DADA wa KAZI ADAIWA KUMKATA KOO MTOTO wa BOSI WAKE DAR -AKIMBIA - "ALISEMA DADA AMENIKATA"

  Рет қаралды 166,535

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 647
@globaltv_online
@globaltv_online 3 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@NasmaMaulid-ev6md
@NasmaMaulid-ev6md 3 ай бұрын
Nyie hii link nikwel au mbona nawasiwasi nayo ukiingia mbona hakuna hayo maswali TUSIJE kuhakiwa taarifa zetu tu 😢😢
@maxthadeus6787
@maxthadeus6787 3 ай бұрын
Mmmmh
@maxthadeus6787
@maxthadeus6787 3 ай бұрын
Mbona kama kenya
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 3 ай бұрын
Duh, Wengine wanasikitika wengine wanatangaza biashara hapo hapo. Tena biashara wala haihusiki na taarifa yenyewe. Dah hii dunia balaa.
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 3 ай бұрын
Dah hili tangazo nalo kali. Kwa hiyo tucheze bahati nasibu sasa baada ya habari mbaya……mhmmmm
@RosemaryMalya
@RosemaryMalya 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba umponye huyo mtoto wape amani wazazi wake ili wasikatee tamaa. Tunakuomba ulinzi kwa watoto wetu wengine wako mashuleni wengine wako vyuoni na walioko nyumbani. Ni wewe mwenyezi Mungu ulitupa Zawadi hii ya watoto ulinzi wao uko mikononi mwako Amina😭😭😭
@kobylwaho3191
@kobylwaho3191 3 ай бұрын
Mungu atusaidie😢😢😢
@AmaniManase-x1i
@AmaniManase-x1i 3 ай бұрын
Amina
@twahakayondo7583
@twahakayondo7583 3 ай бұрын
Amina
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 3 ай бұрын
Aamin Aamiin
@HawwaMohammedi
@HawwaMohammedi 3 ай бұрын
Amiin
@IddySeleman-w3w
@IddySeleman-w3w 3 ай бұрын
Ee Mungu,wewe nizaidi ya viumbe tunakuomba umponyesha kwa uweza wako.AMIN,AMI AMIN
@hopejohnson7352
@hopejohnson7352 3 ай бұрын
Mungu wa mbinguni naomba toba kwaajili ya hyo binti aliemkata mtoto na ninaomba unyooshe mkono wako wa uponyaji kwa mtoto hyo 👏👏👏
@lucylight9341
@lucylight9341 2 ай бұрын
Our brothers and sisters from Tanzania ombeeni fanyeni dua ...mashetani kavuka toka kenya hadi Tanzania. Na pia sisi wakenya twaomba pia mtuombee akhi this has been happening in kenya in secret but mungu ameanika wakola wauwaji na tumai Itatulia akhi.poleni sana dada zetu Tz🙏🙏🙏❤️
@maryndutakamau9301
@maryndutakamau9301 2 ай бұрын
Oh God heal Lovely kid completely
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 3 ай бұрын
Mungu wetu ni mwema kwa viumbe wake wasio na hatia atamponya amen👏👏
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 3 ай бұрын
Amen
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 3 ай бұрын
Mungu amponye huyu mtoto jamani
@SajdahIssa
@SajdahIssa 2 ай бұрын
Mungu amfanyie wepesi Mtoto apone
@Kidotii
@Kidotii 3 ай бұрын
Damu ya Yesu imfunike mtoto alone harakaa!
@merryjerry5449
@merryjerry5449 2 ай бұрын
amina
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s 3 ай бұрын
Pole Sana mama na baba Malik m.mungu hamfanyie wepesi hapone hawataje hao watu km walokuwa wengi au mmoja .mungu Ni mwema🙏
@devothaanthony8174
@devothaanthony8174 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye mtoto akae sawa. Ee Mungu tusaidie kutulindia watoto wetu sisi tunaowaacha na wadada wa kazi kwa ajili ya majukumu watoto wapo hatarini kwakweli.
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 3 ай бұрын
Nyakat za mwisho😢😢😢😢pole maika Mungu akuponye🤲🤲
@LindaMbilinyi-n3n
@LindaMbilinyi-n3n 3 ай бұрын
Malaika
@ObediMeyan-j8c
@ObediMeyan-j8c 2 ай бұрын
Dah poleni Sana ndugu zangu ila mungu yupo atapona
@christaoman8890
@christaoman8890 3 ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto tuzidi kumuombea daah inasikitisha sana
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 3 ай бұрын
Allah atampa shifaa inshallah yani mkimkamata mumchinje nayeye.
@DeodataDeogratias
@DeodataDeogratias 2 ай бұрын
Mungu amponye mtoto Alone. Amfunike Kwa damu ya Yesu Amina
@kokuelikana184
@kokuelikana184 2 ай бұрын
Mungu amponye
@mtanimshangi8890
@mtanimshangi8890 3 ай бұрын
Poleni sana
@haryanyawu640
@haryanyawu640 3 ай бұрын
Mungu tunakuomba umponye mtoto katikanjina la Yesu uwaongoze madakari katika majukumu yao
@AishaIssa-l4q
@AishaIssa-l4q 3 ай бұрын
Mungu ajalie MTT apone jamani daaah niatali Sana hii
@queenmunny244
@queenmunny244 3 ай бұрын
Subhana Allah yarabby tulindie watoto wetu .watu wamekuwa Wakatili namna hii tutaficha wapi watoto wetu sio shule sio madada wakazi yani imekuwa hatar😢😢😢
@nemaJuma-u5o
@nemaJuma-u5o 3 ай бұрын
Mungu asaidie namuombea apone
@lucyeben4680
@lucyeben4680 3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto
@DafrosaMassawe
@DafrosaMassawe 2 ай бұрын
Pole sana kaka
@WinfridaJackson-ji8bq
@WinfridaJackson-ji8bq 2 ай бұрын
Mungu amponye huyo mtoto
@JumaHassan-w5m
@JumaHassan-w5m 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu wazzi haw
@NaziaMudi
@NaziaMudi 2 ай бұрын
Kiswahili ni lugha nzuri saana ivi kati ya kumchinja na kumjerui ipi ilifaa ikae apo maana 😢😢😢😢😢😢😢😢
@rhodajoseph2904
@rhodajoseph2904 2 ай бұрын
Maana ilituchanganya kumbe kajeruhiwa yuko hosptali😢
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 2 ай бұрын
Kiswahili kigumu kweli me mwenyew nilijua kafariki
@trecygohy7847
@trecygohy7847 3 ай бұрын
Poleni sana family. Mwenyezi Mungu amponye haraka kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.
@JehhusRaoul
@JehhusRaoul 2 ай бұрын
Mungu ni mwema atamponya il
@JACOBNDASHUKA
@JACOBNDASHUKA 3 ай бұрын
Daaaah polen sana mungu Yu pamoja nanyi ameeen
@MwanahamisHussein-dp2if
@MwanahamisHussein-dp2if 3 ай бұрын
Subhannallah mwishowaDunia
@Maliusi89Kagumisa
@Maliusi89Kagumisa 2 ай бұрын
Naitwa kagumisa wa bukoba nawapa pole sana wazazi wa mtoto aliyekatwa shingo
@getrudaleonard8323
@getrudaleonard8323 3 ай бұрын
Poleni sana kwa kweli Baba Malick na Mama ake...
@JenniferKahwa
@JenniferKahwa 3 ай бұрын
Muhimbili atapona they are great😊
@abdallahassan6378
@abdallahassan6378 3 ай бұрын
Dah mwenyezi Mungu wasaidie watoto wetu 👏
@AziduKitenga
@AziduKitenga 3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 ай бұрын
SubhanaAllah 😢💔
@MsAisha-w4o
@MsAisha-w4o 3 ай бұрын
Atapatikana insha'allah..na Sheria ifate mkondo wake alikusudia kumuua ila siku za mtoto Bado Allah amponye yarab 🙏
@ErastoIdani
@ErastoIdani 2 ай бұрын
Jamani poleni.
@careemdulla1629
@careemdulla1629 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atamsimamia atapona haraka
@HaithamShabani
@HaithamShabani 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu naomba umponye mtoto huyu Amen
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 3 ай бұрын
Mungu amjalie afya apone
@JujuShabani-y7t
@JujuShabani-y7t 3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto watu 😢😢🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏
@JoyceJulius-r6g
@JoyceJulius-r6g 3 ай бұрын
Mungu mponye mtoto huyo jaman
@ceciliamiyombo8049
@ceciliamiyombo8049 3 ай бұрын
Msichana, utazaa kwa uchungu, Mungu anakuona
@ThomasMmary-r7w
@ThomasMmary-r7w 3 ай бұрын
Daaah 😢so sad
@ElizabethRyoba-te1iv
@ElizabethRyoba-te1iv 3 ай бұрын
Mungu amponye jaman
@محمدالقايد-د6ب
@محمدالقايد-د6ب 3 ай бұрын
MUngu mponye mark Poleni Sana family
@fauziyaomar7090
@fauziyaomar7090 3 ай бұрын
Mm dada sitaki tena shukrani hawana hata ukae nae vip
@graceleonardsanga3097
@graceleonardsanga3097 3 ай бұрын
poleni sana wazazi wa mtoto MUNGU amponye kijana wetu amen
@EdithaPaulo-e2z
@EdithaPaulo-e2z 3 ай бұрын
mungu amponye mtoto huyu malaika 🙏
@BobgIsmail
@BobgIsmail 2 ай бұрын
Alllah careem
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 3 ай бұрын
Poleni japo hamsemi ukweli kwenye maisha yenu na dada wenu wa kazi.
@colyndelwa1738
@colyndelwa1738 3 ай бұрын
Sema wewe ukweli unaojua
@RizikMahunya
@RizikMahunya 3 ай бұрын
Globali mko vizuri kwa hari za hapa na pale
@SmilingGecko-bc7mt
@SmilingGecko-bc7mt 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amponye
@AnnaMichaely-yn2vm
@AnnaMichaely-yn2vm 3 ай бұрын
Mungu atamponya naimani
@EsterMbise-pj4vd
@EsterMbise-pj4vd 3 ай бұрын
Jamani poleni sana ni maumivu makubwa mno mungu awatie nguvu jamani
@chaggatv818
@chaggatv818 3 ай бұрын
Hata kama maboss wabaya Y umfanyie mtot kitendo kibaya jaman😢😢
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@esterMahenge
@esterMahenge 3 ай бұрын
Yaniii😢😢😢
@siamnyone8403
@siamnyone8403 3 ай бұрын
Ni mapepoo hayoo sio Akili za kawaida
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 3 ай бұрын
Wallah
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 3 ай бұрын
Kuna watu ni mapepo ila mwili wa binadamu.
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 3 ай бұрын
Poleni na hilo tatizo la Mtoto. Mwenyezi Mungu na awafanyie wepesi.
@IssaMwaijengo
@IssaMwaijengo 3 ай бұрын
Duu! inauma Sana tunaomba Mungu afanye wepesi wa kupona
@NeemaDamas-c3q
@NeemaDamas-c3q 3 ай бұрын
Pole ni wafiwa wote inaumiza mnoo jamani wada da muigopeni mungu.
@TedySisty
@TedySisty 3 ай бұрын
Mungu tusaidie
@milkanindi3667
@milkanindi3667 2 ай бұрын
Mungu mtetee mtoto huyu
@RoseMalley-dt9ub
@RoseMalley-dt9ub 3 ай бұрын
Poleni sana Mungu amsaidie apone
@NeemaAshely-sh1nk
@NeemaAshely-sh1nk 3 ай бұрын
Mungu saidie watoto wetu
@RaylaRamadhan
@RaylaRamadhan 3 ай бұрын
Daaah poleni sana tuzidisheni dua hizi ni nyakati za mwisho inauma sana 😭😭😭😭
@Ninah743
@Ninah743 2 ай бұрын
😢
@antiRidhia
@antiRidhia 3 ай бұрын
Allah ampe shufaa kwa ufalme wake Ameen
@mwanakhamisimwinyimatano1185
@mwanakhamisimwinyimatano1185 3 ай бұрын
Subhana Allah
@GatekaFatma
@GatekaFatma 3 ай бұрын
Ya Allah mpe shifaa mtoto huyo na uwalinde wanetu popote walipo ya rabbi
@AngelaKingwa
@AngelaKingwa 3 ай бұрын
Pole fundi wangu wa nguo mungu akitie nguvu atapona mtoto
@MwanakherKhalifa
@MwanakherKhalifa 3 ай бұрын
Ila hii dunia imeisha watu awaaminiki saiv😢😢😢😢😢😢😢
@ElizabethMoraa-x8b
@ElizabethMoraa-x8b 3 ай бұрын
Mungu amuponye mtoto mzuri
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 3 ай бұрын
Allah atampa shifaa inshallah yani uyo akikamatwa achinjwe nayeye.
@janechengula2833
@janechengula2833 3 ай бұрын
Mungu amponye mtoto polen sana 😭
@AminaAbdul-nr2lz
@AminaAbdul-nr2lz 3 ай бұрын
Uyo mtoto aliyefanyiwa ukatili mungu amsaidie apone
@IdrisaTuppa
@IdrisaTuppa 3 ай бұрын
Get Well Soon Mtoto Mzuri
@gladnessfinda7534
@gladnessfinda7534 3 ай бұрын
Sijui tutaishi vipi sijui tuwaweke wapi watoto wetu?Tumekuwa wakatili mno. Mungu utusamehe utusaidie utupe mioyo ya huruma. Kina mama tunapitia changamoto katika malezi kutokana na utafutaji. Tuwe makini na wadada wa kazi kwani hatujui asili zao. Tujiombee na tuwaombee watoto wetu sana sana. Mungu wetu hatatuacha. Tuzidi kuwaombea watoto kama hawa ambao wanapitia madhila kama haya. 🙏
@MapeKhamis
@MapeKhamis 3 ай бұрын
Unayosema nasema ivo ivooo yani mpk nimekua kama cko sawa sasaiv . Ukiwaza sana ni tabu Nikumkabidhi mungu tu bila yy hatuwezi tusisahau ibada
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 ай бұрын
Maisha sahv hyna baraka
@AshuraRamadhan-h7x
@AshuraRamadhan-h7x 3 ай бұрын
Pole Sana 💔 pole 💔💔💔😭😭😭😭
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 3 ай бұрын
Namwomba Mwenyezi Mungu amponye mtoto. Hakika nimeumia sana
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn 3 ай бұрын
Aisee mungu atuepushe na ibilisi wallah mm tungegawana majengo
@MwanaloveBou
@MwanaloveBou 3 ай бұрын
Mungu mponye mtoto jmn
@AvelinaMrema-d1f
@AvelinaMrema-d1f 3 ай бұрын
Ashim mungu akupe nguvu katika kipind hiki kingum mungu amponye mtt
@Saidy-eu1hc
@Saidy-eu1hc 3 ай бұрын
Poleni
@BeatriceLyatuu-w8j
@BeatriceLyatuu-w8j 3 ай бұрын
Mungu tunaomba usikie maombi yetu umponye mtoto huyu ili mataifa yote wajue kuwa wewe Ni Mungu mponyaji.Hakika shetani anatafuta watu wakuwatumia kufanya vitendo viovu.... Jamani hofu ya Mungu ni nzuri mnoooinatuepusha kufanya maovu
@tunsumealfredym7896
@tunsumealfredym7896 3 ай бұрын
SUBHANNALLAH BINTI MDOGO KABISA ASHAKUA KATILI
@graceshakanyi8784
@graceshakanyi8784 3 ай бұрын
Eee mungu tusaidie kutulindia watoto wetu
@IPExHealthcare
@IPExHealthcare 3 ай бұрын
Jamani poleni sana
@rosengowi847
@rosengowi847 3 ай бұрын
Imeandikwa kesheni mkiomba,kizimu ipo speed Sana omba neema ya Mungu tu
@munaomar9532
@munaomar9532 3 ай бұрын
Fanyeni sadaka sana sana Allah atampa shifaa amin😭😭🤲
@Nailafussy-kg7qz
@Nailafussy-kg7qz 3 ай бұрын
Mwenyez mungu nakuomba ee yarabi mponye mtoto huyu tunakuomba umponye tafadhari
@ruthbakari9173
@ruthbakari9173 3 ай бұрын
Jamani mtoto amefanana na babaake Mungu umponye huyu mtoto 🙏🙏
@ezekielmurimi
@ezekielmurimi 3 ай бұрын
Aki mungu amsa
@AshfaynahAbdul-cz9io
@AshfaynahAbdul-cz9io 3 ай бұрын
Subhanallah Kama unapata manyanyaso bora uondoke kwa Aman jan
@GloryEmmanuel-q4f
@GloryEmmanuel-q4f 3 ай бұрын
Kwel kabsa ase
@sommohd7903
@sommohd7903 3 ай бұрын
Mh... sijui niandike nini😭
@SalumuBakari-w8r
@SalumuBakari-w8r 3 ай бұрын
Dada wa kazi anafanana na baba mwenyenyumba😢😢
@pantaleolaurentlaurentkavu2011
@pantaleolaurentlaurentkavu2011 3 ай бұрын
Pole Sana mungu amjalie apone huyo binti.siyo mtanzania asili hatujafika hapo kwa wenye umri huo wa binti.tuwe makini mikoa ya pembezoni wageni ni wengi.huenda nusu raia nusu wageni mihemko tusiwe wasio jua na mungu.yupo.
@HinohiatHidoCo
@HinohiatHidoCo 3 ай бұрын
Hakika usemayo. Kigoma ni jirani sana na nchi kama tatu, lakini ni mbali sana kuja Dar Es Salaam. Hivyo siyo ajabu kuwa si raia wa nchi yetu.
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 3 ай бұрын
Mtihani wallah , Allah akufanyie wepes waja wake tuwe na imani
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 3 ай бұрын
Poleni sana Allah atawapa subra
@LamaribamJumbe
@LamaribamJumbe 3 ай бұрын
Mmmhhhh mungu wangu Jamani ukaidi wa Hali ya juuu daaa AISSEH Inauma sana
@habibtynunu9340
@habibtynunu9340 3 ай бұрын
Subhana Allah huyo dada nishetan so binadan inshallah mungu atamsaidia atapata shifaa kwa nguvuza mungu
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 113 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2 МЛН
Это было очень близко...
00:10
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН