Yaani hii media ikiendelea ivi itafika mbali sana lakini muharakishe TV jamani plz
@abdulazizjeizan-vx1mc2 ай бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah high high high beautiful beautiful beautiful angel angel angel queen queen queen cute cute cute gorgeous gorgeous gorgeous high beautiful angel queen cute gorgeous mashaallah
@ukhutfatumah11542 ай бұрын
Mashaallah masanii wangu pendwa ishi snaa mama yangu anapenda sana nyimbo zako Isha wangu
@safiamanyana67072 ай бұрын
Isha mashauzi, uko poa. Mungu akuweke kwenye sana mpaka mwisho ❤
@maimunaahmed34772 ай бұрын
Mnamtesa sana salim salim anapenda ukiongea kizungu kizungu na ukiongea kiswahili ongea kiswahili usichanganye.
@sozigwarahimАй бұрын
People we are bored with bongo flavour tukifanya music 🎶 mzuri tutashinda izo tuzo ata lucky dube alikuwa apigi iyo music ya kwao south Africa akipiga reggae ambao asili yake ni Jamaica 🇯🇲 lakini anachukua tuzo ata akiwa kaburini juzi mwanae apewa ktk American got talent
@MackameHassani2 ай бұрын
Inshu ni kwamba watu wanachoangalia kwa sasa ni kutengeneza pesa jmn hii inshu ya sound yetu sisi ya Bongofleva kibiashara wao wanaona sound yetu haitatengeneza pesa. Ni upuuzi wetu sisi tuu kutothamini vyakwetu.
@orlymizero7490Ай бұрын
❤❤❤
@NasibuAlban2 ай бұрын
isha nakupenda sana
@SublimeMU2 ай бұрын
Nice
@VotanVotan-gb3hd2 ай бұрын
Sema maarifa unauwezo mzuri WA kufikir kuliko kawaida dogo salut
@HamisiMwazikeni2 ай бұрын
Nomaa
@ahmed591222 ай бұрын
mnamzumgumzia sana Nasib
@Ufahamu-012 ай бұрын
Safii
@Joh-p9f2 ай бұрын
Isha mashauzi ni lizurii
@mariozulu57432 ай бұрын
Twamkubali Sana Isha uku kenya
@HassanHusein-cd1dw2 ай бұрын
Me nshafka nawasubr
@ramdanmbara85002 ай бұрын
Yaani Salim aoe hili jimama...!!!!??? yaani jamaa wamegonga weee halafu aje ale makomboo...duuuh
@rashidikhassim81252 ай бұрын
Katika madogo ambao nawa elewa katika kujenga hoja na kuitetea vichwa vya HIP HOP vinajielewa sana