No video

🤣 UTACHEKA UVUNJE MBAVU | BALAA LA WASHIRIKI WA CHEKA TU WALIOPATIKANA KATIKA MIKOA

  Рет қаралды 954,365

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 812
@joachimsamwel812
@joachimsamwel812 2 жыл бұрын
Huwezi taja Jina la YESU kwaajili ya vichekesho vinavyo leta zalau kwa YESU
@Anitajoseph792
@Anitajoseph792 2 жыл бұрын
Mbaya sana
@muasewamukadogo9729
@muasewamukadogo9729 2 жыл бұрын
Hawajuw tu huko ni kumdhihaki
@eliyawilliammagesamarwa8413
@eliyawilliammagesamarwa8413 Жыл бұрын
Hii ni ibada ya kukufuru
@VestinerBerchmansBullu
@VestinerBerchmansBullu Ай бұрын
Hv hamna vya kuchekesha mpaka mumtaje Yesu,ni kujitafutia laana tu.hatupendi na hatufurahii
@Anitajoseph792
@Anitajoseph792 2 жыл бұрын
Wasafi mnadharaulisha dini yetu.Ww mchungaji gani Msanja unafurahia jina la Yesu kudharirishwa. Mungu atusamehe makosa yetu.
@davidmendrad4749
@davidmendrad4749 2 жыл бұрын
Wasitumie sana dini ( Yesu na MUNGU) wasitanie jina la Mungu
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 2 жыл бұрын
Hata mm sifurahii kabisa
@ruzisalm2031
@ruzisalm2031 2 жыл бұрын
Nimungu wawapi huyo yesu
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Yesu sio mungu
@YahyaSaiid-vx4rz
@YahyaSaiid-vx4rz 4 ай бұрын
Ivi mungu anyone kana?anakula?anapanda mtumbwi?anavaa kanzu?
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
​@@yusufuheri6524Babako au kasome bibilia
@bibliakitabukitamu6015
@bibliakitabukitamu6015 2 жыл бұрын
Komedi ni kitu kizur Ila naomba nionye kitu TUSIMFANYIE MUNGU MZAHA ATA KIDOGO naomba mfikishe iliii
@AlexEvord-kx8hu
@AlexEvord-kx8hu 8 ай бұрын
Wamuheshimu mungu
@kasmirypaschal2228
@kasmirypaschal2228 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 daaaaaah m nmeckia eti shoko halisuki 5:44 hapa jamaaaa kajiongezeaa kipaji cha kunichekesha bila yeye mwwnyewee kujuaaaaa
@leonardbutindi1775
@leonardbutindi1775 2 жыл бұрын
😸🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kasmirypaschal2228
@kasmirypaschal2228 2 жыл бұрын
@@leonardbutindi1775 noma sana kaka
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Leonard, MC Eliod na Azaboi mmetisha sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️. Ile nyie mnaotumia jina la Yesu mnakosea sana Yesu hachezewi
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 жыл бұрын
Shkrn sana, ubarikiwe
@ceciliaombela7159
@ceciliaombela7159 2 жыл бұрын
Tena sana sijui hawajui dhamani yake
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 жыл бұрын
@@ceciliaombela7159 mimi nimekosa lakusema 🤔🤔🤔🤔
@sayimagina1334
@sayimagina1334 2 жыл бұрын
Jina la Yesu linatakiwa kuheshimiwa kila mahali......wangetakiw watumie mifano mingine sio kumkejeli Yesu....Haijafaa ila Mungu awasamehe maana hawajui watendalo
@davidndaha9607
@davidndaha9607 2 жыл бұрын
Comedy maneno mengi ya Mungu toweni ya kazi zenu
@richiuskoba7918
@richiuskoba7918 2 жыл бұрын
Yaani kwanzia no2 mpk wa mwisho hamn kitu kbxaa..all in all yule wa kwanza ndo kaua
@nestoemanuel2821
@nestoemanuel2821 2 жыл бұрын
Kitaa kina mishe kibao bro! 🔥🔥
@sportsnewss8779
@sportsnewss8779 2 жыл бұрын
Comedian wa kwanza ametishaa sanaa
@princessmiki3210
@princessmiki3210 2 жыл бұрын
Hata mm nmempenda sana huyo wa kwanza
@joachimsamwel812
@joachimsamwel812 2 жыл бұрын
Mnazalaulisha imani yetu kwakuifanyia mizaha na vichekesho ..waandalizi mnapaswa kuweka mipaka sio kila kitu ni chakuchekeshea tuu
@bikabucha7905
@bikabucha7905 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@josephhaule9123
@josephhaule9123 2 жыл бұрын
Hata mm sijafurahishwa kabsa halafu masanja anayejiita pastor anachekelea tu hap
@mr.machange1377
@mr.machange1377 2 жыл бұрын
Roho ya Makufuru inatenda kazi
@gidygiam9867
@gidygiam9867 2 жыл бұрын
Wanacheze iman
@SankaEmanueli-bz8cr
@SankaEmanueli-bz8cr Жыл бұрын
Mnazingua sana acheni matani na yesu unajua ww ni Mtu mzima unapumua kwa ajili ya mungu afu unamzungumzia yesu kwenye utani wenu
@celinekenedy870
@celinekenedy870 2 жыл бұрын
Hamna kitu wote kasoro wa kwanza na Eliud,,, kwani YESU aliwafanyia nn mbaya? Kuweni na uoga na heshima pia.
@tomzone6267
@tomzone6267 2 жыл бұрын
Leonardo 🔥, Eliudi 🔥 .... Uyo watatu mtanisaidia Lakini Kuna baadhi ya watu wamekuja apo kwa platform as if Amna 10 M ivi au ni Mimi uelewa mdogo
@geraldsebastianlaizer7060
@geraldsebastianlaizer7060 2 жыл бұрын
Pawepo na drisha la wazi kuwapigia kura washiriki. Gerald Sebastian. Arusha,Tanzania
@nassirmasoud2545
@nassirmasoud2545 2 жыл бұрын
Ombi langu kwa wananchi:ningependa tuigizeni kila kitu lkn maneno matakatifu ya kitabu cha dini yyte yasiruhusiwe.mnacheka kwa dharau kwa maneno ya Mungu jamani?mbona ckupenda hilo?
@bikabucha7905
@bikabucha7905 2 жыл бұрын
Pia mimi swala hilo limenikera kweli
@ireneassey753
@ireneassey753 2 жыл бұрын
Point
@fidelyaredi4137
@fidelyaredi4137 Жыл бұрын
Aija kuwa kosa bado,
@christonchristian7448
@christonchristian7448 Жыл бұрын
mnamjua masanja anajoke but watu wanagain na kuvutiwa uhalisia wa Mungu nb wawe na mipaka
@princematenga2435
@princematenga2435 Жыл бұрын
Ahaha
@aishahussein4884
@aishahussein4884 2 жыл бұрын
Saidi nimecheka mpka nimelia😃😃🇰🇪
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 жыл бұрын
Heheheeee kzbin.info/www/bejne/noHJeHeDhtqbaa8
@shimbirobo9586
@shimbirobo9586 2 жыл бұрын
Hata mim nmecheka sana, na nimeparudia rudia sana daaaaaaa!
@Saidaaid
@Saidaaid 2 жыл бұрын
Thanx
@agustinonwaka2089
@agustinonwaka2089 2 жыл бұрын
Duu japokuwa sio mlokole ila Mungu achezewi kihivyo
@YahyaSaiid-vx4rz
@YahyaSaiid-vx4rz 4 ай бұрын
Hey
@Zaburi-
@Zaburi- 2 жыл бұрын
Acheni dhihaka na imani za watu, it's total stupidity
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 жыл бұрын
Heheeee kzbin.info/www/bejne/noHJeHeDhtqbaa8
@markleonardo8634
@markleonardo8634 2 жыл бұрын
Total stupid, sijawahi kuona wakitumia kitabu cha waarabu kile
@AsiaMkusa
@AsiaMkusa 2 жыл бұрын
Mmmmmmmh
@othmantv2654
@othmantv2654 2 жыл бұрын
@@markleonardo8634 kuwa na heshima broo yale ni maneno ya Allah sio kitab cha waarabu
@nasramohamedi8190
@nasramohamedi8190 2 жыл бұрын
@@markleonardo8634 pumbavu wee umeona wapi maneno ya haki yakachezewa ndio muone sasa hiyo mnayoiita dini inavyozalilishwa
@princessmiki3210
@princessmiki3210 2 жыл бұрын
No 1 umenivunja mbavu hatar Una kipaji kaka hongera
@simonmlisa4311
@simonmlisa4311 2 жыл бұрын
Ni kama wanasimuliana stories kabla ya kupanda stejini..washiriki kama watatu wote wamelalia upande wa hadithi za Yesu.. Ila huyu Leonard yupo vizuri sana
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 2 жыл бұрын
Naungana na Baba Levo...jamaa wa Arusha yupo safi sana
@mariatarimo6646
@mariatarimo6646 2 жыл бұрын
Mama nyenzo yuko vzur sana
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 жыл бұрын
LEONARDO 😍🤗 Number one ☝️👏🔥✅
@kasmirypaschal2228
@kasmirypaschal2228 2 жыл бұрын
kweli kabsaaa hata mm nmeliona hlo!
@user-pd6iq8fh2q
@user-pd6iq8fh2q 9 ай бұрын
Leonard mwenyewe ndo yupo vizuri hawo wengine akuna kitu
@chrianahchrison855
@chrianahchrison855 2 жыл бұрын
Mshiriki namba 3, kutoka dar es salaam, tunaomba uheshimu dini za watuuuuu!🙏🏻
@fayzarashidi2203
@fayzarashidi2203 2 жыл бұрын
Sijaona mchekeshaji
@leylamark3193
@leylamark3193 2 жыл бұрын
Kabsa yaan ....sijapenda hata tone!!!!😏😏😏....yaan anasema tu yesu ....yesu ...yesu daaah!!! Amekosea sna!!!
@rubniyi3551
@rubniyi3551 2 жыл бұрын
@@leylamark3193 nimehuzunika mimi😫😫😫😫
@yohanamagoye1370
@yohanamagoye1370 2 жыл бұрын
Hapo kwa Yesu mlikosea Sana wakubwa
@neemapeter747
@neemapeter747 2 жыл бұрын
Ndaro umenichekesha sana yani big up kwako kaza buti
@michaeldavid4322
@michaeldavid4322 2 жыл бұрын
Huko kwenye utani na dini au na mungu mnazingua sana halafu ni ujinga kabisa acheni hoyo tabia mara 1
@broka_genius3615
@broka_genius3615 2 жыл бұрын
Me naitwa mo town sanya aka nembo ya mtaaa watu oyooooooooooooooo
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 жыл бұрын
Heheheee kzbin.info/www/bejne/noHJeHeDhtqbaa8
@frans_dede
@frans_dede 2 жыл бұрын
Mti wenye matund unapgw madongo daima Washirik mnaon hamuwez kuchekesh mpak msem habar za Yesu
@mr.machange1377
@mr.machange1377 2 жыл бұрын
Hivi hawawezi kuchekesha bila kutaja jina la YESU 😭😭😭 So sad!!
@muasewamukadogo9729
@muasewamukadogo9729 2 жыл бұрын
Ni kama kumdhihaki Yesu hawajaona chakuchekesha hao
@rachelkihaka9204
@rachelkihaka9204 9 ай бұрын
Kweli kabisa hata mie wananikera sana maana amri ya pili unasema usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajayebure jina lake
@hoseamwanisenga7102
@hoseamwanisenga7102 8 ай бұрын
​@@muasewamukadogo9729😊p
@AredFered
@AredFered 7 ай бұрын
Sijapenda
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
Waislam wote ni watumwa wa waarabu ndio maanake wanamchukia yesu
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 2 жыл бұрын
Mbona Masanja kawa mzee jamani au macho yangu🙆😪😪
@etonabintu
@etonabintu 2 жыл бұрын
Hata na mimi nimeona ivo
@arbstationary7544
@arbstationary7544 2 жыл бұрын
Muache kumtaja taja Yesu kwenye mambo yenu yasiyofaa
@gadymjun9332
@gadymjun9332 2 жыл бұрын
Point
@mrgeorgeisdory5277
@mrgeorgeisdory5277 2 жыл бұрын
Number one is number one Leonard your perfect 👏👏👏👏👏
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Naona njili tu akuna kitu maandiko mnatumia kwa kuchekesha upuuzi tu
@barakazeboss2145
@barakazeboss2145 2 жыл бұрын
Dah ni kwel
@angelmasawe9232
@angelmasawe9232 2 жыл бұрын
Af uy dogo mwingne katokea startv anajua kujiongeza big up kwake kachangamkia fursa
@TaiWaTzTV
@TaiWaTzTV 2 жыл бұрын
33:03 Eliud Bro, uko vyema sana
@rachelmuhehe2593
@rachelmuhehe2593 2 жыл бұрын
Mungu awahurumie na kuwarehemu bure kwa mtaja Yesu kijingajinga
@celinekenedy870
@celinekenedy870 2 жыл бұрын
Alaf story zenyewe hawazijui vzr,,,
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
Wamenikera
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 жыл бұрын
Leornad is the best...comedian
@bingwa4039
@bingwa4039 2 жыл бұрын
Yan mumetumia adi majina ya mitume kuchekesha lkn wote ni pumba tu amjuh chochote ila mwaisaa hela hiz zitatuua tutafute hel mwaisa hat kwa kuforce
@eddycosmeticseddycosmetics5664
@eddycosmeticseddycosmetics5664 2 жыл бұрын
Umetisha. Mwisaaa
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Mbona jamani mzee hamjamfagilia wala kucheka mzee pole wamekukataa
@tvnineonline8556
@tvnineonline8556 2 жыл бұрын
Ushauri wangu , uongozi wa jukwaa la cheka tu utoe seminar kwa washiriki dhidi ya kutumia sana material ya dini, hii italeta matatizo baadae ikizingatiwa hii ni platform mama kwa sasa hivyo ikiacha hivi itazalisha ukakasi kwenye dini za watu. Otherwise KAZI NI NZURI SANA, keep entertaing guys, Africa Is watching .
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 2 жыл бұрын
kweli
@mrgeorgeisdory5277
@mrgeorgeisdory5277 2 жыл бұрын
Kutumia maneno ya dini number 2 na 3 mmezingua
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 2 жыл бұрын
Kwel
@sherrymeddy6398
@sherrymeddy6398 2 жыл бұрын
Yah Ni kweli
@AbdullyJumamosi-eo5jj
@AbdullyJumamosi-eo5jj 8 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂idea mbadala hahaha
@davidchesco1150
@davidchesco1150 2 жыл бұрын
Kwan kuchekesha hadi atajwe Yesu!!. Sijapenda hapo mmekosa content
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Kwani Yesu katukanwa???? Jina la Yesu mnaliheshimu nyinyi kwa wazungu kuna hadi mashoga wanaitwa Yesu
@rajabunjadika455
@rajabunjadika455 2 жыл бұрын
Haaaaaaaa
@carlixtz4594
@carlixtz4594 2 жыл бұрын
@@BigZhumbe ushasema nchi za wazungu lakin sio sisi wao ni wao
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
@@carlixtz4594 Na dini si ni yao mbona mnaishobokea 🤣🤣🤣 kwani Yesu ni msukuma
@davidchesco1150
@davidchesco1150 2 жыл бұрын
@@BigZhumbe Kila mtu na iman yake. pia najua wapo wanoitwa yesu mi sizungumzii ma yesu hao mi nazungumzia YESU wanaemuweka kwny jokes zao. Alaf ni wao sijakuzungumzia ww
@hawasaid5286
@hawasaid5286 4 ай бұрын
huwezi kusoma neno bila roho wa Mungu. kuelewa kwako sio maana ya maandiko....acha kupotosha umma... kesi unayo tayari Mangendo... kama umelipwa kufanya hayo jua yatakutokea puani .....
@JoelMussa-l3m
@JoelMussa-l3m Күн бұрын
Fanyeni yote ila tu usimchanganye MUNGU usimchanganye YESU kwenye mambo yako ya mzaha, huo ni upumbavu na ujinga unaowasubua.
@benjaminmunkondya
@benjaminmunkondya 2 жыл бұрын
Leonardo Is The King
@mikienne6058
@mikienne6058 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/imXLc4KXZ6uFo7M
@lukamagova6678
@lukamagova6678 2 жыл бұрын
Baba lev atasababisha uyo akose kujiami
@kalikumtimamaganya4448
@kalikumtimamaganya4448 2 жыл бұрын
Mnashangaza sana why ktk majiji tyuu ,vip kuhusu mikoa mingine
@umojamedia4167
@umojamedia4167 2 жыл бұрын
Wanapenda sana majiji
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 жыл бұрын
Yaan kzbin.info/www/bejne/noHJeHeDhtqbaa8
@imranshafii678
@imranshafii678 2 жыл бұрын
Nyinyi wengine pambaneni na hali zenu
@rasymb6190
@rasymb6190 2 жыл бұрын
MO town nakubari giii
@simbafuns785kviews
@simbafuns785kviews 2 жыл бұрын
Nouma bro kzbin.info/www/bejne/noHJeHeDhtqbaa8
@slamasta1542
@slamasta1542 2 жыл бұрын
Leonardo mwamba sana...anatisha kishenzi
@zakariagerald6381
@zakariagerald6381 2 жыл бұрын
Kweli matumizi ya dini kwenye comedy wanazingua
@joycechaz2840
@joycechaz2840 2 жыл бұрын
Umeona eeeh
@twillahbenaiah2879
@twillahbenaiah2879 2 жыл бұрын
Wanamtaja Yesu kma babu yao
@zachariatbs.REALIFE
@zachariatbs.REALIFE 2 жыл бұрын
Wanakosea sana, Usilitaje Bure jina la Bwana MUNGU wako
@ahadijohn9190
@ahadijohn9190 2 жыл бұрын
LEONARDO & IZACK wa FELIAZA mmetixhaa saana
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 жыл бұрын
Ahsante sana😊
@slimmuhabesh2400
@slimmuhabesh2400 2 жыл бұрын
Lernard
@IsaacParuz
@IsaacParuz 2 жыл бұрын
Hivi mmekosa vichekesho Hadi mkomae na Yesu? Why not Muhammad? Mnafatiliwa na watu wengi wenye Imani tofauti...
@hawasadick2156
@hawasadick2156 2 жыл бұрын
Nielewe wewe Muhammad s a w sio wa dhihak hizo kbs😡
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 2 жыл бұрын
Waanza na mtume waone tutachowafanya
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
Muhammad muarabu wa kawaida
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 2 ай бұрын
​@@officialbntrasool5223unafananisha Muhammad na yesu.read the bible properly
@ambroambrocen1821
@ambroambrocen1821 2 жыл бұрын
wa kwanza katisha aiseeE...
@officialtakatuka7127
@officialtakatuka7127 2 жыл бұрын
Punguzeni kutumia biblia kujok mnapoteza mvuto wa s.comed
@HamadMagozi
@HamadMagozi 7 ай бұрын
Yesu sio mungu nyie acheni ushamba yesu ni nabiii😂 mungu ni mmoja tuh
@user-dy4pw8ts9p
@user-dy4pw8ts9p 6 ай бұрын
Mathayo22:41-43 katika mwili daudi ni mkubwa kuliko ibrahim yesu anakiri hilo ila swali ni kwamba kwanin katika roho daud ana muita yesu BWANA????? Ukiweza kunijibu vema basi hutopataga taabu ya kuelewa uungu wa yesu
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 2 жыл бұрын
Mimi maoni yangu yule wakwanza kaua kuliko woteeee number one is number one,wee wajumbe tulia
@kigogotv2883
@kigogotv2883 2 жыл бұрын
Leonard ni mtu na nusu hatariiii
@sbreezedaclassictz9666
@sbreezedaclassictz9666 2 жыл бұрын
Hapa wote hawachekeshi bado sana n moyo tu ndo tunawapa wapambane sana
@idanelias4245
@idanelias4245 2 жыл бұрын
Mshiriki wa kwanza kaua vibaya
@leshasky8893
@leshasky8893 2 жыл бұрын
Kweli na hajaingilia dini ya mtu
@NowelaAline
@NowelaAline 4 ай бұрын
🤴 Prince boy Simba 🦁 nafurahi sana
@jamesissaya906
@jamesissaya906 2 жыл бұрын
Daaa Huyo Mama Nyozo Sijui Mama Nyoso Yaani Kama Jem tai Yule wa Kenya Kwa Sauti
@nboyclassic3648
@nboyclassic3648 2 жыл бұрын
Nawombea kwa mungu kazi nyenu nzuri sana
@yahayakhalifan2843
@yahayakhalifan2843 2 жыл бұрын
Yule jamaa wa mbeya mzee wa akiri mbna kapiga vzur sana
@joojombi2341
@joojombi2341 2 жыл бұрын
Mmekosa jocks nyie wacheni upuuzi kuchezea DINI bhana na nyie mwashangilia ujinga huo
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Waaaaasaaaafiiiiiiiiii mmetiiiiiishaaaa
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 2 жыл бұрын
Afu iyo beat siya wimbo wa harmonize MANG'DAKIWE
@hamisirashidi4158
@hamisirashidi4158 2 жыл бұрын
Ndo nn ss biti ndonn acha ushamba
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 2 жыл бұрын
@@hamisirashidi4158 ndo mkundu wako inakuwaje wasafi wapige mziki wa adui wao, kaa kausha ww dogo waliwa nn
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 2 жыл бұрын
Alie kwambia mang'akiwe ni wimbo wa harmonize nan ....
@ayoubmakori8680
@ayoubmakori8680 2 жыл бұрын
@@clintonarnold6291 japo ww wajifanya wajua Sana lkn upo kwenye account ya you tube ya harmonize sasa ukiwa hapo utataka uwe wa nan?
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 жыл бұрын
@@clintonarnold6291 we kiazi kweli...huo wimbo ni Wa harmonize? 🤣🤣😀Ulikimbia shule kwanini boss...l
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 2 жыл бұрын
Ushauli watu wajukwaa msiruhusu wachekeshaji kutumia mambo yadini nakuwataja mitume au manabii hilinikosa kiimani sikupenda hii
@bikabucha7905
@bikabucha7905 2 жыл бұрын
Cjapenda kufanya mzaha na Yesu...mheshimu mungu tafadhali haijalishi ni comedy wala nini....hilo hilo jina walichezea kuna mwingine analitegemea kuishi
@younginspired3899
@younginspired3899 2 жыл бұрын
Leonard unatusema aisee.. 😂😂😂 hapo kwenye hujui Mungu kaniepusha na nn
@shatoxtv
@shatoxtv 2 жыл бұрын
Salute to yuh Leonard BUTINDI, it's GETSON down here!!
@braitonmwandata404
@braitonmwandata404 2 жыл бұрын
Vipo vitu vya kuwekea utani siyo utani wa kumuingizaBwana Yesu hii haijanibariki.mjilekebishe
@ruthkomba3382
@ruthkomba3382 2 жыл бұрын
Sijapenda kutumia jina la Yesu kwenye utoko wenu fyuuu
@titholutitu3016
@titholutitu3016 2 жыл бұрын
Mr point amenikoshaaaaaaaaa
@Az__2012
@Az__2012 2 жыл бұрын
Mnashinda gani na yesu lakini sijapenda
@azizityson2849
@azizityson2849 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@NaomiSumaih
@NaomiSumaih 3 ай бұрын
Jamani sio kwamba hatupendi vichekesho vyenu ila kuzungumzia suala la kutaja yesu kwa vichekekesho sio vizuri
@lugikoenterpriseslugiko3050
@lugikoenterpriseslugiko3050 2 жыл бұрын
Aza boy mnyama sana et tumepigwa tupo Pluto 😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 жыл бұрын
Hahaha ahsante snaaa ❤
@Akama0927
@Akama0927 2 жыл бұрын
Ndaro, nikufunze kidogo. Kuna wajaluo watanzania, wakenya, waganda na South Sudan. Hasila sio Hasira, mbona unachoma? Lilax sio relax, wajaluo wanajua hiyo
@latifasharon8054
@latifasharon8054 2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂
@allysimon2800
@allysimon2800 2 жыл бұрын
Ndaro master on 🔥
@antoniafidelis9545
@antoniafidelis9545 2 жыл бұрын
Waandaaji je kwa hao wanaotumia maneno ya mungu kuchekesha ni sawa?na mchungaji masanja upo inakuwaje?
@afrimage_decor
@afrimage_decor 2 жыл бұрын
Hao wanachekesha kwa njia za Dini ni watu waliokuwa wanachekesha enzi za advance kwenye kipind cha dini😂😂😂
@geraldsebastianlaizer7060
@geraldsebastianlaizer7060 2 жыл бұрын
Leonard is the best comedian 🔥🔥 Anajua mbaka basi. 🔥🔥
@subiraaddo864
@subiraaddo864 11 ай бұрын
Hivi hili neno mbaka limetoka kwenye kiswahili gani? Siku hizo nalisikia Sana. neno sahihi kutumika ni mpaka✅ sio mbaka ❎
@isayayohana6341
@isayayohana6341 2 жыл бұрын
Leonard namba 1
@witsonjames
@witsonjames 2 жыл бұрын
Azaboiiiii.. appreciate you bro . Asali mbichi kutoka tabora. Nimeangalia hii show just fo you
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 жыл бұрын
Thanks my bro my homieeeee❤
@samwelsanga5339
@samwelsanga5339 2 жыл бұрын
Mkalimee tuu maisha yamekuwa mgumu kishenz,hapo mnachekesha nn hasara na nyiny 😄😄🤭
@yojoruta3379
@yojoruta3379 2 жыл бұрын
Leonard big up
@thobiaspaul5691
@thobiaspaul5691 2 жыл бұрын
Mbwa nyinyi mbna mna mtaja muumba mbingu na nchi mnatumia Kama kiki tafuteni mambo yakuzungumzia mnakera
@rasulmtemi7595
@rasulmtemi7595 2 жыл бұрын
wabongo mmepigwa... Hamna comedians apa. Imbeni tu.. comedy tuachieni Wakenya
@user-cr6vj2sv1e
@user-cr6vj2sv1e Ай бұрын
Kenya kuna comedian gan
@jacobmhozya4127
@jacobmhozya4127 2 жыл бұрын
Mshindi niyule aliyebuni vitu vyake hajawekamo mambo ya yesu
@giftjohn6350
@giftjohn6350 2 жыл бұрын
Eliud mnyama sana
@gadymjun9332
@gadymjun9332 2 жыл бұрын
Salute
@esthermzumbe
@esthermzumbe Ай бұрын
Sijapenda kutumia Jina la MUNGU na YESU katika comedi Acheni bana itawa Galim sana
@raiszongo1580
@raiszongo1580 2 жыл бұрын
Leonardo huy0 dogo ni 🔥🔥🔥
@hubertmfangavo2063
@hubertmfangavo2063 3 ай бұрын
Kati ya amri kumi za mungu alizompa muda ni kwamba, usilitaje Bure jina la bwana mungu wako ila ulitaje Kwa kumsifu,kumshukuru na kumtukuza
@robertcosmas9233
@robertcosmas9233 2 жыл бұрын
Mang'endo usipunguze neno wala kuongeza neno katika maandiko matakatifu pole
@fredmwaifwani1802
@fredmwaifwani1802 Жыл бұрын
Wanakera wanapotumia jina la Yesu kufanya dhihaka.YESU NI MUNGU ACHENI KUTUMIA VIBAYA JINA LAKE
@marthalangia
@marthalangia 7 ай бұрын
Neno linasema msiketi balazan pa wenye midhaha na nyinyi mnatumia jina la Yesu kwenye midhaha mkumbuke Mungu hadhihakiwi, na wewe unatumia vifungu vya maandiko kuweka maneno Yako, bible imekataza kuongeza au kupunguza neno lolote so tahadhari mambo ya dini yasihusishwe ktk Kaz zenu hayo tuyakute misikitini na makanisani
@user-wj6sl1bv8q
@user-wj6sl1bv8q 6 ай бұрын
kwakweli maneno matakatifu sio vyema kabisa kutumika kwenye uchekeshaji wa namna hiyo wapendwa tumuogope mungu
@kavoomshana7289
@kavoomshana7289 2 жыл бұрын
Sijafurahishwa hata kidogo kwa sababu ya kumuingizia utani yesu haifai...!!!
@saadebakari
@saadebakari 4 ай бұрын
Kwani yesu c nimtu tu kama cc
@Nuclear.1234
@Nuclear.1234 2 жыл бұрын
Ndalo noma sana
@farijimgimwa6299
@farijimgimwa6299 2 жыл бұрын
Bwana muwe naadabu naimani za watu mnaniuzi amchekexhi uximamizi uwemakin
@happnessmdemu1740
@happnessmdemu1740 2 жыл бұрын
muache kumtaja yesu chekeshen vingine sio lazima mmtaje yesu mnakufuru
@KadTheGenesis
@KadTheGenesis 2 жыл бұрын
Wagechekesha tu Yesu wakaachana nae
@celinekenedy870
@celinekenedy870 2 жыл бұрын
Imagine
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 49 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 7 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 10 МЛН
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 95 М.
NDARO NA STEVE MWEUSI WAGOMBANISHWA NA MWANAMKE UTACHEKA
15:47
MBOSSO - YAMAHA COME TOGETHER CONCERT SERIES | 11TH EDITION
54:30
ELIUD KWENYE JUKWAA LA WAISA (PART 2)
12:53
Eliud Samwel
Рет қаралды 370 М.
CAN ALIKIBA INTERPRET FOR A WIZKID? WIZKID? BY: TRICKY
13:48
Churchill Television
Рет қаралды 497 М.
ROASTING (NDARO VS LEONARDO)
15:34
Cheka tu
Рет қаралды 877 М.
DAKIKA 14 ZA ELIUD  KWENYE USIKU WA VIJANA MBEYA (PART1)
14:01
Eliud Samwel
Рет қаралды 80 М.
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 49 МЛН