Рет қаралды 60,647
Moleni anaelezea safari yake ya kutoka Tanzania kufika Italy mwaka 1998 ambapo dada yake na mume wa dada yake walinchukua na kuishi nae kwa lengo la kulea watoto.
Baada ya miaka mitatu ya kuishi pamoja vituko vilitawala na kupelekea kuishi maisha magumu mno ambayo yanautesa moyo wake.
Walimpitisha mapito makubwa.
Usaliti, tamaa, chuki, na kutumiwa na dada yake kumeharibu saikolojia yake.
Thank you Moleni for allowing this to be online
www.oda.international