JOL MASTER ASMA COY YOUTUBE

  Рет қаралды 36,159

Cheka tu

Cheka tu

Күн бұрын

Пікірлер
@mybrain8940
@mybrain8940 2 жыл бұрын
Huna kitu unacho fanya now days matako yanalia bwata, ngoma ikivuma sana
@paulomaona2466
@paulomaona2466 2 жыл бұрын
Material ziroo
@paulonjozi1638
@paulonjozi1638 2 жыл бұрын
Najuta kupoteza mb zangu
@husnashindano1192
@husnashindano1192 2 жыл бұрын
Asma MashaaAllah 🤩 🤩 🤩 🤩
@zaburi2386
@zaburi2386 2 жыл бұрын
Hv huyo Dada Nan alimuambia anajua kuchekesha
@hutchblaq2998
@hutchblaq2998 2 жыл бұрын
😂😂
@tawiso_online_tv.
@tawiso_online_tv. 10 ай бұрын
Jol kalime
@brianaldo5084
@brianaldo5084 2 жыл бұрын
so funny 🤣🤣🤣
@markomadundo778
@markomadundo778 2 жыл бұрын
Jolly master Nini sikuiz umekuwa mbona huchekeshi? Jitahidi bn yaan ukumbi unatulia saana ukiingia kuchek Ni kidg saana tafta punch Kaka yaan nashangaa ckuhiz huchekeshi kbs
@mohammedhalfan
@mohammedhalfan 2 жыл бұрын
My favourite online comedy show...
@happyalphonce3356
@happyalphonce3356 Жыл бұрын
😂😂😂
@djmaxmnyamaglobal7744
@djmaxmnyamaglobal7744 2 жыл бұрын
Yani ulivyo taja bongo tu hoi🤣🤣🤣🤣🤣
@liciouscharles3370
@liciouscharles3370 2 жыл бұрын
Yaan cheka tu siku hizi hawachekeshi kabisa
@JninjaH2R
@JninjaH2R 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 2 жыл бұрын
asma😅😅😅
@boniphaceantony4807
@boniphaceantony4807 2 жыл бұрын
Ondokaaa bwana nendaa katafute material hakuna unachokifanyaa hapo.
@boniphaceantony4807
@boniphaceantony4807 2 жыл бұрын
Hapo kwenye cheka tu mkali aza boy, bernado, na mwaisaa yule mwamba wa mbeyaa
@tawiso_online_tv.
@tawiso_online_tv. 10 ай бұрын
Yaan nacheka on how jol is fun less
@esmailmalundila7140
@esmailmalundila7140 2 жыл бұрын
Hamna kitu
@clevertouch4615
@clevertouch4615 2 жыл бұрын
Asma ana hema sana
@deborahjoseph1601
@deborahjoseph1601 2 жыл бұрын
The Third One......
@mwaitajuma4140
@mwaitajuma4140 2 жыл бұрын
Safi sana napenda mnavyo pambania hii fani nauliza nilini mnatarajia kuweka comedy search kwa mwaka huu?
@goldenliger7624
@goldenliger7624 2 жыл бұрын
On time
@salomejoseph4932
@salomejoseph4932 2 жыл бұрын
😂😂
@تاتوجمعه
@تاتوجمعه 2 жыл бұрын
😂😂👏❤
@bhokechacha6576
@bhokechacha6576 2 жыл бұрын
😂
@chidimmaka
@chidimmaka 2 жыл бұрын
Second to comment
@faisalmuhidini2712
@faisalmuhidini2712 2 жыл бұрын
🤗🤗😂😂
@kongahjradvesta1662
@kongahjradvesta1662 2 жыл бұрын
Jol master sku hiizi huna content ni kelele tu ulizo nazoo,,,,!!! Pambanaaa acha mazoeaa
@boniphaceantony4807
@boniphaceantony4807 2 жыл бұрын
Kweliii man anatumia nguvuu nyingi kweny hamnaa
@daveme9180
@daveme9180 2 жыл бұрын
Sure
@mustafampande173
@mustafampande173 2 жыл бұрын
Sa jol masta mbona haeleweki? Anaenda mbele anarudi nyuma..inshort skuizi he has no content for funy but he's just doing it kwa mazoea.
@whatif..6961
@whatif..6961 2 жыл бұрын
Wewe ndo umemzoea. Sio kazi rahisi kuchekesha watu, especially wa Tanzania kama wewe, mlio na stress za maisha.
@daveme9180
@daveme9180 2 жыл бұрын
Hana kitu
@DjmubaTechServices
@DjmubaTechServices 2 жыл бұрын
Jol master siku hizi hamna kitu sifa zimemkolea mno
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 жыл бұрын
Kwel kaishiwa. Ila sio mchezo unajua kufanya Hii kitu... Em jaribu jicheki kwenye kioo tu😂😂
@DjmubaTechServices
@DjmubaTechServices 2 жыл бұрын
@@mkaapwekekariakoo6417 Kuchekesha ni fan ambayo mm na ww hatuna ila ambao wanayo ndio wamefika huko Cheka tu, hivyo bs mm siwz kufik hpo coz sio mchezo
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 2 жыл бұрын
@@DjmubaTechServices Hakika... Sema mwanzo alikubalika japo kwa Sasa inafaa ajipange upya Joli Master Ni Kama Erick Omondi. Watu kila Mara wanaibuka na kuwa na ubunifu, Sauti, nyimbo fulani wanaimba, kuwa na kollabo ya comedians zaidi yake, kukaa kimya ili watu wawe na shauku naye. Kama anavofanya Midevu. Anaweza akakaa mwezi mzima wa kuandika na kufikiria Nini Cha Kutoa, akija kweli unasikia Ile kauli ya the king is back inaendana na anayeisema. Naamini anapitia comment zetu na Hii ndiyo support yetu kubwa kwao, kuwapa Ni kipi tunafikiria na kipi tungependa kupokea. Asante
@DjmubaTechServices
@DjmubaTechServices 2 жыл бұрын
@@mkaapwekekariakoo6417 huyu Jol master cheka hata jokes zake za nyuma zilivyo na angalia sasa hivi, utaona kabisa dogo anajiona kaisha fika yaan now anatumia uzoefu tu. Na hili ndilo ttzo sasa yaan bora angezidi kuji brand kwa sasa zaid ili afike mbali japo hata aende Churchill show anaona kuwa Cheka tu kaisha fika...Kuna comedians wakubwa sana haps Africa lkn bado kasi yao ni ile ile na wanzaidi kuwaka 🔥 na wana mafanikio hatari sana, sasa yy alivyoanza kuingiza vihela tu kaanza madharau na anashindwa kuelewa kuwa sisi ndio tumemfikisha hapo
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 2 жыл бұрын
Jol master is not funny at all 😠 it's really boring 😏
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
Yeah
@officialnadoboytz1005
@officialnadoboytz1005 2 жыл бұрын
Najua ulitafuta matusi lakin amna tusi tushakuelewa 😂😂😂
@daveme9180
@daveme9180 2 жыл бұрын
Hana kitu
@paulonjozi1638
@paulonjozi1638 2 жыл бұрын
Uyo akuna anachokua cjui kwann kaopata nafc
@jamesblackjaguar2084
@jamesblackjaguar2084 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
MCHAMBUZI WA MCHONGO NA KAGO
11:54
Cheka tu
Рет қаралды 46 М.
COY MZUNGU/BLACK/ MR ROMANTIC
18:13
Cheka tu
Рет қаралды 16 М.
JOL MASTER | AZABOY | NDARO  KWNEYE WEEKLY EDITION 4
19:51
Cheka tu
Рет қаралды 106 М.
Jol Master, Guest Comedian kwenye stage | Comedyvillagetz S02eps 21
17:27
Comedy village TZ
Рет қаралды 64 М.
How to treat Acne💉
00:31
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 108 МЛН