Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti
Пікірлер: 64
@pendosailo19897 күн бұрын
Mjengee bibi nyumba nzuri... hiyo sio
@Nestoemanuel7 күн бұрын
Hamna tofauti na mazingaumbwe😂😂😂😂shulen
@HekimaSalama7 күн бұрын
Sanaaaa machawaaaaaaaaaaa
@fbr51135 күн бұрын
Kweli amai ina raha yake. poleni san Congo. Yaani huku sisi watu wanaichezea amani hadi wanafanya raha zao zote wanazojisikia. Asante Mungu na Maraisi wa Tanzania wote mliopita na wa sasa mama Samia wetu hoyeeee
@princekiwia22167 күн бұрын
Huyu ana utajiri wowote unashindwa kumjengea ata selfu ya room moja mtu aliye kulea aya maisha yamtandaoni nimeamin nimboyoyo tuu😂😂😂😂😂
@ameirzapy13187 күн бұрын
Pesa anazo ila za Masharti sana
@davisnitu8907 күн бұрын
Tuoneshe wewe kwenu kwanza, kujenga nyumban kwenu siyo lazima ila kujenga kwako ni lazima
@FastpayMauzo7 күн бұрын
wewe umejengea mama yako Ata Choo???
@geomangi61237 күн бұрын
hamna kutu ni show off tu😊
@ashurajengela39266 күн бұрын
Et jamani me nikajua surprise kamjengea nyumba mpya
@SamuelAndrasio7 күн бұрын
nakukubali sana baba.
@muzafarsharif94657 күн бұрын
Bibi anamugopa😂😂
@Rose-ue2ho7 күн бұрын
Kilo 400 za mchele?? 😯😱Duuh mpaka ataota mpunga kichwani
@clarissekansayiza78126 күн бұрын
😂😂😂😂
@nehemiaambayuu24477 күн бұрын
That's good
@homeandaway28117 күн бұрын
PESA ZA MASHARTI NGUMU SANA JAMANI DAAAH 😂😂😂
@linahtairo18597 күн бұрын
Pesa za masharti hatakiwi kufanya maendeleo nyumbani 😂😂
@barrynzeyimana62707 күн бұрын
Ma Babu na ma Bibi wengi hua hawapendi kuhama hata ufanyeje. Wengi hudhani kua ni kukataa kujengea wazazi, kumbe wazee hawa hua na mambo ya kukataa kuhama nyumba ambayo wameishi miaka 50+
@melanialeonard40317 күн бұрын
Basi paboreshwe
@elesianakabuje58327 күн бұрын
Jenga nyumba nzuri bro...pesa unazodorisha mtandaoni zile nyumba mbovu ivoo duuh!😊😊...mm sina pesa kama ww lkn nakoishi hapafanani na apo kwa bibi ako..
@ameirzapy13187 күн бұрын
Pesa za chief sio za kujengea watu bali za kutoa sadaka zingatia alama za nyakati 😂
@FastpayMauzo7 күн бұрын
bibi bado anasuka kisasa????
@KanotMapesa7 күн бұрын
Bibi hana aman kbx
@khamisomar8897 күн бұрын
Never say never
@samehewaliokukoseya26057 күн бұрын
🏠🏫🏫🏰🏰🏰🏫🏫🏘🏘kwanza
@barikilangoy47377 күн бұрын
Pesa za uchawi inaonekana tu bila kuuliza
@golebenson45977 күн бұрын
Wazeee wengi hawapendi kuhama nyumba zao hataiweje tena ukiwaliisha wanakuwa wakali wao wanapenda kula vizuri na pesa kiduchu za mambo zao
@Polyn.1235 күн бұрын
Upuuzi tu
@Mtu20117 күн бұрын
Uyo jamaa nim'binafsi anajifikilia yeye mwenyewe ili apate kuongelewa tu.aina aja yakwenda na makamera.
@FatimaAli-of4gh7 күн бұрын
Bibi kama haamini,mbona kijana huyo bibi sasa mamako yupoje jamani bibi nywele kama hizo anawaka😂
@tresorkabongo87587 күн бұрын
Surprise gani sasa na anaishi hapo 🤣🤣na camera za nini sasa mpaka kwa bibi yako
@AminaJuma-r4y7 күн бұрын
Bibi hamuamini chifu 😂😂😂😂
@ErickJr-k5b6 күн бұрын
😄😄😄
@allykomsonde78137 күн бұрын
Chakulanacho nikitu chakutangazia ulimwengu tena unampamleziwako
@LucyKanyeghesi-xm9dl7 күн бұрын
Mbona kama bibi ana wasiwasi😂
@OmieMari-x7d7 күн бұрын
Anajua mju kuu wake tapari hatari kwa michezo hatari😂😂
@giftmwamalabila6 күн бұрын
@@OmieMari-x7dhahahahahaha
@JokhaSaid-e1c7 күн бұрын
Mnunulie gas na nyumbani ya kisasa
@barikilangoy47377 күн бұрын
Mjengee ata kanyumba
@melanialeonard40317 күн бұрын
Watakujibu ni biashara, kama kuna maokoto watafanyaje
@fbr51135 күн бұрын
BIBI ANAHISI KAMA GOD VYAKULA KAVIIBA NINI ETI HAELEWI VITU VIMETOKA WAPI MAANA GOD ALIKUWA MTUKUTU KWELI KUMBE UKUTE ALIKUWA JIZI SANA🤣🤣🤣🤣🤣
@dadyjo_5 күн бұрын
Daaah we mwanangu umenu😅😅😅😅😅 sana
@KhadijaMasoud-d2z7 күн бұрын
Atumie nishati salama ya gass bwana mkaa vipi atapoteza macho
@Mamshika6 күн бұрын
Hapo hakuna baraka ,,baraka zinakuja pale unapotoa hata mkono wa kushoto usijue umetoa nini sasa cha kushangaza unaenda kutoa na makamera ili kujionyesha kwa watu kutafta sifa hii sio sawa ,hakuna cha watu kujifunza ni wajibu wa kila mtu kusaidia wazazi ,wazaz na wasiojiweza na pia sio kwamba wewe ni mtu wa kwanza kusaidia watu wengi sana wanasaidia na hawatangazi kwenye vyombo vya habari ,,mi hii tabia siipendi
@sa3dasa3da877 күн бұрын
SASA HUYU MNATUAMBIA TAJIRI NA KUMNUNULIA VITU BIBIYAKE NI SURPRISE😢
@ErickJr-k5b6 күн бұрын
😀😀😀
@rovisonmashaija31987 күн бұрын
Niliisi ni surprise ya nyumba sasa magunia ya mkaa ya nn 😅😅
@barrynzeyimana62707 күн бұрын
Wazazi wengi wakisha kua hata ufanyeje hawezi kuhama. Mimi nilitaka kumjengea Babu yangu nyumba. Alisema kua yeye anahitaji chakula sio Nyumba. Turidhani ni kutokana na mda, lakini alikataa na kusema kua yeye atafia kwenye nyumba yake na kweli alifia kwenye nyumba yake
@hadijamohd60287 күн бұрын
Safi sana ❤@@barrynzeyimana6270
@sa3dasa3da877 күн бұрын
ZINGATIA,BIBI ANAOMBA HAJUI VITU ALIPOVITOA ILA MUNGU NDIO ANAJUA😅
@homeandaway28117 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@zainab82516 күн бұрын
😂😂😂
@ErickJr-k5b6 күн бұрын
😂😂😂
@muzafarsharif94657 күн бұрын
Sasa hivi ni vitu vya kuweka kwa mitandao 😢
@ErickJr-k5b6 күн бұрын
Ni maajabu
@Kiyama-g8f6 күн бұрын
HOMME KUMECHOKAAA;AU PESA NI MASHARTI HAYO? HATUTAKI BIBI HUYO AUMWE;MAANA HAMKAWIII NINYI HAPO KUFANYA YENU;MAMAE
MCHELE WOTE HUO HUYO BIBI SIMTAMUUA MAANA ATAKULA HADI UTAOZA MTIE SUMU TUMBONI BURE
@neemayatosha16187 күн бұрын
Unajia SnS you can do better than this bwana. Hivi watu kama huyu mnawapa airtime za nini?Kwahiyo hadithi hii inatufundisha nini? Tuwanunulie bibi zetu majunia ya mkaa? 😂😂 Ni huzuni kwakweli
@homeandaway28117 күн бұрын
Afadhali na wengine mseme, yani SNS sikuhizi wamekosa focus they are all over the place.