Amen amen nyimbo zako hutubariki sana hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes za wakenya
@mussavictor4648 Жыл бұрын
Amen
@marykisiangani2470 Жыл бұрын
Amina
@joshuasamson8747 Жыл бұрын
I love this song it really encourages me
@PaulletHarry Жыл бұрын
Very nice 👍🙂👌🥰❤️
@RoseIrankundaАй бұрын
Bone mayiteh 2:02
@nemestarimo29222 жыл бұрын
Mtumish huu mstar wa niite nami nitakuitikia naupenda sana na unanipa matumaini kwana nilishawahi kuumwa mpaka nikakata tamaa ila nilimwita mungu na gafla ikatokea sauti na baada ya sauti kuondoka nilipona palepale. Mungu ni mkweli na anaponya. Mwite bila kuchoka utaponyeka na hitaj utapokea
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Amina kwa ushuhuda
@esthermutua12873 жыл бұрын
Amen yote yanawezekana be blessed man of God chris much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 gonga like tukiendaga
@celestineachieng5733 жыл бұрын
Yu
@celestineachieng5733 жыл бұрын
Uy
@esthermutua12873 жыл бұрын
@@celestineachieng573 yess
@barikisaid10073 жыл бұрын
Nice song
@youngresearchkenyalimited31832 жыл бұрын
Wimbo wenye tumaini. Kongole sana ndugu Mwahangila. Mungu azidi kukutumia kuwasilisha ujumbe wake.
@ELATI-Tv. Жыл бұрын
Nyimbo zinatufurahisha sana hapa Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 mbarikiwe sana
@user-un9ie3hh6y11 ай бұрын
Bwana yesu Kristo akutumie Siku zote za Maisha yako n'a pia akuongezeye Siku za kuishi kaka
@davidnjenga92924 ай бұрын
I have listened to Christopher mwahangila inspiring songs i love❤❤❤❤❤❤❤ them, i like his dressing code (lukuu) iko juu !dress for success to God be All the Glory Amen 🙏.
@lucymsindamika45263 жыл бұрын
Ameeen. Niite NAMI nitakuitikia na nitakuonyesha mambo magumu usiyoyajua barikiwa Sana mtumishi. Hakuna gumu kwako Jesus🙏🙏
@CatharineNasipwondi-lk2hl3 күн бұрын
amen hallelujah yesu wangu torch me amen very powerful song may God bless you amen 💪💪💪
@CatharineNasipwondi-lk2hl4 күн бұрын
hallelujah very powerful song amen may God bless you this morning Chris hallelujah yesu wangu well done 💪💪💪👍🏽
@GraciamwakuMwaku8 күн бұрын
Mungu akulinde baba nimbo Zako zinanipa neuvième🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@samwelkasebele61533 жыл бұрын
Kwa MUNGU yote yanawezekana hata yaliyoshindikana kwa upeo wa wanadamu Ubarikiwe sana kaka angu nimebarikiwa
@marcelotshilewu8 ай бұрын
Nampenda sana ndugu mpendwa Christophepher Mwahangila maana ananifariji sana Je vous suis depuis la RDC Congo 🇨🇩
@mweshmwesh1841 Жыл бұрын
Nakupenda YESU,,,,,, kwako yote yanawezekana
@opk39433 жыл бұрын
Amen🙏kwahiyi hari ya corona tunahuzuni kwakweli japo kuwa tunajifariji Ila yote yatawezekana yataisha magonjwa haya💃💃💃💃💃💃💃
@CatharineNasipwondi-lk2hl6 күн бұрын
hallelujah amen amazing songs amen may God bless your for good songs Chris ❤❤❤❤❤❤
@happyjonh45875 ай бұрын
Daaah ninakosa cha kusema juu ya huu wimbo we kaka Mungu azidi kukuinua juu ya karama yako katika uwimbaj 🙏🙏🌹
@pastorstevenmwasilembo3135 Жыл бұрын
Nimetafuta neno zuri la kuandika hapa ili kukupongeza nimejikuta nafuta niseme tu Mungu akutunze na kukuinua zaidi
@matundumgweno45333 жыл бұрын
Amen ..Bwana sitaacha kukuita ktk maisha yangu...Kama ambavyo nimekuona mwezi huu wa sita.umenionyesha Mambo magumu sn na makubwa ambayo kwa akili zangu sijawahi kufikiri
@mukankusibeatrice19512 жыл бұрын
Tunakupenda kabisa kwasababu unabyo imba ni ukweli na unapana mfano mzuli, Kwa kupenda mke wako, Ubalikiwe Sana mutumishi
@winnychepkemoi582619 күн бұрын
Hakika mungu hua anakutumia zaindi mungu awabaliki sana mutumishi wa mungu naakunzindizie neema yake zaindi
@silviachoge22723 жыл бұрын
Feeling blessed althaway from Nairobi Kenya😇😇😇😇
@JoanLucia-yz9gr Жыл бұрын
Nyimbo zako hunibariki sana ..huniregeshea tumaini wakati nmefika mwishow
@congomaka25153 жыл бұрын
MUNGU MWENYEZI AKUBARIKI TENA SANA MTUMISHI. Hata Apa Dr .congo tunabarikiwa sana na nyimbol zako.
@emilychichi75173 жыл бұрын
Amen mungu anajibu kwa kweli 🙏🏾🇳🇴🇰🇪🇹🇿ubarikiwe mtumishi 🙏🏾❤️hii nyimbo sabuhi inanipa amani.🙏🏾🙏🏾
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf10 ай бұрын
MUNGU azidi kukuinua Kaka kwa huduma yako na unyenyekevu na hekima zako, wewe ni mfano wa kuigwa sana,
@MohammadJoji8 ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu kwa wimbo mzuri unaongea kwenye miyoyetu 🇧🇷🇧🇷🙏❤
@isayasangija8587 Жыл бұрын
Ameen wimbohuu umekua falaja kwangu umeni bariki sana kipindi Cha mtoto wangu samweli akiwa hosipitali akiwa hawezi kupitia wimbohuu Mungu ameonekana balikiwa sana
Please Kenyans these songs are for us Ugandan, am blessed. Thanks Chris.
@safikitenge254 Жыл бұрын
Nashukuru sana Mungu kwa nyimbo zako ubarikiwe sana na Mungu wangu nyimbo zako zimenibariki sana Mungu akubariki
@tabitha28songa623 жыл бұрын
Amen,ndugu,2021 nina imani ya kwamba yote yanawezekana ubarikiwa
@jacklinechao810911 ай бұрын
Kwa Mungu yote yanawezekana.Nyimbo zako hubariki moyo wangu tuu sana
@jacquesbomera25983 жыл бұрын
Mwenyezi mungu aku bariki tatika enjili wako mzee wangu
@user-qq8ph2de8g11 ай бұрын
Man of God full blessings haki watubariki sana,,,mama samwel kakuyuni mahindi Kenya
@Mervakayake12 күн бұрын
Amen mungu anaweza yote n'a Amini ayo
@dorcasmwakio5011 Жыл бұрын
Kweli kabisa ndugu kwa Mungu yote yanawezekana hakuna jambo gumu la kumshinda.
@maryamhassan7000 Жыл бұрын
Amin yaan nyimbo zako mzr sana naomba mungu baba nibariki na mm nitowe kwenye mapito hy 😭😭😭😭🙏🏾🙏🏾
@catherinemathayobajuta88932 жыл бұрын
Kweli kwa mungu yote yanawezeka ameen barikiwa mtumishi wangu
@stephenmaina90703 жыл бұрын
Kwa Mungu yote yawezekana hakuna LA kushinda Mungu. Chris nakupenda Bure, nyimbo zako ziko na uguso wa Mungu
@ruthwanjiru49653 жыл бұрын
Amen... Call unto God and will answer.. Nothing is difficult to Him🙏🙏🙏
@alvineomondi38723 жыл бұрын
Kweli yawezekana, God show me your hands on my job hunting😭🙌🙌
@simondavidjoseph Жыл бұрын
amen kaka yetu ukiamini Mungu kila kitu inakuwa xawa unarikiwe xana
@ona_cedric3 жыл бұрын
Asante sana mtumishi, umefanya IMani ya wengi isimame imara, kupitia nyimbo zako. ASANTE 🙏
@NihorimberChad-w6d21 күн бұрын
Baba munguu kubarikiw nyimbozak nitamu
@christophermsapuka54513 жыл бұрын
Amen kubwa kk barikiwa San kwa kaz nzur
@janetkalu3870 Жыл бұрын
Barikiwe saaaaaana baba kwa Mungu hakuna jambo gumu
@asiamdachi93853 жыл бұрын
MashaAllah mwenyezi mungu akujaze khema
@cavinlughano98353 жыл бұрын
Ninajua Mungu Atanipigania, Sitaogopa ...🙌🙌🙌
@shiko.1710 ай бұрын
Nazidi kibarikiwa, much love from Kenya 🥰🥰
@emilykithome10362 жыл бұрын
Kweli hakuna jambo gumu linalomshinda Mungu Israel Amen Amen.
@sifauwajeneza772 жыл бұрын
Nagupenda sana ukonanguvuzamungu🙏💖👏🙌🙌 napenda nyimbo zako sana
@dorcasmwita85559 ай бұрын
Amen hakika huu wimbo unanitia moyo sana, Mungu akubariki bro
@user-di5sv2yf5v10 ай бұрын
I love your music sir very much top fan from Zambia🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@erastuschirchir11793 жыл бұрын
Amen amen,,,hakuna Jambo ngumu mbele ya mwenyezi Mungu🙏🙏,,,a nice song brother,,, keep moving in Jesus name 👌👌,,wakenya mko wapi,,,nipe ata likes kumi tukisonga mbele kuabudu Mungu🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@janoneks80913 жыл бұрын
Kabisa, kwa Mungu vyote vinawezakana 🙏🙏 AMINA
@elizabethbulabo85623 жыл бұрын
Ameen, Ameen, kwa MUNGU yote yanawezekana. Ubarikiwe Sana Kaka.
@thedykyaruzi86283 жыл бұрын
Hakika kwa MUNGU yote yanawezekana, Ubarikiwe kaka🙏
@dorothhokororo5301 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana ña mahubiri yako kupitia nyimbo zako hakika wewe jemedari.
@tigergets94283 жыл бұрын
Barikiwa Baba
@etonyemyaesau1433 Жыл бұрын
😭😭😭😭 machozi nimengi kwangu nisaidie namimi nijibie baba
@harrisonayodi3579 Жыл бұрын
Nimebarikiwa kwa huu wimbo, Harry from Kenya
@user-jn8gb9rp8u Жыл бұрын
Wimbo huu unanibaliki Sana Mungu azidi kukuongoza mtu mishi
@geraldbusiku97706 ай бұрын
I am Gerald Busiku Omulokole from Uganda. I enjoy your songs
@CatharineNasipwondi-lk2hl8 ай бұрын
Amen 🙏 amen nice one for song am watching from 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪 wow you are amazing man Christopher
@user-kh1hc8ux2e3 ай бұрын
MUNGU mwenye nguvu hakuna kama yeye 🙏
@arthakasiba43603 жыл бұрын
Napenda Sana..nabarikiwa Sana na uimbaji wako.sauti nk... very unique..God bless you
@hapinesphilimon81273 жыл бұрын
Kabisa kwa MUNGU kila kitu kinawezekana nmeamini ilo na nnaamin sku zote 🙏🙏
@kubwimanaerick55233 жыл бұрын
Amen kwakutupa matumaini Tena nagupenda saaaana na nyimbo Zote zako ni nzur
@rosekadzokadzo14013 жыл бұрын
Amen.. Nice song kweli yotr kwa Mungu yanawezekana.
@priscahpriscah28063 жыл бұрын
Nahisi uwepo unashuka, Kwa mungu yote yanawezekana amen
@user-zq4fk4dl9s11 ай бұрын
Nasisituna kupenda Sana nyimbozako zinatufurahisha hapa canada
@carolinekagendomputhia12543 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi. Nyimbo zako unijenga sana. Natoa machozi nikizisikiza.
@zakayelias46453 жыл бұрын
Kaka safi San bwan akubaliki kwa ujumbe mzur. Kazi nzur San
@wemamhagama35863 жыл бұрын
Mwenyez mungu azidi kukuinua katika karama ako
@BrenderLeleiАй бұрын
Amen Mungu wangu sitawacha kukuita Amen
@bramwelrobert23843 жыл бұрын
Amebarikiwa namungu mweshimiwa
@phoebeanyoso70053 жыл бұрын
Wimbo umenigusa..umenitia nguvu..l know God will answer my prayers..God bless you so much akuinue zaidi
@lajoieinnocent77813 жыл бұрын
No one like God. May God bless you papa Chris✊🏾🙏
@hakizimanasaintpaul9649 Жыл бұрын
Ahasanteni sana kwakutuimbia nyimbo nzuri zamngu.
@safinakarani57353 жыл бұрын
Kweli kwa Mungu yote yanawezekana ubarikiwe nyimbo nzuri
@gladyschelangat92672 жыл бұрын
Hakuna jambo gumu la kumshinda mungu,namwamini mungu!
@0nesmomisalaba4162 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu.wimbo uko vizuri sana.
@credo3914 Жыл бұрын
Huu wimbo unaifanya Mimi niokoke amina
@Cyrus001.3 жыл бұрын
Kwa Mungu yanawezekana, hakuna la kumshida
@jairasmathia4038 Жыл бұрын
Ni jairas mathia mutsoli kutoka Kenya kakamega caunt be blessed 🙏🙏 man, of God.
@dororoclaude84832 жыл бұрын
Amen, kweli mungu anaweza kila jambo.
@Vince-kw9hu3 жыл бұрын
Wimbo mzuri,Sauti nzuri,video nzuri,message nzuri Namaanisha kila kitu kizuri 😍
@ellyyaola75747 ай бұрын
Such a powerful song God bless this man he's such a vibe nice music 🎉🎉🎉 rate 10/10
@paulodeuschugulu67073 жыл бұрын
Ameeeeen ubarikiwe mtumishi na kazi nzuri
@stanleymshihiri36053 жыл бұрын
Mtumishi wamungu napenda sana nyimbo zako mungu akubariki
@prosperlilian13713 жыл бұрын
😢😢😢😢 Mungu njoo kwangu
@daudierastomlangi22183 жыл бұрын
Ameen 📖🙏🏻... Kwa Mungu yote yanawezekana
@faraimaname32922 жыл бұрын
Kwa Mungu Yote Yanawezekana is my best song so far... Well arranged with the chorus coming three times... The video is just killing.... Glory be to Jesus Christ
@milcajkamanda8118 Жыл бұрын
Kweli Mungu amenijibu kwa wakati wake and I will testfy of His doing.yamewezeka kwake
@salmasanga1912 жыл бұрын
Ameen !Ameeni...kaka napenda sana kuakiliza myimbo zako..
@philippebahizire51032 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akuwezeshe kabisa
@sarahlyne7058 Жыл бұрын
Napenda juu wimbo during my lowest moments I oftenly listen to it God is able
@joyann9853 жыл бұрын
I will never give up in praying.
@user-uj5iv2oi2g Жыл бұрын
Oh mungu umesema nikuite jeremie 33:3, amina
@mcdamson_classic3 жыл бұрын
Nimependa mnooooo hii nyimbo....
@DevotaMashirima-js3zn11 ай бұрын
Mimi pia napenda sana. Nyimbo. Zako. Kweli. Sinanibariki sana. Amina