Hapo sawa Safari ianze mapema kwa mmoja mmoja sio kusubili tarehe ya karibu Mtu anae enda kufanya uharifu huwa hatangazi sisi chadema tunaenda kutetea haki yetu,
@TrustElbashil4 күн бұрын
Safi sana police wasitutiishe kama ndivyo wamtoe ndani kombo, soka na we zake ndipo watoe ujinga
@Jeremiahlukumay4 күн бұрын
Wacha tutoke watuuwe sisi zote tufe watawale wanyama na wajitawale wenyewe.
@MustaphaSeleman-z7c4 күн бұрын
Nakubar sana
@allymohamed27244 күн бұрын
KAMA UNALIJUA LITAJE, DAR NI YA KIBIASHARA KWA SASA SIYO YA VURUGU. MSIBANI TU MLIANZA VIRUGU. DAR ACHENI WATU WATAFUTE MAISHA YAO. WAAMBIENI TPDF WAO WALISAKE HILO GENGE, KAMA WALIVYO WASAKA KULEEEEEEE NA KWA MAFANIKIO MAKUBWA
@rebekakulwa61594 күн бұрын
Bora maitu ziokotwe barabarni kuliko kuliwa na mamba tumechoka
@FilbertLyamuya4 күн бұрын
safi sana mkuu
@chrysanthushakaunga65604 күн бұрын
Very sorry my fellow Tanzanian at home you are on bias God will keep you safe amen
@suleimanabdillah74903 күн бұрын
Hakuna Serekali 2 zinazoongoza TAIFA hili,kumbukeni kauli ya Mzee Pinda,kama mmezuiliwa na mkatumia nguvu MTAPIGWA yaani MTAPIGWA vizuri huku wajerumani wakiwatizama
@MagakaManyanya4 күн бұрын
Hakuna maendeleo bila maandamano
@user-rf5jg2xd6t4 күн бұрын
Safi sana
@GoodTeck904 күн бұрын
Maandamano yapo pale pale, tunawakaribisha polisi na marungu yenu na silaha kuja kutulinda
@rebekakulwa61594 күн бұрын
Kwani dar ni nyumbani kwa mtu una hati milik ya mkoa wote
@rebekakulwa61594 күн бұрын
Hii nchi siyo ya mafisi em tanganyika ni yetu sote
@abubakarimussa91314 күн бұрын
Tutakuwepo kama kawaida
@Jeremiahlukumay4 күн бұрын
Tusitishwe, tusitishwe, tusitishwe tusiuziwe uwoga maana hatutaki.
@peterjohnson1674 күн бұрын
Rwanda ya RAIS Paul Kagame amechukuwa nchi kwa mfumo huu wa Chadema kuuwa wa Tutsi wa hutu ili ionekane mauwaji ya kikatili na waungwe mkono naaaaaaa.
@peterjohnson1674 күн бұрын
Chadema nyie wajinga kweli kabisa mnateka watu wenu zaidi mnawauwa wenyewe kwa sababu ya uchu wa madaraka na mpate huruma ya kutawala Tanzania...
@nikodemmwahangila33344 күн бұрын
Watapigwa watu kipigo cha umbwa koko huku sio kenya
@ceciliamagalabajimmy43914 күн бұрын
Loooooooooo, 😢😢😢😢 kumbe eee, sawa.
@muddyausi84704 күн бұрын
Mbona. umeanza. kulia kabra. haujaandamana
@IreneRama-jp6pm4 күн бұрын
Sawa babaaaa
@SuzieMavoco-ju9iv4 күн бұрын
T😊
@IsackDominiko_4 күн бұрын
🔥 M4C (255)
@WillKilulya4 күн бұрын
Sheria unajua wewe?mtapigwa Sanaa na naomba utangulie mbele.
@Zanzibar-e4h4 күн бұрын
Mm sina shaka na viongozi wa chedema na wana msimamo tatizo wafuwasi wa chadema ujiiiiii znz ikitishwa mandamano ikiwa chama kile cha zanan wananchi wafuwasi wanafanya mamuzi hila kuwa kiongozi ktk mandaman jazi ya viongozi sio kuandamana
@omarybakunda25544 күн бұрын
Mnaonaje haya maandamano yaanzie wilaya ya hai kwa akina Mbowe halafu ndio yaje Dar.
@pueblo1484 күн бұрын
Kwa sababu haujatekwa wewe Wala kyuliwa ndg zako.kilaza
@mbegesemwalupani64604 күн бұрын
Ngoja tuanzie kwa mkeo
@rodsconehenry42494 күн бұрын
Tuanzie hapo ndo pazuri bhana au
@suleimanabdillah74903 күн бұрын
Wachaga akili sana haijawahi fanyika maandamano Moshi wala Arusha kwasababu hakuna Mchaga anayetaka kuzuiliwa biashara yake kwa maandamano. Ndio sababu wanayapeleka kwa wasiojitambua
@IsackPeter-qq4xk4 күн бұрын
Jitambue
@saidchaula19474 күн бұрын
Hawa watu mbona wanataka kutupanda kichwani kwani hili taifa kila kitu wanataka tutembelee akili zao na mawazo yao
@JonathanMGAIWA-ow4py4 күн бұрын
Akina nani hao
@rasnchimbi4 күн бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍️🏿
@CalistusTitus-s5o4 күн бұрын
Maandamano ni haki ya kikatiba, polisi msilete taaruki, lindeni maandamano na watamaliza watalala kwa nini mnataka kuzua taaruki? Hofu yenu ni nini haswa?
@isayamwashibanda58194 күн бұрын
💪💪💪💪
@SalimAbdallah-mi1wc4 күн бұрын
Tareh 23 kutakuwa Na kazi za serekali mji mzima ole wenu mjipendkeze kuingia mitaani nchi yetu Ni ya Amani hatutaki vurugu
@abubakarimussa91314 күн бұрын
Nnchi yababayako
@yassinnabwera42734 күн бұрын
Wapumbavu mpo wengi,Kama ndugu angetekwa na kuuwawa,maneno hayo ya kijinga ungeyaongea?
@EstherSamwel-vk4wb4 күн бұрын
Akitekwa baba ako,mama ako ,mke wako au mtoto wako ndo utajua
@SalimAbdallah-mi1wc4 күн бұрын
@@EstherSamwel-vk4wb Sawa kama wewe ndo mtekaji Karibu Sana njoo private nikupe location
@rodsconehenry42494 күн бұрын
Basi ukute umeajiriwa tu ndo kinachokupa nguvu
@jafaryshuigwa91624 күн бұрын
Pointless
@emmapaul17664 күн бұрын
In your mother's ass
@FredrickMnyakiwele-j1s4 күн бұрын
Sheria wapo vizuri mnadahau walivunja mkataba wao wenyewe waliuza ugombea kwa masaa na wakati katiba ya chama hairuhusu hakuna mlijualo ingieni balanalani ninyi na watoto wenu
@petertemu71364 күн бұрын
Kazi Kweli kweli
@AmaniKizinga-ew9mk4 күн бұрын
Wewe kaandamane tu.
@Flaviosafari4 күн бұрын
Tunafuata sheria na katiba ya Nchi. Kwani katiba inasemaje? Imeisha hiyo mzee umeeleweka.