaboy ni li dude li kubwa sana anampa sana stresss diamond platinum anachanganyikiwaaaaa anakuwa kama kichaaaa adi anavaaaa vitu vya ajabu anakuwa kitukooooooo burnaboy ni Moto mwingine harmonize anamheshimu kama baba yake simba ataweza kushindana na burnaboy
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Wale wasaniii wa zamanı wakina chid benz, A.y Mr nice wanaosema eti zamani kulikuwa hakuna mitandao ya kijamiiii kamera 🎥 na walishawahi kujaza nje ya tanzania maelfu ya watu kwenye viwanja aya wafanye tena tuone mitandao ya kijamiiii ipo kamera tuwape heshima zao
@youthmediatv13 ай бұрын
Kuigizia maisha mbaya mno
@FredrickMatiku-xf2uk3 ай бұрын
Huyu jamaaa ndio maana ananunua magari ya kifahari kama pipi kifuaaaaa tu