Madereva watanzania waliotekwa Congo wasimulia ilivyotokea mpaka kuokolewa kwao
Пікірлер: 279
@mhagamakonge94937 жыл бұрын
hongera sana kwa kwa kazi waliyoifanya wanajeshi wa Congo,, "Watanzania kuya " hii ndio ilikuwa Saut ya matumaini kwa madereva wetu,,Asante Mungu
@godfreymwandulusya24375 жыл бұрын
Mbona udugu Na urafiki wetu unapungua sana Kwa Hawa ndg zetu siku hizi!? Kulikoni
@user-sn9yp3sc2f2 ай бұрын
Pole Ni Sana ndugu zetu MUNGU ainuliwe mmepona! MUNGU nimmwema
@xiganzacharia64647 жыл бұрын
Poleni Sana Madreva Watanzania wenzetu kwa mkasa mloupata.
@jamesoduororawo83792 ай бұрын
God bless all .😢😢Its not a easy life being a Truck driver traveling to this war torn areas.lots of prayers & love from Kenya🇰🇪
@asiminana40977 жыл бұрын
poleni sana mwenyezi mungu kuwanusuru,husuni kweli.
@stevemselle56317 жыл бұрын
poleni sana ndugu zanguni haya ndio maisha tunayoishi huku na hawa ndugu zetu waasi kila kukicha ni majanga
@florencekiza98895 жыл бұрын
daaaaa poleni SANA MUNGU WETU ashidwi NAKITU CHOCHOTE..BWANA YESU ASIFIWE
@shukranimtulo58577 жыл бұрын
Mungu anatupigania sana. Tunamshukuru Mungu kwa hilo jeshi la Congo
@daudmwamboma59115 жыл бұрын
Shukrani Mtulo polen jaman mwe mm mwenyew niltka niende uko
@madamcolethaa6415 жыл бұрын
Ayo tv mpovizuri jamani mungu awabariki
@bishaaibrahim88027 жыл бұрын
mlikuwa pamoja namungu napia tujifuze kuwa achukuae roho yabinadamu mungu peke ake siuchawi poleni sana hapo hapo mmejifuza ukamanda popote uendapo mtakaa
@ramadhanimtetu36562 ай бұрын
Watanzania Kuyaa tumekuja kuwakomboa Watanzania Kuyaa (Jeshi la Congo hilo ) Daahhh Poleni sana Watz wenzentu
@ayshaal69797 жыл бұрын
polen sana Allaah hashndw nak2
@safinabakari91407 жыл бұрын
Dah inasikitisha sana, poleni ndugu zetu Allah amewaokoa basi ni neema iliyoje amewarejesha mikononi mwa ndugu zenu. Basi je haitoshi huu kuwa ni fundisho kwetu na kwenu. basi turejeeni kwa mola wetu, tufanye ibada. huwezi kujua uhai wake utaisha lini. Ahsanteni
@leinaamos95596 жыл бұрын
Kwanza sifa na utukufu apewe bwan wetu Yesu Kiristo kuwatoa salama ,pili poleni sana
@jaliakamote54855 жыл бұрын
Kabisa mpnz.
@Bashirubakarisalala2 ай бұрын
Acheni ujinga yesu Hana uwezo wowote wakuokoa mtu.
@shekhahamed76256 жыл бұрын
Poleni nikumshukuru mungu
@khayratmuhamed67305 жыл бұрын
Nan kaangalia hii 2019 like yk tafadhali
@BON3572 ай бұрын
Poleni sana ndugu zangu watanzania wenzangu wakongo wasenge sana au xhetani yupo congo aya tundurisu na mbowe jifunze apa
@user-zq1ux3xs7l2 ай бұрын
Akuna haja yakutusi wakongo wote natambua kila mtu anajuwa congo emegubikwa na majambazi wengi kutokana na mali ya nchi. Kwao kila anaye miliki bunduki ujiita ni jeshi
@user-wf2yg7sl4v2 ай бұрын
Akili auna mbowe na lisu ndo wanataka vta we chiz nn
@laurentraphael54702 ай бұрын
Lissu na Mbowe wanahusikaje hapo?
@saidkhalfan16077 жыл бұрын
poleni sana mungu ni mwema amewanusuru hili tunamuomba awalinde daima awanusuru na jingine mungu ni mkubwa
@sasahiyosikaswidanitarabum13744 жыл бұрын
inchi zingine zina roho mbaya
@harunncheye88177 жыл бұрын
one people one nation thanks Allah madereva wetu
@fadhilaamiri84987 жыл бұрын
poleni sana Mungu ni mwema
@ernestisokolo-mx3hgАй бұрын
Ee mwenyezi mungu wanusuru waume zetu Madereva
@AnifanusuraАй бұрын
Mungu azidi kuwatetea
@yusufally68534 жыл бұрын
ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR..hasindwi na jambo..fanyen swadaka inshallah....da SUBHANNA LLAH...mwenyezimungu awangamize wakongo hao.poleni sana ndg zangu....maadam mko salaama Alhamdulillah.
@abdillahimahamed18144 жыл бұрын
Nawashukuru sana wanajeshi waliojitoa kuwaokoa ndugu zetu. ..mungu awabariki
@nurudovino73056 жыл бұрын
Poleni sana ila nashukuru na ndugu yetu katoka salaama hata sikuamini kumbe kweli, mungu mwema😍
@SNAIBSTARАй бұрын
Poleni madereva wenzangu
@lilianeerica3318Ай бұрын
Sasa unawapa pole baada ya myaka 7 tayari
@saumuhassan13657 жыл бұрын
Polen sana *Joseph Yord Mwajombe* kama movie aisee,inaskitisha sana.
@rehemasharriff74947 жыл бұрын
polen sana mungu halali kwa ajili yetu sisi wanada tumshukuru kwa kila jambo
@fredsanga94617 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zetu, as long as mmerudi salama tunamshukuru mungu.
@beatreasmgonja17357 жыл бұрын
daa mung ni mwema namshukuru bwana yesu kwa kutenda muujiza mkuu
@nassibusalum50935 жыл бұрын
poleni Sana mungu ni mwema
@zainaommy54754 жыл бұрын
Polen sana
@TonnyMaleko2 ай бұрын
Expendable. Tanzania. Big up. Commando maonyesho.
@user-nb6yh2bn9y2 ай бұрын
Duu tuko pamoja 2024 sihawahi ona Hii habali nimehuzunika saana 😢😢 🙏
@rahmaoman51225 жыл бұрын
Allahu akbar hakika mungu ni mkubwa poren xana ndugu zetu
@mahesenitunduma24387 жыл бұрын
Ni kauli ambayo naikumbuka ilinitia faraja sana sitaweza kuisahau. MWISHO!
@JofreyMwakajila24 күн бұрын
Polenii Sanaa ndugu zangu
@ebisalum88286 жыл бұрын
Huyo bwana aliyekuwa wa kwanza kutoroka angeshikwa naona ndo ingekuwa mwisho wa muvi!! Congo sio kongowe.
@TeamKRX5 жыл бұрын
Ebi Salum mbavu zangu 🤣
@khadijeegundumu46512 жыл бұрын
Kbs🤣🤣
@olivernyange23492 ай бұрын
😂😂
@nsiamassawe30755 жыл бұрын
poleni sana kwa mikasa yote. Mungu amekuwa upande wenu. Wasingewau kwa sababu wanafaham Tanzania ina raia wakarimu mno.
@FrancisAMligo5 жыл бұрын
Asante Mungu kwa kuwaokoeni ndugu zetu
@KabulaJoin20 күн бұрын
Poleni Sana madereca
@gastosecha47137 жыл бұрын
Hakuna kama BWANA YESU
@benjamindenice536 жыл бұрын
Mungu hashindwi, poleni
@happychipanyanga20217 жыл бұрын
mungu Mkubwa hatimaye ndugu zezu wamerejea kwenye ardhi ya nyumbani
@tumainibihemo77557 жыл бұрын
Duh! Poleni sana, Yule Mwenzeni aliyefanikiwa kutoroka nn hatima yake.
thanks God mmerejea salama, mungu azidi kuwalinda na kila baya!
@sofiamsuya2254Ай бұрын
Hongereni ila ndio wanaume jikaze
@michaelsamson96636 жыл бұрын
mungu kawa saidia ila msiende tena mana mmeponea kwenye tundu la sindano
@ashnaomi23855 жыл бұрын
Mungu ni mwema msiache kuabudu mungu hata njiani
@Fatma-tx4os7 жыл бұрын
Allah akbar poleni sana inatosha kujua ukubwa wa allahah
@evansokemwa65875 жыл бұрын
Waislam nitelorist
@josephchakila54605 жыл бұрын
MUNGu ni MUNGU tuuu anaokoa
@jannerysharongaza94697 жыл бұрын
poleni sana...
@sharmelasaif473 жыл бұрын
Poleni sana madereva wootee Mungu atazidi kunmlinda Inshaallah
@estheronyoro14526 жыл бұрын
Mungu nimkubwa namzidi kuomba kila wakati
@dorismamf74046 жыл бұрын
Mungu bado anawapenda mumrudie yeye mana nyie.madereva ni mafataki
@user-lz1qj6ck3m3 ай бұрын
Daah, poleni Sana mungu amesimama kuwa mungu, tumshukuru Kwa kweli nao hao wanajeshi waliowaokoa mungu awabariki na kuwafunika kwenye mbawa zake
@shangwefisima39935 жыл бұрын
Ooooh kumbe haohao Wakongo pia waliwakomboa Mungu mkubwa
@erasmusshauritanga848513 күн бұрын
Nilitamani kuendelea kusikiliza hii habari ningependa kujua hata yule alitoroka mwanzo mwisho wake ulikuwaje.
@KitangariGenerationsАй бұрын
Daah, polen sana ndg zanguni kwa janga hilo kubwa lililowakumbeni, hakika Mungu alikuwa pamoja nanyi, masimuliz yanasisimua sana na kuhudhunisha pia, ila yote kwa yote mumerud mukiwa salama kabisa, hingereni pia.
@HashimRajabu2 ай бұрын
daaaaaa kaz zet zna changamoto nyingi sana mungu atsaidie wat tunao kaanao pamoja awajui shida zetu
@LucasMwijage-oc5nx2 ай бұрын
Pole sana, MUNGU anawapenda,msimuache!
@Msonjo7 жыл бұрын
ajali kazini
@footballhighlightsupdatest52127 жыл бұрын
Thanks God!!!
@bintirashidantybaby81467 жыл бұрын
maskin mungu hamtupi mja wake
@robertnickson3897 жыл бұрын
poleni sana kaka zangu
@mariamhadija72367 жыл бұрын
poleni sana ndg zetu
@adinanichadadee5307 жыл бұрын
poleni sana
@mussamussamussa84447 жыл бұрын
Poleni sana ndg zetu
@anonymous-ps8iu7 жыл бұрын
kweli tanzania ni ndugu ukisoma izi comment utakubali
sasa nyie: yanayo zungumzwa kilasiku kuhusu vita na hali ya wasiwasi mashariki mwa Congo huwaga hamsikiyi? ama mnafikiriaga ni utani? mashariki mwa inchi yetu hali yaijakaa sawa, muwe makini siku nyingine!
@petermichael95136 жыл бұрын
daaaaa polenisana
@kakurutv72625 жыл бұрын
Broo unajua kutafta helaa ww au huww unahongwaa
@henrystanley40772 ай бұрын
HII ndio inaonyesha Tanzania NI nchi bora ya amani na inapendwa Sana uliwenguni..Mungu ni mkubwa Sana hatuna makuu...kila sehemu tunathaminiwa sana
@dianaraymond29677 жыл бұрын
poleni xana hakika mungu ni muweza
@momylavielАй бұрын
Poleni sana
@mudytondo31305 жыл бұрын
poreni sana braza zangu kwa majanga
@mevicemwasuku88847 жыл бұрын
Poleni sana Mungu ni mwema kawaokoa
@leefunnyclip47215 жыл бұрын
From @Usangu logistics natoa pole kwa madeleva wenzangu
@esthernyanchama35226 жыл бұрын
Poleni
@alexmadaraka8405 жыл бұрын
Inauma Sana ndugu zangu je? Nahayo majambazi yaliuawa au
@mnyakyusahalisi20497 жыл бұрын
Dah polen saana ndugu zangu
@user-jk6mr5lv4l2 ай бұрын
Yan wakati wakongo kwetu wanaishi vzr sisi tunaish vby kwao hakuna haja ya kuwaajir wakongo kwetu kwa kaz yeyote ile hata mpira mana hii xo mara ya kwanza kwakweli
@princessjudith44176 жыл бұрын
Polen ndugu zetu mungu ni mwema
@matridasagi21895 жыл бұрын
Porenisan
@hassanmwalubanje92897 жыл бұрын
pollen sana wandugu wakumshukur ni Allah.
@aassmmasd50177 жыл бұрын
polen sana
@jumamwinyimkuu94097 жыл бұрын
Dah,polenisana nduguzetu,mazingirahayosisi hatujayazoea kabisaaa ila ni kumshukuru Mungu mposalama,ombi kwa haomabosi nikuweka mazingira bora ya kazi kwa madereva toka Tanzania.
@adammasunga63824 жыл бұрын
Yuyo shehe Hassan anamuabudu mungu gani ama dini yake inamuruhusu kufanya hivyo? Mungu ndiye muweza wa yote amewaokoa na na hilo bwana ahimidiwe
@MariaKegoro-xv2ou2 ай бұрын
Waislamu wabaya
@kiezeraalfred44937 жыл бұрын
kama filamu vile kumbe scene za kweli.
@asteriashios18522 ай бұрын
Jamani poleni sana tumshukuru mungu Kwa yote aliyowakoa ukiwa unamwomba mungu hakuachi penye shida anafanya njia basi tunashukuru sana jeshi lililotuokolea ndugu zetu watanzania hayo ndo mapito tunayoyapitia duniani poleni mno
@janinnekaneza87807 жыл бұрын
Polen sana mungu nimkubwa
@philipompene99687 жыл бұрын
mungu amewaokoa
@ashamwaulambo29977 жыл бұрын
pole sana ndug zang
@mgimbatv88037 жыл бұрын
polen sanaa
@danielkiwanga28532 ай бұрын
Lakin mbon wao hatuwafanyi hivi wakati kila siki wanapita
@hassankayla40767 жыл бұрын
Poleni sana ndugu zetu
@iragibarume7216 жыл бұрын
jamani. mungu nimwema. ila poleni sana
@rosemerymushi47076 жыл бұрын
Iragi Barume pokeni
@user-mt4ff5fi8s7 жыл бұрын
poleni sana mungu ni mkubwa
@modestgbah88776 жыл бұрын
Unakiyuwa muzuri kiswaili ya Congo eti tunakuya kubaokowa
@dominathakokubelwa98012 ай бұрын
Poleni sana mungu alikuwa pamoja na nyinyi
@ridiayohana93116 жыл бұрын
Polen sana kwan maisha nipopote
@salmamasoud60557 жыл бұрын
Allhadullah
@sedckiaaloyce16115 жыл бұрын
polesana ndunguzetu mnga naashukuliwe
@davypmsangi7 жыл бұрын
kama movie
@ndukulusudikucho_Ай бұрын
Mungu Ni mwema
@Rasoulhk98Ай бұрын
Daaah nimeiangalia hii video utazani imetokea jana maana, taarifa zao za kutekwa zilizungumziwa sana
@jumamaincharacter21076 жыл бұрын
Poleni sana bhana yote Misha iko siku yatakwisha inaskitisha Sana ila hakuna kukata tamaa kwenye utaftaji