Waandishi wa habari acheni hii Salamu ya heshima yako.mzee kama huyo unashindwa kumuamkia shikamoo.c umri wa mzazi wako huyo.mnatuharibia vijana na hii Salamu yenu ya kihuni
@sir_ENOCKMACHA8 сағат бұрын
Sana hovyo kabisa
@saraallen63418 сағат бұрын
Kwanza heshima yako ndo nn jamani mimi huwa sielewi
@mauasylla50246 сағат бұрын
Najiuliza hii " heshima yako" ilianzia wapi? Ni ukosefu wa adabu. Inanikera sana.
@SALEHSALEH-lk5jr2 сағат бұрын
Kuna wazee wengine hata ukiwaamkia hawakuitikii na wengine huku jibu "poa". Sasa wazee kama hawa utawasalimia kwa salamu gani?
@twiseghekisilu884548 минут бұрын
Wapumbavu Sana sijui anaweza kumuambia baba yake mzazi heshima yako
@nadhifamustapha755739 минут бұрын
Maskn Hana kesi huyo kaka Km anashida ya akili na chet mnasema anacho basi kaua bila kukusudia 😢
@darajalakidatukilomgi23623 сағат бұрын
Poleni sana familia, imetuumiza wengi, ukatili wa hali ya juu, Mtangazaji nenda kahoji wazazi wa mwanaume pengine hili sio tukio la kwanza kuua
@SelinaChares27 минут бұрын
Salama gani hiyo ukosefu wa adabu
@sizamazongera56107 сағат бұрын
Nyoyo zimekuwa katili kuua inaonekana kawaida
@endeshyamat67737 сағат бұрын
What is heshima Yako 😢
@PeterMahona-zd3oz45 минут бұрын
Poleni sana
@PendoMarco-x3u7 сағат бұрын
Waandishi ndo mnasababisha maadili yakose kwenye jamii, salam gani hiyo?
@aubreykasoyaga166513 минут бұрын
Kumbe huyo Diana aliolewa na Chizi
@MKOLOSAIZENGO-o7f23 минут бұрын
Ney wa mitego ooohh kumbe niko bongo😭😭😭
@agnessima50325 сағат бұрын
Ukiona mwanaume haelekei bora umwache tu kwa usalama wako.
@FatumaMuya-w5h5 сағат бұрын
Ndugu hata kama ukimuacha atakufuata huko ulipokimbilia
@bcozhenry26982 сағат бұрын
Sema ukiona "mtu" haelekei... Sio ukiona "mwanaume".... Hata wanawake wapumbavu na makatili wauaji wapo sana siku hizi. Hakuna upande wenye nafuu
@chikujuma1848 минут бұрын
😢😢😢 Inalilah wainalilahi rajighun pole wafiwa
@GhardesGh6 сағат бұрын
Pole kwa familia
@YamunguMatamya9 сағат бұрын
Ndo kusalimia vp kwa mtu mzima
@geraldmakalala60918 сағат бұрын
Hii Salam huwa siipendi kabisa
@zeranchimbi28085 сағат бұрын
mtangazaji bado sana uwiiiiiii
@mrmarineboardtz5 сағат бұрын
Mmh mbaya sana😢
@AnethMushi-c3eСағат бұрын
Afisa mtendaji!Ametenda mambo
@neemakoka5992 сағат бұрын
Angetafuta maombi jamani. Hiyo ni roho mchafu.
@hussenyahaya867510 сағат бұрын
Ingekuwa aliyeuwa mchaga wangesema ndo tabia yao sasa mchaga ndo kauwawa
@joneshelberth10258 сағат бұрын
Mushi na Shirima wote ni achaga ndugu. Hapo muuaji na aliyeuliwa wote wachaga
@marykarebeti941020 минут бұрын
Tabia mbaya kumsalimia mtu mwenye umri wa babako "Heshma Yako" babako ungemwamkia hivyo?
@Honorx6Honorx6-w4n9 сағат бұрын
Iyo salam sasa
@roselambert67009 сағат бұрын
Balaa jamani
@eliamanyisapallangyo3379 сағат бұрын
Mtu ana hadi cheti cha ukichaa!!!!
@darajalakidatukilomgi23623 сағат бұрын
Nina wasiwasi ameshaua tena au ameshafanyia ukatili watu wengi mpaka amezoea, inaumiza sana na yeye angebondwa tu afie mbali