DAH! KUMBE MANJI ALIKUWA MTOTO WA NJE WA KIKWETE !? SIRI YAFICHUKA.

  Рет қаралды 75,263

Yetu News

Yetu News

Күн бұрын

DAH! KUMBE MANJI ALIKUWA MTOTO WA NJE WA KIKWETE !? SIRI YAFICHUKA.

Пікірлер: 37
@JanatYusuph
@JanatYusuph 2 ай бұрын
Mungu.aendelee kukupa..Imani hiyo
@Felix-e6t4m
@Felix-e6t4m 2 ай бұрын
asante sana. kikwete kwa kutuonyesha mambo vyako lakini sis wanyonge ayatusaidii usitueleze mengi uyafanyayo mengi yanatuudhi nakutumiza watanganyika tumekujua yakwamba unapendelea sana waisilamu. kuliko wakirsto tunakuona sana wenu ni Simba sauti ya wanyonge tuamke kwa haraka kabla ya maji kuzidi unga watanganyika kumekucha amkeni kwasasa msilale Tena
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Mashallah allah amtie nguvu
@SaimonMrema
@SaimonMrema 2 ай бұрын
Mungu ailazerohoyake mahali pema peponi hongera jakayamrisho kikwete kwaku timiza wosia wa babayake manji nawalio mtendeya mabaya tunamwomba mungu awatumbukize jehannam yamoto wamilele eimen
@winnierayson9124
@winnierayson9124 3 ай бұрын
Hongera kwa Jakaya pia pole kwa kupotelewa na mwanae wa kufikia R.I.P YUSUPH MANJI
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 2 ай бұрын
Amen
@rumesibarka5312
@rumesibarka5312 2 ай бұрын
Tafauti baina ya mtoto wa nje na mtoto wa kulea...rudini darasani mkasome
@KhadijaMzuri
@KhadijaMzuri 2 ай бұрын
Mm najua mtoto wa nje yani kazaa na mwanamke nje ya ndoa na wa kulea alipokua na mwanamke wanaishi pamoja yule mwanamke anawatoto sasa ww baba wa kambo umewalea wale watoto lakini sio wako
@hashimpalekar1565
@hashimpalekar1565 3 ай бұрын
Great humanity and human relation seldom to get in this present world
@naldclever
@naldclever 3 ай бұрын
Dooh... R.I.P MANJI
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 2 ай бұрын
Uongo wako siku yakiama limi lako litafangia barabala muongope mungu wewe
@jeniffermombo
@jeniffermombo 2 ай бұрын
pole sana mkuuu
@mohammedmussa7378
@mohammedmussa7378 2 ай бұрын
Acheni kuzusha nyie watu muogopeni mwenyezi mungu yani kazi yenu kuongea uongo tu sura kama watu wa motoni
@rosechitimbo4306
@rosechitimbo4306 2 ай бұрын
Nampongeza Rais wa awamu ya nne.kwa jukumu la kumlea Marehemu Manji.ilimpelekea Manii kugusa jamii kubwa kiajira.na wengine wenye nafasi nzuri wafanye kama Rais Jakaya Mrisho Kikwete bils
@abdulmauya4874
@abdulmauya4874 2 ай бұрын
SAMAHANI waleta habari hizi kutupiga na KICHWA CHA HABARI Kisicho uhisia wake ### WANA HABARI JARIBUNI KUWEKA VICHWA VYA HABARI MBASHARA...KINACHOENDANA ( mfano kichwa hiki...mmepotosha kama msomaji atasoms bila wewe kumposha )....***ona maelezo ya ndani yalivyo nyoka ***
@messiasulleydidy2585
@messiasulleydidy2585 2 ай бұрын
Uongo mwingine hata shetani hapendi...
@anatolerukonge1585
@anatolerukonge1585 2 ай бұрын
Siyo mtoto wa nje ni mtoto wa kulea! Tofauti ni kubwa sana.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 ай бұрын
Yani kuna majinga humu ndani eti yameamini Manji ni mtoto wa kikwete hivi nye mnaakili kweli hamkumsikiliza kikwete alivyo kwa akielezea kuhusu baba yake Manji? Mautopolo wengi sana Tanzania hii
@idrissamohamed1100
@idrissamohamed1100 2 ай бұрын
Chuki Ni Uchafu Wa Moyo
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 ай бұрын
Kwa kweli daah
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 3 ай бұрын
Ndo maana uliuza dawa za kulevya
@SaadSengenge
@SaadSengenge 2 ай бұрын
Kumbe ndio hivyo, basi sio mtoto wa nje,, mhe. Kikwete ni baba mlezi, neno mtoto wa nje Lina maana nyingine kabisa.
@asnathmasegenya9890
@asnathmasegenya9890 2 ай бұрын
Wanatafuta kkkk
@kazinaimwishehe-ec3xu
@kazinaimwishehe-ec3xu 2 ай бұрын
Ukiwa tajiri unaficha makosa yako yote yaan uyu manji si ndo aliyokimbia kwa magu kwa pesa zetu jamani leo ni mzuri da pesa ni mwanahalamu
@IssaIra-j9u
@IssaIra-j9u 3 ай бұрын
OVYO
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 3 ай бұрын
Ndoo maana alikuwa anauza sure za Jessica huyu kumbeee
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 2 ай бұрын
Hivi kwa nini wamemzika haraka huko ughaibuni. Huyu jamaa kafa kweli?
@kamarhelo
@kamarhelo 2 ай бұрын
Sio ughaibuni ni marekani
@shamzone388
@shamzone388 2 ай бұрын
Kwani hujui kwa dini ya kiislam kumkirim maiti ni mumzika kwa haraka Na nchi yoyote anaweza kuzikwa bora kuwe na waislam tu
@pinangoda740
@pinangoda740 2 ай бұрын
Wajinga, kuachiwa mtoto umlee ndio MTOTO WA NJE? ACHENI UDHALILISHAJI
@HemedmusoTz
@HemedmusoTz 2 ай бұрын
Mafala nyinyi kum
@petertemu7136
@petertemu7136 3 ай бұрын
Acheni Ujinga basi
@HusnaSalum-p1q
@HusnaSalum-p1q 2 ай бұрын
Ujinga tyu ushaambiwa wa hiyar
@betrandeyakuze808
@betrandeyakuze808 2 ай бұрын
Amen
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,4 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 28 МЛН