MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''

  Рет қаралды 1,177,409

Global TV  Online

Global TV Online

2 жыл бұрын

MWANAMKE ALIYEPIGANA na JAMBAZI mwenye BASTOLA na KUFANIKIWA KUMUUA, ASIMULIA - '' NILIMPIGA JIWE''
Mke wa Mfanyabishara Castola Mnoge, Juliana Damiani, mkazi wa Kasulu mkoani Kigoma, amesimulia jinsi alivyopata ujasiri wa kumpiga na gongo jambazi na baadaye kushika jiwe kupambana na majambazi wengine ambao walivamia nyumbani kwao usiku kwa lengo la kuwaibia fedha.
Tukio hilo la kutisha limetokea hivi karibuni saa chache mara baada ya mumewe kuwasili nyumbani akitokea kwenye biashara yake ya Mpesa akiwa na mauzo ya siku ndipo alipofanikiwa kumpiga na gongo kisha kupata msaada wa majirani wenye hasira kali ambao walimshambulia zaidi hadi kumuua huku majambazi wenzake wakifanikiwa kutoroka.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 980
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
Mapenzi ya kweli yamejidhihirisha kigoma! Tanga mnalipi la kusema hapa 🙌 sikiliza dakika ya 6:08 Hadi 6:16 halafu njoo unipe like hapa 😜
@wisperfect5320
@wisperfect5320 2 жыл бұрын
Tanga umalaya
@lovenessfrancis9947
@lovenessfrancis9947 2 жыл бұрын
Tanga hakuna jipya siku izi ata mapishi kwisha
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Aaaaah hivi tukio hili lingetokea Tanga mke angekimbia?
@netlity5532
@netlity5532 2 жыл бұрын
@@mashramadhani1989 hizo ..nge hatuwezi kuzijadili maana bado hazijatokea.... Watu wa kigoma Kwa sasa ndo wameshika usukani kwenye mapenzi ya kweli
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
@@netlity5532 aaaaaaah hatari sana kigoma
@ayoublupande3007
@ayoublupande3007 2 жыл бұрын
Yn hiyo kaul imeniingia San yn kwamba sikuogopa bastola sabab nilijuwa kuwa mme wng asha kufa ckuwa na sabab ya kuishi dàaaaah 💪😭😢🤔
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 жыл бұрын
Nmetamani kulia
@gladahmed532
@gladahmed532 2 жыл бұрын
Hata Mimi nimelia ujasiri huo
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
Hapo Kuna upendo Jmn
@devothaignatus5911
@devothaignatus5911 2 жыл бұрын
Atar dada uko pouwa sana
@JasperJamson
@JasperJamson 4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉​@@gloriaaugustino8031
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 2 жыл бұрын
Hii inaitwa self defense.kufa kupona Ni muhimu kujitetea. Nani amemkubali huyu binti Kama Mimi.Mungu awape ujasiri Wanawake wajue kujitetea Mungu.akiwa upande wao watashinda tuu.👆
@julianakavula8195
@julianakavula8195 2 жыл бұрын
True
@taturajabu5977
@taturajabu5977 2 жыл бұрын
Zao hazijafika ndg yangu,na watakuwa walijiganga,chezea kigoma wewe!
@sjosephmashany-eu6rf
@sjosephmashany-eu6rf Жыл бұрын
Wanawake wa kiha ni mashuja sana wakipenda wanapenda kweli
@merymahu4500
@merymahu4500 10 ай бұрын
Mm hapa huyu mama Mungu amlinde
@hanifamsenda-py8qu
@hanifamsenda-py8qu 9 ай бұрын
Ttzo kujieleza sasa...
@dorisurio8001
@dorisurio8001 2 жыл бұрын
Ni Mungu mwenyewe..hongera Sana mwanangu
@gracapk10
@gracapk10 2 жыл бұрын
nimekupenda Sana dada... dumu kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
@mecksaloon81
@mecksaloon81 2 жыл бұрын
Hongera kwa ujasiri wako dada mrembo, Kaka umepata mke mwema
@MilioneaTv
@MilioneaTv 2 жыл бұрын
Una sifa zote dada mrembo mcha mungu una mahaba ya dhati pia jasiri wadada wa mwendo kasi mjifunze hapa
@rahmambugi1950
@rahmambugi1950 2 жыл бұрын
❤️
@fwarrymwebi6615
@fwarrymwebi6615 2 жыл бұрын
Why am l crying alone??? Congratulations mama kwa kupigania mumeo maisha ya wawili ni safari
@elyxhadee
@elyxhadee 9 ай бұрын
@@fwarrymwebi6615 surely there is something to learn here
@user-uc8ei8kn3l
@user-uc8ei8kn3l 4 ай бұрын
Mwendo kasi
@jeremiahissangya4333
@jeremiahissangya4333 3 ай бұрын
Mimi so unable zote hata Mimi mwezako. Sina
@musafrancis3584
@musafrancis3584 2 жыл бұрын
Saf Sana dada Ila wandishi mmekosea xn kumuonyesha sura hyu dd n hatar kwenye maisha yke kwa ss
@hamidmweusiii35
@hamidmweusiii35 2 жыл бұрын
Apo umesma kwl maan Hawa waandishi wambea sana Hawa unafkri hii clips wakiiyona majambaz na wanajua Kam mwenzao kauliwa tena alobabisha hyu dada na weshamuon heee siku znahesbika kw hy dada
@sulaimanomary6533
@sulaimanomary6533 2 жыл бұрын
Hii clip sio ile ya zamani kweli
@halimasulaiman3229
@halimasulaiman3229 2 жыл бұрын
Kweli kabisa wangeficha sura hatar kwake ila hongera kwa ujasir pia unamapedhi ya dhati kwa mumewako mungu awalinde katika ndoa yenu
@mcback4384
@mcback4384 2 жыл бұрын
Kwani unafikiri ndugu na marafiki wa aliyeuawa hawamjui huyu Dada?
@neema_mollel
@neema_mollel 2 жыл бұрын
Kabisa
@ndohoriomsacky445
@ndohoriomsacky445 2 жыл бұрын
Wanawake wanapiga sana ukikaa na mke wako vizuri atakutetea kila kona
@pendopendojoshua7624
@pendopendojoshua7624 2 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu kakutetea mwanamke jasiri.
@witneywilly
@witneywilly 2 жыл бұрын
Eeh Mungu mlinde huyu dada... kwann mmemuonesha sura huyu dada jaman. Si salama kwake
@FridaMmari
@FridaMmari 8 ай бұрын
kama ilikuwa si salama si salama tuu MUNGU ndie anamlinda, unazani wanaomfanyia mtu ubaya hawamjuii, mpaka wanaenda kwao wanamjua
@aswileedson2978
@aswileedson2978 2 жыл бұрын
Wewe mwanaume una Deni la kumlinda na kumpa heshima mkeo. Anakupenda ameyatoa Maisha kwa ajili Yako, halafu kesho umzingue tutakunyooosha, Hongera mwanamke wa shoka.
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 2 жыл бұрын
Hongera sana dada kwa kulipigania penzi lako Mungu akulinde
@ludanishirima5102
@ludanishirima5102 2 жыл бұрын
Mungu akulinde Hongera sana Nimekupenda bure
@missmoona4497
@missmoona4497 2 жыл бұрын
Maashaallah super women kama hawa ndio wanastair tuzo ,lkn pia nunuen silaha na nyinyi
@eliaspeter1258
@eliaspeter1258 2 жыл бұрын
Huyu Mwanamke ni zaidi ya Mke
@brightermwailolo3409
@brightermwailolo3409 2 жыл бұрын
Kwa kweli hata ndugu anaweza kuacha ..anakupenda wa dhati na Kumpenda Mungu
@rockcitynative9985
@rockcitynative9985 2 жыл бұрын
Huyo ni Simba jike hatari kuliko hata dume
@gloriaaugustino8031
@gloriaaugustino8031 2 жыл бұрын
Si mnasema hakuna mapenzi siku hizi
@eng8251
@eng8251 2 жыл бұрын
Huyu sio kama wale wavaa vikuku miguuni
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 2 жыл бұрын
Masha Allah bro umepata mke mwema Mungu ambariki na aendelee kumpa mapenzi na ujasili
@muonambali
@muonambali 2 жыл бұрын
A definition of true love. MOLA awalinde na kuwaongoza katika maisha yenu ya ndoa, 💪🏿😍🙏🏿
@alexmatt9504
@alexmatt9504 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa kupata ujasiri ambao umesaidia kumwokoa mume wako,Mungu akusimamie.
@carolineondabu4539
@carolineondabu4539 2 жыл бұрын
Dada wacha mungu akulinde sana hapo ulitumia zaburi 23:1...mungu hawalinde siku zote
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Haya ndio mapenzi ya dhati sasa,,,, huyu ndie mwanamke wa shoka hakukata tamaa wala uoga wa kukimbia tukio ,, Allah amponye huyo mume wake arejee km awali na awadumishe kwenye upendo wao hadi wazikane
@queenkileo3698
@queenkileo3698 2 жыл бұрын
Palee pale...... God is Goood!!!
@maikomichael8261
@maikomichael8261 2 жыл бұрын
Mama,hongera,sana,ww,ni,nguvu,ya,taifa
@biberpriyer330
@biberpriyer330 2 жыл бұрын
Kwa mapenz haya bado unamkuta mwanaume anatoka nje ya ndoa dah 😭😭huyu mdada ni wa kuzeeka nae kwakweli ameonesha upendo wa Hali ya juu
@latifaomary
@latifaomary Жыл бұрын
Wanaume hawaridhikagi mbn ata wafanyiwe nn wanatoka nje tu
@bengachuru1390
@bengachuru1390 9 ай бұрын
Hongera sana kwa huyu mama. Mapendo iko kati yenu. Mungu abariki nyumba yenu. Poleni kwa mashambulizi.
@tabithamulwa8714
@tabithamulwa8714 2 жыл бұрын
Congrats my SIZ your are one in a million am proud of you with thank God for granting you life as a family be strong every thing happens for good for those who love the lord more grace in Jesus name
@abelmirwatu544
@abelmirwatu544 2 жыл бұрын
Huyu mwanamke ndiyo wanaitwaga wife materials, ana package zote za kuwa mke wa kuolewa, ni mwili mmoja kweli kwa mumewe.
@user-vd7wy1sj1f
@user-vd7wy1sj1f 7 ай бұрын
Mwanamke Bomba 😂❤❤❤
@SakinaShaban-kl8fx
@SakinaShaban-kl8fx 6 ай бұрын
Mwenamke sehemu yyte anatakiwa awe jasri hata ktk bibilia wanawake tumefananishwa na jeshi ko ss ni majeshi wa kimwili na kiroho hongera sana dada yangu kwa mapambano mema
@sophiamarco3839
@sophiamarco3839 2 жыл бұрын
Safi sana Mungu azidi kuwalinda wote na familia yenu.
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 2 жыл бұрын
Hongera dada mungu awabariki na mumeo uzidi kupata ujasiri
@rehemaissa5689
@rehemaissa5689 Жыл бұрын
Umempata mkwe mwenye mapenzi ya kweli Allah awajalie ktk maisha ya ndoa yenu
@EmmanuelShija-j6u
@EmmanuelShija-j6u 5 күн бұрын
Daaaaaaa safi sana dada angu mungu awape maisha marefu na familia yenu
@lilynestorybenezety6180
@lilynestorybenezety6180 Жыл бұрын
Ongera sana kipenz mungu azid kuwapa nguvu na maisha marefu
@stellahemilian9168
@stellahemilian9168 2 жыл бұрын
Bastola ilikua na risasi moja tu walipompiga mumewe ikaishia hapo.mungu ni mwema alikujaza ujasiri, hongera.
@skuhenga
@skuhenga 2 жыл бұрын
Hapana itakuwa ili jam..
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Ila waandishi nyie mnafanya kosa kumtowa Sura yake Sababu hao majambasi ni wanaadam na mkumbuke mwenzao amefariki huyo aliefariki japo jambazi mkumbuke ana ndugu ana wazazi ana hao watu wake walioshirikiana nae hiyo kazi wanaweza kumvizia huyo Binti na kulipa kisasi angalieni msije mkawaponza hao watu
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Kweli,hii ni hatariii kwa usalama wake
@fatumamuya283
@fatumamuya283 2 жыл бұрын
Tena saana
@Michoarbah
@Michoarbah 2 жыл бұрын
FUTA
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Point Sana wanaweza lipoza
@veronicabwamukuru1265
@veronicabwamukuru1265 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@zainaseleman3043
@zainaseleman3043 10 ай бұрын
Neema ya Mungu iko pamoja na wewe Dada Mungu akupe ujasiri zaid huu in mfano wa kuigwa
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 2 жыл бұрын
Mungu Akusimamie kwa kila Jambo Jema na Akupe Afya njema.
@aminakadala7676
@aminakadala7676 2 жыл бұрын
Kosa kubwa sana kumuonesha sura huyu dada tena mnooo
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 2 жыл бұрын
Waandishi wa kileo
@jaliabahat1520
@jaliabahat1520 2 жыл бұрын
waandishi hawajitambui
@mariamsamson2679
@mariamsamson2679 2 жыл бұрын
Hongera malkia wa nguvu,ni kwa neema ya Mungu ninyikuwa hai mpate kuyasimlia matendo makuu ya Mungu.
@agnesmagehema576
@agnesmagehema576 2 жыл бұрын
Hakika wewe ni mwanamke Jasiri Mungu akulinde na kukupigania na Mumeo akupende Daima
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 2 жыл бұрын
True love keep it up
@highvoltages4169
@highvoltages4169 2 жыл бұрын
Faida ya kuweka mawe nje ya nyumba yako, Jamani tuwekeni mawe ,yatakuja kutusaidia
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 2 жыл бұрын
😄😄
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 2 жыл бұрын
😂😂😂
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 жыл бұрын
Hahaaaa
@janekikoti5297
@janekikoti5297 2 жыл бұрын
Nayo ni hatar sana kama angerushiwa mawe
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
mwisho yatakuua ww mwenyewe huyo kabahatisha tu wee jusheuwe uweke hayo mawe
@kassimally5358
@kassimally5358 2 жыл бұрын
Mzuri harafu shujaa thx mamito
@rahemaheri1615
@rahemaheri1615 2 жыл бұрын
Palepale imekuwa nyingi but hongera Sana mwanamkee jasir na unapendoo Sana Kwa mumeo
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 2 жыл бұрын
Kumbuka hiyo ni camera mara ya kwanza
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 2 жыл бұрын
Kiswahili Cha kigoma mwisho wa reli
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
@@henricamikambi6147 🤣🤣🙌🏽
@shabbymakapaneshabby5000
@shabbymakapaneshabby5000 2 жыл бұрын
Kabisa Ana MAPENZI ya Kweli
@penuelyolotu7113
@penuelyolotu7113 2 жыл бұрын
Aaah aaah jaman PALE PALE
@asnathmasegenya9890
@asnathmasegenya9890 2 жыл бұрын
Safi sana nimependa ujasiri wako
@gakniv9020
@gakniv9020 2 жыл бұрын
Hongera sana dada wakati wa mungu ukifka hakuna wakupinga
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 2 жыл бұрын
Masha Allah Dada kwakujikita kutetea maixha ya mumeo.ww mwanaume umexhindaj sana mkeo ukija kumsaliti Mungu atakuadhibu
@ojasoojaso9479
@ojasoojaso9479 2 жыл бұрын
Adriana line ikifika ukomo fulani kuna nguvu hata mtoto mdogo anaamua kufa au kupona. Hali hii ikitokea binadamu anakuwa kama mnyama aliyejehiwa , tena uoga wala hofu hupotea, na ujasiri usionekana katika maisha ya kawaida hujitokeza. Point of no return.
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Kabisa
@jacobomhagama6563
@jacobomhagama6563 Жыл бұрын
,mungu Aendelee.kumpa.ujasili
@salmasaid1521
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Hongera sana dada kwa ujasiri uliopigania mali yenu hlf kesho na kesho mume umuone mkeo hafai mungu awape upendo zaidi ktk maisha yenu
@lordofmercy9997
@lordofmercy9997 2 жыл бұрын
There is power in the name of the lord
@stephenkahindi8678
@stephenkahindi8678 Жыл бұрын
Maneno machache yenye nguvu aliyoyasimulia huyu dada ni kwamba, "kama mume wangu amekufa, mimi na thamani gani "😳 ak dada una moyo mkuu kisha usio kifani.
@gwamagobejosephat4376
@gwamagobejosephat4376 2 жыл бұрын
Jamani tunaunga mkono kumshukuru Mungu pekee aliyewatetea.Ushauri Mtunzane kltk maisha yenu huku mkikoseana msamaheane kwa kukumbuka tukio hilo(Kitunze Kikutunze)
@ayoublupande3007
@ayoublupande3007 2 жыл бұрын
Dàaaaah huyu Dada mzuri na anamapenzi halisi yaso changanyika na unafiki wowote yn me naomba Rais ampe nafasi jeshini huyu nimwanajeshi komandoo kabisa yn 💪💪
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Hahaaaaa
@homeandaway2811
@homeandaway2811 2 жыл бұрын
Hongera mama, nyie ndio wanawake wa kuoa sio wale wafuga kucha na wavaa mawigi, maslay queen wa mjini haya mambo hamuwezi
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 2 жыл бұрын
Mwambie Mungu asante maana bila ivyo ingekuwa story tofauti
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 2 жыл бұрын
Inamaana hujaskia kamtaja Mungu
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 2 жыл бұрын
@@sakayonsakihunga3496 duh
@zaisomji3897
@zaisomji3897 2 жыл бұрын
We kaka kama utamsaliti uyu dada mungu atakupa ukumu nzito maana wanaume kama mapaka amliziki
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h 3 ай бұрын
Mashaallah dada mung akubarik kua na ujasir huo huo
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Nimekupenda dada unaalili sana
@ashamasoud969
@ashamasoud969 2 жыл бұрын
Hivyo mnavyoonyesha sehemu yake si mtaletea Hatari kwa waliobakia hao majambazi
@catherinemutasi8340
@catherinemutasi8340 Жыл бұрын
Mshukuru mungu sana AMEN BARIKIWA
@HeppyRafaeli
@HeppyRafaeli 2 ай бұрын
Safi sana mdg wngu. Maana haya manyamela! Yanafaa kuuwawa
@carolinenjiro41
@carolinenjiro41 2 жыл бұрын
True love, hongera Sana mwanamke wa nguvu🙏🙏🙏🙏
@veronicanabina3380
@veronicanabina3380 2 жыл бұрын
Hongera dada kwa ujari Mungu Ni mwema
@sophiamakani6133
@sophiamakani6133 2 жыл бұрын
Wooow mungu akupe maisha marefu na familia yko
@user-zb5kc4rv7w
@user-zb5kc4rv7w 5 ай бұрын
Dah! Mwanamke jasili sana mungu awatie nguvu mdum ktk ndoa yenu na mshinde zaidi na zaid. Kigoma oyeeeeee❤❤❤❤
@justinejohn7724
@justinejohn7724 2 жыл бұрын
Hongera sana dada. Na Mungu aendelee kuwatunza na kuwalinda.
@brightermwailolo3409
@brightermwailolo3409 2 жыл бұрын
Avalishwe gwanda tunahitaji wamama Kama Hawa. Apelekwe kozi aingie police...kifupi ni jasili
@crazyallien8335
@crazyallien8335 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema 🙏🙏🙏
@josephkaroki943
@josephkaroki943 Жыл бұрын
M no
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Pole mdd Hongera. Mdd Mahaba kama yote😁😁
@user-cj8sc1pe2l
@user-cj8sc1pe2l 5 ай бұрын
Nakupenda dada hongera sana
@fulgencendyamukama742
@fulgencendyamukama742 2 жыл бұрын
Amina, ubarikiwe kwa kutoa msaada mkubwa kwa mmeo.
@assankwale4434
@assankwale4434 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mama mwema
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Brother hongera umepata mke jasiri
@ummuadam2423
@ummuadam2423 2 жыл бұрын
Mungu amlinde huyu Dada manake hao waliokimbia bdo watakua na hasira mwenzao hayupo Tena
@abdallajuma6262
@abdallajuma6262 2 жыл бұрын
Good job safi mm mungu awalinde na jengine kuwa tayari Kwa kibaya chochote dhidi ya mwenzako mbambania Hadi tone la mwisho
@genovevakisawike-xo2wq
@genovevakisawike-xo2wq Жыл бұрын
Ongera dada Kwa ujasiri mnzr msiachane kmweeee
@sagudamagerela3414
@sagudamagerela3414 2 жыл бұрын
Dada bastola haikuwa na risasi.Mungu akuepushe na majambazi
@NehemiaZakeo
@NehemiaZakeo Күн бұрын
Duu!! Pole sana mama
@lewinersylivester1984
@lewinersylivester1984 2 жыл бұрын
Wewe dada Mungu akubariki sana
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 2 жыл бұрын
Congrats my sister, you made it...
@sagudamagerela3414
@sagudamagerela3414 2 жыл бұрын
Majirani wa kigoma mnachelewa Sana kufika kwenye matukio
@epifaniamzumbwe5159
@epifaniamzumbwe5159 2 жыл бұрын
Dah!😂😂😂
@ElizaMzena
@ElizaMzena 2 ай бұрын
Hongera mwanamke. Shupavu
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 2 жыл бұрын
Hongera sn dd kwakupambana Allah akuzidishie subra yadhat moyon mwako
@Betawomen
@Betawomen Жыл бұрын
a very strong woman❤❤
@quentinsylvia3877
@quentinsylvia3877 2 жыл бұрын
juhudi zako ulizionyesha ulijitolea Kwa moyo mmoja na kupambana Kwa ajili ya maisha ya mumeo dada mungu aendelee kupambania umeonyesha moyo na mapenzi ya kweli
@theresiagreyson9606
@theresiagreyson9606 2 жыл бұрын
Nikaandaa jiwe langu vizuri😂😂 big up Sana dada
@epifaniamzumbwe5159
@epifaniamzumbwe5159 2 жыл бұрын
🤣🤣
@herbethlukogela7657
@herbethlukogela7657 3 ай бұрын
Touching.......
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Wanaopata wake kama huyu mdada, kwa kweli wamebarikiwa. Nimefurahia maneno yake ya kijasiri "Nilijua wameshamuua mme wangu, na kama wameshamuua, mimi nina thamani gani tena! wacha tufe wote!" Kisha akaingia kwenye uwanja wa mapambano
@aminakipande5645
@aminakipande5645 2 жыл бұрын
Wewe kuweza kama unamapenzi na mwenza wako nae atakua na mapenzi na wewe so tupendane mm hata mwenza wangu akikamatwa na trafki mavi ya nanibana nakuanza kulia kiufupi tupendanee
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 2 жыл бұрын
Yaani we acha tuu.
@lindakim2292
@lindakim2292 2 жыл бұрын
Akaingia uwanja WA mapambano😃😃😃😃😃
@brightermwailolo3409
@brightermwailolo3409 2 жыл бұрын
Kwa kweli huyu anastaili pongezi wengi tunaishiwa nguvu na kunitetea wenyewe. Hataki hata kwenda kwenye biashara mpaka mume wake apone
@silasjoseph9033
@silasjoseph9033 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@slimtaley1759
@slimtaley1759 2 жыл бұрын
Hongera Sana Sister M/Mungu akubariki katika Maisha yako unastahili sifa na Kuwa Mfano Bora kati ya wenye Mifano Bora Tanzania Hongera Sana .
@jumashausi8844
@jumashausi8844 2 жыл бұрын
Wanawake wa hivi kwenye hii dunia kabaki huyo mdada 2 ukimpata mwingine niite mbwa Niko pale
@user-lz7sb3we7z
@user-lz7sb3we7z 9 ай бұрын
Pole sana dada endelea kumtumainia Mungu na kumshukuru Kwa Kila jambo Ameni
@getrudewillson308
@getrudewillson308 2 жыл бұрын
Hongera sanasana dada kwa upambania haki yako, wewe ndo mwanamke oomani
@scholarmawala1403
@scholarmawala1403 2 жыл бұрын
Big up malkia wa Nguvu 👍
@sumayasumaya6455
@sumayasumaya6455 2 жыл бұрын
wanawake uchawi ni kumpa love' tu ya uhakika., ndio utayapata haya, sio fiksi kibaooo, kuchepuka, uwongo, n.k. mbofu mbofu.
@maureenmis5852
@maureenmis5852 2 жыл бұрын
What a man can do a woman can do better tafakari hayo,Mungu akulinde dada
@FatmaMwinyi-jt2rr
@FatmaMwinyi-jt2rr 10 ай бұрын
AMIIN
@user-ne2gv8qo2s
@user-ne2gv8qo2s 5 ай бұрын
Hongera mama Kwa ujasiri huo,endelea kumtegemea Mungu.
@maryamabdullah9169
@maryamabdullah9169 2 жыл бұрын
Allah kareem Azidi kuwalinda Inshaallah
@saidnasibu5803
@saidnasibu5803 2 жыл бұрын
Ficheni sura yake ndugu mana jambazi alie uliwa yuko na ndugu Na familia yake na wenzake wa kazi ya ujambazi pia wapo ssa mujue munamponza bure Uyo mama
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Washafeli wanajisahau sijui au wageni wa kazi hawafikirii kifuatacho
@zamdaomanizamdaomani3172
@zamdaomanizamdaomani3172 2 жыл бұрын
Kabisa
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 2 жыл бұрын
Kweli anaweza kuhatarisha maisha yake
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 2 жыл бұрын
Kweli hata Mimi nimekiwaza hicho
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 2 жыл бұрын
Wandishi wa bongo hao kaxi kimbwa umbea tu ndo wanayo ijuwa
@AmeenaTanzania
@AmeenaTanzania 7 ай бұрын
Ongera sana dada unamoyo wa kipekee sana 🎉🎉🎉mungu awalinde muendelee kuwa pamoja
@takrimanyangalima6764
@takrimanyangalima6764 6 ай бұрын
Mungu husimama ktk kila jambo, hongera dadaang kwa ujasir kweli ninyi ni mwili mmoja, baba mheshim mkeo
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 жыл бұрын
Unaakili sana dada
@davonimsigwa818
@davonimsigwa818 2 жыл бұрын
waandishi akili hanakabisa kwann muoneshe sula hayo mambo niyakiaskali zaid
@koladjulius9945
@koladjulius9945 2 жыл бұрын
Yesiiii
@abdulkadrikimaro4992
@abdulkadrikimaro4992 2 жыл бұрын
Apo majambazi wengne Wana uwezo wa kumtafta hata mchana!!!
@gorettimtungwe9011
@gorettimtungwe9011 2 жыл бұрын
Kabisa usalama wake wanaweka pabaya
HUYU DADA MCHAWI
8:01
Steve Mweusi
Рет қаралды 1,4 МЛН
哈莉奎因以为小丑不爱她了#joker #cosplay #Harriet Quinn
00:22
佐助与鸣人
Рет қаралды 8 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 22 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 39 МЛН
Mauaji yalivyofanyika Kanisani Njombe | Mtuhumiwa alivyomkatakata marehemu
11:16
ALIFANYA MAPENZI NA NGOMBE NA KUPATA MIMBA
21:34
XPLUS TZ
Рет қаралды 1,6 МЛН
KINGWENDU AKATWA VIDOLE ZIMBABWE 🇿🇼  AZULUMIWA PESA 🤣
21:01
KINGWENDU OG TV
Рет қаралды 1,5 МЛН
IMPOSSIBLE! Giant SNAKE Lay Eggs Hunters Saving Girl | MIKE FISHING
11:32
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #love
25:05
BabaJoan
Рет қаралды 498 М.