Je, Dini Inaweza Kutenganishwa na Siasa? | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S09

  Рет қаралды 19,575

The Chanzo

The Chanzo

10 ай бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 56
@bonabonala5559
@bonabonala5559 9 ай бұрын
bagonza nimtumishi wa mungu sio mchumia tumbo kama gwajima na lusekelo mungu mlinde ameni
@fraternshirima2474
@fraternshirima2474 6 ай бұрын
Mungu awatunze sana wazee wetu Mzee Ulimwengu na Askofu Bagonza, elimu yenu inatufikia vizuri sana🙏
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 9 ай бұрын
Big up Jenelali na Baba Askofu Benson Bangonza.
@user-ue2bp9kn7j
@user-ue2bp9kn7j 9 ай бұрын
Hawa wazee nawapenda sana wametimiza na wanaendelea kutetea haki ,watu wengi wamekimbia jukumu hili! Viongozi wa dini wengi wataulizwa kwa dhambi hii ya kutokemea uvunjwaji wa haki!! Lkn viongozi wa dini wa jue hata Imani haiko salama kwa UMASIKINI, huu na kuogopa kuikemea uovu!!
@StewartUkason
@StewartUkason 2 ай бұрын
Emperial Presidency....!! Hii ni mpya kwangu, ila nimeielewa vizuri.
@user-hx8ft1wu8k
@user-hx8ft1wu8k 9 ай бұрын
Jenelali ulimwengu na bagonsa nimewafuatilia sana mko vizuri sana selekali yeti imetufanya sisi hatuelewi tunaelewa ubabe unao tumika Iko siku ubabe utaisha ccm isifikili wamejiwekea hati miliki hapana watu wamewachoka watakuja kusababisha vita amini usiamini
@fabby1181
@fabby1181 9 ай бұрын
Nimesoma karibu comments zote, nimegundua watazania wengi wanaelewa vizuri kilichobaki ni kuchukua uamuzi katika kuleta mabadiliko. Nawashauri ccm wasithubutu hata kidogo kuzuia mabadiliko kwa propaganda zao, nchi itapasuka na hawata kuwa na pa kutokea
@user-hx8ft1wu8k
@user-hx8ft1wu8k 9 ай бұрын
Tunaomba muendelee kuwapa elimu hivyo hivyo watu waneewa
@EvaristoSanga-ry7by
@EvaristoSanga-ry7by 9 ай бұрын
Nawaelewa sana.
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 8 ай бұрын
Two big brains
@ziyadanyandwi2908
@ziyadanyandwi2908 6 ай бұрын
Mbarikiwe sana wazalendo wa nchi yetu
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 9 ай бұрын
Jenerali nakufuatilia ukiwa na Askofu Bagonza
@wamisangi2801
@wamisangi2801 9 ай бұрын
Dini ni Siasa kwenye upande wa Kiroho zaidi.
@abdallahnkrumah6237
@abdallahnkrumah6237 9 ай бұрын
Hili Ni Darsa Tosha
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 9 ай бұрын
Nimenufaika sana kwa kujiongezea upeo wa kimantiki wa maarifa kutokana na mada hii.
@kindysuleiman5935
@kindysuleiman5935 9 ай бұрын
Ahsante general usichoke tunakuomba baba itusemee tusipkuwa na sauti
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 9 ай бұрын
Nimewaelewa 100%mungu awabaliki
@sholavalencemgimwamgimwa2812
@sholavalencemgimwamgimwa2812 9 ай бұрын
Watawala hawaoni hilo. Macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii. Wanaona na kusikia kile wanachodhani Ni Keri.
@dassustephen731
@dassustephen731 9 ай бұрын
Kazi kweli kweli
@user-te3su5cq9s
@user-te3su5cq9s 9 ай бұрын
Ameongea vyema sana hongera baba askofu
@user-hl8gf5rx8i
@user-hl8gf5rx8i 9 ай бұрын
Hongeren sana watumish wa mungu kwa kaz nzur ya kuwaelimisha uma
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 9 ай бұрын
Kijana mmoja ambaye baba yake alikuwa mbunge alinidokezea ili ugombee na kushinda uchaguzi unatakiwa uwe na shilingi milioni 300 na zaidi
@bonabonala5559
@bonabonala5559 9 ай бұрын
wa tz tumeichoka ccm tunasubiri amri tuu mama wa kambo tumkimbize tumechoka bado dakiikaka au sekunde tuu tuwakimbize ccm
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 9 ай бұрын
Dawa ya kukomesha ujinga ktk. Nchi hii ni kurekebisha katiba na Tume ya Uchaguzi
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 9 ай бұрын
Huyu askofu hakika ni hazina kubwa, Chanzo mzidi kuleta kwenye interview ili elimu yake ipate kumea, Ahsanteni Chanzo
@mosesngendello
@mosesngendello 9 ай бұрын
mjadala mzuri. Suala la Rushwa Ni baya kuliko hata Katiba, Hata Kama katiba ikibadilishwa Kama Hali ya Rushwa itabaki hivi ilivyo, uchaguzi utakuwa Ni ovyo TU.
@denisschacha4971
@denisschacha4971 5 ай бұрын
Duh Aiise chuma
@eliudimwakasenga9754
@eliudimwakasenga9754 9 ай бұрын
😊😊😊😊
@anosiata8242
@anosiata8242 9 ай бұрын
Kazi ipo
@josephaturio8624
@josephaturio8624 9 ай бұрын
Usisahau pale viongozi wa nnchi walipoacha falsafa ya baba wa taifa kuitwa ndugu wao wakajibatiza waheshimiwa Ili sisi tulio chini Yao tuwe wanyonge wao tuwasujudie hapo ndiko chanzo hiki Cha watwana na mabwana.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 9 ай бұрын
Nakubaliana na wewe!
@omolomaxfitnessbodylifetim8252
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 9 ай бұрын
Africa inahitaji Meritokrasia siyo demokrasia maana yenyewe ilikwishafeli badala ya kuwa demokrasia kinadharia na kivitendo demokrasia ya Africa ni kinadharia ilihali kivitendo ni Idiokrasia ( Idiocracy) hivyo jibu la Africa kujikwamua kisiasa ni kutoa nafasi kwa Meritocracy ili na uchumi uweze kushamili
@joycemosha1898
@joycemosha1898 9 ай бұрын
Ni lazima kuwa na dini maharishi popote pence mkusanyiko wa watu hasa kwenye siasa kwani hukoo kwa mm mathematics wanaamini ndiyo maana wanaanza na wachungaji na hao wezetu waamini sana mabundi na kuwaweka mashehe wa kuwalinda na kuwajengea na kodi zetu
@philimonndinadyo2120
@philimonndinadyo2120 9 ай бұрын
Kwqkweli tuko hatarini
@iddmasyen4258
@iddmasyen4258 6 ай бұрын
Sauti km ya Buraza K wa futuhi
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 9 ай бұрын
Mbona hamkumuasi Magufuli ambaye alileta giza katika nchi nzima Watu walipotezwa wacha unafiki ulimwengu
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 9 ай бұрын
Imedhihiri kuwa dini haiwezi kutenganishwa na Siasa. Thanks.
@samwelkavwanga4491
@samwelkavwanga4491 9 ай бұрын
Kweny WiGo wa kidemocrasia Magufuri aliturudisha nyuma sana😢😢ilikuwa ni kipindi kibaya zaidi kuwahi kutokea
@eliajimmy95
@eliajimmy95 9 ай бұрын
Ni kweli
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 9 ай бұрын
👊👍✌️。
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 9 ай бұрын
Katiba mpya ndiyo itakayo tupatia hayo yote uliyoyataja Baba Askofu
@mdmahammad3278
@mdmahammad3278 9 ай бұрын
Tuna hitaji katiba mpya kwanzia sasa ndio mwongozo
@dismasmtui729
@dismasmtui729 9 ай бұрын
Hii mifumo mibovu imewekwa na CCM ili kucompromise utawala wa sheria na uwajibikaji!.
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 9 ай бұрын
Hata makanisani, kwenye magazeti na vyombo vya habari hakuna demokrasia. Demokrasia wakati mwingine ni kama aina fulani ya udikteta uliohalalishwa na wakoloni ili kutuchonganisha. Waswahili walikuwa na namna ya kujiongoza tena kwa haki bila kutegemea hii domoghasia au demockery tuliyo nayo sasa. Ndugu Bagonza yuko sawa kuhusiana na siasa. Mbona matapeli kama Gwajima, na Rwakatare walipoingia siasa hadi kuwa wabunge hakuna aliyetokwa povu au ni kwa sababu walijiunga na CCM na kutafuta ulaji kama wachumia tumbo wengine wanaotumia siasa? Rais wa Malawi ni mchungaji. Papa ni kiongozi wa kidini na kisiasa sawa na Ayatollah wa Iran au mashehe wa mashariki ya kati.
@edwardmizambwa237
@edwardmizambwa237 9 ай бұрын
Mtu avae au asivae gloves, uchungu wa ngumi upo palepale.
@user-eg2hn4qr2g
@user-eg2hn4qr2g 9 ай бұрын
Naomba niwalaani wanaojifanya wasomi na huku hawajui wamesoma nn nakubaki kuwa wasifiaji
@aminieljohn5475
@aminieljohn5475 9 ай бұрын
....kuna haja mahusus ya moral and political reconstruction katika taifa hili.....wako wapi "watu" wanaoliona hili!!....Baba Jenerali, asilimia kubwa wapo kwenye lepe la usingizi wamefungwa kwenye gereza la usingizi mzito!!....tukija kuzinduka blanketing litakua lishaenda!! We will pay the cost unspeakable mediocrity!!...lazima watu waseme "wakati ni huu au never!!
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 9 ай бұрын
Haya yote ni manyarwanda ni maadui wa taifa hawa! Mambwa kabisa hawa
@innocentraymond3301
@innocentraymond3301 9 ай бұрын
baba askofu Bagonza kizazi cha sasa kimeathiliwa sana na emperor power or presidency ndio maana hata kwenye familia kuna huu ugonjwa sana na ndio maana hata vijana wa sasa wamejaa hofu,hawajiamini, hawana uzalendo na hata hawajui wafanye nn,
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 9 ай бұрын
Hakika huo ndiyo uhalisia! Hása vijana wamepoteza ujasiri wa kuthubutu na kujisimamia!
@user-gs1to5lj9x
@user-gs1to5lj9x 9 ай бұрын
Hongera , sana mzee ulimwegu
@abedymtore2707
@abedymtore2707 9 ай бұрын
Bagonza ukisema kwamba rais akiamua kuzba masikio na macho sio kwamba atakua kiziwi2 Bali few years later nchi itakua na machafuko makubwa sana inawapasa viongoz walijue Hilo na waache kujidanganya kua wanainch wataenderea kua wajinga miaka yote
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 9 ай бұрын
Ni kweli hali ya rushwa ni mbaya sana
@johnsinyinza7450
@johnsinyinza7450 9 ай бұрын
Wambieni wajinga.
@user-hx8ft1wu8k
@user-hx8ft1wu8k 9 ай бұрын
Iko siku watu watakuwa kama watu wa mbeya na mbeya ndiko kutako anzia wambeya wabishi kumbuka maandamano ya machinga
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 39 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Jenerali Ulimwengu Anaifungua Shajara Yake Kwa Babbie Kabae
56:28
JENERALI ULIMWENGU ANENA HAYA MBELE YA VIONGOZI WA DINI KUHUSU HAKI ZA BINADAMU
51:46
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 18 М.
Oscar Kambona: Shujaa au Msaliti? | The Chanzo Documentary
1:04:34