CHID BENZ DUDUBAYA ALIKOJOLEA GARI LA FIESTA

  Рет қаралды 230,830

Kaskazinimixtv

Kaskazinimixtv

Күн бұрын

Пікірлер: 563
@AminiMsisi
@AminiMsisi 5 жыл бұрын
Dah huyu jamaa ni genius sana... Kama unamkubali Gonga like hapa
@kelvindagine9571
@kelvindagine9571 5 жыл бұрын
Mamae alivom,uuliza mtangazaji ww si unajua nimekaa jela au . Jamaa kataka kutupa maik 😀😀😀😀😀😀😀
@hassankidisa8070
@hassankidisa8070 5 жыл бұрын
Dah! Aisee Ila hapa Chid amebonga ukweli kinyama. Kumbe hata madawa wakati mwingine unamuweka mtu katika Hali ya kumjua mungu. Dah! Big up Chid Ila usije ukarudia Tena kuvuta huo uchafu ma broo
@winheleni9263
@winheleni9263 5 жыл бұрын
Nimekuelewa sana brother welcome back we miss tunasubiria ngoma mpya
@lidyakhofo9259
@lidyakhofo9259 5 жыл бұрын
hi by
@MrMtulivu
@MrMtulivu 5 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu chidi benz kama umemuelewa piga LIKE yako hapo. Miminiko ulaya bu hua nawafatilia sana nyinyi wa MBONGO. Haki.
@hassanmbwambo8097
@hassanmbwambo8097 5 жыл бұрын
Kweli
@mussaagrey5679
@mussaagrey5679 5 жыл бұрын
mtulivu Boy mwana mimi mtafutaji kaka, nipe mbinu nije Tafuta maisha uku mikazo iko mingi naitaji jaribu badili upepo nione ikoje
@ediusfredrick7906
@ediusfredrick7906 5 жыл бұрын
mtulivu Boy 😄😄😄
@favourspapatv
@favourspapatv 5 жыл бұрын
Chidi ana pointi.
@salumumacho9082
@salumumacho9082 5 жыл бұрын
good
@emmanuelmumangu6636
@emmanuelmumangu6636 5 жыл бұрын
Upo sawa brother nimekuelewa sana
@husseinmwakigobe9204
@husseinmwakigobe9204 5 жыл бұрын
chid benz mziki wako uko juu sana. acha kuongea habari za dudu baya. uwezo wako uko juu sana... madawa tu brother, Mungu awe nawe, pia unajua kujibu hoja vizuri
@popperkuch669
@popperkuch669 5 жыл бұрын
Dudu baya alimzuru nice alikuwa km penseli na dudu alikuwa km compac
@kishkbongo7450
@kishkbongo7450 5 жыл бұрын
Sure mwana..waongea perfect sana chidi
@francismillinga4591
@francismillinga4591 5 жыл бұрын
Chid ana akili nyingi sana, respect bro!
@oswardmgawe3009
@oswardmgawe3009 5 жыл бұрын
daaah we mkali sana nazipenda nyimbo zako zote pls lud bado twakuitaji sana kaska chdbzzz mwaaaash
@udahtmohdlikemine3495
@udahtmohdlikemine3495 5 жыл бұрын
#kinkog Chuma much love brother nakukukubali Sana
@petersconsolatha9783
@petersconsolatha9783 5 жыл бұрын
Daaah.....Broo Umeongea Point Sanaa Respect #Cheed
@aleyslaim4935
@aleyslaim4935 5 жыл бұрын
Broo chid Benz ( Kingkong) Nakuelewa sana mkuu mungu akufanyie wepesi
@malengajrking7525
@malengajrking7525 5 жыл бұрын
dudu msenge tuu safi sana jembe la Ilala
@leolaswai5784
@leolaswai5784 5 жыл бұрын
namfungia pale ubungo, mbagala pale funga geti, kwenye jiji ambalo office zinapatikana! welcome back chid.... you real got back to your senses man. Big up,
@erasitokassmu5373
@erasitokassmu5373 5 жыл бұрын
Bado we chid benz na utaendelea kua chid benzi tu respect brother
@Papa2thaE
@Papa2thaE 5 жыл бұрын
Dar, DSM, Dar es Salaam! Watu tupo toka enzi za kina omario na Mandwa. Ilala na Ashanti game ya mwaka 1982. Wagumu tupo sometimes tu nakula kalamu . Nani mchizi kuliko muulize esamisoo ndanda na kosovo refarii Mandemla. Jumamensa, ....
@freckfide744
@freckfide744 5 жыл бұрын
kama unamkubali Chidi beeeeenz kaongea Point gonga like za nguvu.
@divaifrank6746
@divaifrank6746 5 жыл бұрын
Nimekuelewa chid Benz uko sawa kabisa
@juliusonesmomfumya8709
@juliusonesmomfumya8709 5 жыл бұрын
😁😁😁 kakojolea gar la fiesta, haya n majanga
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
From UAE Big up chid Achana na mtu kutoka porini fala yule
@santrocgelord8826
@santrocgelord8826 5 жыл бұрын
Umeeleweka vyema brother I respect u en ua job
@kassimhashi4092
@kassimhashi4092 5 жыл бұрын
Kwa madem chidi.uko juu.ilaala stand up
@pottawa7692
@pottawa7692 5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆
@johns6009
@johns6009 5 жыл бұрын
Chid B Chuma, big up brother
@elizaanthony3328
@elizaanthony3328 5 жыл бұрын
Jamani napenda muwe mnamfinyia chidy intavew kila Mara maana nikiwa nimeboleka nikiingia humu tu nacheka mpaka basi
@georgemwambona9890
@georgemwambona9890 5 жыл бұрын
DAR STAND UP chid nimekuelewa sana mwana
@georgeshija1276
@georgeshija1276 5 жыл бұрын
unajielewa sana chid
@ligmmohd8112
@ligmmohd8112 5 жыл бұрын
Dah haki nimecheka sana, eti Mungu kama alisahau kuwaadhibu unamkumbusha awaadhibu,dah wew chid noma sana!
@fahadfahmy
@fahadfahmy 5 жыл бұрын
nimkumbushe tu chidi Allah halali wala hasahau.
@ligmmohd8112
@ligmmohd8112 5 жыл бұрын
Fahad10 hahaha wew unafikiri kuna mtu hapo, hamna mtu hpo, wala hilo jalijuwi na wala hatak kujiuliza, kama Mungu angekuwa anasahau bas watu, wangeuwa, wangeiba, wangefany vitu vyao kwa siri san, hivyo huyu jamaa hajitambui!
@alvinmalle9624
@alvinmalle9624 5 жыл бұрын
Siku zote msema kweli anachukiwa the best rapa in tz king Kong..💪
@eddnho1
@eddnho1 5 жыл бұрын
Ana akiri sana uyu jamaa chid benz ana akiri sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@paulinaurasa2058
@paulinaurasa2058 5 жыл бұрын
Manyembe tena ina elekea best zako ni mateja
@johnjulias6612
@johnjulias6612 5 жыл бұрын
nakukubari sana mzee dudu ni kuma
@pajokakasasa
@pajokakasasa 5 жыл бұрын
umeongea True Chidy
@kassimhashi4092
@kassimhashi4092 5 жыл бұрын
Mdomo kama sinia. Pua kama ngumi.dudu hawezi kukuta .asantee sana chidi
@bazilaugustino3943
@bazilaugustino3943 5 жыл бұрын
Dah sijawai kukoment lakini uyujamaaa kaongeaaaaa point mpaka nimelia alie muelewa kama mimi like
@Dantaata
@Dantaata 5 жыл бұрын
Chidi binadamu tunakosea nawe ulikosea,, lakini bado unamawazo na akili nyingi... Fact fact fact x 99,999,999 + 1 .... Asee keep it up japo huna pesa mungu atakuongoza. Kataaa madawa... Chid benz machine..
@daudodulu8080
@daudodulu8080 5 жыл бұрын
Tumepoteza msanii mzuriiii sanaaa ila daimondiii rudishaaa nyota ya uyuu jamaaa badoo tunampendaaa
@jasminekingambe3603
@jasminekingambe3603 5 жыл бұрын
ipo sahihi brother
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Dar es salaam stand up!!!!kama unamwelewa Chiddy wa kitaa.
@agnessestoni5631
@agnessestoni5631 5 жыл бұрын
😂😂😂😂Nakupenda chid unatoa checheee uwiiiiii🤣🤣🤣
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
THIS GUY I MEET HIM IN MOMBASA TEMBO DISCO 2009,HE WAS REALLY GUD.
@twinrappers2543
@twinrappers2543 5 жыл бұрын
chidi nakukubali tokea zamani bro,,,,uliosema yote ni kweli manake umeweka wazi hakuna kuogopa ......hip hop true bro
@mwaafricaharisi4518
@mwaafricaharisi4518 5 жыл бұрын
Uyu jamaaa Ana Akili nyingi sana
@jumangojole4009
@jumangojole4009 5 жыл бұрын
Chid unafaa sana kuwa jaji wa kisutu au mkuu wa tume ya uchaguzi 2020
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 5 жыл бұрын
Wallah nikimsikiliza chid na enjoy sna
@nicholausmbilinyi3587
@nicholausmbilinyi3587 5 жыл бұрын
hahahaha..mwenzio anaumia lakini ujue..haha
@abdulazizabdallah6297
@abdulazizabdallah6297 5 жыл бұрын
Hehee wafurai na leap
@thebenzclassic1905
@thebenzclassic1905 5 жыл бұрын
Nilisubiria mtangazaji aulize next question😁😁Ila chid benz unaongea iasee
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 eti Mr Nice alikua kama pencil daaah! 😂😂😂😂
@husseinomary4658
@husseinomary4658 5 жыл бұрын
hapan ni vitu vyote vizuri kwa kweli
@IYANIZZO
@IYANIZZO 5 жыл бұрын
wasafi festival ikisha konki atarudi kushikwa matako 😀😀😀😀🙈🙈🙈🙈
@saidmsabaha1077
@saidmsabaha1077 5 жыл бұрын
you have spoke the truth
@oscarkaluwa6908
@oscarkaluwa6908 5 жыл бұрын
Chid Benz...is so conscious....hamna mwanamuziki wa Tanzania, ambae anamfikia kwa kujeleza hata kwa nukta...
@notifrenk8861
@notifrenk8861 5 жыл бұрын
umetisha Sana boy
@poschasbae9511
@poschasbae9511 5 жыл бұрын
Kweli kabisa uwezi kumuongelea mtu ambaye alishakufa kwa mabaya dudu baya alitakiwa kuwaombea dua na siyo kuwasema kwa ubaya kuvuta unga siyo tija kuna watu wana mambo mabaya katika jamii zetu au zaoo lakini pia aina neno lakini watu huishi nao (usijari chid Benz kuna watu hufanya mabaya lakini pia uchukuliwa mifano kwa mabaya yao wew ni bora mbele za Allah na popote ulipo nae yupo anakuangalia wakati wako waja
@emanueljtluway1265
@emanueljtluway1265 5 жыл бұрын
Nicr
@harunimfaume6280
@harunimfaume6280 5 жыл бұрын
chidi benz uko sasahihii sanaa na bado upo sawaa
@husseinkulumbiza8894
@husseinkulumbiza8894 5 жыл бұрын
MJOMBA ETI MUNGU ALIKUWA AMEWASAHAU . KUWAPA KHAZABU ... Dudu baya Anamkumbusha Mungu. ( Muombe Mungu Akusamehe Ulimi Umekuteleza SEMA InshaAllah). Vijana tufanye Kazi kwa Bidii za Alali Mungu Atazibariki InshaAllah.
@fredreckmwakalinga3475
@fredreckmwakalinga3475 5 жыл бұрын
Huyu jamaa kichwa sana anapoint anapendeza kuwa mkuu WA mkoa wa Dar
@edsonndogoro3188
@edsonndogoro3188 5 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga cyo mkoa wa dar! Anafaa kuwa mkoa wa Tukuyu huko kwenu.
@sponsalfaThedjalfani
@sponsalfaThedjalfani 5 жыл бұрын
😂😂😂
@lusajomwakalinga1374
@lusajomwakalinga1374 5 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga hee mkuu wa mkoa
@lusajomwakalinga1374
@lusajomwakalinga1374 5 жыл бұрын
Edson Ndogoro acha dharau dogo
@samohboy9937
@samohboy9937 5 жыл бұрын
Fredreck Mwakalinga Duh
@juniorralph8889
@juniorralph8889 5 жыл бұрын
Huyu jamaa alifwetu kitambo,bangi na unga ni mbaya kweli,interview nzima amejiongelesha.....Kenya tunampa saport Konki!,Konki!,Konki!!!! Master
@deljaysamil1153
@deljaysamil1153 5 жыл бұрын
Chidi Benz Chuma I respect you sana +254 twende sawa
@fredyakitanda4779
@fredyakitanda4779 5 жыл бұрын
Nimekuelewa Chid Benz
@favourspapatv
@favourspapatv 5 жыл бұрын
Chidi inawezekana akawa anazungumza bila kutua lakini ukimsikiliza vizuri ana ukweli.
@fostereliphasjr796
@fostereliphasjr796 5 жыл бұрын
Respect chiddi ... CHUMA CHA RELI
@zainabumtubwi263
@zainabumtubwi263 5 жыл бұрын
Omba Kazi kaka yangu.waliotangulia mungu awasamehe
@omarimohamed2702
@omarimohamed2702 5 жыл бұрын
chid ni msanii pekee ambaye atafanya interview hata masaa 3 bila ya kubonga... yuko poa sana gonga like km umeipenda
@johnjulias6612
@johnjulias6612 5 жыл бұрын
one love benz umeongea kweli bro
@officialj.dollatz4460
@officialj.dollatz4460 5 жыл бұрын
Hakuna interview niliyo ielewa kama hii respect my brother
@muganzababingwa2434
@muganzababingwa2434 5 жыл бұрын
Kuusu mistari dudubaya ni mchanga sanaaa kwa chid Benz
@tausimwambujule1642
@tausimwambujule1642 5 жыл бұрын
The man is till good. Tuzidi kumuombea Chidy wa watu, na tujiombee na sisi Mungu atuepushe
@abdullahrashid6297
@abdullahrashid6297 5 жыл бұрын
Tausi Mwambujule Amiin in shaa Allah dah inasikitisha Sana Allah atampa nguvu arudi Kama zamani
@kabehoalex2817
@kabehoalex2817 5 жыл бұрын
Tulikupenda sana bro ila bangi imekupenda zaidi😃
@coolmom7329
@coolmom7329 5 жыл бұрын
Pole mwaya Mungu akulipe
@stephenemganga3604
@stephenemganga3604 5 жыл бұрын
Chidi amekua Bonge la komediam akina duryvan, jmond joti wakasome ..nmechka sana
@kelvindagine9571
@kelvindagine9571 5 жыл бұрын
Aseh upo kama mimi hahahahahahahahahahahahaga eti aijui maana ya konk
@Wamikogo
@Wamikogo 5 жыл бұрын
Hahahahaha namfungia ubungo au kama anatokea mtwala namfungia mbagala mpe like chidy
@musisahumbi2248
@musisahumbi2248 5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mwanaume na anajua kujieleza
@josephgodfrey9782
@josephgodfrey9782 5 жыл бұрын
Big up sana broo chidy...
@jamessilwamba2862
@jamessilwamba2862 5 жыл бұрын
Bangiiiiiii sio nzuri kwani upo dar halafu unakula madawa inakusaidia nini hii mambo ya kusema mi wa dar inatuharibu sana ukienda mikoni watu wanafanya kazi tunabaki kusema sisi wa dar huku tunakaa vijiweni na kula bangi na madawa
@kassimhashi4092
@kassimhashi4092 5 жыл бұрын
God bless u chidi
@allyyussufshuwari4508
@allyyussufshuwari4508 5 жыл бұрын
Safi sanna monster say lati unge juwa unge tambua sab7 mwenyw na..
@angelmichellengowi6267
@angelmichellengowi6267 5 жыл бұрын
dah big up man
@juliohdecarp9719
@juliohdecarp9719 5 жыл бұрын
hey man that's a true fact brother, despite I like kinki but he is wrong intimidating you. Your the true guy
@mbarakasaidi8243
@mbarakasaidi8243 3 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 🤣 oya chid funga geti dudu baya asiingie dar
@yohanabaraka8192
@yohanabaraka8192 5 жыл бұрын
Can i get a chance men?
@tonymnyamatv8483
@tonymnyamatv8483 5 жыл бұрын
Dah Tema cheche Hip Hop Ndo hiyo Chid we noma sana dudu jiangalie sana💪💪💪💪😂🛐🛐
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 4 жыл бұрын
Tobaaa jamani watu walikua wanamtumia chid kwa maslai yao sanaa dahhh,,, inauma sanaa yn hd jux kamtumia bila kumlipa jomoniii hawana utuu inasikitisha sana 😭😭
@nassorokalambo2857
@nassorokalambo2857 5 жыл бұрын
Chid benz anaongea pwenti sana
@abdulsamadabdulkheir1652
@abdulsamadabdulkheir1652 5 жыл бұрын
Huyu ndio chidi Benz yani anaongea kweli na kiakili
@nelsonerasto7241
@nelsonerasto7241 5 жыл бұрын
Asee we ni mkali sana
@yanayojirimitaaniTV
@yanayojirimitaaniTV 5 жыл бұрын
DUDU BAYA YUPO PABAYA. ANGALIA YANAYOJIRI MITAANI TV. UONE NA USIKILIZE
@vonostus
@vonostus 5 жыл бұрын
Bangi mbaya sana anajibu swali ambalo hajaulizwa, maelezo ya kilevi tu. Haya madawa dah yanaharibu vijana.
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 5 жыл бұрын
...Tulia ww kibichwa NDOANO....!....Mateja Ndio mlivyo Mnaongea sana...!
@bonifacebwiremateko9142
@bonifacebwiremateko9142 5 жыл бұрын
Gonga like kama umemskia huyo mtangazaji boya akisema kitu "kinakuinspirate" 😁😁 Sijui ndo kitendo gani hicho
@jacksonhonest3702
@jacksonhonest3702 5 жыл бұрын
Fala uyu
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hamisihassan9018
@hamisihassan9018 5 жыл бұрын
Wewe ongea maisha yako wachana na konki konki konki Master wivu mbaya.
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 4 жыл бұрын
Wowo nimependa 😂😂😂😂dudu Hana malinda mpaka mkojo duuu
@kimkimmie3435
@kimkimmie3435 5 жыл бұрын
Can you guyz give this guy a chance...atleast once
@chugamabrutumewaka6695
@chugamabrutumewaka6695 5 жыл бұрын
haha chidi saf sanah kwambh mtangazaj ukijah namaswali yako yakidwanz unarud nayo saf sanah
@demungamsenga2250
@demungamsenga2250 5 жыл бұрын
Dudu bayA acha ukorofi na wasanii chid b ameongeya live
@adamkifumba4722
@adamkifumba4722 5 жыл бұрын
Real and true solja chid benzino
@mwambarockmwambarock739
@mwambarockmwambarock739 5 жыл бұрын
srt brother
@ايفرلينكينيا
@ايفرلينكينيا 5 жыл бұрын
Wewe top drugs naumujuwe mugu
@danieljohn3836
@danieljohn3836 5 жыл бұрын
Chid Benz wewe ni kichwa hip hop hakuna wa kukufananisha
@aishaoman1159
@aishaoman1159 5 жыл бұрын
Kabisa kaka akuna wanao mfikia chidbenzi ata mmoja namuombea kwa hallah uruditena kwenye gem mungu yupo pamojanawe uckate tama chidbenzi 🙏🙏🙏
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 5 жыл бұрын
UME CHAPA NDIPO
@allymahmoud9951
@allymahmoud9951 5 жыл бұрын
Chid boy upo juu unatishaaaaaaaaaaaa!
@allymahmoud9951
@allymahmoud9951 5 жыл бұрын
Ndiyo chid banz kuomba kazi c kosa
@greyfive_tzt3861
@greyfive_tzt3861 5 жыл бұрын
Nimemuelewa chid big up
@aurelianmassao4974
@aurelianmassao4974 5 жыл бұрын
CHID HIS INTELIGENT AND MATURED ENOUGH.
HELP!!!
00:46
Natan por Aí
Рет қаралды 4,3 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 2,9 МЛН
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 28 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
#imrankhan
1:50
Familyvlogs
Рет қаралды 15 М.
Kanisa La Ibilisi Part 2
34:19
ideal muslim
Рет қаралды 688 М.
THE BLACK SIDE OF AUSTRALIA 🇦🇺
46:17
Czech in effect
Рет қаралды 75 М.
Prince Of YEMEN Meets President TRUMP!
12:23
Dulla Mulla
Рет қаралды 347 М.
HELP!!!
00:46
Natan por Aí
Рет қаралды 4,3 МЛН