Asantee dada, Ili cake ichambuke vzrii unafanyaje. Tunaombaa darasa la uchambukaji wa keki
@leahgeorge74442 жыл бұрын
Asante kwa darasa zuri sana,bado kwenye swala la kupasuka juu.
@HusnaShabani-o5w7 ай бұрын
Asante yani najarubu tena nione matokeo sikati tamaa hadi nijue
@SalamaAbdillahi7 ай бұрын
Asante kwa darasa
@HappyMsembule-yp5ir10 ай бұрын
Shukrani dada.... nimeipenda ovena yako ni kampuni gani
@fatumasaidi1806 Жыл бұрын
Asante dada keki yangu inakua na mlima nainapasuka dalasa nizuli
@hajraadam43012 жыл бұрын
Asante sana love kwa mafunzo yako ,mimi shida yangu nikipika keki ya mchanganyiko wa nusu huwa natoaga maugali ila nikipika vipimo vya robo natoa keki nzuri sijui na feli wapi 🙏
@joycekahigi2162 жыл бұрын
Ìiijjjhhgģģhhğģ
@rachelmwambuluma45272 жыл бұрын
Asantee kwa SoMo mie maswali apoo kwenye moto wa oven upii unatakiwa
@colethakepha68522 жыл бұрын
Asante sana dada mziwanda kwa darasa zuri, ubarikiwe sana. Je ni baking powder ipi inafaa kwenye keki? @mziwanda bakery
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Hello karibu, baking Powder zote nzuri kikubwa ujue unaitumia kwa kiwango kipi na ubora wake pia na rangi yake ni muhimu
@sheraamussa485 Жыл бұрын
Asante sana kwa tips nzuri. Ningependa kufahamu unapo bake cake una anza na moto wa chini na juu au una anza na moto wa chini halafu unaweka wa juu. Shukran
@nsiandekweka83738 ай бұрын
Lazima temperature iwe both sides, juu na chini.
@marthahaule866111 ай бұрын
Asante kwa darasa zuri nimejua kasoro yangu!
@jescadeogratias52922 жыл бұрын
Asante sana kwa elimu yako.Mungu akuinue zaidi
@halimajuma90692 жыл бұрын
Mm naweka baking powder kwakiac, cfunui mpk dakika dakika 40 lkn cake inaumuka mpk inadumbukia ndan yenyew, hii inanikosesha sana amn
@zawadijonas74592 жыл бұрын
Dada mziwanda. Samahan uzito wa mchanganyiko hauwez kufanya keki kuwa ngumu? Na je mchanganyiko wa 500gm barking powder n kiasi gan?
@MwasitiKingali12 күн бұрын
Kipimo Cha robo kinatumia kiasi gani baking powder?
@AngelMutalemwa7 ай бұрын
Mwalimu makini sana dada
@geofreymahatane9436 ай бұрын
Asante sana nimeongeza kitu dada.
@hamidamsofe46272 жыл бұрын
Asante sana mi nahitaji kujua kupamba cake je unawrza kunifundisha?
@immaculatajeremiah308 Жыл бұрын
Asante sana umenisaidia sana.
@shenuabdallah196 Жыл бұрын
Hello dear ni laziima kuweka hizo cooling racks?
@angelbuhaga4130 Жыл бұрын
Thanks
@benadethakitomary8175 Жыл бұрын
Kwann keki inachambuka sana mpaka inashindwa kuchomeka kwenye kijiti
@lucyhenry10622 жыл бұрын
Me naswal mfano umekoroga mkorogo mwngn kuliko uwezo wa oven yako je ule mkorogo unaweza ifadh? Na je ni kwa muda gani? Na je nje ya frge au ndan ya frige Ahsante dia
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Uweke kwenye chombo chake tayari kwa kubake,ulizoweka zikiiva ingiza hiyo ingine, usiweke kwenye fridge acha tu kawaida
@hawabofu63542 жыл бұрын
Asante sana my love 💕
@NajmaHaji-k4b Жыл бұрын
Shukran kwa elimu
@azeezaazeeza42552 жыл бұрын
Mi nikipika keki inanata ndan af kwa nje imeiva je naweza kuirudisha jikon????? Asante pia kwa som
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Angalia sheria za upishi wa keki Mziwanda Bakers utapata kitu
@mwanapiliali85046 ай бұрын
Me naomba kujua kwann sometimes cake yng ikiwa ndani ya jiko inavimba vizuriiii ni ya kupendeza na wala haipasuki mpk inaiva naitoa iko vzr lkn sasa nikishaitoa pale naiwacha ipoe bac nikenda isharudi japo c sana lkn c km ilivokuwa?
@hollyben1053 Жыл бұрын
Asante, lakini mimi keki yangu haidumbukii huku juu. Huku pembeni inaingia katikati inaleta shape ya kinu. Shida ni nini?
@hannahhassan8881 Жыл бұрын
Angalia vipimo😌
@silverlandconstruction2 жыл бұрын
Asante sana kwa mafunzo. Nafuatilia kutoka Kenya
@noelamwita60582 жыл бұрын
Shukrani Dada. Naomba msaada naweza pata wap oven kubwa ambayo naweza kubake mikate na bei yake
@farhatnassor39742 жыл бұрын
Shukran sanaa
@teddymartini5819 Жыл бұрын
Asantee
@hadijamsuya64502 жыл бұрын
Dah leo nimepata kutatua tatizo langu.ubarikiwe mnoooo.nilikuwa nateseka sana cake inakuwa sponge vizur ila inadumbukia kati.ntafanyia kazi
@Alafasydau6 ай бұрын
Hii nitaifanyia kaz dada
@joycefrancis8646 Жыл бұрын
Habari Nataka kujifunza Kwa vitendo...
@zaharamwaruka31383 ай бұрын
Mm naomba uzito wa kila tin inakua kg ngapi km tin ya inch 7 kg nhpi inch 4 kg ngpi na darasa la vitendo lini uko wapi
@hafsahassan15482 жыл бұрын
naomba kujua custard powder inasaidia nn ktk cake
@wematony97922 жыл бұрын
Habari, Asante Sana dada, keki yangu inakuwa ngumu ndani aina unyevu unyevu ndani pia haiumuki ninavoweka inakuwa hvhv inaumuka katikat tu kidogo sana
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Umeangalia ubora wa baking Powder yako? - Umefuata sheria za upishi? Ipo video yake kaicheck -Unatumia recipe iliyokamili? Fuatilia vizuri na kwa umakini kisha niletee mrejesho wako hapa.
@andoisyemloge1510Ай бұрын
Mziwanda nauliza kuhusu kusagika kwa sukar mana celew natumia sukar ya brown
@hafsahassan15482 жыл бұрын
shukran sana mziwanda bakers lkn swali lang ni kuwa niliwahi kupika cake nikaweka maji instead ya maziwa lakn cha ajab cake ilikuwa inachemka maji jikon kanakwamba nmeweka maji kwenye cake.. naomba kujua hapo tatz nn
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Sijaelewa swali maji umeweka au umeweka maziwa yakawa kama umeweka maji??
@hafsahassan15482 жыл бұрын
niliweka maji ktk mchanganyko wa cakee
@eneswaggy1835 Жыл бұрын
Jmn keki yang vaiv ndani inakuwa kam ugali naju inakuwa ngumu yn inakauka je shd nn dad
@MIKAMICHAELI4 ай бұрын
M ntmn kupk cak ambay juu inapasuka kutokan n sok lang ndo lnatak hvyo je nfanyaje
@Keylorsadams2 жыл бұрын
Naomba unijuze handier ipi ni nzuri
@victoriamoshi6752 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo ila mimi nina shida jiko langu ni la gas na halina taa walahalionyeshi kiasi gan kwel sijalielewa
@mariaeliuta7915 Жыл бұрын
Keki inawekwa nin ili ichambuke ?
@shenuabdallah196 Жыл бұрын
Piano tunaomba visitors via cake kuanzia 250g make just yake
@marymathew652910 ай бұрын
Oven nimeipenda,inauzwa bei gani?
@theclaamos2144Ай бұрын
Dada mimi nikipika keki inapusuka sana sana juu na katika unakuwa uji tu una mwagika plz msaada 🙏🙏
@HAPINESSMLAY-zw7wy Жыл бұрын
Teach me hole at middle
@gracemapunda9229 Жыл бұрын
Kwa jiko Hilo unaloonesha settings zake zinatakiwa ziweje?
@marysoniah1775 Жыл бұрын
Nikipika cake intokaa kama simaaaa
@mamaflowin80152 жыл бұрын
Thanks dear tunapona
@rosembaga26582 жыл бұрын
Mpaka nimesusa kupikaa keki na jiko nikauzaaa
@gracebenjaminnapokeakatika95652 жыл бұрын
Hongera dada kwa ukufunzi nimependa sana! Na je izo oven napata kwa sh. Ngapi?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Hizi deck moja zinasimamia 1.4milioni nakuendelea inategemea na kampuni
@mbonistanley65402 жыл бұрын
Asante Sana dada kwa madarasa haya unatubariki Sana umekuwa msaada mkubwa
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ameen
@mbonistanley65402 жыл бұрын
Kwa unga robo Ni tini gani sahihi kutumia? (Yenye ukubwa gani ?)maana natamani kupata cake isiyokuwa na kilima _dome.evweytime I bake lazime kilima kitikee nisaidie tafadhari
@yasintamtui86092 жыл бұрын
Asante
@ziadaskitchen50602 жыл бұрын
Mashaallah
@neemambanus39902 жыл бұрын
Asante dada Mungu akubariki nauliza kama unagroup la watsup la kufundihia
@theresiasafiely17012 жыл бұрын
Naomba kujua kwa nn keki yangu haichambuki na kuwa sponji vzr
@christinamwibuka5440 Жыл бұрын
Panaposumbua ni vipimo mfano unga 250 baking powder kiasi gani.......
@RachelMwakitalu-db2vj Жыл бұрын
Hili jiko sh ngapi?
@ngukekadashi6608 Жыл бұрын
kwann nje iko sawa ila ndani haijaiva
@colethakepha68522 жыл бұрын
Pia na mm huwa nizitengeneze keki haipandi inabaki vilevile zaidi inavimba katikati
@angelamvaa2229 Жыл бұрын
Kama natumia raising flour inakuwaje?
@maureensamweli91012 жыл бұрын
Bless you dr
@danielsesinga3298 Жыл бұрын
Kwanini keki inakuwa kama ina maji ndani na sijaweka maji?
@PhinahJojo-mt2fz Жыл бұрын
Meh najifunz kpika keki kw mkaa ila haichambuk
@latifajuma7972 Жыл бұрын
Ambao hatuna vipimo maalum ni changamoto na Mimi mara nyingi ndani inakua kama ugali
@mwanaludanga52152 жыл бұрын
Asant sana kipenzi mimi sijawah toa keki isio na kichuguu yani
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Jitahidi kufuata sheria
@gabrielmayo1818 Жыл бұрын
Dada unga kilo moja unaweka beking pouder kiasi gani
@hadijamkwazu71542 жыл бұрын
Samahani, sukari ya kawaida inachelewa Sana kuyeyuka wakati wa ku cream cake, je naweza kuweka mayai bila sukari kuyeyuka kabisa kwenye mchanganyiko?
@hannahhassan8881 Жыл бұрын
Blend sukari itakua unga na itakupa matokeo mazr😌
@dianagodfrey86542 жыл бұрын
Mi natak kujua je ni mayai gn mazury kupikia keki
@nooromary Жыл бұрын
Keki hazipandi sanaa shida nn??
@hadijamohammedy80702 жыл бұрын
Inapendeza
@khadijachuto92392 жыл бұрын
Yangu haichambuki mbna
@Zuleykha-b5z8 ай бұрын
Nini kinafanya cake iwe nyeupo ndani
@sayarihajj5022 жыл бұрын
Jaman m hzo mixer znakufa sana yaan unakuta inalia 2 ila ivo vchuma havizunguki nakosea wap alaf n mda. mfupi 2 nanunua ten inginee
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Usiizungushe muda mrefu ikachemka sana huwa zinakosa uimara ikipata moto mkubwa
Pia kek inadumbukia Kati sababu ya kukosea vipmo vya unga mm mara ya kwanza ilkuwa inantokea nlivoenda Sawa na vpmo haikuwah nsumbua tena
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Ni kweli hongera sana
@tiffahofficial27152 жыл бұрын
Me naomba uelekeze kwann margine inakatika nikiwa naweka mayai
@HayatKarimbaksh4 ай бұрын
Na cake ikiwa mbichi katikati shida inakua nini
@hajrayusuph32822 жыл бұрын
Napataje oven kama hiyo kubwa
@lucykakamba2934 ай бұрын
Kipikia sufuria dogo
@gloryjoshua18012 жыл бұрын
Nikipika keki yangu na sukari ya kawaida ile light brown (kama unayotumia) sio deep brown, keki yangu ndani inakuwa Brown haiwi nyeupe km za wengine shida nini?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Angalia namna unavyopiga mchanganyiko wako pia njia unayotumia huenda inakuletea matokeo hayo
@gloryjoshua18012 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 huwa nablend sukari sababu sina mixer, Je hiyo ndo sababu? Na ukisema kupiga ule mchanganyo unamaanisha kuupiga sana ndo kunaweza pelekea keki kuwa ya Brown ndani?
@queenandchill912 жыл бұрын
@@gloryjoshua1801 Piga sana sukari na blueband hapo kwenye matokeo ya keki nzuri...ukipiga sana inalainika kabisa na inakuwa kama ice cream hivi kama povu,halafu ndo uendelee na process nyingine, Sukari na blueband ndo itafanya cake yako iwe laini, nzuri...Sukari isage kwenye blender ya vitu vikavu.
@lilianmwangonji70912 жыл бұрын
Dada naomba namb ya madarasa watsp
@devinasalvatory7306 Жыл бұрын
jamani mi sijaelewa hapo ukitoa huo ute inamaana huu tumii tena
@renathajames25402 жыл бұрын
Nifanye nini ili keki yangu isipasuke na kuwa na mlima!
@mariamsarim2012 жыл бұрын
kipenz naomb namb yako maana nataka kujifundisha kupika kek
@stellamhillu89882 жыл бұрын
Natamani nije kujifunza kabisa maana sometime napata changamoto ya keki kutochambuka
@jeniphamsofe37582 жыл бұрын
Madame naomba namba Yako
@kevinnyoni39762 жыл бұрын
Samahan dada, keki ya robo inatakiwa mayai mangap?
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Unaweza tumia 4 mpka 6
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Naomba uniwekee saizi ya inch ya sufuria na kiasi Cha unga kinachoingia
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Please naomba dada nisaidie
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
7" weka gram 650 8" weka 750
@mariamdenis91 Жыл бұрын
Asante
@haithamshein77262 жыл бұрын
Kipenz naomba msaada wako me nikipika keki inanionesha kama ishawiva nikiitia kijiti lkn nikiitoa na kuikata chini inafanyika haijawiva keki inajigawa cjui nn ttz
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
Oven inapitisha moto vizuri?
@haithamshein77262 жыл бұрын
@@mziwandabakers8297 ndio lkn moto wake unawaka na kuzima
@theclaamos2144Ай бұрын
@@haithamshein7726na mimi hilo tatizo linanichanganya inazima na kuwaka
@emilyaluoch17302 жыл бұрын
Asante
@davidmboya1618 Жыл бұрын
Kwann keli inakuwa kama ugali tafadhali dada tueleweshe plz