#exclusive #cloudsmedia #efm #simulizinasauti #history #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia USIDANGANYWE TENA FUATILIA MAISHA YA RIDHIWANI KIKWETE A-Z • MAKALA ZA VIONGOZI🥂
Пікірлер: 58
@danielmadale2 ай бұрын
OK, MMEAMUA KUMSAFISHA. HATA JIK HAIWEZI
@Santzmedia2 ай бұрын
Kumbe simulizi inaendana na kumsafisha mtu?
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Mfikishie na hizi comment aliekutuma
@superangeltv46152 ай бұрын
Kwann unamsifia kwann et Kuna nn et
@Santzmedia2 ай бұрын
Mtu anasifiwa kutokana na uhodari wake ,Ikitokea amefanya kitu chanya Kwa jamii sifa zake Atapewa Tu kwaiyo nawewe jitahidi Uje usifiwe kama Mhs;
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Haloooo ya Ccm hamna kitu hapo wewe simulia tu ufanye kazi ya kumsifia wala hana nyota ya kupendwa ila upambe tu
@Santzmedia2 ай бұрын
Ndugu wewe ni Mtanzania kweli???
@gabrielzakaria28102 ай бұрын
Hatuhusu
@aloycesilwela348525 күн бұрын
Jamani hebu mwogopeni Mungu,haonekani kwa macho ya nyama lkn yupo
@user-le1mo8ru7u9 күн бұрын
Muuza madawa ya kulevya ni nani
@AnthonyVitalis-iy5su2 ай бұрын
Mtajua wenyewe huko
@frankhoffa83562 ай бұрын
Sijui utatumia lugha gani ili watu wakuelewe
@Santzmedia2 ай бұрын
Kivipi mkuu?
@StephanoMoses2 ай бұрын
Kumbe siku hizi hamna simulizi zaid ya kumsafisha mtu . Huku anawalipa bei ghali inaonekana
@epimackjohn4612 ай бұрын
Ili iweje kwa maelezo haya
@deusdeditishengoma43352 ай бұрын
Huyo mwandishi kahongwa! Ridhiwani Ni Kweli Ni muuza unga na alishikwa China! Pumbavu anajisafisha saa hizi!
@VenerandaKundi-ph4hg2 ай бұрын
Yote ya Nini maneno hayo
@user-lt1bi5nr1x2 ай бұрын
Njaa mbaya. Na democrasia ni ushetani
@Santzmedia2 ай бұрын
Tuendelee kufanya kazi Kwa bidii "Njaa Hakuna
@user-ig6pg6oz9i2 ай бұрын
Upofu wetu atujui unajua wewe ayo tusimulie wtz mazombi wote. Ata majani ya mpapai yanafua nguo
@allymahiyo2464Ай бұрын
Mwamba flani ivi kutoka chalinze.
@JackM.-mh5csАй бұрын
Huyu ni birionea mkubwa sanaa
@gracekagoma32312 ай бұрын
Baba ,mama na mtoto wote wanakula nchi.
@Santzmedia2 ай бұрын
Ukiongea jaribu kuwa na Fact kidogo 😥
@yusufmohamed88742 ай бұрын
Umelipwa shilingi ngapi
@Santzmedia2 ай бұрын
Tuendelee kuipenda Nchi yetu!!!!!!
@user-le1mo8ru7u9 күн бұрын
Hahahah😮
@jenyyusuph49732 ай бұрын
Mwandishi unatumia fagio gani mbona unasafisha sana atajuana huko mbinguni au motoni
@Santzmedia2 ай бұрын
😆😆😆😆
@ibrahimmussa17755 күн бұрын
Yaylyagayagaglyaylylyagqyqyayqyayl
@Santzmedia5 күн бұрын
🤩🤩
@gracekagoma32312 ай бұрын
Tafuta cha kuongelea😮uache uchawa
@Santzmedia2 ай бұрын
Unadhani kuzungumzia Maisha ya mtu Kwa wasiomfahamu ni uchawa !!!!!???🥺🥺🥺
@aishamtaula1959Ай бұрын
Jamani huyu bibisikumoja nitienda kwake na bibiangu kimsrimia arikuwa hivi hivi na kanga hii irijitanda arikuwa mkarimi sana na mpendawatu mungu iraze roho yake mahar pema peponi amina kubwa pia tunamshuru mungu kwa kutuzaria mtu huyu mwamba wa charinze mungu mrinde mbunge wetu kwani nichaguo retu
@aishamtaula1959Ай бұрын
Pia mumewe nirimkuta barazani umri huuu anasuka jamvi hawana makuu wazee Hawa wawir mtu na mumewe bibiangu bitirajabu msakamar armuita bibi Goya na mumewe arimwita murisho Asante kuturetea makara hii naitwa Aisha mtaura wa charinze miono huna baya aropewa kapewa cheo kinamruhusu kufanya biashara afanye tuu ajira zinaongrzeka Kwa vijana wetu
@SantzmediaАй бұрын
🇹🇿🤝
@zariadunia63282 ай бұрын
Kiukweli Ridhiwani hausiki na uuzaji unga anayehusika ni Miraji sio Ridhiwani ni bahati mbaya watu wengi hawamjui Miraji ambaye ni mama tofauti na Ridhiwani
@Santzmedia2 ай бұрын
👊👊👊
@nikkimbishiunju2402Ай бұрын
Mkoani RINDI au LINDI,jifunze kwa kiswahili ndio ufanye hii kazi,RIDHIWANI sio LIZIWANI.
@SantzmediaАй бұрын
Sawa mkuu nitabadilika natumai video zijazo sitokuangusha💥📌
@user-lw3tg3yg5b20 күн бұрын
Wanaokota mananga yasiyojua kitu hata kiswahili ndiyo yawasafishe maana mweye akil😅. timamu hawezi kufanyahii kazi
@hamidabarraball31622 ай бұрын
Umepewa shilingi ngapi ndugu mwandishi kwa hii propaganda uliyoitoa?
@Santzmedia2 ай бұрын
Kwani wewe sio Mtanzania 🤓
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
Siwezi kumjua,bora watoto wa nyerere,huyo ni kibaraka wa wazungu, Rip JPM
@Santzmedia2 ай бұрын
😂😂😂
@MohamediOmari-nz4vv2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MiriamAbdallah2 ай бұрын
Hivi nani alisababisha bandari ya bagamoyo apewe mchina kwa miaka 132? Kwa maslahi yake na family yake?🤔🤔
@Santzmedia2 ай бұрын
Embu Tujiulize wote sasa!!!🤔🤔
@user-lw3tg3yg5b20 күн бұрын
Ndivyo walivofanya ?Jamani watu walirogwa JPM baba hebu rudi kwa namna ya kiMungu ushuhudie viroja vya watanzania
@user-lw3tg3yg5b20 күн бұрын
Ndivyo walivofanya ?
@theopisterchalle7059Ай бұрын
Na wewe mwiz
@SantzmediaАй бұрын
😢😢😢
@hamzakimaro37642 ай бұрын
HUU NI MPANGO WA WATU MAHASIDI!! RIDHIWANI ANATABIA NZURI KAMA ZA BABA YAKE,HANA MAJIVUNO WALA MAJITAMBO!!HILO LINAWAKERA WALE WENYE UHASIDI MNO!! ANAFAA KUWA RAISI WETU MIAKA IJAYO!!