QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE

  Рет қаралды 44,464

Carrymastory

Carrymastory

10 ай бұрын

Tumepiga Story na Queen Masanja

Пікірлер: 124
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 10 ай бұрын
Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!
@gabbyhenrgy1157
@gabbyhenrgy1157 10 ай бұрын
Sanaaaaaaa
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m 10 ай бұрын
Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee
@Kakwasi
@Kakwasi 10 ай бұрын
Halafu yeye ni mnatural kila mahali
@rahmaoman470
@rahmaoman470 10 ай бұрын
Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 10 ай бұрын
Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 10 ай бұрын
Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 10 ай бұрын
Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 Ай бұрын
Nakupenda sana dada
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 Ай бұрын
Mungu akulinde malkia wang uish sana
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 8 ай бұрын
Nakupenda dear sister queen ❤❤
@MatildsChami
@MatildsChami 10 ай бұрын
Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 10 ай бұрын
Mama safi 🎉
@CalisternongiHaule-vk6ch
@CalisternongiHaule-vk6ch 10 ай бұрын
Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 10 ай бұрын
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
@matridamwandambo9656
@matridamwandambo9656 10 ай бұрын
Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh
@monicaissah5662
@monicaissah5662 10 ай бұрын
​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao
@ashamonamachicha8653
@ashamonamachicha8653 10 ай бұрын
Allah akulinde na kila unachopamba
@salimnassor3212
@salimnassor3212 10 ай бұрын
what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Uyooo NIII original ❤🎉🎉
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤
@Kakwasi
@Kakwasi 10 ай бұрын
Very beautiful mama
@user-ex6kk5jb4y
@user-ex6kk5jb4y 8 ай бұрын
Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 10 ай бұрын
Mzuri sana
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 10 ай бұрын
Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 10 ай бұрын
Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.
@kombakomba7922
@kombakomba7922 10 ай бұрын
Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.
@happynescostat7420
@happynescostat7420 10 ай бұрын
Ongera dada!
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 10 ай бұрын
Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 ай бұрын
❤🔥
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 10 ай бұрын
Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata? Ni hatarii sana huyo
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 8 ай бұрын
Mungu akutunze wewe na wanao
@jojotz1210
@jojotz1210 10 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉😊
@user-zn3un8gs3d
@user-zn3un8gs3d 10 ай бұрын
Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa
@lindahjoseph8360
@lindahjoseph8360 10 ай бұрын
You look like mama tiffah
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 10 ай бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@Kakwasi
@Kakwasi 10 ай бұрын
WAOH WAOH.
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 9 ай бұрын
Napenda majibu yako
@issazalala4907
@issazalala4907 10 ай бұрын
Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 ай бұрын
Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l 2 ай бұрын
hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 10 ай бұрын
Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili
@nassirsalim6679
@nassirsalim6679 10 ай бұрын
Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@welcometoeat165
@welcometoeat165 10 ай бұрын
Roja anajarb kutupa ndoano
@happypetro2948
@happypetro2948 10 ай бұрын
Kama dokta mwaka anammezea mate hapo
@MohonoMwita
@MohonoMwita 8 ай бұрын
Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 ай бұрын
Mnunulie
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 10 ай бұрын
Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
@@rithadonatus8110 zanzibar
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
@@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 10 ай бұрын
Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya
@khadjamhozya
@khadjamhozya 10 ай бұрын
Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂
@farida4595
@farida4595 10 ай бұрын
Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
Wasukuma wazuri jamani
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 10 ай бұрын
😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
@@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma
@suzanlucas9493
@suzanlucas9493 10 ай бұрын
Tuko wazur mno
@MwandigaRuhobe-fm3it
@MwandigaRuhobe-fm3it 10 ай бұрын
Unaumbile la kapendeza bala
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 ай бұрын
Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 8 ай бұрын
Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan
@JafariAbdallah-ot9gp
@JafariAbdallah-ot9gp 10 ай бұрын
Dunia imechukua chake hapo
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 ай бұрын
Mkiritu uyu dada.
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 10 ай бұрын
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
@happymarwa4517
@happymarwa4517 10 ай бұрын
Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Mungu mtu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula
@user-us8gy5pz6w
@user-us8gy5pz6w 10 ай бұрын
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
@kazkaz1943
@kazkaz1943 10 ай бұрын
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 10 ай бұрын
Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 ай бұрын
Warudiane ili iweje
@happinesshezron6633
@happinesshezron6633 10 ай бұрын
Mwache aishi maisha yake ya furaha.
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 10 ай бұрын
Umalaya tu ndio uzeeni
@Kakwasi
@Kakwasi 10 ай бұрын
Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 10 ай бұрын
Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule
@shaaden-
@shaaden- 10 ай бұрын
Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 ай бұрын
Mbona anapendeza sana
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 10 ай бұрын
Anapendeza mnoo acha makasiriko t
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 ай бұрын
Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee
@shaaden-
@shaaden- 10 ай бұрын
@@khadijajuma6271 acheni kumdanganya
@Kakwasi
@Kakwasi 10 ай бұрын
Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Hana lolote....
@abdulrahmanhussein8719
@abdulrahmanhussein8719 10 ай бұрын
Wewe unalo?
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Kama wew tu
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 ай бұрын
Nyoooooo
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 ай бұрын
Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 ай бұрын
Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka
@glory.patrickkitigwa4564
@glory.patrickkitigwa4564 10 ай бұрын
Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅
@glotysadiki3425
@glotysadiki3425 10 ай бұрын
Acha makasiliko ww ndouna lolote
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 10 ай бұрын
Ata post Sion skuhizi😂
@florangido202
@florangido202 10 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 10 ай бұрын
Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...
@HappyMakoga
@HappyMakoga 10 ай бұрын
Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
Ruto speech today after Gen Z BLOCKED him outside Church in Taita Taveta
20:18
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 34 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,5 МЛН
Как мама ухаживает за мной VS гостями
0:50
Время горячей озвучки
Рет қаралды 3,1 МЛН