Uko vizuri, maneno yako ya kuelekea mwishoni ni somo kwa viongozi wasiojua nafasi wanazokalia. Kauli zao zina madhara sana
@SecqiSekwao17 сағат бұрын
Shafii bonge moja la mchambuz nchini
@geofreykazaula794017 сағат бұрын
Well said Shaffih...
@mrentertainment132917 сағат бұрын
Well said
@JohnJoseph-qq7ow13 сағат бұрын
Yanga mnabebwa sana hamna timu hapo ni msaada wa refa kwa kwenda mbele
@ernestkamata255514 сағат бұрын
Acheni uchambuzi wa kishabiki
@ShafiiSaid-v5n39 минут бұрын
Hivi ww kaka wa jina nilikua nakuhishimu Sanaa, huna msimamo hivi ni we Ni kweli umeangalia mpira Au ndiyo umepiga tango pori Acha siasa nyingi mpira mchezo Wa wazi kama refa kafanya vizur Apewe sifa,kwa hili mtu yoyote,mwenyekutambua mchezo wa football,anafamu refa hakua vizur,kabsa 🙏
@peterkanja476515 сағат бұрын
Haya makosa ya kibinadamu yanasaidia yanga kuwa bingwa .Katika ngao ya jamii yalifanyika pia. Tukubali unazi wa usimba na uyanga ni kubwa kwa marefa.bora katika derby na katika ligi pia waajiriwe marefa wenye ueledi wasaidie huku tukijenga ueledi wa refa wetu.
@rexgodwill735311 сағат бұрын
Hizo penalty mbili kama zingetolewa zilikuwa na red card kwa sababu waliomchezea kibu Faulo wote walikuwa na njano hivyo hiyo ya hamza ingekuja wakati simba kashapata matokeo... Kwa kifupi marefa hatuna kwa sababu makosa ni mengii ya kuegemea upande mmoja kuonyesha ni kufuata maelekezo
@AbuuMbarouk9 сағат бұрын
Kaka umeonge kitu kikubwa sana sana sana kapisa❤❤❤❤
@KelvinMtavangu-ow8yo12 сағат бұрын
Mchambuzi upo vizuri sana. Pengine unawashaurije wazee wa simba baada ya kufungwa?
@thobiasmwambeta69902 сағат бұрын
Hivi kwanini wachambuzo wengi wanapenda kuisifia Yanga hata kama imecheza chini ya kiwango, bado watasema yanga ni bara sielewi, Jamama hizi supu mnazonyweshwa mjiangalie maana 2 utasema 10
@FrankJohn-q3x16 сағат бұрын
Farawewe simba wanjitafuta
@HalyaMohamedСағат бұрын
Madhulma yameanza miaka mingi kuna mwaka malota soma pamoja edwad chumila walikuwa wanachezewa kun fuu chumila elienda kuamkia hospatal siku hiyo na yanga walishinda ila goli walilofunga simba ni kama wao ndo walishinda kuanzia issa athuman aswile kabunda walipigwa chenga mpaka kips wao sahau kambi
@gilbertmaganga937016 сағат бұрын
Kwenye eneo la penati ndio ubinadamu unapokuwepo Ila nje ya penati Ubinadamu haupo
Wakiajiliwa marefa kutoka nje mtakula nyingi maana ukumbuke kuwa magori mengi.ya yanga yanakataliwa ngao ya hisani mwaka hadi mwaka huu yamekataliwa jumla ya magoli manne
@JosephMwaitete8 сағат бұрын
Kama itagundulika mawaziri wamehusika na tuhuma za dabi watawajibishwa?
@AbdallahMkumbila14 сағат бұрын
Uyo ndio mchango'mbe wa cluds
@christophaoscar82958 сағат бұрын
Nawewe nimnafiki sijui mnaogopaga nin kusema ukwer
@JOSEPHKAJORO14 сағат бұрын
Kayoko hamna kitu pale.
@hassanlikwenangu84712 сағат бұрын
Weka ushabiki pembeni,tunakubali ni binaadamu bt ndo unyime penati 3 within a game? Kwa nn ubinaadam wake uwe na faida kwa timu moja tu??
@HalyaMohamedСағат бұрын
Yanga wana cheza wakiwa na uhakika wa ushindi toka nje ya uwanja kwa kuwa wanakuwa wanamaelekezo ya umafia kutoka kwa watu wazito kabisa waliokuwepo na waliopo nyazifa xa juu kabisa pia kwa vile simba inafansi wengi duniani wanataka kiki
@harounmaarufu324115 сағат бұрын
Wewe siku hizi umekuwa chawa tu
@alphoncematukuta99688 сағат бұрын
Kayoko sio refa. kwa maana yy ananjaa sana tena sana ndio maana dabi inamsababusha kuchukua rushwa. kuchezesha hajui. pili anapenda rushwa
@IdrisaKagoma-kr6ql9 сағат бұрын
Kwan we shafii hukuona rafu ya mudathir Kwa kibu kua ilikua njee?
@johnjidalimi87879 сағат бұрын
Hili neno Binadamu Kila nikilisikia nahukumu kuwa hakuna haja ya kusikiliza kinachosemwa na hususani huo ubinadamu upon sana kwa timu ya yanga tu
@KareemShabani10 сағат бұрын
Huyo kayoko hajasoma hajui sheria anapangies Cha kufanya hakuna anachojua msimlaum Hana elim ya urefa anauza mpira wa Tanzania
@HalyaMohamed55 минут бұрын
Lineman alikaa upande wanaoshambulia simba alikua utopolo kwenye sita kuna off side?pi kwa nini mtu afunge yeye ndo ananyanyua kibendera
@thehustlerafrica436810 сағат бұрын
Kayoko ni mkundu kabisa tena asipite mitaani hovyo hovyo atulie presha ya mashabiki ipungue maana watu hawampendi kazingua
@HalyaMohamedСағат бұрын
Simba wamefungwa mechi nyingi na yanga kwa kuzulumiwa na bila hivyo simba wangekuwa wanaongoza kushinda mechi nyingi za daby
@thehustlerafrica436810 сағат бұрын
Simba ,Kayoko na harajiga mbona wanatubana sana mechi zote wanazochezesha????
@lucasanthony164411 сағат бұрын
Bonge la mchambuzi...!!! Hekoooo... !!!!
@pinomjata67815 сағат бұрын
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda? Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.
@FumaoFumao-d8wСағат бұрын
Nakiri simba wanajitafuta kwa hìvyo hawanahaki ya kupata penalties !
@KareemShabani10 сағат бұрын
Huyo dauda yanga huyo wamezoea bahasha
@abbassmshaury757214 сағат бұрын
na pale inapowekwa adhabu kwa ajili ya waamuzi ubinaadamu unakuwa haupo? au huwa wanakuwa wanaonewa ?
@mckobatz586144 минут бұрын
Digala unang'ata sana maneno makosa ya kibinadamu huwa ni excuse mara moja sio mara tatu Bacca alimfanyia foul Kibu, Boka pia na Mudathir wote wamemchezea madhambi Kibu Denis
@gerphasntaziha44752 сағат бұрын
Huyu nae labda anapata bahasha yake gsm. Makosa ya kibinadam yanafanyika kwa simba tu? Huyu mchambuzi ashapotea. Hata goalline tech na var zikija haziwezi kusaidia kwani wanazicontrol wanadam, waamuzi wawe na hofu ya Mungu tu. Var inatumika kama mwamuzi haelewi tukio vizuri, akipeta poa.
@Malebojr2 сағат бұрын
MAKOSA YA KIBINADAMU YANAJIRUDIA ZAIDI YA M ARA TATU,BADO UNASEMA MAKOSA YA KIBINADAMU
@thobiasmwambeta69902 сағат бұрын
KONGOLE GSM KWA KUZIKAMATA MIDIA KUINGOLEA YANGA BORA KWA WAKATI WOTE
@JonasAthanas-m5n46 минут бұрын
Kayoko hafai mlimtaka mkataa magoli sasi
@KILINDONI_MEDIA11 сағат бұрын
Safi kaka
@AllyNalinga15 сағат бұрын
Digala
@RajabkhamisRajab2 сағат бұрын
Penanti ya musonda mbona hamuisemi mnaiporezea hamukuiona kweli ntie ni wachangombe
@kalebphilip342615 сағат бұрын
Makosa yapi ya kibnadamu?angalien rekod ya huyu kayoko mech za smba,mwaka Jana krumba na Azam alitunyima penat ya Waz hata kipofu angetoa hyo penat,msimtete kabsa huyu mbwa anastahil adhabu Kali sana
@hassanmussa612917 сағат бұрын
Itachukuwa miaka miwili kwenda tena mkapa
@geraldgogadi705417 сағат бұрын
Tangu sare ya 3-3 sijawahi kanyaga tena taifa kuangalia daby
@thehustlerafrica436810 сағат бұрын
Unaongea Pumba tupu mavi kabisa kaka usitetetee ujinga
@chrysanthushakaunga656013 сағат бұрын
Makolo mshukuru hisani ya mwamuzi kutompa red card hamza mnge ng'oa viti
@nuruabdallahmed949514 сағат бұрын
Shafii wewe shida yako huwa ni mnafiki. Siku zote ukweli kwako ni jambo la ziada. Hivi hujui kwamba mpira wa Tanzania una makando kando?
Kwa hyo na ww una amini mna timu imekamilika?? Mnajazwa na nyie mnajaa timu yenu bado sana Sema tu ina spirit ya kupambana
@anthonymilinga86967 сағат бұрын
@@fettiemaganza1484 Ngoja tuone nyie mliojipata mtafika wapi kwenye mechi za kimataifa hizi baasha mnazotoa kwa marefa zitakuja kuwa aibisha huko mbeleni
@JohnJoseph-qq7ow13 сағат бұрын
Shafi wewe nimjinga tuu unaleta uyanga kayoko na arajiga ni marefa wa yanga huo ndio ukweli
@YohanaPetro-xv9tp14 сағат бұрын
Uyu Kabla Sijamsikiliza Bila Shaka Lazima Aongee Utumbo Nimkongwe Ambae Hajui ingawa Jina lake Nikubwa
@pinomjata67815 сағат бұрын
Shafii Dauda ni kosa kutetea refa amekuwa akifanya makosa mara kwa mara ambaye anashindwa kutafsiri sheria 17 za football. Kayoko amekuwa wa hovyo ni nini anajifunza kutokana na makosa anayofanya na critisim anazooewa muda sasa. Yaani makosa yote yote aliyoyofanya juzi ni ya kibinadamu, siyo kwamba mchezo ulimshinda? Pili GOAL LINE TECHNOLOGY ndio ililetwa baada ya goli la Lampard kukatatlwa sio VAR, kuna matatu umesahau, umedanganya au hujui?VAR imekuja miaka 4 iliyopita goal line technology nimekuja baada ya 2020.VAR mpaka sasa ulaya bado inawasumbua.