Crown fm jaribuni kupunguza sauti ya io beat background inameza sauti za waongeaji
@alphoncealmack92402 ай бұрын
Kweli kabisa hata sijui wanaiweka ya nn na tunamsikia mtu
@حكايةغد2 ай бұрын
music background iko juu munatuudhi wasikilizaji wenu nimeshindwa kumaliza video
@peterpain55942 ай бұрын
Kibu kashamaliza maana wabaongo tunapenda kupitaga na upepo kibu kasema alikupa kazi ya mda tu
@wakilisharaw2 ай бұрын
Kwa wale hawajaelewa hii interview Kwa ufupi kibu denis ni green and yellow,,,,simba hawajamsajili Carlos sawa ni mtu hatari kweli
@josephmihayo62362 ай бұрын
Huyu Rashid analazimisha shobo kwa Kibbu. Kibbu Kesha sema hakujui na hakutaki.
@nature_world12 ай бұрын
Kibu kasema akujui😮
@rabbik56682 ай бұрын
Chama amepotea mtaani Kibu kila kona Asante Kibu 🎉🎉inatakiwa kurudi Sasa msimbazi
@macknonkibona24012 ай бұрын
TAMU ZAID ANAKUJA YANGA SO SUKARI YOTE YA HABARI YA MJINI ITAAMIA YANGA MTANI
@HamisiMwazikeni2 ай бұрын
Nomaa
@BakariHariri2 ай бұрын
Simba walifanya makosa kumfanyia uraiya wa tanzania kibu sio mtanzania simba wamwambie arudishe pesa zetu alafu asepe kwanza ajui mpira maguvu tu kama guruwe.
@belsilver45862 ай бұрын
sasa mambo ya utanzania yametokea wap
@NM-yl2uw2 ай бұрын
huu ni ujinga na mihemuko
@Mgenimsenga2 ай бұрын
We ni msenge tu kesababu aujui mpira ivi Messi .dembele .cr7 . Walivumia wapi ukiringa na uraiwa wenzio wanaringa na kipaji afu kua mjanja mwenye pesa ndo mwenye kila kitu 😅
@hopesesilius61042 ай бұрын
Yametokea baada ya kutapeli@@belsilver4586
@hopesesilius61042 ай бұрын
@@belsilver4586ogopa sana foreigner
@fabiangodfrey-fp4pt2 ай бұрын
Kibu kasema hakujui bwana acha shobo😂😂😂😂😂😂
@alphoncealmack92402 ай бұрын
Hamjui wala hamtambui 😂😂😂😂😂shobo zake tu
@estonsaimon66712 ай бұрын
Hajui hata aongee nn kwenye nn na kwa wakati gni?
@jamesjoseph24212 ай бұрын
🔥🔥🔥👑👑
@AbisinaRashidi-c8d2 ай бұрын
Yule mbwa kibu mkimbizi Simba wasingemfanyia kazi ya kupata ulaia msenge yule wakongo hawana utu
@ProsperSantos2 ай бұрын
Simba sio wakusumbuana na kibu mchezaji goal 1 assist 2 yan huyu ilitakiwa moja kwa moja championship kwa mkopo bora usajili kilema sio kibu amna kiwango bado anasumbua watu vichwa kunamda wachezaji hua wanatumia ushirikina mbona kuna wachezaji wazur sana na awapati nafasi ila hii takataka kibu hamna mchango wowote lakini wanalijali kwanza uyu alikua ashaondoka simba kitambo sema likamloga na robatinho alipende ndo ikawa pona pona yake saiz limejichanganya M300 sasa lazima afanyiwe ubaya ubwela ilifala ilibidi liludi kwao congo najua uko Norway limefeli 😅 kwanza mchezaji anafunga Derby mechi ambayo ata kipa ana funga derby kila mtu anakua anamoto ko uyu fala tusiesabie kama anagoli lolote bwabwa huyu imagine zile nguvu za kibu uwanjani angekua boxer saiz angekua uko ana zichapa na wakina Ryan Garcia tenah anauzito sawa na Davis 😂 ila bora angekua mkurima mana boxing usipo kua na akili unaweza ukauawa angekua mkulima saiz angekua anavuna magunia uko mana ananguvu ila akili hana sema ata kilimo kinahitaji akili ko uyu jamaa nifuta tu amna kitu anachokiweza ila tunacho kitaka pesa yetu tukampe mpanzu saiz atuna stress na vichaa kichaa ukitaka kusepa unaenda si kama babu yetu chama tumeona tusiongeze mkataba tunajua kazeeka awezi ata kukimbia namuonea ady huruma babu yetu dah kajichanganya vibaya sana saiz tu ana lalamika uwanjani 😅 anasunili mpira wa one two wakati wahuni wanawaza kukimbia tu hahahahahaha afiki kokote yule kilichobaki niku retire....... Simba nguvu Moja ubaya ubwela ni vijana wa 2000 tu
@morningstarartproduction84362 ай бұрын
Acha makasiriko ndugu😅😅😅
@fazo-kl9fu2 ай бұрын
Njaaa tu uyoo😂😂😂
@alberatuslinus96172 ай бұрын
Kwan Jaman kibu Si kasema hamjui huyu jamaa 😂😂😂😂😂
@laurmange61242 ай бұрын
Background beat inasumbua muongeaji na msikilizaji. Punguzeni tupate kusikia vema
@Marjeby2 ай бұрын
Watu wa Gongo Burundi Rwanda ni wachache sana wenyewe ubinadamu Kibu msenge tuu ameifanya Simba na Tanzania nzima kuwa ngazi tu ya kwenda Ulaya mie nawajua sana watu wa kufasi ya huko
@Clever-l8v2 ай бұрын
Ubaguzi tu
@AllyBlackMamba2 ай бұрын
Taraka tatu3 muhimu 😮😮
@estonsaimon66712 ай бұрын
Huyo jamaa pia yupo kishabiki sio kusimamia wachezaji uki-refer hata ishu ya Chasambi aliongea mbovu mno kama sio mwanasheria
@JOSEPHALFONCE-z2i2 ай бұрын
Kibu katubo Sana watu wakigoma nilazima ajue kigoma imetoa mastaa wengi mno aifuatilie kigoma yangu enz izo analinga Nini Sasa wapo Ila walipita kiufupi kazingua
@Josephbugoshi2 ай бұрын
Kwani kibu yuko wapi mpaka sasa
@BarakaJohn-mn1eg2 ай бұрын
Ndo xhida y kuwazami wa Cong 😅😅😅😅😅
@UfundiSaidi-em2fb2 ай бұрын
😅😅😅😅 kibu kawa MTOTO IDDI 😅
@Humanity212162 ай бұрын
😂😂😂 kwamba kazua balaa
@MariaMnthax2 ай бұрын
Kibu nimwamba muno
@peterpain55942 ай бұрын
Yani movie ya uyu jamaa stealing amekufa mwanzo wa movie
@esnproduction20202 ай бұрын
GHARIB MZINGA: STORY YAKE YA ELIMU HADI KUWA MTANGAZAJI kzbin.info/www/bejne/jn_JhYCKebhmg8U
@ErastoMoses-r6i2 ай бұрын
Aende tu
@SteveAriba2 ай бұрын
Cha msingi kibu amevunja mkataba mwenyewe cha msingi alipe makoto tuone atafika wp kama atakuwa anasugua benchi adi anamkana meneja wake asee kweli ss wanadamu tunazambi kubwa sana leo na kesho atakujaga akane ata wazazi wake aseme nyie sio wazazi wangu
@VennaceNchimbi-r7p2 ай бұрын
Man kato sure baba sabra ubaya ubwela
@CharlesMs25Daghaly2 ай бұрын
Cma michezo sio uraia wa mtu ckieni ujinga wenu na uraia vinaendana kwl au ujinga huo watanzania mnawadudu nan aliepaga sumu ya ujinga mkavimbisha suit kwl cmeni mamb ya soccer sio Uraia nyie ghaimbiri Mnataka kurudishiwa pesa au Uraia wenu wajinga nyie Kibu ni Raia Tz had Sasa hayo mengn ynu ya unafki mtupu kenge kbs