Pole sana Jasmin Mungu atakufanyia wepes kuwa n Subllah kipenzi Ila Mponji kuwa makini kwakila unachokisikia kanzi njema nawapenda sana
@mbikamtanganaki9 күн бұрын
Dah leo wa sita ngoja niangalie sires kwanza ndyo nikoment ila msininyime like wapenwa❤❤❤❤❤
@dhahabudeche9269 күн бұрын
Asante sana kimarwa kwakuongea ukweli hatimaye mage wetu atakua na amani Mungu wetu halali yuko imara kutetea haki 🙏🙏🙏furaha ya mage inarudi nawe ulie fanya mage akose amani Mungu akushuhulikie vilivyo
@HemedMpate8 күн бұрын
Kila penye zuri pana baya mbeya kimaro kapata swahabu
@elizabethnafula8 күн бұрын
Hongera sana kimaro na ww mponji uaminifu ndio nguzo Bora katika ndoa sio kuamini watu wa nje unawacha kuamini make wako ambaye munajifunika blanket moja.halafu kimaro maua Yako Haya💐💐💐
@hamzarobert23728 күн бұрын
Mage acha kujiliza bana piga magoti muombe Mungu yeye atakujibu kama ni mme bora pole sana mage
@ambwenejobbin44639 күн бұрын
Sometimes ni vizuri kuwa na wambea kama Kimaro mtaani 😊
@dhahabudeche9268 күн бұрын
@@ambwenejobbin4463 kabisa yaani amejua nikufurahisha sana
@FaithNazi-x5v8 күн бұрын
Aliyependa umbea wa kimaro gonga like twende mbele🤣🤣 ila umbea wake umesaidia ndoa yetu❤🤗
@tumainimgavilwa1327 күн бұрын
Aliyevunja ndoa ya mage natamani nimnga'ate uso wake
@AziziMfaume-p2d8 күн бұрын
Kimaro inabidi nikuletee mbege na kiburu ❤❤❤
@LewisJosepMoshi8 күн бұрын
Asanteee
@JennyAkinyi8 күн бұрын
Kimaru pokea 🎉🎉🎉🎉🎉umeweza❤
@SaumupuyaDigokomu8 күн бұрын
Dah mashemegi wote wachomwe moto
@upendoelia-b7x9 күн бұрын
Kimaro umenifurahiaha Sana kaka yangu
@maryjulius59237 күн бұрын
Kimaro kunywa soda naomba bill ije kwangu nitalipa 😂😂😂
@MariamMchomvu-q3s5 күн бұрын
Kimaro apewe ndoo ya mbege😂😂🎉
@EverlineMoraa-p6f8 күн бұрын
Pole sana mage enda kwenu utafute il fimbo ala kimaro mau ni yako🌷🌷🌷🌷
@SilaMwalongo9 күн бұрын
Hongera kwa kaz nzurii 🎉🎉🎉
@lizzybenny93688 күн бұрын
Woooh nimefurahi Mage ataludi kwa ndoa yake😂❤❤❤
@LilianGaya8 күн бұрын
Hongera kimaro🎉
@VeronicahOtwori8 күн бұрын
Kimaro mauwa yako leo hoyeeeeeeeeeeee mungu atafanya jambo n huyo jamaa atapata haibu kubwa sana tuletee mwendelezo mbio jameni ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@FaridaAlita-jx6lt8 күн бұрын
Kwakweli njia ya muongo ni fupi na kumtegemea mungu pia kuna malipo hongera kimaro hongera mage na pole kwa mitihani pia
@GladysKarembo8 күн бұрын
Kimaro MUNGU akubariki sana kakangu.Saai Mage wetu atakua na furaha.Mungu ni mwema siku zote.
@MerisianaRomani8 күн бұрын
Ila mponji unakeraaa unashindwa nn kumwamini mwanamke wako ety😢😢😢
@StellaAndeso8 күн бұрын
Daa mage ni mwanamuke na nusu Yani anaongea pole pole tu oo masikini mage 🤭🤭🤚
@LilianGaya8 күн бұрын
Duuuh kuna watu wana roho mbay sanaa
@SallyRawanda8 күн бұрын
Asantebsana mpunji unaona sasa ukweli lazima ushinde 👍👍👍👍
@mwanaisha17038 күн бұрын
Tunaomshukuru kimaro gonga like ❤
@aminahhuawei11338 күн бұрын
Pole sana mage habbty❤❤❤❤
@alicebahati-qi8vo8 күн бұрын
Kimaro umefanya vizuri sana❤❤❤❤
@Nimrathshirima8 күн бұрын
Ila mage yuko vzr nasri asingekuepo bila mage
@CarolyneMalala-o6x8 күн бұрын
Mponji kama umefikia hapo nashukuru na pia nafurahi kuona ukirudiana na Magy🎉🎉🎉🎉❤❤❤lakini ufahamu ya kwamba wewe unaumia kwa kusikia uongo ila Magy anamaumivu makali sana
Leo kimaro ukaongea ukweli umenifulahisha maua niako🎉🎉🎉🎉
@AnnaMkamba8 күн бұрын
Mage kwenda uko Acha kujiliza
@wemasangasanga7578 күн бұрын
Mponji maneno ya kuambiwa changanya nayako
@ClaudineJeanclaude9 күн бұрын
Mage nakupend san unaeshim❤❤❤
@Fazila-j2s8 күн бұрын
Kimaro,asante sana,ume nifurahisha leo🎉🎉🎉
@EstellaTuyisabe6 күн бұрын
Pore sana mage ita mpoji ujifunze hapo
@khadijab70669 күн бұрын
Leo kivumbi jamani ❤❤❤❤😊
@aminandurya8 күн бұрын
Wee kijana nkuchukia umuacha mage hana Amani 😢😢😢 naomba location mm nk kenya
@FatimaizaqueSefo8 күн бұрын
Da mponji tengehe nihanze kuangaliya move zote zijawahi towa mashozi ila leho nimeliya mimi.Pole Mage
@Eva-p2t5d8 күн бұрын
Saf sana kimaro chukua maua yako❤❤❤❤❤ umejuwa kunifrahisha
@Najmahnyangasi8 күн бұрын
Kazi nzuri sana mponji
@PetronilaYaa8 күн бұрын
Umefanya vzr sana Kimaro kumwambia ukweli Mponji❤❤❤
@mwanaisha17038 күн бұрын
Kwa nn mage usimrekodi huyo mbwa aaah simpendi kama nn
@evelinemoraa45479 күн бұрын
Asante bro kimarwo kwakusema ukweli Maggi kanyaga kubwa kubwa Hadi kwenu utafute ili fimbo yetu ili mponji akikufwata kwenu mamako afanye ili kitu tena 😂😂😂😂😂 ndio ajue uko Na watu akukuokote Kwa barabara ati Dini kimemuramba sasa kimarwo Jukua Mau yako💐💐💐💐💐
@DesderiaKanepela8 күн бұрын
Aisee umenikumbusha zile fimbo,nimejikuta nacheka kwa sauti😂😂
@Agnes-q6b8 күн бұрын
😅😅😅😅😅@@DesderiaKanepela
@FatumaAli-xm8di8 күн бұрын
Afadhali umtoe taka za maskio uyo mponji
@TashaCosy-gc1fs8 күн бұрын
Saa ingine mage n ww unakaa km zuzu sasa kwn s uchangamke aise😂😂
@JaneSonko8 күн бұрын
Weee mpoji kuwa mpole😢😢😢😢😢
@BahatisuleBahatisule8 күн бұрын
Waoooh. Asante kimarwo jmn daah hatimaye mage atarudi kwake sasa maana alikua anatia huruma kweli
@AnnaMkamba8 күн бұрын
Mponji acha use nge
@BibianaTlatlaa9 күн бұрын
Wa kwanza apa,, naona mponji upo tayar
@chieng-w8f9 күн бұрын
Mm hapa kutoka kenya naomba like samahani...
@rahmamamy40349 күн бұрын
Kimaro kamtetea mage😢wallah.ilikua inauma saana
@LewisJosepMoshi9 күн бұрын
Kabisa
@joycemakokha96488 күн бұрын
Mama Nasiri ni mwanamke tosha good wife material in the world ❤❤❤❤❤
@هيلنهيلن-ن1ن8 күн бұрын
Wewe mponji Amini mke wako si watu wa inje alafu munajelewesha kutoa sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉from team strong 🎉
@JoshuaKichumbe4 күн бұрын
Mponji anakela sana hana subira
@adonettebucumi-w7q8 күн бұрын
Kumbe mupongi nimuongo😂😂😂😂😂
@helinasubila9878 күн бұрын
Mimi siwesi pebelesa mwanaume mage uko na ujiga sana
@NiyelaBolo8 күн бұрын
😂😂😂
@Agnes-q6b8 күн бұрын
Huyo kaka mtenganoshi kafanana na hajila,kama ni ndugu vile,😅😅😅
@AnselmeKAKUNDO8 күн бұрын
Aksanti sana bwana Kimaro kufungua vifungo vilivyo mkaza bwana Mponji.
@ANGAng-d9g8 күн бұрын
Asante kimarwa 🎉🎉❤
@rosemwashitete43058 күн бұрын
Mage usilisikilize Hilo lipumbavu san
@Faitholgah8 күн бұрын
Wee kimaro pokea maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BerylOmolo-b2p8 күн бұрын
Mponji machozi ya mwanamke ni laana usikubali mage aendelee kulia kwa kosa lenye hakufanya
@DokaSwamwel8 күн бұрын
Aim sorry Maggie lkn usilie sana mungu Yuko na yy my dear
@AminaOthuman9 күн бұрын
Fasta mwendelezo jamani
@Olpha-qx1mo8 күн бұрын
kimaru mau🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@winniemwaka32028 күн бұрын
Kimaro mauwa kwako🎉🎉🎉🎉🎉😅ukweli umempa ukweli mponji ajiulize sasa mponji unaniuma😢huyo mage ni mke kaka
@FaridaAlita-jx6lt8 күн бұрын
Muendelezo usicherewe jamani wapendwa
@hamzarobert23728 күн бұрын
Watu mko. Fasta jamani ❤😂
@rosemwashitete43058 күн бұрын
Mponj so mbembeleze mama shadia ili ulee vizuri mtoto wamme mwenzio umeona mage hafai dart hufai uache mwanaume mwenzio akuoowe ohoooo
@AngelinaKitomary8 күн бұрын
Mponji anakutesa kwasababu anajua unampenda sana alafu nawew unamfata fata kila saa cjui ana Cha dhahabu😁
@gloryjimson98318 күн бұрын
😂😂😂😂😂nimelia sana
@hamzarobert23728 күн бұрын
❤❤❤nimechelewa leo
@Hasnamhalif8 күн бұрын
Ila huyu baba shady yupo kama kitaira 😂 simuelewi huyu baba
@EvansJefwa6 күн бұрын
Mponji umeponjika kweli hakuna wenye dini safi rafiki yako alinyimwa mzigo ndio akaona amwage mboga..
@BENADETAMATEKELE9 күн бұрын
Hivi huyu mage anatafuta nini lwa huyo mjinga
@NthenyaNgei9 күн бұрын
Amucha uyo sio mume 😢
@JolieKansime8 күн бұрын
Kimaro pokea 🎉🎉🎉
@christinekadzobaha94918 күн бұрын
Pole mage kipenzi unaniliza hata mm dea
@AsmasaidiTitu9 күн бұрын
Movie yakijinga ndoa yakipuuz wakielewana tena mama shadia anatia unafk
@janekanini8 күн бұрын
😂😂😂😂😂 movie ya Nini?
@SyombuaMuvengei9 күн бұрын
Oh oh kwani Leo nimewaiwa lakini leo mpoji kawa na akili hila wwe mpoji acha kumuminza magii andi naimia daah 😢😢😢😢 jamani semeni kitu kwa magii I'm from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉
@AziziMfaume-p2d8 күн бұрын
Kimaro❤❤
@MwanasitiHemed9 күн бұрын
Leo n mewah❤❤❤❤❤
@veronicaonchuru9 күн бұрын
Kimaro umetopoa siri mponji anakimbia kumuona mage
@HhUhh-io8ix8 күн бұрын
Kimoro nakupenda bureeee asante munoooooooo kumsaidia mage shem muongo munoooooo mponji haya Sasa waona chunguza kitu kwanza hasira Haina faida
Mage uko na simu siumrekodi huyo mshenz upate ushahidi kamili umekuwa kama mama shadiya sasa kiguu na njia safi sana kimalo umemfungua masikio huyo zezeta😅😅😅😅😅😅
@Sundaykamugisha8 күн бұрын
Usilie mm nasira yatakeisha
@upendoelia-b7x9 күн бұрын
Jamani nimewahi Leo wa 21 naomba hata like jamani
@SabinaSulley-x7v8 күн бұрын
Mama mponji ale fimbo kwanza anawezaze kuvunja ndoa kwa maneno ya rafiki tu.
@Rukia-x1r9 күн бұрын
Polemage😢😢
@Marrioncheptepkeny8 күн бұрын
Kwenda kabisa unalilia mwanaume ww bado mrembo
@HhUhh-io8ix8 күн бұрын
Maombi ya mage imenda kwa mungu alhamdulillah hana kosa jmn eti nimeambia haaa wapi sasa
@MagretAwinja8 күн бұрын
Mponji nimekuita mara ngapi
@marthasonia50058 күн бұрын
amen 🙏
@SallyRawanda9 күн бұрын
😭😭Mange wangu pole yataisha my friend hata mimi ni melia 😭😭
@RaelYeko9 күн бұрын
Kimaro usijali mponji anakimbia kuangalia kama mage ameenda kijijini 😂😂😂