Mmmmm mh.Rais mstaafu tunakukumbuka sana hasa sisi watumishi wa umma. Mungu akujalie maisha marefu!
@ramadhanijuma41308 күн бұрын
Safi sana interview inamafunzo mazuri
@ShadowScreamStudio7 күн бұрын
Jakaya ..always happier May Lord bless you mzee
@yohanamaiga30318 күн бұрын
Asante sana Rais Mstaafu Kikwete.
@jedidahbintidaudi82414 күн бұрын
mnatakiwa muje na interview kuhusu afya kwa ujumla..huyu nasikia kuna vyakula hali na vingine anakula. alafu mazoezi anafanya sana..itasaidia hata watu wazima na vijana kuskia hekma yake. alafu watu wanajumlisha zaidi na kuishi maisha ya utauwa kumuita Mungu sana kila siku
@aediayumgo85468 күн бұрын
Hongera sana wa SA Fi Kwa interview yenye akili,💪💪💪
@user-fr7jj1bo7y6 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@aediayumgo85466 күн бұрын
@@user-fr7jj1bo7y Sasa wewe ulikuwa wapi nawe si ungeba😲
@jumambaga78254 күн бұрын
Big brain kikwete huyu mzee anamafira mapana sana busara na hekma mungu ampe maisha marefu🤝🔥👍🏾
@RogersMasamaloКүн бұрын
Watanzania hata ufanye kazi vp mazuri hawayaoni..mimi ni Kati ya watu ambao nilipenda kazi na uongozi na mabadiliko sekta ya biashara ya mitandao.
@ndonjelaurent31828 күн бұрын
Mh Jakaya Mrisho Kikwete una akili kubwa sana
@jumambaga78254 күн бұрын
Yani pale kazungumza kwa hekma sana mzee anajua hapa kuna wahuni washagawana kiwanja lakn sasa najua ninamamlaka ya kuwajibisha ila ngoja nitumie busara niende kwangu kujenga dahh lini huyu mzee tutaonana kuvuna busara zake😂🔥👍🏾
@RogersMasamaloКүн бұрын
Watanzania hata ufanye mazuri vipi,wanaangalia mabaya tu Mungu anawaona jamani.
@jofreykivambe65206 күн бұрын
JK mara ya mwisho tumeonana wakati wa maziko ya aliekuwa Waziri wa Fedha Mgimwa.....
@shadrackmijjinga97935 күн бұрын
Mh.Rais ukimwangalia nikama hazeeki ila umri inaongezeka ..soon atakuwa na 74yrs kweli kala chumvi nyingi last time nilibahatika kukaa meza kuu Moja pamoja nae pale Mlimani during Udsm marathon 2023 ..hakika Bado Mzee JK ana nguvu zakutosha.🙏
@huldamichael44453 күн бұрын
Shati zuri nyie,dah
@phaustinemmao4248 күн бұрын
Msoga
@More_Tv1115 күн бұрын
Rais wetu mpendwa
@user-fr7jj1bo7y6 күн бұрын
Kikwete is trying hard to rewrite history alikuwa Rais wa ovyo sana watu waliiba mali za umma wanavyotaka na yeye mwenyewe alituibia kupitia safari za nje zisizo na tija tofauti na Baba Magufuli hakuwahi kwenda ulaya na maendeleo tuliyaona
@bonintajiri39586 күн бұрын
Mungu akubariki kiozi wetu
@jofreykivambe65206 күн бұрын
Anazeeka JK... usiseme hazeeki, anaazeeka mtu wetu
@saidkajagale37164 күн бұрын
Tutunze afya ni mtaji
@michaelmaziku9917 күн бұрын
Rais akasema hawa watu siwawez kwl uongoz kaz wale wenye D mbili tumemuelew mzee wa Msoga inabid tujiffunze namna ya kupata viongozi wazalendo kwl kwl hasa wale wapenda maendeleo ya watu wa chini lkn sio viongoz kama hawa ambao nachukulia raisi raisi tu vitu vya muhim kwenye jamii nzima sio kwa maslahi ya wachache