Dokta kuhuc zinaa ambae ana ambukiza ni mwanaume au mwanamke
@ShaniJuma-sm1sd7 ай бұрын
Nimekuelewa sana dr
@JosephMlelwa-h9w4 күн бұрын
Doctor shida kubwa ni kwamba napata maumivu makali wakati tendo na baada ya tendo nisaidie shda nn
@LaynaSamwel6 ай бұрын
Doctor nisaidie nimeumwa PID kwa mda mrefu sana na nshatembea hospital nyingi napewa dawa wakati mwingine kupata ushauri hila bado sijapona nisaidie please
@christinapaul73905 ай бұрын
Na Mimi ni muhanga sana wa hilo
@IreneChizah4 ай бұрын
Nitafute nikuelekeze dr
@LuciaPhinias-wy3do3 ай бұрын
@@IreneChizahMimi pia jamn
@aminahassan58172 ай бұрын
Habar @@IreneChizah
@SaumuJumwa-u4v2 ай бұрын
Dada tumia karafuu na kitunguu saumu utakuja nikumbuka
@LinaRobert-p8g9 күн бұрын
Docta naomba unixaidie me nimepita mwezi cjaingia period na tumbo linaniuma chini ya kitovu mimba nimepima cn hiyo ni pid au uti
@husnatisaid15 күн бұрын
Nashukur doctor ila Mimi napata2 harufu mbaya tofauti nasiumwi na tumbo wala kutoka uchafu je nnn
@AidaNgolly15 күн бұрын
Doctor naomba namba za pfisini kwenu mana mm natoka na uchafu kidg sana ila nikikutana na mume wangu natoka uchafu mweupe
@sharifaali292710 күн бұрын
Dk me hali yngu ni mbaya sn kwa huo ugonjwa mwanzo sptl nikiambiwa ni pid mala naambiwa milango ya kizazi zimetanuka nisaidie
@SalmaSaidi-c3i7 ай бұрын
Mbon mm cjawah kujamiian na mtu wala kutoa mimba wala kuharib mimba na cjawah shirik mbon ugonjwa umenipat ttz lpo wp doctor nimeupataj na cjawah kujamian
@jahatvonline7 ай бұрын
Wasiliana na Dr farajah ni mtaalamu wa masuala ya wanawake kwa namba za simu +255 657 526 248
@jahatvonline7 ай бұрын
Wasiliana na dr faraja kwa simu namba ni mtaalamu wa masala ya magonjwa ya wanawake +255 657 526 248
@truthch16426 ай бұрын
Nenda kwenye maombi
@omanruwi55017 ай бұрын
Asanteni❤❤❤🎉🎉🎉sanakwa kutuelimisha
@MussaHaji-s3j27 күн бұрын
Dokta naomba no yko hlo yzo ninalo 4:16
@dorithherbert56449 күн бұрын
Mimi nasumbuliwa namaumivu makali yakiuno mzunguuko wote wakiuno nakutoka jasho jembamba mpaka kwenye nyayo nakuishiwa nguvu je hii ni shda Gani?
@Samir-u8wАй бұрын
Me nasumbuliwa sana na pid nimetumia dawa sindano mpk nimechoka alafu na blidi mabonge mabonge na mimba sishiki
@hidayahamisi-e8k6 күн бұрын
tumia karafuu na kitunguu swaumu
@OnesmoNgonyani-bc5uu7 ай бұрын
Je iyo PID inaambikiza
@BahatiJulius-xt9my5 ай бұрын
Asante kwa ushauri Mimi pia nna tatizo Hilo naomba msaada
@jahatvonline5 ай бұрын
Namba za dr Faraja hizi hapa 0657 526 248
@TheoDrizzy-q4e3 күн бұрын
Doctor me natokwa nauchafu sehemu zasiri harafu natoa harufu nasijuhi tatizo ninin
@phillyjnl22052 ай бұрын
Doctor samahan mm uchafu huwa unatoka mara moja moja na wala hauna harufu mbaya na pia ni mweupe mwepesi je na yenyewe inaweza kuwa dalili ya p.i.d
@Snuky547 ай бұрын
Masha Allah Doctor anafafanua vzur sana yupo vzur masha Allah
@Marryjoseph-gk5gm23 күн бұрын
Doctor nisaidie huwa nasikia maumivu makali sana chini ya kitovu
@ZawadiRashid-x6wАй бұрын
Doktar habar mm naumwa chin ya kitovu upande wa kulia lakin napata maumivu miguu na sehem zangu zasir hasa nyuma hata nikijamba napata maumivu nisaidie
@hamenyanashoni94835 ай бұрын
Mm nikikalibia kuingia kwenye sku zangu uleute unakuta unahalufu mbaya nanikitoka tumbo linaniuma chini ya kitovu
@jahatvonline3 ай бұрын
Inabid ukafanye vipimo au wasiliana na Dr Farajah 0657 526 248
@JanethJoseph-o5s7 ай бұрын
Mm nauliza mtu akiwa na PID anaweza akawa anasumbuliwa namuwashoo sehm za sili
@CahelyPaul7 ай бұрын
Ndy
@sharifaali292710 күн бұрын
Dk huu ugonjwa unanisumuea sn naomba namba yk
@JanethMwambela14 күн бұрын
Samahan dostar mie kesho ndo siku ya kubeba mimba siwez kutumia daw ya kupevusha mayai
@SizaFungo2 ай бұрын
Doctor me maumivu mda wa tendo la ndoa na nimezinguka hospital nazipata nafuuu yoyote plz naombunixaidie
@jahatvonline2 ай бұрын
Piga simu 0657 526 248 Dr Farajah
@sharifaali292710 күн бұрын
Samahani dkt naomba namba yk
@RehemaAloyce-p6x3 ай бұрын
Mm pia nina hiz dalili msaada plz
@SwaumuAbubakari5 күн бұрын
naweza kumpata wap huy docta
@mashikulushona74707 ай бұрын
Ni ukweli kbs naomba msaada
@SeriusiNyingeАй бұрын
Samahani docta mtu mwenye p I d anaweza kubeba mimba?
@MNEGENAJAPHET8 ай бұрын
❤
@Bilmutzbilmutz7 ай бұрын
No ya sm
@HopefulComputer-fz7be7 ай бұрын
Tiba zake
@MichealNgwale2 ай бұрын
Saw ipi nitumie
@SalmaSleman-u5z4 ай бұрын
Mm naomba dawa ya huu ugonjwa dr
@KaizaMaria5 ай бұрын
Tofauti na kujamii ana na mtu mwenye magonjwa Kuna nyingine njia ya kupata ugonjwa huo
@MwaniPhilipo7 ай бұрын
Nisaidie maana maelezo yanatosha kuwa ni kweli mtupu dalili ni hizo
@muznaame55183 ай бұрын
namba yako ya simu mpo hujatuwekea
@HalimaIdd-x5v3 ай бұрын
Jaman kumbe tuko wegi hili tatizo linaniuma sana
@IssaShabani-ce1rzАй бұрын
Doctor muwasho na uchafu wenye harufu ni dalili za nn hzo
@NaimaKakombe2 ай бұрын
Mimi Nina mwezi wa pili sasa nablid bila mpangilio yaani nakaa wiki au cku 3 naingia tena naomba msaada
@Bilmutzbilmutz7 ай бұрын
Pliz no ya sm
@JoisSamwelАй бұрын
naombeni namba nije
@RihamCuty4 ай бұрын
Doctor nisaidie nimept hlo tatizo la p l d nip zanzibar
@AmosSimon-o1g3 ай бұрын
Dr tunataka namba tuna hitaji msaada wako
@SamwelZawad3 ай бұрын
dr mi naumwa na homa kbs coz nimepima na nina pid
@SheymaaYusuph4 ай бұрын
Dokt samahani naomba namba yako
@MichealNgwale2 ай бұрын
Sijaelewa kuhusu kuto kunywa dawa akitoa mimba
@b.i.gnotorious79476 ай бұрын
Kwakweli doctor unaelezea vizuri natokwa na huo uchafu na cjuh napataje msaada mungu atusaidie
@jahatvonline5 ай бұрын
Wasiliana na dr Farajah kwa namb za simu +255657526248
@Mohanta-q6h5 ай бұрын
Dr help plz
@IreneJonas-q3wАй бұрын
jamani nifanyeje mm
@hidayahamisi-e8k6 күн бұрын
tumia karafuu na kitunguu saumu
@kautharjay58682 күн бұрын
@@hidayahamisi-e8kmbona haufafanui
@jemsmayunga8 ай бұрын
Pid unaweza kusababisha kukata kwa hedhi
@JoshuaAtupele-oy5op7 ай бұрын
Me sipati maumivu doct ila natoka uchafu mweup nisaidie
@kazanamusso47847 ай бұрын
Ukitoaa mimba usipotumiaa dawa hapa sjaelewa
@MariamOmar-bn6op5 ай бұрын
Tina sake please doctor
@SabraJuma-z1j7 ай бұрын
Mm nauliza mtu akiw n pid hawez kupat kizaz
@jahatvonline7 ай бұрын
Tazama video hii nadhan itakuwa na majibu ya maswali yako kzbin.info/www/bejne/o5uZhWt9i7Z8paM
@StellahSalome6 ай бұрын
Dktr mm naisii uchungu nikimalizia kukojoa iyo pia n moja wapo izo dalilizingine sina
@Nasrajy6 ай бұрын
Ndiy Huwezi kupata kizazi
@vanessaanna65503 ай бұрын
U TI iyo @@StellahSalome
@evapetro44734 ай бұрын
Jaman tiba yake ni nini
@AkraMwaikambo2 ай бұрын
Dr naomba nisaidie dawa ya huu ugonjwa
@jahatvonline2 ай бұрын
piga simu 0657 52 62 48
@endruPrimmy4 ай бұрын
dr mke wangu anapata shida kama hiyo anapata damu mara mbili tena damu yenyewe nyeusi sana je na hiyo ni Dalili pia
@jahatvonline4 ай бұрын
Kinachohitajika baada ya kuona dalili zilizotajwa ni kumuona daktari kwa ajiki ya kuhakikisha tatizo, sisi tunakutajia dalili ili uchukue hatua,au piga simu 0747557514 Dr mnyanyi
@SaumuJumwa-u4v2 ай бұрын
Ukiona ametumia dawa za hoss na hali iko ivyo acha nikupe dawa mwambie atumie karafuu na kitunguu saumu achemshe utakuja nishukuru
@SalmaAli-pt7dm27 күн бұрын
Samahan naomba kuulz iyo karafuu na kitunguu thoum unavitwanga au vp unaweza kutufafanulia kwa uelewa zaid
@SaumuJumwa-u4v25 күн бұрын
@@SalmaAli-pt7dm kitunguu saumu waeza kumeza kma dawa na pia kma wataka kuchanganya na karafuu basi waitwanga na uchemshe unywe
@ShamiraSued7 ай бұрын
Je condom inaweza sababisha pid
@EdnaAdammsyani2 ай бұрын
Mh nikatoe tu kitanzi nishaanza kuona dalili
@jahatvonline2 ай бұрын
dalili zipi hizo ulizoanza kuziona?
@zainabzain34347 ай бұрын
Naweza je kupata namba zako Dr nina bint analo ilo ttzo kishatibiwa bado inajirudia anamwagika maji ukeni
@IreneMutheu-cx7ts4 ай бұрын
Aki niko na shida ya infection
@LydiaNasimiyu-h1n3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AkraMwaikambo2 ай бұрын
Dawa napataje
@witnesskaaya96416 ай бұрын
Samaahani doctor je matibabu yake tunapataje
@jahatvonline5 ай бұрын
Piga simu namba 0657 526 248 Dr Faraja
@VelonaJoakimu4 ай бұрын
nitumie namba zako
@YohanaMollely-v6e7 ай бұрын
Je tatizo la PID linatibika?
@CahelyPaul7 ай бұрын
Ndy
@GetrudaNyemela3 ай бұрын
Namba docta naomba
@jahatvonline3 ай бұрын
Dr ametaja namba yake kwenye video ya pili Madhara ya PID KWA MAMA MJAMZITO
@VivianFurahaАй бұрын
Kama huna dalili zote lkn unawashwa sehemu ya haja kubwa hiyo nayo nn
@Bilmutzbilmutz7 ай бұрын
No ya sm
@jahatvonline7 ай бұрын
Namba ya ofisi ni 0678 998 222 Coordinator jaha communication