AFISA MTENDAJI Amnyonga MKEWE Mpaka KUFA/BABA na KAKA wa MAREHEMU WASIMULIA/ "MUME alikuwa MLEVI"...

  Рет қаралды 130,399

Rick Media

Rick Media

Күн бұрын

Пікірлер: 353
@Chocococoliam
@Chocococoliam 3 ай бұрын
Wanawake tunakaa na mambo mengi sana moyoni kwenye ndoa but when it’s come to a toxic relationship pls leave…run awaay Rest in peace Diana…fly high babes My deepest condolences to her family
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 3 ай бұрын
Huko ni kuonyesha anahitaji ishu ama yupo tayari kuwa na huyo baba
@rehemamwasa9657
@rehemamwasa9657 3 ай бұрын
Jamani mwanamke mwenzangu ukiona ndoa inakushinda kimbiaaaa, khaa😭😭😭😭
@MagrethThomas-f4o
@MagrethThomas-f4o 3 ай бұрын
Kichaa huwa haponi kwa asilimia 💯.Mungu awatie nguvu familia kwa wakati mgumu huu wanaopitia.Inaumaa sana
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 3 ай бұрын
Waandishi wa habari acheni hii Salamu ya heshima yako.mzee kama huyo unashindwa kumuamkia shikamoo.c umri wa mzazi wako huyo.mnatuharibia vijana na hii Salamu yenu ya kihuni
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 ай бұрын
Sana hovyo kabisa
@saraallen6341
@saraallen6341 3 ай бұрын
Kwanza heshima yako ndo nn jamani mimi huwa sielewi
@mauasylla5024
@mauasylla5024 3 ай бұрын
Najiuliza hii " heshima yako" ilianzia wapi? Ni ukosefu wa adabu. Inanikera sana.
@SALEHSALEH-lk5jr
@SALEHSALEH-lk5jr 3 ай бұрын
Kuna wazee wengine hata ukiwaamkia hawakuitikii na wengine huku jibu "poa". Sasa wazee kama hawa utawasalimia kwa salamu gani?
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 3 ай бұрын
Wapumbavu Sana sijui anaweza kumuambia baba yake mzazi heshima yako
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn 3 ай бұрын
Hizi roho za mauti zikome kwa Jina la YESU, fikiri kabla ya kutenda ukisha ua utaishia jela umepata nini umeleta hasat kwa familia ulioua Mtoto WA mwenzako Nawe pia jeeeeela faida gani mpingeni sHeTani nae atawakimbia
@RemigiusDomitian
@RemigiusDomitian 2 ай бұрын
Jifunze kutoa salaam ya heshima,wewe ni kioo Cha jamii.Ahsante.
@moshiwasua5749
@moshiwasua5749 3 ай бұрын
Wanawake wote. POLENI sana. Mnavumilia mengi sana. Mkiamua kuacha ndoa. Kutokana na yanayo wakuta ,Jamii Ina walaumu. , Mnapovumilia , mnapatwa na kifo. Duu jamani wanawake wana teseka sana Wanaume. tutambue kuwa huyo mkeo anapendwa na wazazi mno kuliko mali ulioltoa. Kama umemchoka mrudishe kwao kuliko kumnyanyasa
@sylviamuzungu7998
@sylviamuzungu7998 2 ай бұрын
Amiin, ubarikiwe kaka
@happytimes9747
@happytimes9747 3 ай бұрын
Mwanamke mzuri kweli, jameni hii mambo inaumiza sana mbona bila huruma unyonge mtu ambaye mumekua na yeye si muachane tu kila mtu atafute maisha yake😢😢😢poleni sana family
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 ай бұрын
Umeonae jamanii
@SimonMwita-k8s
@SimonMwita-k8s Ай бұрын
Poleni.ila niligundua mwanamke sura nzuri ni hatari afadhali sura mbaya afadhali.sura nzuri utashindia mukikoseana na wanaume
@AnitaApolinary
@AnitaApolinary 3 ай бұрын
Unajaribu kuvumilia ndoa na madhaifu ya mwenzio kumbe yy ana mpango wa kukuua😢jaman sasa hapa tunajifunza kwmb tuache kuwavumilia wanaume maana😢😢😢😢😢
@richardbenny156
@richardbenny156 3 ай бұрын
Nawaambia Wanawake. ogopeni sana mwanaume mlevi. Atakuchekea leo kesho Atakuua. Ni sawa unampenda ila Atakuua na kukatisha Maono yako. Nawashauri kaaeni mbali na walevi na wanywa pombe. Muda wowote anakuua vizuri.
@johnnkya1824
@johnnkya1824 3 ай бұрын
Pombe ikifikia kuwa sababu ya kuuwa sasa hiyo inakuwa siyo pombe...kumbe kuna na shida ya afya ya akili....
@magrethpaul2207
@magrethpaul2207 3 ай бұрын
Kiukweli Hawa viumbe nihatari MWENYEZI MUNGU kawapa nguvu ya kutulinda wanaitumia kutumaliza😢
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
Hii mambo ya kuvumilia ndoa sio vizuri, poleni sana wafiwa
@rahimchardluck
@rahimchardluck 3 ай бұрын
Kwa mtu anaejua maisha halisi ya hapa duniani unaweza shangaa kwa hiki kitendo ila lazima ifikie hatua wanaume wawe na natabia kama za kike sahizi uiili kuokoa haya matukio.wanaume wanapitia magumu sana kwenye ndoa zao ni vile tu si rahisi kuzungumzika kwenye jamii na jamii haiko tayari kuielewa upande wa wanaume.sivizuri jambo lakuua ila kuna kitu ndani yake.ulevi si iwe kigezo chakusema kisa mlevi ndio maana kaua.wangapi wanalewa na kama ulevi shida si serikaliizuie utengenezaji na uingizaji wa pombe!ishu ni mambo yakifamilia
@JumaMartin-e4v
@JumaMartin-e4v 3 ай бұрын
Mimi niwaombe wanawake wote mnapo kuwa na changamoto ktk ndoa zenu msifiche na c vema kukaakimya.polen wafiwa ndugu na jamaa na mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi insha Allah.
@RashidShedaffa-v9x
@RashidShedaffa-v9x 13 күн бұрын
Poleni wote mnaohusika na marehemu Diana, dunia mapito sote tuko safarini....namna mwandishi alivyohoji,nimegundua Diana na mumewe waliishi kwa upendo mkubwa,huenda pombe alokunywa na tatizo la akili alilowahi kuugua ndo sababu ya tendo ovu alilofanya ofisa mtendaji. Napendekeza apimwe akili ili kujilidhisha na hali ya afya ya mtuhumiwa ndipo afikishwe mahakamani ,sheria ifuate mkondo wake. Poleni tena wafiwa M/Mungu awape subira.
@MaryamAziz-q7t
@MaryamAziz-q7t 3 ай бұрын
Kweli ni salam ya kihuni saana heshima yko maana yke nin
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 3 ай бұрын
JAMANI poleni famiy RIP Diana hii kweli kila siku kunamauaji watu wamekuwa vipi
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
Hivi wewe unajuwa maana ya marahaba kwa waarabu wenyewe? . Marahaba maana yake KARIBU sasa hiyo ndo nini?
@nancyg8664
@nancyg8664 3 ай бұрын
​@@valenakomba7686kwan sisi ni waarabu 😂😂😂we si mngoni kabisa
@ljk4006
@ljk4006 3 ай бұрын
​@@valenakomba7686😂😂tubaki tu na salamu zetu za kibantu
@Migrationdesanimaux
@Migrationdesanimaux 3 ай бұрын
😂​@@nancyg8664
@agnessokumu58
@agnessokumu58 3 ай бұрын
Ni maumivu makubwa kwa familia Mungu awatie nguvu na sheria itatenda haki
@putilegamagama6049
@putilegamagama6049 3 ай бұрын
SALAMU GANI HIYO KWA MZEE HAPO. DADA ETU
@DaheerK
@DaheerK 3 ай бұрын
Mtoto akishaolewa mkaletewa changamoto yoyote msimfarij mtoto mtumie sheria mrudisheni nyumban jaman 😢😢
@gracemacha9357
@gracemacha9357 3 ай бұрын
Ndoa ikikushinda kimbia 😭😭
@hyasintapantaleo1102
@hyasintapantaleo1102 3 ай бұрын
Davis pole kipenzi. Jamani Diana Mungu akulaze mahali pema
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 ай бұрын
Poleni sana familia, imetuumiza wengi, ukatili wa hali ya juu, Mtangazaji nenda kahoji wazazi wa mwanaume pengine hili sio tukio la kwanza kuua
@MauaDumba
@MauaDumba 3 ай бұрын
Sasa unadhani watasema hata kama tumio si la kwanza
@mariej6962
@mariej6962 3 ай бұрын
Kama ndugu tu wa mke wanaficha matatizo yake ya akili unadhani utapata chochote kwa wazazi wake?
@KULWAMAIGE
@KULWAMAIGE 3 ай бұрын
Familia mnaongea vzr sna mnaofu ya mungu
@LatifaHashim-rn1ip
@LatifaHashim-rn1ip 3 ай бұрын
Duh wanaume msijikaze sana bwana wote tunaumia Baba Pole
@gracemacha9357
@gracemacha9357 3 ай бұрын
Wanawake tuache kuvumilia vipimo vya Wanaume 😭😭😭
@JosephineMegora
@JosephineMegora 3 ай бұрын
Nyumba nzuri maisha safi shida nin jamani mkono wa mtu huo
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 3 ай бұрын
Kero ni cku Moja tu.. Sms 1 inaua na kuishi na chizi ni uchizi pia.
@moshiwasua5749
@moshiwasua5749 3 ай бұрын
Aliongea doctor (PhD). Baadhi ya wasichana ambao waliharibiwa tabia kwa kujua mambo ya ndoa wangali wadogo. ,,Wasichana wa namna hiyo ni vigumu sana kusema SHIKAMOO
@JamilaKelota
@JamilaKelota 3 ай бұрын
Mpuuzi sana huyo mtangazaji umeshindwa nn kumuamkia
@malakisilas6523
@malakisilas6523 3 ай бұрын
Pole sana watu wabaya hawana utu Wala dini,ahukumiwe naye
@GadssonLutaha
@GadssonLutaha 3 ай бұрын
Tobaah wanawake sisi jaman au hakujua kama anachizkaga? Maana had anachet kabisa? ama kwel kupenda upofu jamaniiiii dah! Mtu akpata uchz anaweza fanya lolote jaman nahuyo baadae...polen sana familia😭
@naomilumolwa7864
@naomilumolwa7864 3 ай бұрын
Mungu tupe uvumilivu, ktk makasiliko yanayotokea ktk familia, tusichukue maamuzi magumu.
@VeronicaMedard
@VeronicaMedard 2 ай бұрын
Duh inauma sana😢😮5
@VeronicaMedard
@VeronicaMedard 2 ай бұрын
Sas sjui amepata faida gan.😢😢ila mungu amsamehe😢😢😢
@PriscaMnyumba-xw8oc
@PriscaMnyumba-xw8oc 3 ай бұрын
Mungu atusaidiee sana. Bilaa mungu sisi hatuweziii kitu
@AnnaStazia-i6o
@AnnaStazia-i6o 2 ай бұрын
Kiukweli wanawake tuogopeni sana wanaume
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 2 ай бұрын
Alikuwa mke bora lkn mume hakuna bora
@summanelson5523
@summanelson5523 3 ай бұрын
Kwa nini Diana aliolewa na mtu mwenye kichaa!!!!! Ni hatari sana kuishi na mt mwenye changamoto ya akili!!!! Kuua ni kitu cha kawaida sana. Duh!!! Pole sana Diana umewahishwa sana. Umri wa miaka 30s ndiyo maisha yanaanza!!!! Ila huyu kaka muuaji apelekwe hospitali na asitoke kabisa. Anaweza kuua mtu mwingine.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 ай бұрын
@@summanelson5523 Kuna familia wanajua kabisa mtu wao sio mzima wanakauka kimya bila kusema ukweli tukio likishatokea wanaona hata aibu kusogelea ndugu za marehemu
@reachglobal9939
@reachglobal9939 3 ай бұрын
Utakua umalaya ndyo maana jamaa alianza kupotezea mawazoachafu ya wanawake wengi Malaya wanazini nje ya ndoa wavuna matunda Yao
@sizamazongera5610
@sizamazongera5610 3 ай бұрын
Nyoyo zimekuwa katili kuua inaonekana kawaida
@FelistaMichael-mp2jm
@FelistaMichael-mp2jm 3 ай бұрын
Pole sana
@adolphmshiu7410
@adolphmshiu7410 2 ай бұрын
Muuaji sio huyo mume miungu mlio nayo inayo mwalilisha muuaji mkuu shetani
@lucymacha1853
@lucymacha1853 3 ай бұрын
Huyu kaka alikua na Pepo ndio maana hakukimbia du! Poleni wafiwa
@JosephineMegora
@JosephineMegora 3 ай бұрын
Kabsa ni pepo
@Marzzzzzz20
@Marzzzzzz20 3 ай бұрын
Aisee poleni sana Familia
@PendoMarco-x3u
@PendoMarco-x3u 3 ай бұрын
Waandishi ndo mnasababisha maadili yakose kwenye jamii, salam gani hiyo?
@dorcasassenga2005
@dorcasassenga2005 3 ай бұрын
Ni kweli . Wakati mwingine tunawalaumu Watoto kuwa hawana nidhamu na tunawalaumu Watoto,kumbe sisi ndo tumewajengea misingi mibovu.
@Aisha-t2q
@Aisha-t2q 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@CharlesGida
@CharlesGida 2 ай бұрын
Ndoa hailszimwishi wa awake wenzangu yakikufika kooni beba vilivyo vyepes sepa nyumbani haukuuwa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 ай бұрын
Pole sana kwa wafiwa 💔😭
@claratemba44
@claratemba44 3 ай бұрын
Wewe Dada amkia shikamoo baba
@Amospius-r3y
@Amospius-r3y 3 ай бұрын
tena ni mjuu wake hata wa nne! lakini kuna wazee wengine pia hawataki shikamoo,tusimzonge sana huyu dada pengine yuko sawa!
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
Kwani shikamoo ina faida gani?. Au inmaana gani? . Sisi watu wa mikoani hatunaga shikamoo. Badala yake tuigage magoti kwa watu wazima.
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 3 ай бұрын
Huyu inaonyesha anakazi nyingine ya kuhitaji mahusiano na wazee, hn ht haiyya yaani looh
@drp3721
@drp3721 3 ай бұрын
Hajui kumpatia Mzee heshima yake. Maadili hakuna hapa, anakimbilia mahajiano
@Mimi-wf7mb
@Mimi-wf7mb 3 ай бұрын
Hicho cheo cha Afisa utendaji ni laana. Wengi wanafanyaga mambo ya ajabu sana! Si ndio wanaosimamia dhuluma na kuhakikisha zinashinda? Mungu turehemu 😢😢
@richardbenny156
@richardbenny156 3 ай бұрын
Mzee shida hapo ni ulevi, mapombe
@LaulentLameck
@LaulentLameck 3 ай бұрын
Watu tumekuwa waajab badala tukemee mauaji watu mbajadili salami Kwani heshima yako ni kihuni
@SuzanFelix-mo8fq
@SuzanFelix-mo8fq 2 ай бұрын
Heshima yako na wew pia mwandishi ameshindwa kujibu 😂
@TeklaNdekeja
@TeklaNdekeja 3 ай бұрын
Aisee ungonjwa ulipanda halikuwa kusundi lake nadio maana ata hakukimbia😭😭 poleni familia
@RevinaVedasto
@RevinaVedasto 2 ай бұрын
Jamani wanaume jalibu kuwa na mungu ndani ya moyo mbona wanawake twawavumilia nyie family poleni
@magdalenalaban8895
@magdalenalaban8895 3 ай бұрын
Kumbe anacheti Cha ugonjwa wa matatizo ya Afya ya akili hapo hakuna kesi
@stellamongi8811
@stellamongi8811 2 ай бұрын
Alafu watu wakiachana mnaongea mtu ukiona una aman ya roho na mpenz wako sepa dada yangu mzuri umemuuwa du
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 3 ай бұрын
Shikamoo baba nadhani inatosha. Halafu Pole sana kwa msiba baba yangu. Inatosha kutafsiriwa kama heshima
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Hii nyumba bila kuombewa kuishi itakua ngumu
@estachengula3902
@estachengula3902 3 ай бұрын
Pole sana familia inasikitisha hata vyeo tuwapange wenye akili timamu
@JOHNMUSHI-q8k
@JOHNMUSHI-q8k 2 ай бұрын
Sasa wewe dadangu mtoto wa Tarimo ilikuwaje unaolewa na kichaaa? ninyi wazazi kwa nn mlimrruhusu mtoto aolewa na kicjaa??
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 2 ай бұрын
Jaman ikisha fikia hatua watu hawaelewan juwa upendo umeisha ukingangana una uliwa binadamu tumebadilika hata utende jema lipi utalipwa baya tuu
@fredkweka-i4i
@fredkweka-i4i 3 ай бұрын
Tatizo ndoa nyingi zina Siri .na ujinga wanaofundishwa kwenye ndoa ni uvumilivu.ndomana yanatokea haya.
@Asma-u4z7b
@Asma-u4z7b 3 ай бұрын
Uyo Baba aliumwa akili ndio maana hakukimbia❤
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 ай бұрын
Eee Mwenyeezimungu uzidi wanusuru watoto wetu na aibu za Dunia
@LaulentLameck
@LaulentLameck 3 ай бұрын
Watu mnajadili salam
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 ай бұрын
Duuuh pole kaka kwa kumpoteza pacha
@Jamalkishangu
@Jamalkishangu 3 ай бұрын
Pombe ni mama wa maasi na maafa. Ni muhimu jamii kujiepusha na pombe ya aina yeyote, ule usimi kwamba kunywa kidogo hauna maana yeyote.
@kilogreek4050
@kilogreek4050 3 ай бұрын
HAWA WAZEE WENGINE WANAYANFANYA HAYA MAUUAJI KWA MAMBO YA USHILIKINA KUENDELEA NA HUONGOZI WA UTENDAJI WA KATA????😢😢😢
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 3 ай бұрын
Mtangazaji unaongea vzr Ila kama mtoto wa kitanzania ongeza hekima mkubwa kwako msalimie Kwa heshima tumefundiahwa neno "shikamoo" Kwa wakubwa ulitumia nafikili itapendenza zaidi.
@LidyaSilaa
@LidyaSilaa 3 ай бұрын
Haya mchaga kauliwa ona mnavyosemaga wabaya wauaji sasa hili mnasemaje.neumia sana mchaga mwenzangu kuuwawa nimeumia sana dah
@batulymsangi926
@batulymsangi926 3 ай бұрын
Natamani baba angu nae angekuwepo yan mzee anasomesha mwanae mpaka anapata kaz bank alaf mtu anamuuwa jamni😢😢
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 2 ай бұрын
Jifunze kiswahili mwandishi ninani alo kupa uandisi ikiwa kiswahili fasaha hujui
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Wamefanana na pacha wake jmn😢
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 3 ай бұрын
Hii dunia kwasasa binadamu tumekuwaje jamni hatuna woga kabisa kumwaga damu zawengine😢
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 3 ай бұрын
Shikamoo maana yake "nashuka miguu Yako mara Saba"
@bobg611
@bobg611 3 ай бұрын
Huyu marehrmu anakaa allikuwa nna roho safi sana kwaa mrefu mme wake!!!
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 ай бұрын
Ukiona ndoa vp bora tuu uondoke jamanii 😭😭poleni wafiwa
@graceandrew3988
@graceandrew3988 3 ай бұрын
Mabinti jifunzeni kunywa pombe kupitiliza kwa mwanaume yeyote ni RED FLAG kubwa sana,usidhani akishakuoa ataacha,kuweni makini mnapochagua wachumba,acheni kusema Love is blind,ukiona mtu abusive mkimbie mapema kama Mungu amepanga uolewe utaolewa tu. R.I.P dada yetu,poleni sana familia
@deborahsamwel5833
@deborahsamwel5833 3 ай бұрын
Mimi niishi na mtu ana matatizo ya akili cheti kabisa cha mirembe wee sio mimi
@BahatiSaid-cm7nc
@BahatiSaid-cm7nc 3 ай бұрын
Tuna shida sana ya afya ya akili, dalili huwa zinajitokeza lakini sielewi kwamba hatujui tunatakiwa kufanya nini au sijui nisemeje jamani…. Soo sad Tusivumilie vitu ambavyo sio vya kawaida katika mahusiano
@dayanaheliasi7769
@dayanaheliasi7769 3 ай бұрын
R,I,p wajina duuuu nimeumia et anajibu kabisa hujui kama amekufa
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 3 ай бұрын
Uyu mdada hana adabu kabisa alafu hata hajui kutangaza arud tena shule
@KhadijamussaMachapat
@KhadijamussaMachapat 3 ай бұрын
Kazi kweli kweli maana 😭🙏🤝🙏
@Byme6434
@Byme6434 3 ай бұрын
Nimempenda Huyu Mdada Mtangazaji Yaaaani Katulia Anaelezea Vizuri Amependeza Sana
@EricTrillz
@EricTrillz 3 ай бұрын
Afya ya akili.Matibabu ni muhimu.
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 ай бұрын
RIP DADA DIANA....POLENI SANA FAMILIA YOTE YA DIANA.
@GraciuosGeofrey
@GraciuosGeofrey 3 ай бұрын
Mfanyakazi wa Tilisho jamani 😢😢😢
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 25 күн бұрын
Waandishii hakuna hapo maadili au malezi elimu au nn?
@andrewalex8272
@andrewalex8272 3 ай бұрын
Aina Ya Waandishi wa Habar wa hiv ni hvyo Ma Inatakiw wawe na Heshima na Adabu et Heshima Yako K kabsaaa
@ninayamat8213
@ninayamat8213 3 ай бұрын
😢😢😢😢hivi hili pepo la wanandoa kuuana nini lakn kwa style hii tutaolewa kweli
@Nyaboke-123
@Nyaboke-123 3 ай бұрын
Shetani huyo mwanaume. May he never know peace in his life.
@fatumarajab3139
@fatumarajab3139 3 ай бұрын
Watangazaji mnakera et heshima yako Ndio nini hiyo Kwani ukimsalimia tu vizuri mnapungukiwa nini
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn 3 ай бұрын
Mungu tusaidie sana sana sana
@mrmarineboardtz
@mrmarineboardtz 3 ай бұрын
Mmh mbaya sana😢
@Ashrey82
@Ashrey82 3 ай бұрын
Mtu ana cheti kwanini mkampa binti yenu🙆
@mariej6962
@mariej6962 3 ай бұрын
Mapenzi. Ila kama anameza dawa vizuri na asingekuwa anakunywa pombe mbona wanaishi vizuri tu na familia zao.
@MarimSali
@MarimSali Ай бұрын
Sababu ni pesa tu mtu angalii chocht dunia hii ila pesa tamaa itauwa wengi sana
@MKOLOSAIZENGO-o7f
@MKOLOSAIZENGO-o7f 3 ай бұрын
Ney wa mitego ooohh kumbe niko bongo😭😭😭
@joycekalago532
@joycekalago532 3 ай бұрын
Heshima yako nawe pia😂😂😂sasa sijui ni kabila gan husalimiana hiv
@Zuwenamchuzi
@Zuwenamchuzi 2 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@modesterchristophermodchri4233
@modesterchristophermodchri4233 3 ай бұрын
Yani tuna vumilia kwa jili ya toto lakini Bado tuna waacha Mme ana kuita mavi mbwa takataka nafikili ndiyo ninacho subili Mimi wana niuma wa totowangu sana
@Happizo
@Happizo 3 ай бұрын
Mapepo yamejificha nyuma ya "afya ya akili" 🗿🗿.
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 3 ай бұрын
Mi kwa kifupi natoa shikamoo kwa mzazi wangu na ndugu zangu walionizidi umri basi, wengini sitoi shikamoo na wala sipokei
@dynamicmwakibinga4371
@dynamicmwakibinga4371 3 ай бұрын
Na nyie mnacomment maswala ya salam ?jikiteni kwenye swala la mauaji
@sabinadohho9559
@sabinadohho9559 3 ай бұрын
Uyo mtendaji itakuwa kuna roho ya kishetani ilimpitia,RIP Diana
@kilogreek4050
@kilogreek4050 3 ай бұрын
USISEME ALIKUA AMELEWA MUUAJI UTAMPUNGUZIA KIFUNGO CHA JELA 😢😢😢
@MimahMimah-b7k
@MimahMimah-b7k 3 ай бұрын
Kule mtoto kamuua baba huku mume kamuua mkewe😢 jamani
@MarthaKidirya
@MarthaKidirya 3 ай бұрын
Huyo ana mental disorder hawez kufugwa sanasana atapelekwa kama mirembe akakae huku apate dawa na counseling tu
MALI YA MAREHEMU
3:25:48
SIMULIZI FUPI by Simulizi Mix
Рет қаралды 30 М.
ITAKUTOA MACHOZI: MFANYA KAZI WA NDANI AMNYONGA MTOTO WA MIEZI 6/UCHAWI
25:46