Ondokaaa bwana nendaa katafute material hakuna unachokifanyaa hapo.
@boniphaceantony48072 жыл бұрын
Hapo kwenye cheka tu mkali aza boy, bernado, na mwaisaa yule mwamba wa mbeyaa
@tawiso_online_tv.10 ай бұрын
Yaan nacheka on how jol is fun less
@esmailmalundila71402 жыл бұрын
Hamna kitu
@clevertouch46152 жыл бұрын
Asma ana hema sana
@deborahjoseph16012 жыл бұрын
The Third One......
@mwaitajuma41402 жыл бұрын
Safi sana napenda mnavyo pambania hii fani nauliza nilini mnatarajia kuweka comedy search kwa mwaka huu?
@goldenliger76242 жыл бұрын
On time
@salomejoseph49322 жыл бұрын
😂😂
@تاتوجمعه2 жыл бұрын
😂😂👏❤
@bhokechacha65762 жыл бұрын
😂
@chidimmaka2 жыл бұрын
Second to comment
@faisalmuhidini27122 жыл бұрын
🤗🤗😂😂
@kongahjradvesta16622 жыл бұрын
Jol master sku hiizi huna content ni kelele tu ulizo nazoo,,,,!!! Pambanaaa acha mazoeaa
@boniphaceantony48072 жыл бұрын
Kweliii man anatumia nguvuu nyingi kweny hamnaa
@daveme91802 жыл бұрын
Sure
@mustafampande1732 жыл бұрын
Sa jol masta mbona haeleweki? Anaenda mbele anarudi nyuma..inshort skuizi he has no content for funy but he's just doing it kwa mazoea.
@whatif..69612 жыл бұрын
Wewe ndo umemzoea. Sio kazi rahisi kuchekesha watu, especially wa Tanzania kama wewe, mlio na stress za maisha.
@daveme91802 жыл бұрын
Hana kitu
@DjmubaTechServices2 жыл бұрын
Jol master siku hizi hamna kitu sifa zimemkolea mno
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
Kwel kaishiwa. Ila sio mchezo unajua kufanya Hii kitu... Em jaribu jicheki kwenye kioo tu😂😂
@DjmubaTechServices2 жыл бұрын
@@mkaapwekekariakoo6417 Kuchekesha ni fan ambayo mm na ww hatuna ila ambao wanayo ndio wamefika huko Cheka tu, hivyo bs mm siwz kufik hpo coz sio mchezo
@mkaapwekekariakoo64172 жыл бұрын
@@DjmubaTechServices Hakika... Sema mwanzo alikubalika japo kwa Sasa inafaa ajipange upya Joli Master Ni Kama Erick Omondi. Watu kila Mara wanaibuka na kuwa na ubunifu, Sauti, nyimbo fulani wanaimba, kuwa na kollabo ya comedians zaidi yake, kukaa kimya ili watu wawe na shauku naye. Kama anavofanya Midevu. Anaweza akakaa mwezi mzima wa kuandika na kufikiria Nini Cha Kutoa, akija kweli unasikia Ile kauli ya the king is back inaendana na anayeisema. Naamini anapitia comment zetu na Hii ndiyo support yetu kubwa kwao, kuwapa Ni kipi tunafikiria na kipi tungependa kupokea. Asante
@DjmubaTechServices2 жыл бұрын
@@mkaapwekekariakoo6417 huyu Jol master cheka hata jokes zake za nyuma zilivyo na angalia sasa hivi, utaona kabisa dogo anajiona kaisha fika yaan now anatumia uzoefu tu. Na hili ndilo ttzo sasa yaan bora angezidi kuji brand kwa sasa zaid ili afike mbali japo hata aende Churchill show anaona kuwa Cheka tu kaisha fika...Kuna comedians wakubwa sana haps Africa lkn bado kasi yao ni ile ile na wanzaidi kuwaka 🔥 na wana mafanikio hatari sana, sasa yy alivyoanza kuingiza vihela tu kaanza madharau na anashindwa kuelewa kuwa sisi ndio tumemfikisha hapo
@abdulmohd68802 жыл бұрын
Jol master is not funny at all 😠 it's really boring 😏
@lareineminah13532 жыл бұрын
Yeah
@officialnadoboytz10052 жыл бұрын
Najua ulitafuta matusi lakin amna tusi tushakuelewa 😂😂😂