nimefanya utafiti.mdogo nimegungua wanaolipa kod li inafika serikalini ni watu wa chininlakin watu wenye uwezo anakadiriwa 500mln anatoa maelezo mafupi anatoa 150mln serikalin na 50mln inaenda some where kwa hy serikali inalipwa kdg inakosa kingn
@SAMSONDANIEL-w6n3 сағат бұрын
Kipanya lichoree kibonzo hilo gari, hongera sana
@abdulmsabaha64274 сағат бұрын
Kwe
@KusekwaKazimili-q7f4 сағат бұрын
Dereva mziri sana
@guidovadala19654 сағат бұрын
Mjukuu wa Bibi Nesi
@JosephMutambala5 сағат бұрын
BG up
@arafatmbaruku89275 сағат бұрын
Utopolo wanamtaka leo kesho
@MakunguRamadhan5 сағат бұрын
👎🏻
@eliasgulinja4425 сағат бұрын
Samata na Msuva ni muhimu wawepo pia Kelvin Jonh best wishes Taifa stars
@GSTON7_OG6 сағат бұрын
Boshoo badlshaa mistar😅 jombaaa
@saidsuleiman17536 сағат бұрын
Professor wa ukweli
@Sampovoice80886 сағат бұрын
Crown media
@samuelmlapwa78586 сағат бұрын
Haloo 🙌
@badmankihombo7 сағат бұрын
Boshoo ninja bado Dizasta apo Wana hip hop nnao wakubali
@rasakakaombwe7 сағат бұрын
Wachambuzi uchwala hawa
@rasakakaombwe7 сағат бұрын
Wachambuzi uchwala hawa
@rasakakaombwe7 сағат бұрын
Wachambuzi uchwala hawa
@IBRAHTZ-ct6ek8 сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@FectoFeisal8 сағат бұрын
😂😂😂
@davidsuleman2338 сағат бұрын
Ukimkataa pacome utamkataa dube utamkataa aziz k utakataa wengi sana
@HamzaKaduma9 сағат бұрын
Bella unajua sn
@GerlasVayahi-sr7xx9 сағат бұрын
Uyu Jamaa ni bora sana. Anawazidi wengi sana tz
@stonertv96779 сағат бұрын
@dullaplanet hupendi freestyle. How?? Bruh u sound like u aren't deserve to host the show
@yasrikomba78749 сағат бұрын
Nimewapenda sana crown 👑
@BarakaHamisi-r1l9 сағат бұрын
proffesor mtu maana kabisa
@Joe-tr2vk6 сағат бұрын
Ameongea vitu vya maana sana. Kwa yeyote aliyewahi kuwa na kampuni au ana kampuni anamuelewa Prof anaongea nini. Mifumo yetu ya kodi si rafiki kabisa, inashawishi sana watu kukwepa kodi kuliko kulipa.
@zahrababygarl156810 сағат бұрын
Mbona mwijaku huku katulia yuko smart sana
@adamwaziry225310 сағат бұрын
Raha ya shamba kugombania mipaka....boshooo ninjaaa
@SPM_Mukong10 сағат бұрын
Way to go homeboy👊🏿🫵🏿
@YusufSasamalo-uz4ii10 сағат бұрын
Namuelewa sana prof
@gastordominic41010 сағат бұрын
Mpo vzr
@nshaijatedy551211 сағат бұрын
Kocha hajaongea hayo mlioiwekea title
@JumaNgeni-ld5yb11 сағат бұрын
download ni kupakua
@Sampovoice808811 сағат бұрын
Ila maisha yanazidi kuwa magumu na wanawake wa tz ndio chanzo cha maisha kuwa magumu kwanza hawajielewi pili c wavumilivu tatu wana tamaa
@MsangoDiesel9 сағат бұрын
Tuchambulie vizuri hawataki kazi
@rejobu972312 сағат бұрын
Changamoto tuna Serikali inayo jiendesha kwa gharama kubwa sana Na kuhusu kodi watu tunalipa shida inatumika kwenye nn??
@kwisa489910 сағат бұрын
Kulipa Deni LA taifa na matumizi ya serikali
@Joe-tr2vk6 сағат бұрын
@@kwisa4899 Hapo kwenye matumizi ndipo kwenye tatizo, wanaishi kitajiri sana huku wanatuambia sisi ni nchi maskini. Kaangalie bajeti yao ya kununua na kutengeneza magari kila mwaka utachoka kabisa
@watarantatv618212 сағат бұрын
Semaji letu la Simba uko na upana mkubwa wa maswali namajibu bora
@MahmoodAhmed-yt9me12 сағат бұрын
Mtangazaji UNAWEZAUKADOWNLIGI hivi umeshindwa kupata msamiati sahihi mimi ninaitofautisha redio yenu na redio nyingi zamikononi hebu tafadhalini onyesheni utofauti ktk umahiri wa kiswahili sanifu DOWNLODIGI ahhh kunapatikana kichefuchefu kiasi
@Joe-tr2vk6 сағат бұрын
Hawa watangazaji Gen Z ni tatizo kubwa,hawajishughulishi kabisa. Kiswahili kina maneno mengi sana wao wanatafuta njia ya mkato kwa kuingiza maneno ya kiingereza chao cha hovyo badala ya kuwa chachu kwa wasikilizaji kujifunza kiswahili sanifu.
@happyfrank-t7w12 сағат бұрын
❤
@Sampovoice808812 сағат бұрын
Red day the throne
@Sampovoice808812 сағат бұрын
Vina km vina
@Sampovoice808812 сағат бұрын
Bella masauti
@MahmoodAhmed-yt9me13 сағат бұрын
Juu ya MIFUMO su MIFUMUKO?? Umakini ktk kusoma ni muhimu
@MahmoodAhmed-yt9me13 сағат бұрын
Mifumo inaweza ikawa mizuri saana lkn kuna tatizo kubwa la kutokuwepo na watendaji waadilifu kodi inahusisha pesa kwa anaetoa asiekuwa muaminifu anatafuta jinsi ya kukwepa au kupatiwa makadirio madogo akiwa tayari kutoa rushwa kwa afisa anaekadiria kodi ndio maana vijana wengi wanatamani kufanya kazi TRA kwa nia yakujitajirisha harakaharaka msomaji wa habari hii fanya uchunguzi mdogotu juu ya wafanyakazi wa TRA na namna ya maisha yao wafanyakazi wengi sio wote lkn wengi wanamaisha makubwa sana kwa na wanagawana na Serikali ktk hotuba yake Raisi amesema pesa nyingine zinaishia mifukoni nilitamani aanzishe utaratibu wa kuwadhibiti hao ambao pesa zinaishia mifukoni mwao vinginevo TUME /KAMATI/ nakila aina ya taratibu zitaundwa lkn kama hakuna utaratibu maalum wa KUDHIBITI RUSHWA NA ADHABU KALI kama China ambapo waka rushwa hasa hizi za makusanyo ya Serikali HUNYONGWA vinginevyo itakuwa hadithi kila siku
@Sampovoice808811 сағат бұрын
Umetumwa nn
@chumamasunga88559 сағат бұрын
Na ww ni mnufaika wa wizi wa kodi?@@Sampovoice8088
@Joe-tr2vk6 сағат бұрын
@@chumamasunga8855 Huyu ni mmoja wa anaotafuna kodi zetu,achunguzwe😂
@jacquesmulalirya170414 сағат бұрын
Poa sana
@methoddaniel31615 сағат бұрын
Khaa uyu jamaa anaongea kwa kujiamini mno
@EpidordMahovu15 сағат бұрын
❤❤❤ Tunawakubali San DC
@siviholyazawadi16 сағат бұрын
Uyu msani ni king of thé best Melody
@elishuaisaya417616 сағат бұрын
Mungu ibariki tanzania, wabariki watanzania, wabariki wanaharakati na wazalendo wa kila kuchwao busara za watanguliz zaidi ya kupitia kwenye dini na ziendelee mungu hakika utajibu kama mkoloni aliondoka kwa stand order za dunia na kama asilimia 90 walikataa vyama vingi na vikaja na vipi msigwa anashindwaje kuhama
@alimkumbukwa836316 сағат бұрын
Gefu uko saw kbsa mm pia nawmbia pcme amedrop apo nkuunga mkono gfu Lea n mm n mwananch