Dah huyu jamaa ni genius sana... Kama unamkubali Gonga like hapa
@kelvindagine95715 жыл бұрын
Mamae alivom,uuliza mtangazaji ww si unajua nimekaa jela au . Jamaa kataka kutupa maik 😀😀😀😀😀😀😀
@hassankidisa80705 жыл бұрын
Dah! Aisee Ila hapa Chid amebonga ukweli kinyama. Kumbe hata madawa wakati mwingine unamuweka mtu katika Hali ya kumjua mungu. Dah! Big up Chid Ila usije ukarudia Tena kuvuta huo uchafu ma broo
@winheleni92635 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother welcome back we miss tunasubiria ngoma mpya
@lidyakhofo92595 жыл бұрын
hi by
@MrMtulivu5 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu chidi benz kama umemuelewa piga LIKE yako hapo. Miminiko ulaya bu hua nawafatilia sana nyinyi wa MBONGO. Haki.
@hassanmbwambo80975 жыл бұрын
Kweli
@mussaagrey56795 жыл бұрын
mtulivu Boy mwana mimi mtafutaji kaka, nipe mbinu nije Tafuta maisha uku mikazo iko mingi naitaji jaribu badili upepo nione ikoje
@ediusfredrick79065 жыл бұрын
mtulivu Boy 😄😄😄
@favourspapatv5 жыл бұрын
Chidi ana pointi.
@salumumacho90825 жыл бұрын
good
@emmanuelmumangu66365 жыл бұрын
Upo sawa brother nimekuelewa sana
@husseinmwakigobe92045 жыл бұрын
chid benz mziki wako uko juu sana. acha kuongea habari za dudu baya. uwezo wako uko juu sana... madawa tu brother, Mungu awe nawe, pia unajua kujibu hoja vizuri
@popperkuch6695 жыл бұрын
Dudu baya alimzuru nice alikuwa km penseli na dudu alikuwa km compac
@kishkbongo74505 жыл бұрын
Sure mwana..waongea perfect sana chidi
@francismillinga45915 жыл бұрын
Chid ana akili nyingi sana, respect bro!
@oswardmgawe30095 жыл бұрын
daaah we mkali sana nazipenda nyimbo zako zote pls lud bado twakuitaji sana kaska chdbzzz mwaaaash
@udahtmohdlikemine34955 жыл бұрын
#kinkog Chuma much love brother nakukukubali Sana
@petersconsolatha97835 жыл бұрын
Daaah.....Broo Umeongea Point Sanaa Respect #Cheed
@aleyslaim49355 жыл бұрын
Broo chid Benz ( Kingkong) Nakuelewa sana mkuu mungu akufanyie wepesi
@malengajrking75255 жыл бұрын
dudu msenge tuu safi sana jembe la Ilala
@leolaswai57845 жыл бұрын
namfungia pale ubungo, mbagala pale funga geti, kwenye jiji ambalo office zinapatikana! welcome back chid.... you real got back to your senses man. Big up,
@erasitokassmu53735 жыл бұрын
Bado we chid benz na utaendelea kua chid benzi tu respect brother
@Papa2thaE5 жыл бұрын
Dar, DSM, Dar es Salaam! Watu tupo toka enzi za kina omario na Mandwa. Ilala na Ashanti game ya mwaka 1982. Wagumu tupo sometimes tu nakula kalamu . Nani mchizi kuliko muulize esamisoo ndanda na kosovo refarii Mandemla. Jumamensa, ....
@freckfide7445 жыл бұрын
kama unamkubali Chidi beeeeenz kaongea Point gonga like za nguvu.
@divaifrank67465 жыл бұрын
Nimekuelewa chid Benz uko sawa kabisa
@juliusonesmomfumya87095 жыл бұрын
😁😁😁 kakojolea gar la fiesta, haya n majanga
@mohdyussah8255 жыл бұрын
From UAE Big up chid Achana na mtu kutoka porini fala yule
@santrocgelord88265 жыл бұрын
Umeeleweka vyema brother I respect u en ua job
@kassimhashi40925 жыл бұрын
Kwa madem chidi.uko juu.ilaala stand up
@pottawa76925 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@johns60095 жыл бұрын
Chid B Chuma, big up brother
@elizaanthony33285 жыл бұрын
Jamani napenda muwe mnamfinyia chidy intavew kila Mara maana nikiwa nimeboleka nikiingia humu tu nacheka mpaka basi
@georgemwambona98905 жыл бұрын
DAR STAND UP chid nimekuelewa sana mwana
@georgeshija12765 жыл бұрын
unajielewa sana chid
@ligmmohd81125 жыл бұрын
Dah haki nimecheka sana, eti Mungu kama alisahau kuwaadhibu unamkumbusha awaadhibu,dah wew chid noma sana!
@fahadfahmy5 жыл бұрын
nimkumbushe tu chidi Allah halali wala hasahau.
@ligmmohd81125 жыл бұрын
Fahad10 hahaha wew unafikiri kuna mtu hapo, hamna mtu hpo, wala hilo jalijuwi na wala hatak kujiuliza, kama Mungu angekuwa anasahau bas watu, wangeuwa, wangeiba, wangefany vitu vyao kwa siri san, hivyo huyu jamaa hajitambui!
@alvinmalle96245 жыл бұрын
Siku zote msema kweli anachukiwa the best rapa in tz king Kong..💪
@eddnho15 жыл бұрын
Ana akiri sana uyu jamaa chid benz ana akiri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@paulinaurasa20585 жыл бұрын
Manyembe tena ina elekea best zako ni mateja
@johnjulias66125 жыл бұрын
nakukubari sana mzee dudu ni kuma
@pajokakasasa5 жыл бұрын
umeongea True Chidy
@kassimhashi40925 жыл бұрын
Mdomo kama sinia. Pua kama ngumi.dudu hawezi kukuta .asantee sana chidi
@bazilaugustino39435 жыл бұрын
Dah sijawai kukoment lakini uyujamaaa kaongeaaaaa point mpaka nimelia alie muelewa kama mimi like
@Dantaata5 жыл бұрын
Chidi binadamu tunakosea nawe ulikosea,, lakini bado unamawazo na akili nyingi... Fact fact fact x 99,999,999 + 1 .... Asee keep it up japo huna pesa mungu atakuongoza. Kataaa madawa... Chid benz machine..
@daudodulu80805 жыл бұрын
Tumepoteza msanii mzuriiii sanaaa ila daimondiii rudishaaa nyota ya uyuu jamaaa badoo tunampendaaa
@jasminekingambe36035 жыл бұрын
ipo sahihi brother
@freddymello32275 жыл бұрын
Dar es salaam stand up!!!!kama unamwelewa Chiddy wa kitaa.
@agnessestoni56315 жыл бұрын
😂😂😂😂Nakupenda chid unatoa checheee uwiiiiii🤣🤣🤣
@sponsor78825 жыл бұрын
THIS GUY I MEET HIM IN MOMBASA TEMBO DISCO 2009,HE WAS REALLY GUD.
@twinrappers25435 жыл бұрын
chidi nakukubali tokea zamani bro,,,,uliosema yote ni kweli manake umeweka wazi hakuna kuogopa ......hip hop true bro
@mwaafricaharisi45185 жыл бұрын
Uyu jamaaa Ana Akili nyingi sana
@jumangojole40095 жыл бұрын
Chid unafaa sana kuwa jaji wa kisutu au mkuu wa tume ya uchaguzi 2020
@emmyyahya83585 жыл бұрын
Wallah nikimsikiliza chid na enjoy sna
@nicholausmbilinyi35875 жыл бұрын
hahahaha..mwenzio anaumia lakini ujue..haha
@abdulazizabdallah62975 жыл бұрын
Hehee wafurai na leap
@thebenzclassic19055 жыл бұрын
Nilisubiria mtangazaji aulize next question😁😁Ila chid benz unaongea iasee
@matthewjohn51085 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 eti Mr Nice alikua kama pencil daaah! 😂😂😂😂
@husseinomary46585 жыл бұрын
hapan ni vitu vyote vizuri kwa kweli
@IYANIZZO5 жыл бұрын
wasafi festival ikisha konki atarudi kushikwa matako 😀😀😀😀🙈🙈🙈🙈
@saidmsabaha10775 жыл бұрын
you have spoke the truth
@oscarkaluwa69085 жыл бұрын
Chid Benz...is so conscious....hamna mwanamuziki wa Tanzania, ambae anamfikia kwa kujeleza hata kwa nukta...
@notifrenk88615 жыл бұрын
umetisha Sana boy
@poschasbae95115 жыл бұрын
Kweli kabisa uwezi kumuongelea mtu ambaye alishakufa kwa mabaya dudu baya alitakiwa kuwaombea dua na siyo kuwasema kwa ubaya kuvuta unga siyo tija kuna watu wana mambo mabaya katika jamii zetu au zaoo lakini pia aina neno lakini watu huishi nao (usijari chid Benz kuna watu hufanya mabaya lakini pia uchukuliwa mifano kwa mabaya yao wew ni bora mbele za Allah na popote ulipo nae yupo anakuangalia wakati wako waja
@emanueljtluway12655 жыл бұрын
Nicr
@harunimfaume62805 жыл бұрын
chidi benz uko sasahihii sanaa na bado upo sawaa
@husseinkulumbiza88945 жыл бұрын
MJOMBA ETI MUNGU ALIKUWA AMEWASAHAU . KUWAPA KHAZABU ... Dudu baya Anamkumbusha Mungu. ( Muombe Mungu Akusamehe Ulimi Umekuteleza SEMA InshaAllah). Vijana tufanye Kazi kwa Bidii za Alali Mungu Atazibariki InshaAllah.
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
Huyu jamaa kichwa sana anapoint anapendeza kuwa mkuu WA mkoa wa Dar
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga cyo mkoa wa dar! Anafaa kuwa mkoa wa Tukuyu huko kwenu.
@sponsalfaThedjalfani5 жыл бұрын
😂😂😂
@lusajomwakalinga13745 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga hee mkuu wa mkoa
@lusajomwakalinga13745 жыл бұрын
Edson Ndogoro acha dharau dogo
@samohboy99375 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga Duh
@juniorralph88895 жыл бұрын
Huyu jamaa alifwetu kitambo,bangi na unga ni mbaya kweli,interview nzima amejiongelesha.....Kenya tunampa saport Konki!,Konki!,Konki!!!! Master
@deljaysamil11535 жыл бұрын
Chidi Benz Chuma I respect you sana +254 twende sawa
@fredyakitanda47795 жыл бұрын
Nimekuelewa Chid Benz
@favourspapatv5 жыл бұрын
Chidi inawezekana akawa anazungumza bila kutua lakini ukimsikiliza vizuri ana ukweli.
@fostereliphasjr7965 жыл бұрын
Respect chiddi ... CHUMA CHA RELI
@zainabumtubwi2635 жыл бұрын
Omba Kazi kaka yangu.waliotangulia mungu awasamehe
@omarimohamed27025 жыл бұрын
chid ni msanii pekee ambaye atafanya interview hata masaa 3 bila ya kubonga... yuko poa sana gonga like km umeipenda
@johnjulias66125 жыл бұрын
one love benz umeongea kweli bro
@officialj.dollatz44605 жыл бұрын
Hakuna interview niliyo ielewa kama hii respect my brother
@muganzababingwa24345 жыл бұрын
Kuusu mistari dudubaya ni mchanga sanaaa kwa chid Benz
@tausimwambujule16425 жыл бұрын
The man is till good. Tuzidi kumuombea Chidy wa watu, na tujiombee na sisi Mungu atuepushe
@abdullahrashid62975 жыл бұрын
Tausi Mwambujule Amiin in shaa Allah dah inasikitisha Sana Allah atampa nguvu arudi Kama zamani
@kabehoalex28175 жыл бұрын
Tulikupenda sana bro ila bangi imekupenda zaidi😃
@coolmom73295 жыл бұрын
Pole mwaya Mungu akulipe
@stephenemganga36045 жыл бұрын
Chidi amekua Bonge la komediam akina duryvan, jmond joti wakasome ..nmechka sana
@kelvindagine95715 жыл бұрын
Aseh upo kama mimi hahahahahahahahahahahahaga eti aijui maana ya konk
@Wamikogo5 жыл бұрын
Hahahahaha namfungia ubungo au kama anatokea mtwala namfungia mbagala mpe like chidy
@musisahumbi22485 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mwanaume na anajua kujieleza
@josephgodfrey97825 жыл бұрын
Big up sana broo chidy...
@jamessilwamba28625 жыл бұрын
Bangiiiiiii sio nzuri kwani upo dar halafu unakula madawa inakusaidia nini hii mambo ya kusema mi wa dar inatuharibu sana ukienda mikoni watu wanafanya kazi tunabaki kusema sisi wa dar huku tunakaa vijiweni na kula bangi na madawa
@kassimhashi40925 жыл бұрын
God bless u chidi
@allyyussufshuwari45085 жыл бұрын
Safi sanna monster say lati unge juwa unge tambua sab7 mwenyw na..
@angelmichellengowi62675 жыл бұрын
dah big up man
@juliohdecarp97195 жыл бұрын
hey man that's a true fact brother, despite I like kinki but he is wrong intimidating you. Your the true guy
@mbarakasaidi82433 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 oya chid funga geti dudu baya asiingie dar
@yohanabaraka81925 жыл бұрын
Can i get a chance men?
@tonymnyamatv84835 жыл бұрын
Dah Tema cheche Hip Hop Ndo hiyo Chid we noma sana dudu jiangalie sana💪💪💪💪😂🛐🛐
@aisharamadhan52574 жыл бұрын
Tobaaa jamani watu walikua wanamtumia chid kwa maslai yao sanaa dahhh,,, inauma sanaa yn hd jux kamtumia bila kumlipa jomoniii hawana utuu inasikitisha sana 😭😭
@nassorokalambo28575 жыл бұрын
Chid benz anaongea pwenti sana
@abdulsamadabdulkheir16525 жыл бұрын
Huyu ndio chidi Benz yani anaongea kweli na kiakili
@nelsonerasto72415 жыл бұрын
Asee we ni mkali sana
@yanayojirimitaaniTV5 жыл бұрын
DUDU BAYA YUPO PABAYA. ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV. UONE NA USIKILIZE
@vonostus5 жыл бұрын
Bangi mbaya sana anajibu swali ambalo hajaulizwa, maelezo ya kilevi tu. Haya madawa dah yanaharibu vijana.
@ismailyusuph7405 жыл бұрын
...Tulia ww kibichwa NDOANO....!....Mateja Ndio mlivyo Mnaongea sana...!
@bonifacebwiremateko91425 жыл бұрын
Gonga like kama umemskia huyo mtangazaji boya akisema kitu "kinakuinspirate" 😁😁 Sijui ndo kitendo gani hicho
@jacksonhonest37025 жыл бұрын
Fala uyu
@slayingtee60444 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hamisihassan90185 жыл бұрын
Wewe ongea maisha yako wachana na konki konki konki Master wivu mbaya.
@rukiaiddyyahaya95064 жыл бұрын
Wowo nimependa 😂😂😂😂dudu Hana malinda mpaka mkojo duuu
@kimkimmie34355 жыл бұрын
Can you guyz give this guy a chance...atleast once
@chugamabrutumewaka66955 жыл бұрын
haha chidi saf sanah kwambh mtangazaj ukijah namaswali yako yakidwanz unarud nayo saf sanah
@demungamsenga22505 жыл бұрын
Dudu bayA acha ukorofi na wasanii chid b ameongeya live
@adamkifumba47225 жыл бұрын
Real and true solja chid benzino
@mwambarockmwambarock7395 жыл бұрын
srt brother
@ايفرلينكينيا5 жыл бұрын
Wewe top drugs naumujuwe mugu
@danieljohn38365 жыл бұрын
Chid Benz wewe ni kichwa hip hop hakuna wa kukufananisha
@aishaoman11595 жыл бұрын
Kabisa kaka akuna wanao mfikia chidbenzi ata mmoja namuombea kwa hallah uruditena kwenye gem mungu yupo pamojanawe uckate tama chidbenzi 🙏🙏🙏