Habari kuna Mtu amefanya uhuni katika Group letu la Busati Tv Fans hivyo jiunge kwenye group jipya la Busati Tv Fans na jitoe kwenye hilo la hawali Mtumie na mwenzako chat.whatsapp.com/JyrN7hIxoagKiVTISAAdm0
@RehemaMwakisyala-k9uАй бұрын
Ok
@RehemaMwakisyala-k9uАй бұрын
Rehema toka Oman mbona mumetuacha njia panda 23 iliishia Tasha amuwah zatiti inakuwaje tunaanzia Kai anakula tunatoka kujua zatiti imekuwaje jaman usitulishie matukio tunataka kuona Kila atua
@FunnyHelmet-yd2hjАй бұрын
Nimewahiiii
@khafidamkambeKhafidamk-dq7njАй бұрын
Mwenye ashamuona sania kwa ubaya wake na maketasha ila mr tasha nakubali kwa mawazo yko ila matasha nakukubali sana mama nakupenda sana
@user-pi9ji6tm7sАй бұрын
Kabisa tunatakatujue imekuwaje zatiti@@RehemaMwakisyala-k9u
@rehemashinsiАй бұрын
haya sasa mama Tasha na chamkondooooo kimewaka huku njooooni nyie na like zizingatiwe
@mohamedabdallaseifАй бұрын
Mm sijapenda kitendo cha Bosi kuenda nyumbani Kwa kaii wasiopendezwa na hili wanipe like tafadhali
@نيجي-ن1دАй бұрын
Anakera huyo boss mm simpendi
@SadamuLyuma26 күн бұрын
Bos mby
@VenahBonahАй бұрын
Sania mama upo kimekuramba hongera mama Tasha 🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂 wanaokubaliana na mm gonga like❤❤
@BashiruRamadhani-p7lАй бұрын
Anapenda Tasha amuoe zatiti agonge like hapa
@LeilaAdijaАй бұрын
Oyoooo zatiti na Tasha Kama nawaona 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SwaidathThabithАй бұрын
Anaekelwa na tabia za boss wake kai gonga like apa😜
@mmnimshindiАй бұрын
😢😢😢anakera anataka amuharibie zuu
@AgnessBenardАй бұрын
Yahani sijapendaaaaaaaa
@TeddyJames-rh6clАй бұрын
Yaan anakeraaa baraa
@JoyceKayombo-y3gАй бұрын
Yaan anakera Sana na uzee wakeee😢😢😢
@jenniferzakaria3884Ай бұрын
Bibi zuu yupo huwez kupitisha lake pale
@zafriiyАй бұрын
Dahhh nimependa bibi zuu aliposema harusi ya kai kesho mana nimechoka kuisubiri km na wew umependa gonga like
@DuliYeba29 күн бұрын
Ata mm natamani harusi ifike
@user-el1nt8yi5nАй бұрын
Sijachelewa jmni kazi nzuri kusema kweli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Wenye tunaomba sania kimurambe gonga like hapa
@BankuwihaZilfaАй бұрын
😂😂😂
@HudhaimatHaji-wf8nhАй бұрын
😂😂
@priscahmahenzo642Ай бұрын
😂😂😂😂𝑯𝒕𝒎𝒂𝒚𝒆 𝒏𝒆𝒏𝒐 𝒍𝒌𝒐 𝒍𝒊𝒎𝒆𝒆𝒏𝒅𝒂𝒂😅😅😅😅
@johariabdalla3099Ай бұрын
Niseme tu ukweli 😂😂napenda sehemu ya tasha na zatiti ❤❤❤ kama na wewe unapenda twende na like hapa 🎉🎉
@saumJuma-q3eАй бұрын
Hunishindi naipenda kwel hata mimi😊😂
@johariabdalla3099Ай бұрын
@@saumJuma-q3e 🥰🥰
@aliceaugustine1327Ай бұрын
Hata mm jamn😂😂😂😂Yaan me napend nimuone zatiti na tasha tu
@zeyadazeyada8050Ай бұрын
Kai tumia akili sio kila kitu una mwambia boss wako
@johariabdalla3099Ай бұрын
@@zeyadazeyada8050 kwa kai sio muda kunavurugika maana maadui wamekuwa wengi
@TatuBaya-jy8jlАй бұрын
House girl kumewaka moto mama Tasha shikamoo mamangu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉hyo Sania hajazaliwa maan sio kwa kkosa adabu uko hana wazazi uyo akky ni kumoto🔥🔥🔥🔥 house girl hongereni kazi nzuri
@SaumuJumwa-u4vАй бұрын
Sania anakichwa kama cha nyoka 😂😂😂kama umefurahishwa na mama Tasha gonga likes 😀😀
@JeannetteManirambona-o6mАй бұрын
Sania ni ibilisi😂
@MoureenRogersАй бұрын
😂😂
@SaumuJumwa-u4vАй бұрын
@@JeannetteManirambona-o6m shetan 😅😅😅
@SaumuJumwa-u4vАй бұрын
@@MoureenRogers 🤣🤣🤣🤣
@fatumakamwendo7894Ай бұрын
Kanfurahisha uyooo😂
@jobsimpamba71Ай бұрын
Vizuri sana mama tasha mufukuze Sonia hafai mm nataka zatiti weka like zangu hapa❤
@AnnaAmanda-v4qАй бұрын
Asante Mungu kwa asubuhi ya leo tumeona siku njema ya leo kama mzima sema ameeen 🙏❤️❤❤❤
@user-wp7uk5mb1mАй бұрын
Amen
@MwanakhamicElishaАй бұрын
Ameen
@InnocentJohn-u4eАй бұрын
Amen
@UmaziSalimАй бұрын
Amen
@suzan2929Ай бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@IlhamShaban-vq3kxАй бұрын
Ubaya ubwela I am a first one ❤naomben like zen jaman
@AminaNgumbaАй бұрын
Jmn mm nilikuw napendez kw cku mtoe vpand v3 jmn sisi mafans wenu tunapend san kz yenu km kun yoyot ameyapend mawaz yng like jmn🎉❤
@JanetBangeАй бұрын
Wanao amin kuwa zatiti ataolewa na Tasha gonga like hata moja
@JeannetteManirambona-o6mАй бұрын
Mimi niko hapa
@HAWAMAULIDI-zl5xdАй бұрын
Tusha amini sana inatosha sasa bhana
@SospeterAmosyАй бұрын
Jaman Leo naombeni hata like 10 tu
@thomasmwaipale2621Ай бұрын
Bibi Zuu amlinde Kai asichepuke
@Johar903Ай бұрын
Yaani mie ananikera boss wa kai anataka kuaribu
@LighySteven-gd8woАй бұрын
Zatiti anateseka jamn mpaka namwonea huruma ila naamini wakati unakuja nayeye atafrahi wanaomkubali zatiti gonga like
@DelphinaJeremiah-ii1rvАй бұрын
Zatiti anawafariji wanaopitia changamoto za mahusiano
@UpendoLenard-rw9ddАй бұрын
Big up kwa kazi nzuri, tunajifunza mengi kupitia house girl ni mengi ambayo yapo katika maisha halisia
@SaadffasellOmaanАй бұрын
Nimekupenda bule mama Tasha😂😂😂😂😂😂wapi mama wakweee vijana pga keleeeeeeeee😊😊😊😊😊😊sania kayatimba alijuwa km babaake kai kwa cend😂😂😂😂
@LadyKCGАй бұрын
Wakwanza leo much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Jenniffer-m9kАй бұрын
🎉🎉sijachelewa jaman .🎉wenye wanatam tash amuoe zatiti munipee like🎉🎉🎉🎉
@KambaleTemauzengeАй бұрын
Sania kayatimba leo kakumbana na mama wamjini😂
@SandrineIngabire-j7cАй бұрын
Wakwanzaa leo .❤❤much love naombeni tu like angalau tudogo 😂
@Djikondj-on4leАй бұрын
Washa biki ote wa clam vevo kama mimi tu musapoti zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@RuthMuthekiАй бұрын
Tunangoja snake boy 33
@JamesZakayo-o2fАй бұрын
Nyie waomba like kwann msihoji kuwa zuu kaenda kwa kai usiku na bibi akasema harusi ni kesho na kumekucha kai tena anasema harusi ni kesho kwann msihoji hilo mnaomba like tu
@SuzanneOg-yj1nrАй бұрын
Jamaniii kesho hazifiki hata sielew,😏
@SharonMokeira-ij7iqАй бұрын
Jamani yani kila komenti kila mtu anataka like jamani wanaboo 😮
@annetvuseletse4509Ай бұрын
Harusi tunayo
@user-mw8nq1ye5zАй бұрын
ilo nalo neno
@KabelaZainabuАй бұрын
Ilikua niusiku wasanane ao satisa manaak ni siku imekua imeshapit
@AdijaRumongeАй бұрын
Boss bwana acha kutuariabia movie. Tafuta ma Babu wenza koo bwana
@ElizabethEliza-d4eАй бұрын
Yaan napenda sehem ya zatit n tasha 👏👏 kam n ww unapend like hapo
@Zai-q7iАй бұрын
Namb Moja Leo naomben like hata tano
@YusraSiyaleo-yk2fzАй бұрын
Kama ulimuona chiko akicheza mpira yanga day gonga like hapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@DidaAlly-iz1itАй бұрын
Uyu bosi wake kai kwenye hause girl simpendi na piata hata kwenye worng hause simpendi pia maan kakaa kiumaraya maraya2 😂😂😂😂😂😂
@zeyadazeyada8050Ай бұрын
Hata mie kwa kweli
@maureenndeti6365Ай бұрын
Hata kwa wrong house ni husband snatcher😂😂😂
@DidaAlly-iz1itАй бұрын
@@maureenndeti6365 yeah😂😂
@DidaAlly-iz1itАй бұрын
@@zeyadazeyada8050 😂😂😂
@suzan2929Ай бұрын
Eee ni maraya tuu
@SelinahKenyАй бұрын
Oh my god I was just waiting for it's am number 1 for kenya
@YusraThomas-cb6llАй бұрын
Sania kachafukwa 😂😂 kasahau km anaepigana nae ndo mzaa chema
@ummycheedy2809Ай бұрын
Nmechekaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@YusraThomas-cb6llАй бұрын
@@ummycheedy2809 🤣🤣
@Anna-me4kcАй бұрын
Hay sas mama Tasha kimekuramba kwa Sania 😂😂😂 mke Bora kwa Tasha uliekuw unataka ndo uyo 😂😂😂😂
@BankuwihaZilfaАй бұрын
😂😂😂😂
@Anna-me4kcАй бұрын
@@BankuwihaZilfa 😂😂😂
@FaithJoshua-n8nАй бұрын
Weee sania mbwa mdogo😂😂😂❤ jamani mama Tasha mkwe wako uyo ndo ulikuwa unamuona mzuuri😊
@user-lz1qv1xe4wАй бұрын
Naona watu mnawahi kweli kweli 😂😂hamlali mnafikiria tu house girl pongezi sana kwenu nyote mnao tazama busati tv ❤
@rehemashinsiАй бұрын
habari zenu wapumbavu wenzangu mko poa lakini like kidogo basi naombeni wqpumbavu wenzangu ili tuendelee
@RehemamakukaАй бұрын
Pumbavuu
@JudithSimiyu-ps7eeАй бұрын
Komaa mpumbavu mwenzetuu😅😅😅😅
@mwanamisikifogo869Ай бұрын
We boss usitutatiziye zuu wetu au tukusem kwa mizimu ushulikiwe kwani c wapo waume wegine mbon wakazania kai?😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mm sijapend kabisa😢😢😢😢😢
@AwadhAdam-j5fАй бұрын
Sania amechoka kuigiza jamani nakupenda sana sania umeigiza vizuri chukua mau yako 🎉
@millicentwairimumuriuki8638Ай бұрын
Jameni naomba like dada zanguni na ndugu zangu
@farajaelias-g2nАй бұрын
Jaman
@user-oi2qc7gr2dАй бұрын
Nipo bampa tu bampa na house girl❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@mourinemusungu-w5cАй бұрын
Hatimaye sania amechoka kuishi maisha ya kuigiza,kaamua kuonyesha true colour mwenyewe
@JudithSimiyu-ps7eeАй бұрын
Apo sawa
@zainabalex9810Ай бұрын
Amefanya poa ili zatiti apate nafasi
@stellaayiera8038Ай бұрын
Jamani boss wa kai
@Djikondj-on4leАй бұрын
we boss we simutu muzima tu una taka kuaribu arusi y'a zuri we vipi😂😂😂😂😂
@user-tx6ir9oe6uАй бұрын
Bibi atamuonyesha war kama malaika😂😂😂😂
@DivineIngabire-lj3srАй бұрын
Hajawahi kumuona we muace ajitambik mbere kitamuramba kwa bibi zuu😂😂@@user-tx6ir9oe6u
@hanifahkhamiss8485Ай бұрын
Aishi na baba yke kai sio kai kwa umri wake😂😂😂
@MohaMohamed-gk4hyАй бұрын
Leo ni mimi tu na hata sina mambo ya likes mie naenjoy tu.
@SifaKahindo-i6qАй бұрын
Nafurai sana mama Tasha ameanja Kubali ya kwamba kamukonde nimutu mubaya
@AminaPtgАй бұрын
Chisa mwepes kaa nguo zakulalia😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@marthanassari3524Ай бұрын
😂😂😂
@LinaLina-uu5pwАй бұрын
Kazi nzuri mnayoifanya nasi mafans twajifunia mafundisho,sijui mafans wenzangu mnasemaje....
@محمدالقحطاني-ظ3ط1صАй бұрын
Huyu boss wa khai ananiudhi sana sukae kwako utulie hutakiwi aaah kuu
Jaman na mmi nipo naombeni laiki zangu nawapenda sana malafiki zangu 🙏🙏🙏🙏🙏
@KambaleTemauzengeАй бұрын
Jamani namimi sijachelewa leo
@AgnesDavidmtalemwaАй бұрын
Jaman kila nikiwah nakuta mmenitangulia ila naomben tu like hata 20 nawapenda
@R0dah-z3qАй бұрын
Mm ningependa tasha amuowe zatiti
@GildohilarioMaurusАй бұрын
Uyu mwamba mkongo ananoguexa 😅😅 papai na yupo sírias
@ScholarRukasАй бұрын
Tasha na zatiti mnanogesha move hii jaman❤❤❤ Nawapenda
@jovanmasika5450Ай бұрын
Hamna baya Busati mpo vzr mno
@GladysKaremboАй бұрын
Ak mama Tasha umenifurahisha kwa kweli, hongereni nyote kwa kweli.
@nurucinemax3 күн бұрын
Boss anaumia sana😂😂😂
@YusrawhiteWhiteАй бұрын
Uyu bos nae vp jmn anatak kutuharibia shuguli😢😢
@saniambarakaАй бұрын
Kai nae.....Wala asingemwambia boss kama harusi ni kesho😂
@HappyTimotheoАй бұрын
😂
@HellenHamza28 күн бұрын
Me mwenyewe kaniuzi sana hata kama ni movie khaa
@lavenderokunaniАй бұрын
Kwanza jamani n pewe like
@YasmeenKhalifa-zq1zkАй бұрын
We tulia
@yamunguprince7923Ай бұрын
Una pata
@جاااحظمجنونАй бұрын
Usjali ni zako leo
@WardaSalumu-xl8dzАй бұрын
Wakwanza Leo nilikua naisubili Sana nimemis candy
@user-mq7tf5xh8yАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama Tasha shikamoo mama asante mama 🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️ beach zote mama mjin umeogelea mpashe Sania mama 🥰🥰🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯💯🤸🤸🤸🤸🤸
@AgnesAjabuАй бұрын
Wa kwanza leo🎉🎉🎉🎉😊
@FarizanaRichardАй бұрын
Jamani leo naomba like za brother kai
@NaomyBahatiАй бұрын
Cendy ana pua jaman ❤❤ like kwa wale mnaona pua ya kend ilivo kubwa
@aminaadam6964Ай бұрын
We ndio umemuumba
@CharmingAngel-wx2skАй бұрын
Kwenda huko like hatukupei sawa ,kwani wewe ndo Mungu ulimuumba😂😂😂😂
@NyambeleHalimeshiАй бұрын
Lakin Ni mzuri 😅😅
@MawazoJustin-fw2wsАй бұрын
Uyu boss wakay kila saison inakuwaka kubeba wa bwana zawatu waliyo kubali tugonge like apa
@Mr.franckayoАй бұрын
First off alll Like hapa jamn
@JenifaKithukaАй бұрын
Wakwanza Leo kutoka Nairobi kenya
@elizabethkabanda4105Ай бұрын
We mwenye kichwa kama nyokaa 😂😂😂Sania kimemramba 😂😂😂
@HanifaHabiboАй бұрын
Tunaeomba Tasha amuoe Zatiti tujuwane maana sio kwa nizamu hizi mbaya sania ameonyesha Yani kupigana na mama Ake Tasha sijapenda ndoa ya Zuu iko lehani😂😂😂boss kaingia Kati sijui Zuu atajisikiaje
@Swamyhassan_syАй бұрын
Mama Tasha kimemlamba😂😂😂
@JoannyBreezyАй бұрын
Anae Tama mama Tasha amfukuze Sania Tena ammamate makofi kama mia iviii Malaya huyu Sania mnafki na mchonganishi mkubwa WA familia za watu gongen like hata 5 tu
@IrakozeOleneАй бұрын
WE sania kuwanaeshma nawatu wazima
@Mwana85Mwana85-wz1olАй бұрын
Sania Sania Sania 🔥🔥🔥🔥mpemba mpemba na cend na mpemba 😂kumbe ana cm pia chisa chisa cend kafika
@MwanaikiSwaleheАй бұрын
Huyu boss WA kai Ana kera sana
@ggfwtgg1652Ай бұрын
Waooooo mma tasha maua yako 🎉🎉🎉umejua kanifulahisha leo zaa tity anahangayika sanaaa ipo siku yatakwisha 😢😢ila huyu boss wa kai anahalibu mambo😅❤❤
@JoyceMwita-e3wАй бұрын
Heheheheheheeee mama tunae tuna tamba nae weweeee mama tasha leo umeamini maana we nae ni mmbishi 😂😂😂
@DoreenWakesho-g2rАй бұрын
lakini huyu mpumbavu mwenzetu kwa kweli mbona mnapenda kumpa mda mrefu sana wakuongea yani kwanzia kipindi kianze ata huwa na scroll ikifika kwao hebu wapunguze maneno
@DoreenWakesho-g2rАй бұрын
kwakweli hiyo part yao inachosha wanaongea nakutumia mda mwingi sana kuliko part zote😢
@WiniSangaАй бұрын
Safi sana sania kimemramba atoke
@RoseNamatakaАй бұрын
Nimefurahi sana kukuona mama thasha akimchamba Sania anakichwa kaa nyoka Kam munakubaliana na mm gonga like hapa
@user-fo6zw6ru9eАй бұрын
Nilikuwa nikipenda sana sehemu ya zuu na kai ila sss hii napenda sehemu ya tasha na mamaake ambae yupo pamoja na mm ngonga like
@HadijaHadiaАй бұрын
Ahaaa! Jaman house girl inazidi kunoga kila cku
@patricksamba683128 күн бұрын
Tasha unajua sana hongera bro kwa kazi nzuri movie nzima umeibeba wewe
@CresensiaEnockАй бұрын
Mama mkwe kayatimba 😂😂😂😂😅
@ashuramohamed1895Ай бұрын
Kuna nini jamani Kila mtu wa kwanza
@ElizabethEliza-d4eАй бұрын
Sania uzalendo umemshinda sasa makucha yanatoka 😂😂
@patricksamba683128 күн бұрын
Nakukubali sana brother Tasha unakuja hongera jitahidi bro
@miguelrosarioyessa7327Ай бұрын
Leo nimekuwa wa kwanza.😂
@santosagost5018Ай бұрын
Por aqui?
@GildohilarioMaurusАй бұрын
Sania amegusa pabaya 😂😂 na mama taxa mze amepita vilabu viote
@FadhiliChunchu-x6g25 күн бұрын
Jaman mam Tasha na mkwewe huko kumeshachangamka 😂😂😂
@RamCharan-wk4qcАй бұрын
😂😂😂 twendee kwa Mama Tasha na mkwewe Sania mamboo yamewaka ukuu
@AshaJumaa-ej7riАй бұрын
Ila mama tasha kanikosha kwamb hiko kichwa cha habar na hapa habar umezikuta 😂😂😂😊
@ميريالشمري-ح9بАй бұрын
Sania atimaye umeonesha makucayako yote mama tâcha ongera kwakutazama inje kuliko ndani😂😂😂