Nakumbuka Pongwe Tanga miaka hiyooo 1982 na 83.. nikiwa na umri mdogo wa kama miaka 8,9 ivi!! Sasa nina miaka Hamsini(50yrs). Kweli old is real gold!!
@mamadida61003 жыл бұрын
Nakumbuka marehem Baba yangu ilikua siku ya bday yangu trh 25.mwenyez mungu amlaze pema pepon amn
@kokombwana862510 ай бұрын
Nakumbuka enzi za utoto,nyumbani kwetu Kivesa Handeni,tukiwa na redio dudu proof 😊😊, hakika ya kale ni dhahabu,R i p ndugu na marafiki wa wakati huo
@kassimungemba58304 жыл бұрын
Nikisikiliza huu wimbo natamani kulia. Unanirudisha nyuma sana nikiwa mdogo, mitaa ya temeke, ikifika mwezi wa 12 RTD ilikuwa unaupiga sana huu!!😭😭
@sindengolle6484 Жыл бұрын
Wee Acha tu, mie kurasini aloo tmk yetu wadogooo
@melissa_garden Жыл бұрын
Yaani acha
@goodlucknyamubwe19454 жыл бұрын
Ilikuwa balaa,Christmas na bana Maquise! Huachii Redio!RTD mchana mwema hiyo! Rahaa
@ayubikunga55974 жыл бұрын
Haitarudi tena raha kama hii.
@kennethbahebenginilla16573 жыл бұрын
Imenikumbusha mbali sana hii nyimbo enzi hizo naisikiliza sana mwaka 1992,93,94 shule ya msingi krismasi unasubiri matokeo ya darasa la 7,kweli ya kale dhahabu.
@sammyseame71146 жыл бұрын
Jamani Maisha,ni safari!! Nakumbuka nikiwa nalima shamba,redio nimeweka juu ya mti mwezi december huo!!
@simoniwisi82923 жыл бұрын
Mpango mzima ...!! Wazazi wetu walale salama amen ..! Mpangilio wa music huu ni ustadi wa hali ya juu sana...!💪🏾💪🏾
@nyangejoseph3755 Жыл бұрын
Kikumbi Mwanza Mpangoal maarufu King Kiki, acha kabisa ananikumbusha mbali sana mwanzoni mwa miaka ya themanini, acha acha kabisa shughuli ilikuwa pevu sana enzi za balehe . Vhinyama Chiyaza Chichi acha kabisa
@charlesodero75029 ай бұрын
😂.... nice memory lane
@doriskabogo374310 ай бұрын
Huu wimbo ni mzuri sana enzi zile ukipigwa kila mtu hucheza pale alipo. TBC waanze tena kipiga nyimbo za zamani kwani ni za taratibu na nzuri sana.
@amonijustini1196 жыл бұрын
Nakumbuka December Kwa miaka ya nyuma(early 80s). shamra2 zilikuwa nyingi. Kweli maisha matamu lakini mafupi.
@joemwinjo14782 жыл бұрын
Imenikumbusha mbali sana hii nyimbo enzi hizo zetu.................tene when music was music
@kokombwana86254 жыл бұрын
Mmh! Kwakivesa ,Handeni,miaka ya utoto
@jacksonzebedee46686 жыл бұрын
Enzi hizo serikali ilinunua vibasi aina ya Isuzu (UDA Nusu-mkate) ndogo-ndogo kwaajili ya wanafunzi, nauli ikiwa sent 50, baadae UDA ikaingiza Icarus kutoka Hungary, basi wakati wa Krismasi ilikuwa ni Khataree!.
@ayubikunga55974 жыл бұрын
Hapo ikikuwa maisha Dar simchezo
@simoniwisi82923 жыл бұрын
Power Nguzo hapa umevuta hisia za wengi sana kati yetu...bravo brother !!
@djoeloficial3 жыл бұрын
Good night, greetings from Colombia. I have seen that he likes to share the music of tanzania on his channel. I would like to make a query about a song and a musical group that I have been looking for, I would like to know if you can help me with the investigation. I am a young Colombian who likes the music of tanzania. If you could give me your email or some help where I can contact you it would be a lot. Thanks!
@sylverywangalila175 жыл бұрын
Hii ndiyo miziki iliyocharazwa kwa utalaam wa hali ya juu siyo miziki ya kileo
@husseinmasoud9409 Жыл бұрын
Xmas ya 4 hii nipo hapa shimo la tewa Mombasa. Sauti tamu ya King Kiki yanikumbusha mbaali. Maisha kweli safari ndefu saana. Alhamdulillah
@goodluckkaluwa97284 жыл бұрын
Nakumbuka zamani wimbo huu sikukuu zilikuwa ni ifuraha tupu
@kalistuschonya8596 Жыл бұрын
Tumetoka shule tupo likizo na tupo shamba radio Philips ipo kwenye tuta. Safari ya Marshall hiyo.
@MbogaTatu Жыл бұрын
Yaani wewe umenikumbusha mbali hapo kwenye radio ya Phillips! 😂
@salumkyelula443 Жыл бұрын
😢😢😢all good days
@mussamtalika243 Жыл бұрын
Maumivu makali sana nakumbuka mbali sana mama baba dadazangu Rose mail cathe mpeji inapigwa ngoma unajua sikukuu imefika hadija hussein dah wote mbele ya haki wapi hamisi yanga
@karolimwikola52652 жыл бұрын
Namshukuru mangu nimetoka mbali
@dbzfreak664 жыл бұрын
Classic! Mziki bila jasho
@mamadida61004 жыл бұрын
Hataree
@karolimwikola52652 жыл бұрын
Duh, enzi hizo ndio sikukuu kwelikweli
@mamadida6100 Жыл бұрын
Dah Acha kabisaa ilikua ni 🔥❤️
@sylverywangalila175 жыл бұрын
Hii ndiyo ilikuwa Miziki Gita likicharazwa kwa umahiri
@matembelerichard94166 жыл бұрын
nakumba radio tanzania enzi hizo na radio ya mkulima
@brownee200073 жыл бұрын
Saxophone Chinyama au?
@kokombwana90066 жыл бұрын
Duu! Miaka ya 80,nikiwa kivesa Handeni
@gilbertmasaki29656 жыл бұрын
Muziki umenitupa Mbali Kweli. Safi sana
@edwardmhagama34524 жыл бұрын
Ilikuwa bomba sana
@saidimgeni86864 жыл бұрын
Kipindi hicho Niko shule ya msingi Ada ilikua shikingi 20
@justinkatabaro68873 жыл бұрын
Speechless...
@leonardkipondya42164 жыл бұрын
Nakumbuka Christmas 1977
@ayubsalum55944 жыл бұрын
Hatariiiii
@gabrielsamwelhokororo76243 жыл бұрын
Kwa Nini wanamuziki wa sasa hatungi nyimbo za matukio huru na kughani nyimbo hizo Bila kuiga au kukopi kwa mtu? Kweli itarudia hii?
@daudichawo2403 жыл бұрын
Hawajui
@karolimwikola52652 жыл бұрын
Ni raha tupu ukicheza kamanyola enzi hizo
@rajababdul72573 жыл бұрын
25 December 2020
@allyomary4764 Жыл бұрын
Kwa kweli yakale ndahabu
@mamadida6100 Жыл бұрын
Yah is true
@MarijaniMsofe10 ай бұрын
Mwaka 2023 Desemba 24 Christmas
@temmytayari1642 жыл бұрын
INANIKUMBUSHA ZAMANI KAHAMA
@peterkikwati547510 ай бұрын
Enzi hizo weee acha
@aloycetemba86525 жыл бұрын
X-Mass oyee
@dr.jonathanchikomeler.80314 жыл бұрын
25 Dec 2019..
@emmanuelmsoffe9332 жыл бұрын
Desemba 25 2021
@emmanuelmsoffe9332 жыл бұрын
Desemba 24 2021
@kennethbahebenginilla16573 жыл бұрын
Imenikumbusha mbali sana hii nyimbo enzi hizo naisikiliza sana mwaka 1992,93,94 shule ya msingi krismasi unasubiri matokeo ya darasa la 7,kweli ya kale dhahabu.
@allykitto4176 Жыл бұрын
Sawa jamaa enzi zao kiukweli hakuna wa kuwapiku mpaka leo.nyimbo za miaka ya 70 80 tayari kweli