MY DAUGHTER | ep 7 |

  Рет қаралды 663,140

CLAM VEVO

CLAM VEVO

Күн бұрын

Пікірлер: 1 600
@gimpesamsontv706
@gimpesamsontv706 Ай бұрын
Jamani Leo nimekuwa wa kwanza naombeni hata like 10 tyu team clam tujuane
@OfficialDior-z7d
@OfficialDior-z7d Ай бұрын
Nomaaa🎉🎉🎉🎉
@ENIperitoBakar
@ENIperitoBakar Ай бұрын
Unataka kuzifanyia nn
@Kifutubrandfilm
@Kifutubrandfilm Ай бұрын
Pole sana kaka kwa changamoto ya msanii ira apo kitu kipo kk si bure kwa uyo Sarah kua makini
@ChershAbdallah5-tz8xo
@ChershAbdallah5-tz8xo Ай бұрын
Shida wanatoa vipande kimoja Moja ndo shida
@FaudhiaRamar
@FaudhiaRamar 19 күн бұрын
Unazipeleka wapi ukishapewa
@sijemoct1216
@sijemoct1216 Ай бұрын
tumpeni pole Mr Clam vevo', kama na wewe unampa pole kwa hayo anayo pitia gonga like ili aone kama tunampenda sana
@AnoldA.Square-e1l
@AnoldA.Square-e1l Ай бұрын
Pole sana mr.Clam ila wasanii ndivyo walivyo kikubwa, dada aisha avae uhusika vizuri.. Good filam and god bless for person katika majukumu yako.. Nipo TZ-CHANIKA NGUVUKAZI
@gloiregloirekamirigado
@gloiregloirekamirigado Ай бұрын
Ongera Sana clam Vevo ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
❤❤❤
@prof_ras
@prof_ras Ай бұрын
Kazi nzuri. Story na maudhui vipo vizuri. Much congrats to #Clam na team nzima...💪🏻💪🏻💪🏻
@rabikasekue3555
@rabikasekue3555 Ай бұрын
Ila weee ikopoa sana❤❤❤❤
@prof_ras
@prof_ras Ай бұрын
@@rabikasekue3555 🤝
@fundiseif1096
@fundiseif1096 Ай бұрын
My daughter inazidi kupamba moto 🔥🔥🔥 umetisha sana clam vevo 🙌
@OmanOman-ru4eu
@OmanOman-ru4eu Ай бұрын
Daaaaa pole sana clam 😢😢 watu wakishaanza kujipata wanariga jmn mungu akutie nguvu kwa kila changamoto na amini aisha atafanya vizur zaidi
@MwanneRashid-d2p
@MwanneRashid-d2p 6 күн бұрын
My daughter inazid kupamba Moto hongera sana👏👏
@marthesifa-5803
@marthesifa-5803 Ай бұрын
Nimejitaidi leo sijachelewa sana 🤩 kazinzuri clam vevo 🎉🎉
@BijouxBulose
@BijouxBulose Ай бұрын
Ila sara alikuwa naiendecha hii muvi vizuri ila clam kuna mtu nyuma ya hii ile tu wewe ufeli ila mungu yuko upended wako tunakufata na sisi tukiwa congo❤❤❤
@JAMESONMBIRO-mz7eb
@JAMESONMBIRO-mz7eb Ай бұрын
Sana
@msouthdablack
@msouthdablack Ай бұрын
Nampendaga sana aisha ,, naweusi wake mashaallah,, nimzuri haswa kwenye uigizaji
@MagrinhoKingZG
@MagrinhoKingZG Ай бұрын
Clam upewe maua yako 🎉 Likes zangu from Moz 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Mwana85Mwana85-wz1ol
@Mwana85Mwana85-wz1ol 28 күн бұрын
Nimeami. Useheme wa wa binadamu kikulacho kipo nguoni mwaka baba ndyo adui yako p Moja n mama duuh VEVO pole San hum 🔥🔥🔥🔥
@aganzeroger
@aganzeroger Ай бұрын
Wa kwanza Leo kutoka Congo bukavu nipe like zangu asheni ushoyo clam🎉🎉🎉🎉❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@kevy254
@kevy254 Ай бұрын
Kazi nzuri mkuu, movie haitasimama ju ya mtu mmoja lazima twendelee. Ahsante kw kutujulisha ju tungedhani umemfuta Sarah kazi❤❤❤❤
@almaskarahkenya5533
@almaskarahkenya5533 Ай бұрын
Clam napenda movie zako sana from malindi Kenya ubarikiwe bro
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x Ай бұрын
Nmepata home boy apa Soweto muyeye vipi nawee
@shaklaomar697
@shaklaomar697 Ай бұрын
Perfect ✅
@almaskarahkenya5533
@almaskarahkenya5533 Ай бұрын
@@LaughKey-f8x mbona fresh tu tuna burudika na move pole pole tu apakzbin.info/www/bejne/enKzi5KYbM-Gotksi=e0Be3F47f9jVSzoi
@DaniellahLavine-h7r
@DaniellahLavine-h7r Ай бұрын
Tupo hapa
@LaughKey-f8x
@LaughKey-f8x Ай бұрын
@@shaklaomar697 home boy pia🔥🔥
@ZalhaMustapha-yj4os
@ZalhaMustapha-yj4os Ай бұрын
Kwanzaa hyo hyo Aisha nampendaaa snaa kuliko hyo Saraah anaringaa snaaa achana nae we endelea kupga kaziii kwa niaba ya wezang wote wa KZbin tumemkubali Aisha na tunampendaaa mnooo❤❤❤❤❤
@Yatosher_Der_Golden_voice
@Yatosher_Der_Golden_voice Ай бұрын
Au bhasi acha tufanye kama nalinda MSIKITI😂😂
@tabithamutisya6664
@tabithamutisya6664 Ай бұрын
😂😂😂 kipara kwa majibu
@alhajjabdoo625
@alhajjabdoo625 Ай бұрын
Umeisikia 😂
@vvipdnamahaja5901
@vvipdnamahaja5901 Ай бұрын
Kaka toa kazi maana kama haujui Moja ya kampuni Inayotoa na kuzalisha kazi Bora na Nzuri ni hii ya kwako ndg yangu, Umeinua wasanii wengi sana wanajitahidi kufanya vizuri lakini wewe ndiyo Kaka Mkubwa🎉
@JudcBen
@JudcBen Ай бұрын
Au bas tufanye kama nalinda msikitin😂😂😂😂
@morriske3974
@morriske3974 Ай бұрын
😂😂😂 imenifurahisha sana hii
@othmanali5799
@othmanali5799 Ай бұрын
😂😂😂😂 siooooo poa iyooooo
@ThomasWilliam-k5h
@ThomasWilliam-k5h Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣​@@othmanali5799
@finegatwiri2597
@finegatwiri2597 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂anabambisha sana😂😂😂
@yasinramadhan7315
@yasinramadhan7315 Ай бұрын
😂😂😂😂
@DullaNaman
@DullaNaman Ай бұрын
Broo ikitokea kitu Kama hii Tena ww uwa mtu kwa scene uweke mwengine bila watu kujua💪💪mbele daima broo from 254🇰🇪
@gidenprotz
@gidenprotz Ай бұрын
Wa kwanza kutokea drcongo❤❤❤ wa Kongo na wapenzi wa clam vevo naomba like zenu ❤ much love na mungu awabariki🎉🎉🎉
@Sharifaliuma-gb3vt
@Sharifaliuma-gb3vt Ай бұрын
Wameanza kulewa usta usijali Mungu akuongozo tafauta watu wapya ufanye nao kazi nazani kunawatu wengi tu wanaitaji iyo nafasi na awajaipata
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio Ай бұрын
usihukumu mtu we sio Mungu na huezi jua amepatwa na nn ndo akose hata kujibu simu bila shaka itakuwa mtu usiyeelewa kuhukumu mtu bila kujua sababu Kwa saabu kama hakuwa anahitaji kazi angepokea japo akatae jamani tuwe tunafiiria kwanza kabla ya kucomment
@yasinramadhan7315
@yasinramadhan7315 Ай бұрын
​@@TeshmonyAntonioata kupokea cm kwa maana amefariki au watu tunasahau tulipo toka
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio Ай бұрын
@@yasinramadhan7315 acha kuongea kama mjinga ww
@GracieTyno
@GracieTyno Ай бұрын
Ana ustar gani 😂😂😂😂
@abasgregory3371
@abasgregory3371 Ай бұрын
​@@yasinramadhan7315may be anadai
@linconndeda
@linconndeda Ай бұрын
Mm wakwanza Leo kutoka Kenya wapi like ya clam
@FatmaRashid-q7j
@FatmaRashid-q7j Ай бұрын
We tuwekee huyo ajae ndo atafanya vizuri zaidi ya Sara akishapokea simu mwambie Jimbo lishachukuliwa😂😂😂😂😂
@JAMESONMBIRO-mz7eb
@JAMESONMBIRO-mz7eb Ай бұрын
Sana
@furahakenga6619
@furahakenga6619 Ай бұрын
Wakwanza kutoka kenya naomba like 🎉❤❤❤
@KhadijaOmar-x1p
@KhadijaOmar-x1p Ай бұрын
Omba omba likes tu,,,itakutoka hio kitu😂😂
@RenatoAlbert-t1z
@RenatoAlbert-t1z Ай бұрын
Ila angel yupo vizuri jamani; na ndo kwanza katoto🎉❤❤
@skmovies-m8f
@skmovies-m8f Ай бұрын
kama unamini vevo kaludisha tasinia ya bongo movie gonga like
@Derevamkongwe6864
@Derevamkongwe6864 Ай бұрын
Mbona hilo swala rahisi sana, vile move yenyewe yakichawi we Fanya kama Anger amembadilisha tu Mama yake, yani baada yakufika tu kijijini akabidilika kuwa mtu mwengine na tutaelewa.
@chrissbwalya4513
@chrissbwalya4513 Ай бұрын
Au afe tu tujue kafa
@SolutionsSammy
@SolutionsSammy Ай бұрын
Mimi wa kwanza leo nipeni like jamani sisi wa congo 🇨🇩 tunapenda sana iyi movie 😮😮
@aggreyanyango
@aggreyanyango Ай бұрын
Clam vevo naenda nyumbani Kula chapati maragwe Hapana weka police Kwa cambi mwaka atazoeyana na majambazi Don't give up be strong 💪💪 Movie zako nikali nawapenda wote from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@EspoircubakaBisimwa
@EspoircubakaBisimwa Ай бұрын
Wa kwanza kutoka Congo naomba likes zangu.aka katoto dah!🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@ShaziMuhammed-c6e
@ShaziMuhammed-c6e Ай бұрын
Jaman kipala anajuwa sana kama munamuelewa kama mimi like apa❤❤❤❤
@AngelJosiah-v7y
@AngelJosiah-v7y 28 күн бұрын
Hahahahah ety analinda msikit jaman 🎉🎉🎉
@HarunaDanielmbanzeofficial
@HarunaDanielmbanzeofficial Ай бұрын
Hio colour sio nzuri rudisha mwanga ndipo movie ionekane vizuri
@SheilaOmar2007
@SheilaOmar2007 Ай бұрын
Ilikuwa kumbukizi ya kipara ndo mana colour ikawa na mwanga wa kupauka
@HarunaDanielmbanzeofficial
@HarunaDanielmbanzeofficial Ай бұрын
@SheilaOmar2007 oooh hapo nimekuelewa kidogo
@ewoiekaale
@ewoiekaale Ай бұрын
Flash back. To make it look different
@kassimgambere2382
@kassimgambere2382 Ай бұрын
Kabisa
@sashasasha9253
@sashasasha9253 Ай бұрын
DUNIANI hupo ahera unatafutwa wewe
@Sotto-k3j
@Sotto-k3j Ай бұрын
And so here comes Kenya. Your work is so wonderful. God bless you 🙏 Clam...
@FlorenceWABIWA-v8e
@FlorenceWABIWA-v8e Ай бұрын
Poleni sana mutowe uyo Sarah. Kazi nzuri Clam ongera sana na huyo mtoto nampenda sana❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@AleluiaNampindo-c9z
@AleluiaNampindo-c9z Ай бұрын
guus
@MariamAhmadaMwikalo
@MariamAhmadaMwikalo Ай бұрын
Ana shida gani mbona iko poa
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio Ай бұрын
think twice before you comment
@TeshmonyAntonio
@TeshmonyAntonio Ай бұрын
think twice before you comment
@MaryamMubarak-lw8kw
@MaryamMubarak-lw8kw Ай бұрын
Pole sana clam wetu❤❤❤ ulipo tupo team clam🎉🎉🎉
@JUMASELEMAN-o2l
@JUMASELEMAN-o2l Ай бұрын
Kazi nzuli hongereni washiriji❤❤❤❤❤
@faizamohamed6993
@faizamohamed6993 Ай бұрын
Mungu akutangulie clam ila wabongo kwa husda. Bora utafute watu wapya hawa wazamani wana husda sana. Wanataka wakuangushe makusudi. Usife moyo ❤❤❤❤
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express Ай бұрын
Hatahivyo nimefurahi umepobadilisha muhusika, yule Merisa hakuendana kabisa na nafasi yake. Huenda yeye mwenyewe kajishtukia. Huyu Abinimbi ( AISHA ) ndio anapendeza kukaa nafasi hiyo. ❤🎉 Sasa twende kazi
@smartdesignandprinting6474
@smartdesignandprinting6474 Ай бұрын
Nilichokiona mimi kwa jicho langu la "KIJASUSI" Melisa Amekimbia huo uhusika kwasababu mbeleni hapo atatakiwa awe kwenye uhusika wa yeye KUFA so anaogopa huo uhusika. Sitaki kuamini kuwa lengo lake ni kukwamisha kazi yenu. Nakuhakikishia kuwa baada ya kupatikana huyo muhusika mwingine now simu zenu atapokea. Amehofia "Kuumba vitu kwenye ulimwengu wa Roho". Ombi langu kwenu musimchukulie kama ni Adui wa Movie yenu. Muendelee naye kufanya kazi kwenye movie nyingine ambayo haina uhusika wakutisha sana. Ahsante haya ni Maoni yangu tu.
@Miss_Zia95
@Miss_Zia95 Ай бұрын
Huyo merissa anact aje. Je ni yule kama mgonjwa ama rafiki wa madam
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express Ай бұрын
@@Miss_Zia95 mke wa Clam
@dicksonguraidi
@dicksonguraidi Ай бұрын
@@Miss_Zia95 ni yule mke wake clam vevo.
@Tanzanian_lydia
@Tanzanian_lydia Ай бұрын
Mkewe​@@Miss_Zia95
@DieudonneFabien-r4h
@DieudonneFabien-r4h Ай бұрын
Kama umeona Ile clip ya clam vevo akitongozwa na mbibi tujuane apa 😂😂
@ZariaRamadhani
@ZariaRamadhani Ай бұрын
😂😂😂😂
@Mzawa12
@Mzawa12 Ай бұрын
😂😂😂
@EliasPosiano
@EliasPosiano Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@KisagaJohn-o6b
@KisagaJohn-o6b Ай бұрын
Nomaaa😂😂😂😂
@JasperMakaleOkamu
@JasperMakaleOkamu Ай бұрын
Jaman mnafurahisha mungu awalinde kwa kazi nzuri.😂😂😂😂
@SanifuTz-n4z
@SanifuTz-n4z Ай бұрын
Duuh hizo hila za wanadamu bwana cris
@chanceowden4845
@chanceowden4845 Ай бұрын
Pole sana Clam, hii ni Vita ya kazi zako, lengo wakufelishe, ila tuko na wewe! Pole saana, tunaipenda kazi yako!
@PendezaPendo-k6i
@PendezaPendo-k6i Ай бұрын
Chukua maua yako mtoto mzuri🌹🌹🌹 kama mchawi kweli ivi😂😂😂😂
@MmMm-tt1wi
@MmMm-tt1wi Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@JosephomariMaishaniyamungu
@JosephomariMaishaniyamungu Ай бұрын
Pole nisana brow kazi nzuri ❤❤❤❤ kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
Yeyote atakayesoma hii coment mungu akubaliki uweze kufika mwakan saalama🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏🤝🙏🤝🙏🤲🙏🖤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Ай бұрын
@Zaburi-
@Zaburi- Ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@ZariaRamadhani
@ZariaRamadhani Ай бұрын
Inshallah
@DeboraJones-d3d
@DeboraJones-d3d Ай бұрын
ameen
@Celina-t4j
@Celina-t4j Ай бұрын
Sarah mashi anaonekana mjeuri nilifikiri ni movie kumbe ata kwa uhalisia pia😂😂😂pole clam 🎉🎉🎉mauwa yako kwa kutoa siri kama hiyo mi nae mmoja wapo wa kulalamika nikiona mtu amebadilishwa bila taarifa ila sasa naelewa asante sana
@RendinaaEliabi
@RendinaaEliabi Ай бұрын
Kuwa na mwanaume asiekuskiliza pia ni hatar uweza kufa mapema mno mungu atusaidie
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 Ай бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤mungu abaliki sana kazi zenu
@bahozisaidiradjab4902
@bahozisaidiradjab4902 Ай бұрын
Pole sana clam vevo...tunakuunga mkono toka Congo mji wa Goma
@JuliusJembelayexu-dh5mm
@JuliusJembelayexu-dh5mm Ай бұрын
Pole xana bro kwa hayo unayoptia xaiv ucijali mungu yuko pamoja na wewe jamani meliza ako na roho mabaya xana c angexema ma tu ctaki kuliko afanye iv❤❤❤❤❤❤❤❤
@Cheusi_media
@Cheusi_media Ай бұрын
MY DAUGHTER 🎉🎉 BIG UP MA BROTHER VEVO 🎉🎉
@mwemakhatibu1754
@mwemakhatibu1754 Ай бұрын
Clam usiwaze wala usikate tamaa huyo dada ametapeliwa amelubuniwa kwa hy majuto ni mjukuu atakuja kukukumbuka aise pole sana mzee wa kazi kazi iendele i wish good jobs.
@Igweezysirleem
@Igweezysirleem Ай бұрын
Nampenda angel ana kipaji kikubwa sana🎉🎉🎉
@sihingerejePrudent
@sihingerejePrudent Ай бұрын
Bro tusaidiane pamoja
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Kabisa kwa uwezo wa mungu atafika mbali
@muksinarchard6496
@muksinarchard6496 Ай бұрын
Sarah kaogopa kufa na kula nyama za watu... angel sio mtu mzuri
@AbdulJuma817
@AbdulJuma817 Ай бұрын
Sara ni nani
@omaryjuma5204
@omaryjuma5204 Ай бұрын
Dar kipara eti au basi tufanye kama nalinda mskiti 😂😂😂
@amanimataligana2734
@amanimataligana2734 Ай бұрын
Enjooo wangu aka suda yanga 💚💛💛💛kwanini asifanye jambo kwa hiyo anae tuyumbisha😂😂
@MuhammadWarira
@MuhammadWarira Ай бұрын
Wa kwanza kutok pemba naomben like zng🎉
@juumedia
@juumedia Ай бұрын
Ushauri wangu. Mngembadilisha kwa njia za kichawi kwamba amevaa mwili wa mtu mwingine af mkamaliza naye kama mlivyofanya kwa kakoso na yule Dada kwenye snake boy
@chris-c3j9r
@chris-c3j9r Ай бұрын
Wapi like zangu from kenya
@mohamedmanga8391
@mohamedmanga8391 Ай бұрын
Pole clam haya aliyapitia simba, Mombasa twasubiri ijayo tusha adopt huyu mwengine kwenye mindset zetu, unapigwa na ka....
@SalmaMgeni-h7o
@SalmaMgeni-h7o Ай бұрын
Bora umeweka wazi na sababu za kubadilisha muhusika❤. Jithamini utathaminiwa
@ARONPaul-bz3ws
@ARONPaul-bz3ws Ай бұрын
Poleee sana mwambaaaa kwa changamotooo vevooo munguuu akupe wepesi wa kazii zako
@SunduliThwalib
@SunduliThwalib Ай бұрын
Naam brother I was just waiting ✋️
@yasinmzuka3328
@yasinmzuka3328 Ай бұрын
Bro ww fundi sana mwanangu unajua kutunga storry ❤
@J74251
@J74251 Ай бұрын
Mimi hapa watatu kutoka Kenya nilikua nasubiria hii🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
@sifainantore
@sifainantore Ай бұрын
pole sana clam wetu kumpotez sara.lakini Mungu yuko pamoja naw sara kafanya ujinga atajutiya badaye tunakupenda sana.from.burundi
@salumuwembo-fo5rr365
@salumuwembo-fo5rr365 Ай бұрын
Good luck, I'm watching this video from Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉🎉🎉💯💯💯
@AllyNyundo-j6y
@AllyNyundo-j6y Ай бұрын
Dah usijali mungu atakusaidia aisha atacheza vizuri tu wala musiwe na mashaka nae ❤❤❤
@babynaash
@babynaash Ай бұрын
My daughter ni ya moto🔥🔥🔥
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express Ай бұрын
Kwenye kumbukumbu ya kipara haijakaa sawa, anakumbukaje sehemu ambazo hakuwepo!?.
@MarystiveSara
@MarystiveSara Ай бұрын
😂😂
@HijraJuma
@HijraJuma 27 күн бұрын
lla clam anajeur sana ajarb kuwa peace kdg kwenye hii tamhlia
@abudailamy2577
@abudailamy2577 Ай бұрын
Hilo koti lifue..... Mama kasema nisilifue yuwapenda hiyo harufu,,,,, 😂😂😂😂
@AdamOman-n2s
@AdamOman-n2s Ай бұрын
Sawa ss tunakukubali sana Kaz zako 🎉🎉🎉❤❤❤❤
@HamisiSalimu-d1n
@HamisiSalimu-d1n Ай бұрын
Uwezi kumtoa na kumueka mwengine kazi iyendelee alafu uyo mpya nampenda Atari
@Alex07scot
@Alex07scot Ай бұрын
Bila shaka hamisisalimu jieke katika miguu ya bwana Clam kisha utoe maoni yako maana pia mm imeniudhi kupingia mtu mara zaidi ya tisa bila kupokea simu hata bila sababu ya msingi
@HamisiSalimu-d1n
@HamisiSalimu-d1n Ай бұрын
@Alex07scot unajua izi ni kazi sa mtu kama hataki unasema kuliko kumpotezea mwenzio muda na pesa ina kera sana ila utafanyaje ndo changamoto zenyewe na maisha lazima yaendelee kafanya maamuzi mazuri mbona
@Alex07scot
@Alex07scot Ай бұрын
@@HamisiSalimu-d1n bila shaka ila Abinibi atakaye ichukua nafasi ya sarah "kwa movie Melissa" ako sawa bora flow ya movie ibaki
@zhaomanajer1644
@zhaomanajer1644 Ай бұрын
Tujuwane hapa watu wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 tunaho ifwatiliya My Daugther ❤️
@BlessingSorekorerimana
@BlessingSorekorerimana Ай бұрын
Toka DRC mjini Goma 🇨🇩
@aishamkongo1484
@aishamkongo1484 Ай бұрын
Hiyo nafasi ingemfaa yule mama angel alie kufa
@ChimumyClassic-xq7dk
@ChimumyClassic-xq7dk Ай бұрын
Kabisa anajua sanaa yule dada na angefit sana sana
@RenoMashala
@RenoMashala Ай бұрын
ukute na yey kn ktu kazngua nd mna kapew io seen fupi
@lumistarboy8499
@lumistarboy8499 Ай бұрын
Huyu si Abinimbi😂😂😂 nakubali Sana
@gabonmaseru2686
@gabonmaseru2686 Ай бұрын
Pisi iliua mchumba ikijaribu kumsaidia jogoo apande mtungi 😂😂
@AhmadAlaee-x1r
@AhmadAlaee-x1r Ай бұрын
Dah hongera kwa kutuwek waz ila tulimkubali na kumpend melisa original anachez uzur sini yake il acha tumtazame uy wasasa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@H-GROUP
@H-GROUP Ай бұрын
ongezeni ubunifu kwenye beat maana zikifanana kwenye movie
@AyshaAysha-s5g
@AyshaAysha-s5g Ай бұрын
Ooh mm natamani kupigiwa hta limoja tu yy anaringa kweli, hana adabu asha kuzirwa ,fb,tiktok....🎉🎉🎉😂😂
@prince001tv5
@prince001tv5 Ай бұрын
Na umpe Mwakatobe nafasi anaeza kufanyia kazi nzuri Kwa hii series
@racheluwda6552
@racheluwda6552 Ай бұрын
Daaah uyu mtoto ni noma😂😂😂🙊🙊
@MarshMarshy-e4u
@MarshMarshy-e4u Ай бұрын
Duh hapana kwel kwasabab movie ikiwa ni yule yule actor but movie ni kal Sanaa na nimeanza kufatilia tang mwanzo Jaman mmetukosea ila Sawa tumuone uyo wasasa
@baracksylivester4209
@baracksylivester4209 Ай бұрын
Tupo naww ata ubadili jina tutaenda ulipo 👊👊👊🙌🙌
@Naema-x7p
@Naema-x7p Ай бұрын
Kiparaaaaa eti unanizunguuusha kma dawa ya mmbu au eti acha tu tufanye nalinda msikiti 😂😂😂😂😂vevo uko vizuri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Hatma-g8u
@Hatma-g8u Ай бұрын
Kazi nzuri sana mungu awabaliki mvuke mwaka salama
@mayaashassan3918
@mayaashassan3918 Ай бұрын
Pole sana kwa changamoto za kaz
@saidmsonjo4884
@saidmsonjo4884 Ай бұрын
Nilikumiss sana my queen Abinimbi since snake boy bora uje na huku 👏🏽👏🏽👏🏽
@salumuSabiti-ssv
@salumuSabiti-ssv Ай бұрын
🎉🎉 Niko wakwanza🇨🇩
@SonOfJack255
@SonOfJack255 Ай бұрын
Tumempokea Aisha ingawa tulimzoea Sarah. Tuko na daughter wetu mpaka mwisho hata utuletee Melissa wa kiume. Kazi nzuri! 👏🏿
@aishaomar2287
@aishaomar2287 Ай бұрын
😂😂 wa kiume tena
@mariammuslim2987
@mariammuslim2987 4 күн бұрын
😂😂😂😂
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express Ай бұрын
😢 nimeumia sana, hizo changamoto za wasanii kukimbia kazi ikiwa bado haijaisha zipo sana. Inaumiza sana kwaupande wa madairekta.... 😭😭
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Nani huyo mkuu?
@wardagogodigo1111
@wardagogodigo1111 Ай бұрын
​​@@GeorgeAkasha-zx2rjhuyo aliyeangukiwa na njiwa
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
@wardagogodigo1111 Duuh ila hawa wametoka mbali sana aisee shida sijui nn au kapata udhuru nn?
@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express Ай бұрын
@@GeorgeAkasha-zx2rj sababu zipo nyingi, ingekuwa udhulu angepokea simu akasema changamoto aliyonayo. Hata asingepokea angetuma sms au kumwambia mtu aliyekaribu yake ampigir simu Clam. Unajuwa hawa wasanii wanamatatizo sana. Hauwezi kuyaelewa kama haujawahi kuwa muongozaji wa filamu....
@NASRAZOMBE
@NASRAZOMBE Ай бұрын
Tucmlaumu uwenda anatatizo ndomaana
@ButoyiRukiya
@ButoyiRukiya Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Kipara eti unanizungurusha kama dawa ya imbu 😂😂😂😂
@ByrclossLhommedesAutre
@ByrclossLhommedesAutre Ай бұрын
Wacongo tujuwane Leo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@SwabriNihani
@SwabriNihani Ай бұрын
Bas hizo episode za chelewa sana. Kutumwa
@Akili820
@Akili820 Ай бұрын
Tujuwane apa kwa like, mwenye kumkubali clam 🇨🇩🇨🇩☝️
@KadiriAthumani-u6p
@KadiriAthumani-u6p Ай бұрын
Nakubali Tena nyengine basi maana siku zinazidi kuenda😁😁😁
@SaynB_official
@SaynB_official Ай бұрын
Wakwanza leo vevo to the top ndo kwanza trellar picha kamili linakuja my daughter 🎉🎉😊😊
@SaynB_official
@SaynB_official Ай бұрын
Like ata 10 tu😂
@KelvinDebrun-g1p
@KelvinDebrun-g1p 26 күн бұрын
Kipala. Apewe maua yake🎉🎉🎉❤
@DenEgide
@DenEgide Ай бұрын
Wakwanza hapa from Burundi🇧🇮🇧🇮 like zang
@harunadaaprincesaidi5522
@harunadaaprincesaidi5522 Ай бұрын
HUYO MERISSA NI MAMA YAKE ANGEL HUMU ?
@seigneurdieu9351
@seigneurdieu9351 Ай бұрын
Top Burundi oyyy🇧🇮
MY DAUGHTER | ep 8 |
19:13
CLAM VEVO
Рет қаралды 616 М.
FAMILIA YA MZEE KICHECHE - FULL MOVIE (Ep 1-10)
3:14:46
kicheche
Рет қаралды 431 М.
Beat Ronaldo, Win $1,000,000
22:45
MrBeast
Рет қаралды 158 МЛН
Enceinte et en Bazard: Les Chroniques du Nettoyage ! 🚽✨
00:21
Two More French
Рет қаралды 42 МЛН
Каха и дочка
00:28
К-Media
Рет қаралды 3,4 МЛН
STEVE NA NDARO WALIVO VURUGA NDOA UTACHEKA
16:04
Ndaro Tz
Рет қаралды 1 МЛН
MTUNGI WA GESI
3:41
JAFEDACS
Рет қаралды 15 М.
SNAKE BOY  | SEASON TWO | ep 1-6
1:20:36
CLAM VEVO
Рет қаралды 975 М.
WRONG WAY • LOVE STORY 💞 • 2024 FULL BONGO MOVIE
1:30:02
BRAVOO GENIUS
Рет қаралды 113 М.
BSS 2024 SE15 EP02 MWANZA | FULL SHOW
1:01:31
BongoStarSearch
Рет қаралды 333 М.
MY DAUGHTER  | episode 1 & 2 |
27:46
CLAM VEVO
Рет қаралды 883 М.
CHA 2000  Full movie  STARING MKOJANI SAMOFI GALASA KISOSEG MBEMBE
1:18:57
MWALIMU MGENI ❤️ Full Movie
4:13:32
BabaJoan
Рет қаралды 881 М.