DAH! KUMBE MANJI ALIKUWA MTOTO WA NJE WA KIKWETE !? SIRI YAFICHUKA.
Пікірлер: 37
@JanatYusuph2 ай бұрын
Mungu.aendelee kukupa..Imani hiyo
@Felix-e6t4m2 ай бұрын
asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Mashallah allah amtie nguvu
@SaimonMrema2 ай бұрын
Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
@winnierayson91243 ай бұрын
Hongera kwa Jakaya pia pole kwa kupotelewa na mwanae wa kufikia R.I.P YUSUPH MANJI
@CharlesMs25Daghaly2 ай бұрын
Amen
@rumesibarka53122 ай бұрын
Tafauti baina ya mtoto wa nje na mtoto wa kulea...rudini darasani mkasome
@KhadijaMzuri2 ай бұрын
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
@hashimpalekar15653 ай бұрын
Great humanity and human relation seldom to get in this present world
@naldclever3 ай бұрын
Dooh... R.I.P MANJI
@OmanOman-dd5qk2 ай бұрын
Uongo wako siku yakiama limi lako litafangia barabala muongope mungu wewe
@jeniffermombo2 ай бұрын
pole sana mkuuu
@mohammedmussa73782 ай бұрын
Acheni kuzusha nyie watu muogopeni mwenyezi mungu yani kazi yenu kuongea uongo tu sura kama watu wa motoni
@rosechitimbo43062 ай бұрын
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
@abdulmauya48742 ай бұрын
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA ( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
@messiasulleydidy25852 ай бұрын
Uongo mwingine hata shetani hapendi...
@anatolerukonge15852 ай бұрын
Siyo mtoto wa nje ni mtoto wa kulea! Tofauti ni kubwa sana.
@halimamasai22342 ай бұрын
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
@idrissamohamed11002 ай бұрын
Chuki Ni Uchafu Wa Moyo
@ziadasadiki81962 ай бұрын
Kwa kweli daah
@gracemairusya29503 ай бұрын
Ndo maana uliuza dawa za kulevya
@SaadSengenge2 ай бұрын
Kumbe ndio hivyo, basi sio mtoto wa nje,, mhe. Kikwete ni baba mlezi, neno mtoto wa nje Lina maana nyingine kabisa.
@asnathmasegenya98902 ай бұрын
Wanatafuta kkkk
@kazinaimwishehe-ec3xu2 ай бұрын
Ukiwa tajiri unaficha makosa yako yote yaan uyu manji si ndo aliyokimbia kwa magu kwa pesa zetu jamani leo ni mzuri da pesa ni mwanahalamu
@IssaIra-j9u3 ай бұрын
OVYO
@gracemairusya29503 ай бұрын
Ndoo maana alikuwa anauza sure za Jessica huyu kumbeee
@ROZITHOMAS-y4q2 ай бұрын
Hivi kwa nini wamemzika haraka huko ughaibuni. Huyu jamaa kafa kweli?
@kamarhelo2 ай бұрын
Sio ughaibuni ni marekani
@shamzone3882 ай бұрын
Kwani hujui kwa dini ya kiislam kumkirim maiti ni mumzika kwa haraka Na nchi yoyote anaweza kuzikwa bora kuwe na waislam tu
@pinangoda7402 ай бұрын
Wajinga, kuachiwa mtoto umlee ndio MTOTO WA NJE? ACHENI UDHALILISHAJI