Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@NasmaMaulid-ev6md3 ай бұрын
Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢
@maxthadeus67873 ай бұрын
Mmmmh
@maxthadeus67873 ай бұрын
Mbona kama kenya
@Maria-cx4kn3 ай бұрын
Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe. Dah hii dunia balaa.
@Maria-cx4kn3 ай бұрын
Dah hili tangazo nalo kali. Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm
@RosemaryMalya3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭
@kobylwaho31913 ай бұрын
Mungu atusaidie😢😢😢
@AmaniManase-x1i3 ай бұрын
Amina
@twahakayondo75833 ай бұрын
Amina
@shanimbaruku20713 ай бұрын
Aamin Aamiin
@HawwaMohammedi3 ай бұрын
Amiin
@IddySeleman-w3w3 ай бұрын
Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN
@hopejohnson73523 ай бұрын
Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏
@lucylight93412 ай бұрын
Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️
@maryndutakamau93012 ай бұрын
Oh God heal Lovely kid completely
@VeronicaMacha-pl3xt3 ай бұрын
Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏
@miriamdavis38933 ай бұрын
Amen
@tinnahagustinolyelu42473 ай бұрын
Mungu amponye huyu mtoto jamani
@SajdahIssa2 ай бұрын
Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone
@Kidotii3 ай бұрын
Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!
@merryjerry54492 ай бұрын
amina
@MonadiNadi-j6s3 ай бұрын
Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏
@devothaanthony81743 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.
@LindaMbilinyi-n3n3 ай бұрын
Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲
@LindaMbilinyi-n3n3 ай бұрын
Malaika
@ObediMeyan-j8c2 ай бұрын
Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona
@christaoman88903 ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana
@kamikazisalma52093 ай бұрын
Allah atampa shifaa inshallah yani mkimkamata mumchinje nayeye.
@DeodataDeogratias2 ай бұрын
Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina
@kokuelikana1842 ай бұрын
Mungu amponye
@mtanimshangi88903 ай бұрын
Poleni sana
@haryanyawu6403 ай бұрын
Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao
@AishaIssa-l4q3 ай бұрын
Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii
@queenmunny2443 ай бұрын
Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢
@nemaJuma-u5o3 ай бұрын
Mungu asaidie namuombea apone
@lucyeben46803 ай бұрын
Mungu amponye mtoto
@DafrosaMassawe2 ай бұрын
Pole sana kaka
@WinfridaJackson-ji8bq2 ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto
@JumaHassan-w5m2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu wazzi haw
@NaziaMudi2 ай бұрын
Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢
@rhodajoseph29042 ай бұрын
Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢
@zahrababygarl15682 ай бұрын
Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki
@trecygohy78473 ай бұрын
Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.
@JehhusRaoul2 ай бұрын
Mungu ni mwema atamponya il
@JACOBNDASHUKA3 ай бұрын
Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen
@MwanahamisHussein-dp2if3 ай бұрын
Subhannallah mwishowaDunia
@Maliusi89Kagumisa2 ай бұрын
Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo
@getrudaleonard83233 ай бұрын
Poleni sana kwa kweli Baba Malick na Mama ake...
@JenniferKahwa3 ай бұрын
Muhimbili atapona they are great😊
@abdallahassan63783 ай бұрын
Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏
@AziduKitenga3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu
@Sidrasidra6363 ай бұрын
SubhanaAllah 😢💔
@MsAisha-w4o3 ай бұрын
Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏
@ErastoIdani2 ай бұрын
Jamani poleni.
@careemdulla16293 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka
@HaithamShabani3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen
@sabinaleonce82433 ай бұрын
Mungu amjalie afya apone
@JujuShabani-y7t3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@JoyceJulius-r6g3 ай бұрын
Mungu mponye mtoto huyo jaman
@ceciliamiyombo80493 ай бұрын
Msichana, utazaa kwa uchungu, Mungu anakuona
@ThomasMmary-r7w3 ай бұрын
Daaah 😢so sad
@ElizabethRyoba-te1iv3 ай бұрын
Mungu amponye jaman
@محمدالقايد-د6ب3 ай бұрын
MUngu mponye mark Poleni Sana family
@fauziyaomar70903 ай бұрын
Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip
@graceleonardsanga30973 ай бұрын
poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen
@EdithaPaulo-e2z3 ай бұрын
mungu amponye mtoto huyu malaika 🙏
@BobgIsmail2 ай бұрын
Alllah careem
@GervasiMwacha3 ай бұрын
Poleni japo hamsemi ukweli kwenye maisha yenu na dada wenu wa kazi.
@colyndelwa17383 ай бұрын
Sema wewe ukweli unaojua
@RizikMahunya3 ай бұрын
Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale
@SmilingGecko-bc7mt3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye
@AnnaMichaely-yn2vm3 ай бұрын
Mungu atamponya naimani
@EsterMbise-pj4vd3 ай бұрын
Jamani poleni sana ni maumivu makubwa mno mungu awatie nguvu jamani
@chaggatv8183 ай бұрын
Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢
@mariyamsalalah82043 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@esterMahenge3 ай бұрын
Yaniii😢😢😢
@siamnyone84033 ай бұрын
Ni mapepoo hayoo sio Akili za kawaida
@yasminoluoch1693 ай бұрын
Wallah
@itanzaniaAS3 ай бұрын
Kuna watu ni mapepo ila mwili wa binadamu.
@ImeldaIsdory3 ай бұрын
Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@IssaMwaijengo3 ай бұрын
Duu! inauma Sana tunaomba Mungu afanye wepesi wa kupona
@NeemaDamas-c3q3 ай бұрын
Pole ni wafiwa wote inaumiza mnoo jamani wada da muigopeni mungu.
@TedySisty3 ай бұрын
Mungu tusaidie
@milkanindi36672 ай бұрын
Mungu mtetee mtoto huyu
@RoseMalley-dt9ub3 ай бұрын
Poleni sana Mungu amsaidie apone
@NeemaAshely-sh1nk3 ай бұрын
Mungu saidie watoto wetu
@RaylaRamadhan3 ай бұрын
Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭
@Ninah7432 ай бұрын
😢
@antiRidhia3 ай бұрын
Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen
@mwanakhamisimwinyimatano11853 ай бұрын
Subhana Allah
@GatekaFatma3 ай бұрын
Ya Allah mpe shifaa mtoto huyo na uwalinde wanetu popote walipo ya rabbi
@AngelaKingwa3 ай бұрын
Pole fundi wangu wa nguo mungu akitie nguvu atapona mtoto
@MwanakherKhalifa3 ай бұрын
Ila hii dunia imeisha watu awaaminiki saiv😢😢😢😢😢😢😢
@ElizabethMoraa-x8b3 ай бұрын
Mungu amuponye mtoto mzuri
@kamikazisalma52093 ай бұрын
Allah atampa shifaa inshallah yani uyo akikamatwa achinjwe nayeye.
@janechengula28333 ай бұрын
Mungu amponye mtoto polen sana 😭
@AminaAbdul-nr2lz3 ай бұрын
Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone
@IdrisaTuppa3 ай бұрын
Get Well Soon Mtoto Mzuri
@gladnessfinda75343 ай бұрын
Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno. Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma. Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji. Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao. Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana. Mungu wetu hatatuacha. Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya. 🙏
@MapeKhamis3 ай бұрын
Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv . Ukiwaza sana ni tabu Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada
@adamhashim33523 ай бұрын
Maisha sahv hyna baraka
@AshuraRamadhan-h7x3 ай бұрын
Pole Sana 💔 pole 💔💔💔😭😭😭😭
@anthonymgina38933 ай бұрын
Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana
@HadiaMohammed-ec2dn3 ай бұрын
Aisee mungu atuepushe na ibilisi wallah mm tungegawana majengo
@MwanaloveBou3 ай бұрын
Mungu mponye mtoto jmn
@AvelinaMrema-d1f3 ай бұрын
Ashim mungu akupe nguvu katika kipind hiki kingum mungu amponye mtt
@Saidy-eu1hc3 ай бұрын
Poleni
@BeatriceLyatuu-w8j3 ай бұрын
Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu
@tunsumealfredym78963 ай бұрын
SUBHANNALLAH BINTI MDOGO KABISA ASHAKUA KATILI
@graceshakanyi87843 ай бұрын
Eee mungu tusaidie kutulindia watoto wetu
@IPExHealthcare3 ай бұрын
Jamani poleni sana
@rosengowi8473 ай бұрын
Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu
@munaomar95323 ай бұрын
Fanyeni sadaka sana sana Allah atampa shifaa amin😭😭🤲
@Nailafussy-kg7qz3 ай бұрын
Mwenyez mungu nakuomba ee yarabi mponye mtoto huyu tunakuomba umponye tafadhari
@ruthbakari91733 ай бұрын
Jamani mtoto amefanana na babaake Mungu umponye huyu mtoto 🙏🙏
@ezekielmurimi3 ай бұрын
Aki mungu amsa
@AshfaynahAbdul-cz9io3 ай бұрын
Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan
@GloryEmmanuel-q4f3 ай бұрын
Kwel kabsa ase
@sommohd79033 ай бұрын
Mh... sijui niandike nini😭
@SalumuBakari-w8r3 ай бұрын
Dada wa kazi anafanana na baba mwenyenyumba😢😢
@pantaleolaurentlaurentkavu20113 ай бұрын
Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.
@HinohiatHidoCo3 ай бұрын
Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.
@RamadhaniKitala-gx6wc3 ай бұрын
Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani
@fatmamansour27643 ай бұрын
Poleni sana Allah atawapa subra
@LamaribamJumbe3 ай бұрын
Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana
@habibtynunu93403 ай бұрын
Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu