DAKIKA 45 ZA MAZINGE MASJID BUYENZI NCHINI BURUNDI .MADA BALAA LA WANAFIQ ULIMWENGUNI

  Рет қаралды 60,452

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Күн бұрын

Пікірлер: 73
@AbdullahiAbduba
@AbdullahiAbduba Жыл бұрын
MashAllah Shehik mazinge
@hajathhajiselemani3019
@hajathhajiselemani3019 2 жыл бұрын
Mashallah,,,,,professor mazinge Allah akupe umri mrefu wenye baraka tele uzidi kutupa Daawaa inshallah ,,,,,,,,,,, your lessons is so beautifully and nakupenda kwa ajili ya Allah
@muhammadfadhil9835
@muhammadfadhil9835 3 жыл бұрын
Napata vingi kwako Mazimge Masha Allah Allah akujaze nuru duniani na akhera
@amenaallahawazidishieumrin6235
@amenaallahawazidishieumrin6235 3 жыл бұрын
Allahuma ameen yarabin allamin mola akuhifadh uzidi kutuombea dua akujalie umri mrefu uzidi kumtetea Manan pomoja na mtume wake Mohammed ( saw )
@minabuelysee8
@minabuelysee8 3 жыл бұрын
MashaAllah
@fatumjumaa5563
@fatumjumaa5563 3 жыл бұрын
Sheikh wetu mazinge mungu akupe umri mtrefu
@rbagha5280
@rbagha5280 2 жыл бұрын
Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 жыл бұрын
اللهم صلي وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم
@AbdullahiAbduba
@AbdullahiAbduba Жыл бұрын
@fatomhalogandy4045
@fatomhalogandy4045 3 жыл бұрын
Walaikm salam warahmatulai wabarakatuh
@firdausmasinge74
@firdausmasinge74 3 жыл бұрын
Mashaallah
@jaffaryhamiddy8939
@jaffaryhamiddy8939 2 жыл бұрын
inshaallah kwenye vita niwepo niipiganie dini ya Allah dini ya kweli 🤲🏾
@jeanmuzaliwa9023
@jeanmuzaliwa9023 Жыл бұрын
wapi andiko uislamu dini ya kweli!
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@makenakendi9014
@makenakendi9014 3 жыл бұрын
Mashallah ALLAH BARIIK always my brothers
@alimatambwe3402
@alimatambwe3402 2 жыл бұрын
Jazakhallahu kheiri Sheikh Mazinge Allah akupe umri mrefu
@rinompemba5926
@rinompemba5926 3 жыл бұрын
Mazinge Allah Azidi kukuongoza sana in sha Allah
@faiqaanwar7268
@faiqaanwar7268 19 күн бұрын
Kwahivyo raisi wetu marehemu moi ana pepo yake kesho ya allah
@husseinguyo4379
@husseinguyo4379 3 жыл бұрын
Masha Allah Mazinge Allah akupe umri mrefu mm natokea kenya
@mohammedkimanga8960
@mohammedkimanga8960 3 жыл бұрын
Shukrni sna tuko pamja kutoka Kenya 🇰🇪
@sawdaasawdaa7903
@sawdaasawdaa7903 3 жыл бұрын
Docteur wamakafiri yuko buja waaawoooo
@cabylake2320
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓
@khalifahashimu5367
@khalifahashimu5367 2 жыл бұрын
Masha Allah mazinge
@albalushiboy3233
@albalushiboy3233 3 жыл бұрын
Good
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 3 жыл бұрын
MA SHAA ALLAH
@mrok284
@mrok284 3 жыл бұрын
Wewe ni Professor mkubwa Sana.
@rinompemba5926
@rinompemba5926 3 жыл бұрын
Tupo pamoja mzee wangu
@mohammedkimanga8960
@mohammedkimanga8960 3 жыл бұрын
Nmekupata vzur kumbe ayat moi alifnya insani wakati wa uongozi wke Allah amlipe bdala yke
@KH-on8pp
@KH-on8pp 3 жыл бұрын
Mazinge kwa hivyo hata wewe ulivyo kama alivyosema watanzania na wakenda sio
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 3 жыл бұрын
Mashallah sheikh mazinge 😍😍😍😍🇴🇲🌹👌
@Junior-rl2hj
@Junior-rl2hj 3 жыл бұрын
MAZINGE OYEEEEE
@truthspeaker2405
@truthspeaker2405 3 жыл бұрын
na Bwana wetu Yesu Kristo Mungu wa Muhammad ajifunue kwenu mpate kumjua amen
@mrok284
@mrok284 3 жыл бұрын
Pole. Njo kwenye uislamu Ndugu yangu. Hakuna kiumbe kinachoumba kiumbe. Yesu ni kiumbe amezaliwa na mama Maryam. Hebu tulia usome. Allah jalajalalu atukuonesha njia.
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim 3 жыл бұрын
Wachekeshaaa kweli wewe hivi Mungu wako anapigwa na binadamu na kusulubiwa hadi kufa mungu uyo jiangalie wewe wajisahau
@truthspeaker2405
@truthspeaker2405 3 жыл бұрын
@@mrok284 naelewa lazima utasema hivyo lakin najua pia utakiri ya kuwa Yesu yu hai Muhammad yupo kaburin anamsubir Mungu wake(Yesu) aje kumuhukum kwa kuwapotosha mamilion ya watu
@truthspeaker2405
@truthspeaker2405 3 жыл бұрын
@@jei_Ibrahim kwan kwa mfano ww ni mfale alafu wakati ukiwa unatembea ukamuona mtoto wako unaempenda amedumbukia kwenye matope .. utaingia huko kumuokoa au utasema mim ni mfalme siwez ingia hivyo muache afe uko?
@jei_Ibrahim
@jei_Ibrahim 3 жыл бұрын
@@truthspeaker2405 ndio maana waisilamu tuna sema yesu hakufa hakusulubiwa kwa sababu Allah alimuokoa kutoka kenye balaa la binadamu akampaisha ila tatizo wewe sasa unaesema yesu alipigwa na mayahudi hadi kufa sasa uyo mfalme wako sasa hakumuokoa mwanawe kwa mujibu wako akafa alafu ww bado unarudi unasema uyo mwana wa mfale ni mungu si kichekesho hicho yaani uyo mwana wa mfalme ndie mfalme huoni kama unajichanganya
@sakinat2527
@sakinat2527 3 жыл бұрын
😀😀😀 kuna visehemu nimecheka, 😂😂 sheikh mazinge bana
@rinompemba5926
@rinompemba5926 3 жыл бұрын
🤝Anafuahisha kweli .mie nilipo skia eti waislam njaa njaa wale .waislam watanzania wabish
@rajeshnakubalikamandasanga5904
@rajeshnakubalikamandasanga5904 2 жыл бұрын
Naam
@Junior-rl2hj
@Junior-rl2hj 3 жыл бұрын
Uislam oyeeee
@barnabasmajige8473
@barnabasmajige8473 3 жыл бұрын
Et wamejenga kanisa ulitaka wajenge bar,chuki ni kitu kibaya sana ktk maisha?
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 3 жыл бұрын
Sura ya huyu jamaa ina giza vilee
@shabansalee4924
@shabansalee4924 2 жыл бұрын
Yako nzuli
@Junior-rl2hj
@Junior-rl2hj 3 жыл бұрын
We thruth huna akili kabisaa
HIZI NDIZO SABABU ZA YESU KUTOKWENDA MAKKAH. SHEIKH HABIBU MAZINGE
42:26
Kishki Online TV
Рет қаралды 772 М.
Muhadhara.Masai akiri wachungaji wamewapotosha.Shk.Mazinge
1:05:11
ALNUUR ISLAMIC DAAWAH CHANNEL
Рет қаралды 60 М.
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 22 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
Sheikh Mohamed Ismail Bayile - Uhai wa Mtume_01_1.VOB
58:02
myabdoul
Рет қаралды 98 М.
OTHMAN MAALIM.....VISA VYA VITA YA BADRI
3:01:33
ADE LINK HABARI
Рет қаралды 129 М.
Cute kitty gadgets 💛
00:24
TheSoul Music Family
Рет қаралды 22 МЛН