CEO Simba azungumzia mustakabali wa kocha Mgunda na kocha mpya

  Рет қаралды 19,218

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

“Mwalimu Mgunda yupo sana ndani ya Simba” maneno ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akizungumzia mustakabali wa kocha Juma Mgunda na ujio wa kocha mpya.
Simba SC ina jambo lake hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
#SimbaSC #SimbaNaJamboLao #Simba

Пікірлер: 29
@MessiaMlyuka
@MessiaMlyuka 3 ай бұрын
Kuna sehemu mnamkatisha nia mzee wa ball litembee mpenzi timu angalau msimu mmoja aonyeshe uwezo wake
@abudalaabdumalik9362
@abudalaabdumalik9362 3 ай бұрын
Umeongea pointi sana tajir
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 3 ай бұрын
Nimefurahi laliga kurudi azam tv asee itakuwa ni motoo msimu huuu💪🏾💪🏾💪🏾
@EmmanuelMatogolo-l2y
@EmmanuelMatogolo-l2y 3 ай бұрын
Matola kama atakuwa kwenye benchi la ufundi, Simba sc haichukui ubingwa, kama hamuamini nimekaa paleeeee
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 ай бұрын
Akifungwa mechi hata Moja Fukuzeni si jambo la kuchekelea wakati Yanga lengo lake anafungaga zote
@RamadhanZumba
@RamadhanZumba 3 ай бұрын
Nguvu moja
@gotfriedmwesiga4234
@gotfriedmwesiga4234 2 ай бұрын
Huyu ndo kikwazo kwa Juma Mgunda
@EmmaBlev-j8o
@EmmaBlev-j8o 3 ай бұрын
Viongozi mnazingua sana apa kwa Mugunda na mtazdi kuferi kwa awa makocha wa kigeni
@hassankongolilo8408
@hassankongolilo8408 2 ай бұрын
bado hujajibu swali. mgunda ataungana na timu au laa
@SamsonSaruni-s3g
@SamsonSaruni-s3g 3 ай бұрын
🦁🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏
@georgegregory8414
@georgegregory8414 3 ай бұрын
Mwacheni mgunda kwenye bench kama kocha msaidizi mbona ulaya makocha wanaweza kuwa hata 3
@ambakisyemwanjemba5787
@ambakisyemwanjemba5787 3 ай бұрын
mgunda mnamchukulia poa
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 3 ай бұрын
Ila huu uongozi wa simba kuna mahali mi sielewi
@rajenderrobert8605
@rajenderrobert8605 3 ай бұрын
Mimi pia
@rosemtwango4265
@rosemtwango4265 3 ай бұрын
Wacheza mnaosajiri ni wazuri sana tunawakubari ila ifike wakati viongozi wa simba muelewe kuwa wachezaji wanarogwa na nyma mwiko
@alfredbenno3251
@alfredbenno3251 3 ай бұрын
Kama Huna at least D mbili huwezi kuwaelewa Simba!!!
@EzelonMshembe
@EzelonMshembe 3 ай бұрын
Nimefurah xan natka nimuon mbape
@rajenderrobert8605
@rajenderrobert8605 3 ай бұрын
Kocha ni Mgunda.
@bakarimasanga3634
@bakarimasanga3634 3 ай бұрын
Basi kama kuna kitu Mgunda hana, si mumpeleke shule akamilike ili huo uungwana wake kwenu uwe na tija on a mutual benefits
@EliyaMloy-lf7vp
@EliyaMloy-lf7vp 3 ай бұрын
Ni hovyo kwa timu kama Simba kuwa na mkurugenzi wa sample ya Imani Kajula, ni uchafu uliokithiri yan
@jumamangombe6493
@jumamangombe6493 3 ай бұрын
Uko sahihi, jamaa ni mbabaishaji sana yaani, takataka.
@user-gq8ox7wb7f
@user-gq8ox7wb7f 3 ай бұрын
Unaulizwa kitu kingine unajibu utumbo
@user-gq8ox7wb7f
@user-gq8ox7wb7f 3 ай бұрын
Hakuna uongozi hapo ni ubabaishaji tu.yaani lazima matola abaki ili awasaidie kupiga.
@abdallahshariff6555
@abdallahshariff6555 3 ай бұрын
Kabsaaa,kuna Siri Matola anayo ijuwa,hatumtaki Matola ndio agent Kwa wa hezaji Kwa kuuza mechi
@abdallahshariff6555
@abdallahshariff6555 3 ай бұрын
Nina maana agent kwa wachezaji Kwa kuuza mechi
@DicksonMawinda-zb5bc
@DicksonMawinda-zb5bc 3 ай бұрын
Wewe mpira ujui mambo zako ni za kiuni
@LinusKyando
@LinusKyando 3 ай бұрын
NYUMA MWIKO
@SalimAl-mahrooqi
@SalimAl-mahrooqi 3 ай бұрын
Ndio shida ya management ya simba. Kosha mbovu
@SalimAl-mahrooqi
@SalimAl-mahrooqi 3 ай бұрын
Bora juma mgunda kuliko huyu kosha mpya
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 65 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,4 МЛН
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
Chapitosiki
Рет қаралды 3,4 МЛН
MCHEZAJI MPYA SIMBA ATUA BONGO,  NI STRAIKA wa MABAO,  JUNIOR LOKOSA....
3:44
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 65 МЛН