CHADEMA ARUMERU WASIMAMA NA MBOWE, WAMPA NASAHA LISSU

  Рет қаралды 6,671

JAMBO TV

JAMBO TV

Күн бұрын

Пікірлер
@bashayabenjamin-ot7xi
@bashayabenjamin-ot7xi 25 күн бұрын
Mbowe must gooo
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 25 күн бұрын
Lisuu mwenyekiti mpya
@gidionchami9958
@gidionchami9958 25 күн бұрын
Waombeni radhi watanzania kwasababu mliwadanganya kuwa Lissu anafaa kuwa Raisi wa nchi leo hata huyo Mwenyekiti wenu anatuaminisha kwamba Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa
@ValeriJummane
@ValeriJummane 25 күн бұрын
Tunaenda na Lissu popote pale
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 25 күн бұрын
Lissu kwanza
@zaxonygm7700
@zaxonygm7700 25 күн бұрын
Kama ccm mliweza kuwasema public kuhusu corruption, why ya chadema asiseme public kisa kulinda taasisi
@ramadhanyassin4396
@ramadhanyassin4396 25 күн бұрын
Nakuona kama kinyaaa
@adamsurioh9113
@adamsurioh9113 25 күн бұрын
Yan bas tu....em warudishe kwanza Kisu awe kiongozi alfu mengine tutajua huko mbelen
@MsabahAli-d6u
@MsabahAli-d6u 25 күн бұрын
Mkimpa mboe tutabaki na lissu atakapoenda tutaenda
@elikyusimsigwa6608
@elikyusimsigwa6608 23 күн бұрын
Kama mna pa kwenda mnahusikaje na chama hiki?, toeni hoja za msingi sio mihemko ya mitandaoni.
@abbassalum6824
@abbassalum6824 25 күн бұрын
Kichaa wew
@nestor384
@nestor384 25 күн бұрын
Wapiga porojo kama huyu hawajui kama akili finyu kama hizi hazitakiwi tena katika jamii Mpuuzi kabisa wewe huoni hata aibu!
@JoelKilemile
@JoelKilemile 25 күн бұрын
Huyu jamaa kachanganyikiwa na kimbunga Cha lissu.
@adamsurioh9113
@adamsurioh9113 25 күн бұрын
Mjinga tu....watu kama hawa wanakuaje viongozi
@JibeMwaijibe-p1z
@JibeMwaijibe-p1z 25 күн бұрын
Liiiiissssuuuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BongoCryptos
@BongoCryptos 25 күн бұрын
Poleni sana
@Allyiddsud
@Allyiddsud 25 күн бұрын
Tunahenda na mbowe.❤❤❤. Naumeonge vizur kaka
@FortiMtolela-xl2nb
@FortiMtolela-xl2nb 24 күн бұрын
Mbowe oyeeee ✔️📚
@EvanceDamdam
@EvanceDamdam 25 күн бұрын
Mbowe n kambi ya ccm tunahtaj mpinzan wakweli lisu, Katiba mpya itapatikana tu, mboe atoke miaka 21 aliyotumikia inatosha Hana mpya. Atoke tu tunahtaj mabadiliko
@PetroPmibulo
@PetroPmibulo 25 күн бұрын
Hili ndiro zuzu kweli mitano tena akafanye nn 21, inatosha arafu acha kuijadili ccm ambayo ina wenyevi watatu mbele ya mbowe mmoja awamu tano
@mosesibrahimu-kg1ib
@mosesibrahimu-kg1ib 25 күн бұрын
Pumbavu, yan sisi tukunje ngumi, ninyi mkunje noti? Tunasima na wabangaizaji wetu, lisu na heche.
@Peterchipemba
@Peterchipemba 24 күн бұрын
Jamani mungu katupa lissu,,ni mda walissu sasa,,mbowe alisha zoea kushindana na wagombea wadhaifu,,
@onlythestrong8659
@onlythestrong8659 25 күн бұрын
Lissu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@SaruniKutandawa
@SaruniKutandawa 25 күн бұрын
Umechelewa wp nilisu chaguo la wengi
@GasperKapungu
@GasperKapungu 24 күн бұрын
Safi sana.MBOWE jembe sana
@frankminga9307
@frankminga9307 25 күн бұрын
Hovyo
@nditiPeter
@nditiPeter 25 күн бұрын
Mbowe nidikteta nawa shangaa watu wanamuunga mkono amewasaliti wapigania haki walio umizwa kwaajili ya chama watu wametekwa wameuwawa wamepotea kumbe yeye amewatoa kafara kwamanufaa yake inaumiza sana
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 25 күн бұрын
Kabla ya kwenda kwenye media ulipata maoni ya wanachama wa chini na wananchi kwa ujumla?
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 25 күн бұрын
Pesa ya abdul imepanda kichwani njaa mbaya kwa hiyo utampeleka mbowe kozi. Akajfunze uongozi
@ValeriJummane
@ValeriJummane 25 күн бұрын
Lissuuuuuuuu
@martinomwakyusa8184
@martinomwakyusa8184 25 күн бұрын
Lissu ata akishindwa ndio anabidi agombee urais ndani ya chadema sasa kitendo cha wanachama kutoa maneno mabaya juu yake wanajiharibia uwambie waache unafikii Wakae na mtu aliye bora
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 25 күн бұрын
Sema tu huyu jamaa ni mzushi na mropokaji hajajitambua yeye ni nani
@PeterJonathan-c8k
@PeterJonathan-c8k 25 күн бұрын
Asiwadanganye jambo tv njooni Arumeru muwahoji watu wengi tunamtaka Lisu, tunaenda na Lissu
@talpacompany8358
@talpacompany8358 25 күн бұрын
Na Mimi najua,jambo tv nilidhaanza kumshitukia
@LenatussylivesterPetro
@LenatussylivesterPetro 25 күн бұрын
Niwakati wakuaibika mbowe ametaka mwenyew
@ZuzuTheGreat-e8d
@ZuzuTheGreat-e8d 25 күн бұрын
Acha kuwa chawa kiraka
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 25 күн бұрын
We unakula Bando huna point Sisi ndio wananchi tunawafatilia hule wenu mfanye makosa
@JosephMgumya
@JosephMgumya 25 күн бұрын
Lissu
@mfwimiekayuki8692
@mfwimiekayuki8692 25 күн бұрын
Poleni sana ARUMERU.
@gastonjohn537
@gastonjohn537 25 күн бұрын
Njaa inaongea
@edwindezidery632
@edwindezidery632 25 күн бұрын
Mi namwamini tundu lissu asilimia mia lissu ndo mwenyekiti mpya cdm mungu amutangulie
@rajabungomoi3192
@rajabungomoi3192 25 күн бұрын
We nimpumbavu kafungue tusheni
@NgendandumweAlouise
@NgendandumweAlouise 25 күн бұрын
Mbowe kachoka acheni ushenzi mbowe hawezi kugeuza kutu chochote mbele ya ccm it’s over
@Carenhabibu
@Carenhabibu 25 күн бұрын
We mng'ang'anie MBOWE CHADEMA inawafia sisi wananchi tunaenda na LISU tu hakuna mwingine
@mosesibrahimu-kg1ib
@mosesibrahimu-kg1ib 25 күн бұрын
Hakiri ndogo
@gsplundi1327
@gsplundi1327 25 күн бұрын
Huna unachoongea apa
@daudimchileg307
@daudimchileg307 25 күн бұрын
Akipita mbowe, CHADEMA kwisha, ACT wanaenda kuwa chama kikuu cha upinzani
@ValeriJummane
@ValeriJummane 25 күн бұрын
Lissuuuuuuuu ❤❤
@felixboniphace3281
@felixboniphace3281 25 күн бұрын
Wananchi tuna mtaka lisu mkituletea tofut na lisu mtabaki wenyewe kwenye chana
@JibeMwaijibe-p1z
@JibeMwaijibe-p1z 25 күн бұрын
Huyu akili yake imeganda anawaza ukanda
@zaxonygm7700
@zaxonygm7700 25 күн бұрын
Wewe ruka ruka tu ila Kila mtu ni Lissu. Mambo yote yapo wazi
@rejobu9723
@rejobu9723 25 күн бұрын
Nasoma comment 😂😂
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 25 күн бұрын
Lissu for chadema
@SowetoBanks
@SowetoBanks 25 күн бұрын
LISSU TU, acha stories nyingi. NI LISSU TU
@tanzalandtv3311
@tanzalandtv3311 25 күн бұрын
Mkileta tofauti na Lissu , lichama lenu libaki huko kaskazini , tushawashtukia
@ProsperReuben-fg6uh
@ProsperReuben-fg6uh 25 күн бұрын
Kaskazin ipi ww chuggar tupo na lissu kama mbaya ni mbaya
@ElibarikiMollel-t5k
@ElibarikiMollel-t5k 25 күн бұрын
Kumuunga mkono Mbowe haujafikiria vizuri . Kwahiyo 2020 Mlikuwa mnachagua Rais asie na uwezo? Kwahiyo Mbowe haijazalisha viongozi bora mpaka leo?
@malkavoice2570
@malkavoice2570 25 күн бұрын
Umeongea kwa hekima nzuri mwanzo umekuja kuvuruga mwishoni,Kwann Lissu hujawasema hao akina Odero na mwenzie kwann wanagombe ni nyazifa gani wao wamekuwa nazo zinawaruhusu kugombea uenyekiti sawa na Mbowe?!! Mbowe ataongoza hadi lini ikiwa hakuna mtu anayeweza kuongoza hiki chama? Lissu hana kipi?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 25 күн бұрын
Toa maneno ysko ya utumbo watu wanamtaka Lisu Mbowe ni Nkurunzinza akachokwa kila kona hawantaki kabisa
@JoelKilemile
@JoelKilemile 25 күн бұрын
Kweli nimeamini hawa wengine ni takataka,Eti mbowe ndio muheshimiwa pekee hawa wengine sio waheshimiwa,Jitahidi kurudi shule.
@benedictoshadrack2573
@benedictoshadrack2573 22 күн бұрын
Unachokisema ni sahihi kabisa Tundu lissu haina uvumilivu kwani siasa siyo kutumia maguvu bali hekima na busara na uvumilivu wa mwenyekiti Mbowe ndo umeifikisha hiyo tasisi ya chama cha chadema vinginevyo tasisi hiyo ingekuwa imekufa pia
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 25 күн бұрын
Wanufaika na janjajanja mtajulikana wote .
@EmanuelJohn-o3d
@EmanuelJohn-o3d 24 күн бұрын
polen arumeru mwakididmz chama chet chadema tliyo ipenda jmn
@HaroldTarimo-g6f
@HaroldTarimo-g6f 25 күн бұрын
Wewe huyo Mbowe alijifunzia wapi uongozi ambapo lissu hawezi Acha kupotosha watu
@JuliasMsongole-c5k
@JuliasMsongole-c5k 25 күн бұрын
Huna jipya ndugu yangu upo mbingu ya Saba kweli,
@kigesomichael8061
@kigesomichael8061 25 күн бұрын
Ukanda unaksmbua
@EdwardUrassa-xc6gz
@EdwardUrassa-xc6gz 25 күн бұрын
Kaka nimekuelewa sana Isanja na umeongea point nyingi
@GasperKapungu
@GasperKapungu 24 күн бұрын
Lissu anakazi ya kumpandikizia chuki mbowe na kumletea siasa chafu.ila mbowe yupo tu kimya.huo ndio uwongozi
@hoseap.gambojnr5268
@hoseap.gambojnr5268 25 күн бұрын
Kwamba Mwenyekiti Mbowe aliweza kuzalisha wanasiasa mashuhuri kwa mikakati ya upekee wake nadhani halina upingamizi. Ninamaanisha kwamba, aliweza kuingia kwenye taasisi nyeti kama vyuo vikuu na kuwashawishi wanachuo wenye hulka ya siasa kuwa wanachadema. Huu ni ukweli usiopingika. Lakini, mh. Mbowe kushindwa kumwandaa kiongozi anayemwamini kushika madaraka ya juu ya chama kwa miaka 21 ni anguko la kisiasa. Kushindwa kuandaa mrithi for 21yrs inakata zaidi ya 75% ya uwezo mkubwa wa kuzalisha viongozi ndani ya CDM. MBOWE INATOSHA SASA; TENA NAMSHAURI ASISUBIRI UCHAGUZI; RETREAT AND JOIN TAL BY THE TIME.
@ElisanteOlemboko-t5x
@ElisanteOlemboko-t5x 25 күн бұрын
Nyamaza
@UrioStanley
@UrioStanley 25 күн бұрын
WEWE NI KENGE , WATANZANIA TUNAMTAKA LISSU
@SowetoBanks
@SowetoBanks 25 күн бұрын
Siyo MANGARIBI we sijui uliupataje Uenyekiti?
@EmanuelJohn-o3d
@EmanuelJohn-o3d 24 күн бұрын
Nyie hamfai Tena popt pale tna tafuta lisu ppt
@EmmanuelKuzenza
@EmmanuelKuzenza 25 күн бұрын
Zilipendwa.
@JonathanMwacusa
@JonathanMwacusa 25 күн бұрын
Wee jamaa akilindogo sana.
@ValeriJummane
@ValeriJummane 25 күн бұрын
LISU Daima nyuma mwiko
@JosephSaidJikolo
@JosephSaidJikolo 25 күн бұрын
Mlimwaminije kugombea urais angefanikiwa kuwa rais mgesemaje
@faridsalehmohamed1230
@faridsalehmohamed1230 25 күн бұрын
Watu wa kaskazini wote ni wabinafsi na wabaguzi
@FortiMtolela-xl2nb
@FortiMtolela-xl2nb 24 күн бұрын
Mnaosema lisu mnapiga Kura?
@mnadanchege7089
@mnadanchege7089 25 күн бұрын
Fanyeni mzaha ili chama kiwafie tukibatize jina jipya chama cha ukabila
@JumaSha-w5w
@JumaSha-w5w 25 күн бұрын
Mpo wangapi?
@TeddyCyprian-o1s
@TeddyCyprian-o1s 25 күн бұрын
Lisu kwanza. Ukituletea mwingine hatuchangii tena
@IsayaJoseph-v3s
@IsayaJoseph-v3s 25 күн бұрын
We mpuuz ukiona mtu mzima anazingumza nje ya chama jua ndani mlishazungumza sana hamtwkelezi wachaga wanajali sana masrahi ya fedha Zaid sio masrahi ya wananchi. Wachaga wamekifanya chadema kama bizaa ya kujipatia kipato sio kweli ahasisi ya kuawapigania wananchi
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 24 күн бұрын
Kwanza ongea yako tu ni kwamba ujala njaa mbaya Sana ni lisu na heche ndo abali ya mjini
@ElisanteOlemboko-t5x
@ElisanteOlemboko-t5x 25 күн бұрын
Nyamaza wewe, lisu alikiongoza chama mbowe akiwa magereza. Alikaimu nafasi ya mwenyekiti. Kwa hiyo nyamaza sisi ndio wanachadema wa arusha
@JaphetAndondile
@JaphetAndondile 25 күн бұрын
Wachaga jamani kwahiyo kisa mbowe ,lisu hafai
@RichardBituro-x9g
@RichardBituro-x9g 25 күн бұрын
Dishi
@OscarKasalile
@OscarKasalile 25 күн бұрын
Lugha mnayoongea niugha yenu ya uchaga na umeru
@eatlawe
@eatlawe 25 күн бұрын
CCM wajifunze siasa toka kwa Chadema na hasa demokrasia.
@JoelKilemile
@JoelKilemile 25 күн бұрын
Sasa unavyoongea eti hawezi kushika uenyekiti,wakati anagombea urais wa nchi aliaminiwa vipi,Watanzania tuache unafiki kama huyu jamaa.
@noelorgenes8738
@noelorgenes8738 25 күн бұрын
Mlimpaje kugombea uraisi kama hafai
@ignasmjie
@ignasmjie 25 күн бұрын
KAMA SIMUELEWI IVI? NYIE MNAMUELEWA KWELI?
@EmanuelJohn-o3d
@EmanuelJohn-o3d 24 күн бұрын
kama mnataka mbowe labda azaliwe TN is uyo tliye zoofk naye
@dennisungonella205
@dennisungonella205 25 күн бұрын
Pambaneni tu, mkileta nje ya lissu msilielie tena
@gsplundi1327
@gsplundi1327 25 күн бұрын
Arf unanimalizoa bando
@ignasmjie
@ignasmjie 25 күн бұрын
CHA MSINGI TWENDE KWENYE DEBE MANENO MENGI HAYANA MAANA KAKA POVU LA NINI?
@rajabungomoi3192
@rajabungomoi3192 25 күн бұрын
Afiche Nini kumbe nyinyi ni washezi sana
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 24 күн бұрын
Huko ni kule kule kaskazini.
@gidionchami9958
@gidionchami9958 25 күн бұрын
Broo chadema mtuage tu huyo Mugabe wenu akishinda ndiyo kwaheri
@jetymagereja4058
@jetymagereja4058 25 күн бұрын
Kumbe ayubu kama ayubu😢
@Saidmathayo-uv4gj
@Saidmathayo-uv4gj 24 күн бұрын
Fala tu huyo hajielew
@damymzuri9989
@damymzuri9989 25 күн бұрын
Ukabila Kama siyo ukanda
@ignasmjie
@ignasmjie 25 күн бұрын
UCHAFU UNALINDWA ILI IWEJE?
@hamisimkoma7380
@hamisimkoma7380 25 күн бұрын
Arumeru kwa kumuunga mkono mbowe ninyi ni mafala
@issasimbira2001
@issasimbira2001 25 күн бұрын
Tatizo ukanda chama syo cha wachaga
@DandasiKundi
@DandasiKundi 25 күн бұрын
Unajua kiongozi kipimo chake cha kuchaguliwa ni kuheshimu katiba na sio kupiga kelele kumtukana mtu anae comment na wengi wanaokejeli ambao anaemtukana mtu mwingine ni vilaza wengi.
@BARAKAKinana-n4y
@BARAKAKinana-n4y 23 күн бұрын
ww kaka ww nimpumbavu sana rudisha akili maana ukisema demkrasia au ukweli ipo kwa lissu kaka ayubu pia ww nimtumichi wa mungu kama ulipo pewa jina ayubu kaka sema ukweli acha kumnga mkono mbowe usimdekese mbowe maana mbowe anakula hukunahuku ww kaka vipi ww
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 25 күн бұрын
Huyu jamaaa kuna sehem ametoboka anaongea brabra
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
Lissu azungumzia uongozi ndani ya CHADEMA
11:38
DW Kiswahili
Рет қаралды 88 М.
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН