Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa

  Рет қаралды 50,370

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa

Пікірлер: 107
@MargrethNdone
@MargrethNdone Жыл бұрын
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
@attunelson8828
@attunelson8828 Жыл бұрын
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
@Marzzzzzz20
@Marzzzzzz20 Жыл бұрын
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
@kelvinsichone2359
@kelvinsichone2359 Жыл бұрын
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
@digitalworld5577
@digitalworld5577 Жыл бұрын
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
@paschalmasanilo2617
@paschalmasanilo2617 Ай бұрын
Apewe hata kuwa ambassador wa cancer sababu yeye mwenyewe yuko open wagonjwa wachache sana ambao huwa open kwenye diagnosis zao. Wizara husika ama taasisi zinazodeal na haya mambo. Naomba kuwasilisha!!
@lilianilimbe4508
@lilianilimbe4508 Жыл бұрын
Polee sanaaa
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Жыл бұрын
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
@vincej9275
@vincej9275 Жыл бұрын
Thanks to God for your healing. You are very positive.
@cptnbazil6121
@cptnbazil6121 Жыл бұрын
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 Жыл бұрын
Bi zena hongera sana
@JuliusMchopa-pr5pt
@JuliusMchopa-pr5pt Жыл бұрын
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
@emmamatemu8225
@emmamatemu8225 Жыл бұрын
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen3660
@mtaostephen3660 Жыл бұрын
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
@carlosleonard6050
@carlosleonard6050 Жыл бұрын
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
@mathiasswai7006
@mathiasswai7006 Жыл бұрын
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
@tanzaniaprogress
@tanzaniaprogress 11 ай бұрын
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 Жыл бұрын
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Жыл бұрын
Acha kulaumu wauguzi
@adeboTNM
@adeboTNM 9 ай бұрын
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
@dannylema3125
@dannylema3125 Жыл бұрын
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 11 ай бұрын
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
@abeldavid845
@abeldavid845 Жыл бұрын
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
@bobcheni
@bobcheni Жыл бұрын
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
@Snuky54
@Snuky54 Жыл бұрын
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum
@yusrasalum Жыл бұрын
Amin
@Sage-o4q
@Sage-o4q Жыл бұрын
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
@RahmaAwadh-ul9yu
@RahmaAwadh-ul9yu Жыл бұрын
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Жыл бұрын
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
@omaryrashidiboga4651
@omaryrashidiboga4651 Жыл бұрын
Duh pole sn Mwana wa hip hop
@jamesmwangonda7080
@jamesmwangonda7080 Жыл бұрын
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm9448
@jrm9448 Жыл бұрын
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e Жыл бұрын
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian2559
@robertadrian2559 Жыл бұрын
Acha ujuaji
@justyoscar2987
@justyoscar2987 Жыл бұрын
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda9000
@amandomwamanda9000 Жыл бұрын
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
@mbeyusaid4688
@mbeyusaid4688 Жыл бұрын
Pole Allah ndo mweza wa yote
@bobcheni
@bobcheni Жыл бұрын
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
@leaherasto929
@leaherasto929 Жыл бұрын
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
@ibrahimbaila7764
@ibrahimbaila7764 Жыл бұрын
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen970
@Trappqueen970 Жыл бұрын
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati5198
@luizabahati5198 Жыл бұрын
Inshallah
@FarajiAbdallah-pq1dc
@FarajiAbdallah-pq1dc 11 ай бұрын
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
@sidiqmhina7823
@sidiqmhina7823 11 ай бұрын
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
@Ramboyclassic69
@Ramboyclassic69 Жыл бұрын
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om Жыл бұрын
Pole sana
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Жыл бұрын
Pole Sana ndugu
@BHALEEALI
@BHALEEALI Жыл бұрын
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian2550
@Darian2550 Жыл бұрын
Pole sana!
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 Жыл бұрын
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
@ancolartherapper1899
@ancolartherapper1899 Жыл бұрын
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
@AminaMwingira-jh7ze
@AminaMwingira-jh7ze Жыл бұрын
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
@BakariMtomae
@BakariMtomae Жыл бұрын
Aiseeeh pole sana kak
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Жыл бұрын
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
@giztony2009
@giztony2009 Жыл бұрын
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 Жыл бұрын
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
@mitaahisia8452
@mitaahisia8452 11 ай бұрын
kaizer sosar.....nakubal sana bro
@georgecredo9100
@georgecredo9100 Жыл бұрын
My brother pole sana
@DirectorNoahkilima
@DirectorNoahkilima Жыл бұрын
Doctor ruta
@brightonmasaki1183
@brightonmasaki1183 Жыл бұрын
Pole brother
@ayubukedimundi3221
@ayubukedimundi3221 Жыл бұрын
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
@lulumbwaga9822
@lulumbwaga9822 Жыл бұрын
Champion
@abdallahahmed2776
@abdallahahmed2776 Жыл бұрын
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
@nelsonmasolwa8343
@nelsonmasolwa8343 Жыл бұрын
mwamba anaongea san asee
@GladnessJames-mk9yh
@GladnessJames-mk9yh Жыл бұрын
Daah ushuhuda mzuri sana
@godwinmwakibibi274
@godwinmwakibibi274 Жыл бұрын
Mjanja huyuu
@jrm9448
@jrm9448 Жыл бұрын
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
@joshuakinabo6861
@joshuakinabo6861 Жыл бұрын
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 Жыл бұрын
Naogopa mimi😢
@chiwagaempire1211
@chiwagaempire1211 Жыл бұрын
Mungu akutunze
@malengaWetuTv2699
@malengaWetuTv2699 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
@BHALEEALI
@BHALEEALI Жыл бұрын
Babuu wa Kitaa 🫶
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 Жыл бұрын
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto Жыл бұрын
Pole sana
@asyajey3479
@asyajey3479 Жыл бұрын
Pole sana babu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent4128
@ireneinnocent4128 Жыл бұрын
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo
@rogath_silayo Жыл бұрын
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 Жыл бұрын
​@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph3945
@mwajabuyusuph3945 Жыл бұрын
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
@veronicapaul4821
@veronicapaul4821 Жыл бұрын
God is good
@hariethmatungwa9293
@hariethmatungwa9293 Жыл бұрын
Duu bigup
@AshuraNgoto
@AshuraNgoto Жыл бұрын
Pole sana
@FromacLigana
@FromacLigana Жыл бұрын
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia
@franciskyombo9394
@franciskyombo9394 Жыл бұрын
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
@eliasurious7419
@eliasurious7419 Жыл бұрын
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
@internationaltiktok4477
@internationaltiktok4477 Жыл бұрын
Naitaji namba za huyo doctor
@sarahmurano2829
@sarahmurano2829 Жыл бұрын
Pole san
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН
Man Mocks Wife's Exercise Routine, Faces Embarrassment at Work #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 6 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
Every parent is like this ❤️💚💚💜💙
00:10
Like Asiya
Рет қаралды 18 МЛН
Spongebob ate Patrick 😱 #meme #spongebob #gmod
00:15
Mr. LoLo
Рет қаралды 19 МЛН